Health wealth-HW

Health wealth-HW

Share

hi page nikwajili ya magonjwa mbalimbali na kutoaushauli juu ya ugonjwa uwo na dawa piah

Photos from Health wealth-HW's post 07/02/2024

CONTACT/WHATSAPP: 0622493308

Faida za kunywa liven alkaline coffee

1. Inakukinga usipate cancer ya aina yoyote ile
2. Inakukinga usipate tezi dume kwa wanaume
3. Inafanya damu izunguke vizuri kwenye viungo vyote vya mwili
4. Inaimarisha tendo la ndoa kwa wanaume wanaowahi kumaliza mechi k**a ni mtu wa dakika 5 basi kwa kunywa hii kahawa utaenda mpaka dakika 15
5. Inaondoa sumu mwilini
6. Ni nzuri kwa kina Dada wanaosumbuliwa na tumbo LA bleed
7. Inakupatie nguvu k**a umechoka
8. Ni nzuri sana kwa watu wenye matatizo ya moyo na kisukari
9. Ni nzuri pia kwa wanawake wanakosa hamu ya kufanya tendo LA ndoa
10. Ni nzuri sana kwa wanaosumbuliwa na ulcers maana ina alkaline inayofanya kazi ya kunutralize acidic tumboni
11. Ni nzuri sana kwa wanaosumbuliwa na UTI sugu
12. Ni nzuri pia kwa maumivu ya kichwa
13. Inaondoa hangover kwa wanaokunywa pombe
14. Inatibu pia magonjwa ya aina yoyote
15. Inaondoa stress pia
16. Ni nzuri pia kwa watu wenye hormonal imbalance

Kahawa hizi ni tamu na ina harufu nzuri sana ipo flavour tofauti latte, cappuccino, original na sugarfree box nzima ina packet 20. Jali afya yako tupo dar es salaam na mikoani tunatuma. Mawasiliano zaidi piga / Watsap 0622 493 308

07/02/2024

CONTACT/WHATSAPP: 0622493308

Faida za kunywa liven alkaline coffee

1. Inakukinga usipate cancer ya aina yoyote ile
2. Inakukinga usipate tezi dume kwa wanaume
3. Inafanya damu izunguke vizuri kwenye viungo vyote vya mwili
4. Inaimarisha tendo la ndoa kwa wanaume wanaowahi kumaliza mechi k**a ni mtu wa dakika 5 basi kwa kunywa hii kahawa utaenda mpaka dakika 15
5. Inaondoa sumu mwilini
6. Ni nzuri kwa kina Dada wanaosumbuliwa na tumbo LA bleed
7. Inakupatie nguvu k**a umechoka
8. Ni nzuri sana kwa watu wenye matatizo ya moyo na kisukari
9. Ni nzuri pia kwa wanawake wanakosa hamu ya kufanya tendo LA ndoa
10. Ni nzuri sana kwa wanaosumbuliwa na ulcers maana ina alkaline inayofanya kazi ya kunutralize acidic tumboni
11. Ni nzuri sana kwa wanaosumbuliwa na UTI sugu
12. Ni nzuri pia kwa maumivu ya kichwa
13. Inaondoa hangover kwa wanaokunywa pombe
14. Inatibu pia magonjwa ya aina yoyote
15. Inaondoa stress pia
16. Ni nzuri pia kwa watu wenye hormonal imbalance

Kahawa hizi ni tamu na ina harufu nzuri sana ipo flavour tofauti latte, cappuccino, original na sugarfree box nzima ina packet 20. Jali afya yako tupo dar es salaam na mikoani tunatuma. Mawasiliano zaidi piga / Watsap 0622 493 308

27/11/2023

100%

27/11/2023

Freezing 26/11/2023

je unapitia addiction au stress flani katika maisha yakoo ya kirasikuu jee unaitajii kujitoa na hayoo yote join group hili

Freezing WhatsApp Group Invite

24/11/2023

Unalala unasema kesho ngoja nifanye kitu kwajili ya maisha yangu..unatega na alarm kabisa ilii uwahii kuamka ufanye na tumazoezi ilii uwee active..asubuhi inafika na chakwanza unashika simu unaingia insta au fb au yotube na zilivyo za ajabu izii platforms zinakuletea interesting stories na some video ushasahau kuhusu jana ulisema nn kuhusiana na kesho..ndugu zanguu tukwepe huu mtego ...πŸ˜‚πŸ˜‚

24/11/2023

Miaka na miaka ulimwengu umekuwa ukibadilika kutoka mfumoo mmoja hadi mwingine.utumwa-ujama-ubeberu... nampaka apaa tulipo nchii nyingii zipoo katika mfumoo wa ubeberu( capitalism) katika mfumo huu umekuwaa na sifaa zakee nyingii moja wapoo ni namna ya umiliki wa mali...utamilikii kutokanaa na juhudii zakoo binafsi lakin katika mfumoo huu unyonyajii ni threat kubwaa..
Hapa ukianza na ulimwenguu kiujumla nchii zenye fedha zinanguvu katika mamb mengii kwa nchii ambazo hazinaa nguvuu..nchii zenyee uwezoo mkubwa wa kivitaa na siraha zinatawala nchi dhaifuu na muda mwingine wanaingilia mpaka kufanya maamuzii flanii..
Nchii hizii zinanguvuu mpaka kwenye vyombo vikubwa vya kidunia na zenyewe ndio zenye maamuzii makubwaa..
Kwenyee nchi husika waliopo kwenye madalaka wananguvuu kubwaa kuliko ambao hawana madalaka wakati ndio wanao wapa madalaka hayo walio nayoo
That is the world ..to be continued πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

24/11/2023

Nadhanii ni mudaa sasaa wa jamii zetuu kubadilii mitazamoo..wenye uwezo wa kuongoza dunia katika nyanja mbalimbali ni kwa wale ambao akiri zao(minds) zinafanya kazii vizurii zaidii
Au ni kwawale ambao akiri zao zimekombolewa au zimetolewa katika vifungoo..nikwer takwimu zinasema watu wengi wamatatizo ya akirii lakin apa kwa mimi nazungumzia akiri ambazo haziwezi kufikiria zaidiii yaa..kufikirii una fikirii ndio lakin huwezii kufikiria zaidii ya apoo...ndio maana watu walitakaa kujua ukoo juu ya dunia yetuu kuna ninii kinaendelea wakaanza kuwekeza akirii zao kubunii vifaa mbalimbali vitakavyo wa fikisha hukoo na wakafanikiwa wakaju nini kipoo ukoo juu na mpaka wakafika mbali wakatumia akirii zao wakaanza kuweka satalaits ambazo zitakuwa zikinasa mawasiliano zaid ..
Je? Ni wapi akirii yakoo inajifunga au imefungwa?
Je? Akiri inamipaka?

24/11/2023

Tunapambana na mengi katika maisha yetu na katika hayo ndio tunapata heshima au kudhalilika na watu wetu wa karibu..embu poga hesabu upo vitani na siraha yako ni mti ambao unachukuliwa k**a siraha dunii na ukiangalia wengine wote wana siraha chuma😁😁 ni ajabu na utachekwa..man minds win first siraha baadae unaweza kuwa na siraha imara nabado vita ikawa ngumu kwako lakin mwenye siraha ya mtii au mbao anaweza kushinda kwa sababu vita huanzia kichwanii kwanza na ndio maana ukiwa camp na captain mipango yenu itatoka kichwanii...nguvuu ya akirii

24/11/2023

Mfano elimu ni mfumo ambao tunaulalamikia kila kukicha kwa sababu ni mfumo ambao umehalibu baadhi ya vitu au mamb katika jamii husika....lakin piah elimu imekuwa na mchango chanya katika jami.familia na hata serikari husika..
ila niuhalisia kuwa elimu kwa karne na karne umezidi kuwa na malalamikio mengi..nipale watu walitalajia elimu ingewapa kazi..ingewapa heshima flani lakin elimu haija fanyaa hivyoo..
Ni mambo mengii juu ya hilii jambo lakin je nini kizidii kufanyika..tunaitajii kuwa na nini k**a msingiii..
Je? Serikari iwekwe mtu kati ndio ibebe lawama zote? Wazazi? Au shule zenyeweeπŸ€”πŸ€”πŸ€”

24/11/2023

Mfumo wowote wakidunia ukisha tengenezwa na ukawepo kwa muda mrefu ni ngumuu kuubadilisha lakin ni rahisi kuusoma uwoo mfumo husina na ukaujua vizurii na mwisho wasikuu wengine wanaweza wakawa wanaishii ndani ya uwoo mfumo lakin wasielewe lakin wewee unanafasii kwa sababu umesha ujua mfumo husika ni kazi sasa kwako kuishii ndanii ya mfumo husika au kutoka ndanii ya mfumo husika...

24/11/2023

Mifumu imeshafunga akili zetuu kwa kiasii kikubwaa na si maanishii kuwa akili zetuu zimefungwaa kwa asilimia miamoja ndio maana kuna mudaa mtuu mmoja mmoja kulingana na changamoto au tunayoo ya pitia katika jami au nchii kiujumla anauwezo wa kujandili ndani ya akirii yake atak**a hatatoa majibu ya ufikirio wake..
Lakin kwa kiasii kikubwa akiri zetu zipoo in jail katika mambo mengii sanaa....

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Kinondoni
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00