JACOB Health Consultanter

JACOB Health Consultanter

Share

�Loose Weight in 9-24Days
�Natural Products (SIO DAWA)
�Nutrition Supplements
�Skin Care Pro

25/05/2023

instagram.com

29/07/2022

Hivi karibuni, habari za wanaume hasa wazee kufariki wakiwa faragha na ‘wapenzi wao’ zimeteka vyombo vya habari nchini. Swala hili pia limekuwa sehemu ya mjadala kwenye mitandao ya kijamii na wengi wakilizungumza kwa mzaha.

Kitaalamu kuna sababu kadhaa ambazo zinaweza kuleta kifo wakati wa tendo la ndoa, k**a zifuatazo;

1. Magonjwa ya moyo.

Magonjwa ya moyo ndio yanayoongoza kwa vifo vya ghafla kwa vijana mpaka watu wazima hasa wakati wa mazoezi makali na hata wakati wa Kufanya mapenzi, mara Nyingi Tendo la ndoa linahitaji damu ifike Kwa wingi kwenye Uume na hata pande zingine kwenye mwili, sasa magonjwa haya huja na kuvimba kwenye chemba za moyo na kufanya usambazaji wa damu kutoka kwenye moyo kwenda sehemu nyingine za mwili kua mgumu sana hivyo usambazaji wa hewa au oxygen kuwa hafifu Mwilini na mwisho wa siku kupoteza uhai.

2. DAWA za kuongeza nguvu za kiume.

Dawa k**a Vi**ra huwa hazitibu chanzo cha tatizo kinacho sababisha upungufu wa nguvu za kiume na badala yake unajiua zaidi na wakati mwingine inaweza kupelekea mpaka kifo k**a ulishawahi kusikia mtu amefariki juu ya kifua cha mwanamke vyanzo ni matumizi ya madawa ya kuboost kwani madawa haya hupelekea mapigo ya moyo kuenda Kwa Kasi kuliko Hali ya Kawaida na mwisho wa siku kujikuta moyo unashindwa Kufanya kazi hivyo kupoteza uhai.

Hatahivyo kutokana na upatikanaji kwa njia rahisi wa dawa hizi, baadhi ya vijana na wanaume wamekuwa wakizinunua kiholel

Pia Dawa hizi ni hatari sana kwa watu wenye presha ya kushuka na magonjwa mbali mbali ya moyo kwani hawezi kuvumilia tatizo hili na huweza kupelekea kifo cha ghafla kwa muhusika. Hakikisha unakaa nazo mbali ❌

mwisho; Kila kitu kina wakati wake, k**a wewe ni kijana na una uhakika una afya njema unaweza kufanya haya mashindano ya ngono lakini k**a afya yako haiko sawa au umri umeenda sana basi kubali yaishe na ushiriki tendo hili kwa kiasi kidogo. Hakuna mtu amewahi kushinda chochote kwa kuonyesha umwamba wakati wa tendo la ndoa.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA 👇🏽👇🏽👇🏽

𝐂𝐀𝐋𝐋/ 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏 0710721269
https://wa.me/message/EJGCMIS6EZI2A1

29/07/2022

Hivi karibuni, habari za wanaume hasa wazee kufariki wakiwa faragha na ‘wapenzi wao’ zimeteka vyombo vya habari nchini. Swala hili pia limekuwa sehemu ya mjadala kwenye mitandao ya kijamii na wengi wakilizungumza kwa mzaha.

Kitaalamu kuna sababu kadhaa ambazo zinaweza kuleta kifo wakati wa tendo la ndoa, k**a zifuatazo;

1. Magonjwa ya moyo.

Magonjwa ya moyo ndio yanayoongoza kwa vifo vya ghafla kwa vijana mpaka watu wazima hasa wakati wa mazoezi makali na hata wakati wa Kufanya mapenzi, mara Nyingi Tendo la ndoa linahitaji damu ifike Kwa wingi kwenye Uume na hata pande zingine kwenye mwili, sasa magonjwa haya huja na kuvimba kwenye chemba za moyo na kufanya usambazaji wa damu kutoka kwenye moyo kwenda sehemu nyingine za mwili kua mgumu sana hivyo usambazaji wa hewa au oxygen kuwa hafifu Mwilini na mwisho wa siku kupoteza uhai.

2. DAWA za kuongeza nguvu za kiume.

Dawa k**a Vi**ra huwa hazitibu chanzo cha tatizo kinacho sababisha upungufu wa nguvu za kiume na badala yake unajiua zaidi na wakati mwingine inaweza kupelekea mpaka kifo k**a ulishawahi kusikia mtu amefariki juu ya kifua cha mwanamke vyanzo ni matumizi ya madawa ya kuboost kwani madawa haya hupelekea mapigo ya moyo kuenda Kwa Kasi kuliko Hali ya Kawaida na mwisho wa siku kujikuta moyo unashindwa Kufanya kazi hivyo kupoteza uhai.

Hatahivyo kutokana na upatikanaji kwa njia rahisi wa dawa hizi, baadhi ya vijana na wanaume wamekuwa wakizinunua kiholel

Pia Dawa hizi ni hatari sana kwa watu wenye presha ya kushuka na magonjwa mbali mbali ya moyo kwani hawezi kuvumilia tatizo hili na huweza kupelekea kifo cha ghafla kwa muhusika. Hakikisha unakaa nazo mbali ❌

mwisho; Kila kitu kina wakati wake, k**a wewe ni kijana na una uhakika una afya njema unaweza kufanya haya mashindano ya ngono lakini k**a afya yako haiko sawa au umri umeenda sana basi kubali yaishe na ushiriki tendo hili kwa kiasi kidogo. Hakuna mtu amewahi kushinda chochote kwa kuonyesha umwamba wakati wa tendo la ndoa.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA 👇🏽👇🏽👇🏽

𝐂𝐀𝐋𝐋/ 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏 0710721269

14/07/2022

Kila uamkapo asubuhi, MSHUKURU MUNGU kisha jaribu kutenga angalau dakika 15 mpaka 30 kwa ajili ya kufanya mazoezi mepesi. Kufanya mazoezi inasaidia sana.......
👉 Kuimarisha kinga ya mwili
👉 Kuondoa uchovu na kuwa free and fresh for startday.
👉 Kuondoa sumu mwilini kupitia jasho n.k
👉 Kuimarisha kumbukumbu (Afya ya akili) na kuongeza ufanisi wa ufanyaji kazi
👉 Kuboresha mfumo wa mzunguko wa damu mwilini

Tujitahidi sana kufanya mazoezi mepesi kila siku, itasaidia sana kuboresha AFYA zetu.
3 days creates HABIT, 90 days creates LIFESTYLE

Photos from JACOB Health Consultanter's post 14/07/2022

Kila uamkapo asubuhi, MSHUKURU MUNGU kisha jaribu kutenga angalau dakika 15 mpaka 30 kwa ajili ya kufanya mazoezi mepesi. Kufanya mazoezi inasaidia sana.......
👉 Kuimarisha kinga ya mwili
👉 Kuondoa uchovu na kuwa free and fresh for startday.
👉 Kuondoa sumu mwilini kupitia jasho n.k
👉 Kuimarisha kumbukumbu (Afya ya akili) na kuongeza ufanisi wa ufanyaji kazi
👉 Kuboresha mfumo wa mzunguko wa damu mwilini

Tujitahidi sana kufanya mazoezi mepesi kila siku, itasaidia sana kuboresha AFYA zetu.
3 days creates HABIT, 90 days creates LIFESTYLE

Kwa muongozo zaidi.
PHONE; +255710721269

13/06/2022

Madhara ya UZITO uliopitiliza (OBESITY) na changamoto zake katika afya.

💥💥JE, UNENE IMEKUWA NI SHIDA KWAKO??
💥💥 JE, UMEHANGAIKA KUPUNGUA MARA KWA MARA IMESHINDIKANA?

NAMBA yako tuongee zaidi. Au Piga/Sms +255710721269

♦Uzito mkubwa wa kupindukia ni tatizo kubwa la kiafya katika maisha yetu ya kisasa. Uzito unapozidi kiwango ambacho kinahitajika kwa mtu husika kunachangia matatizo mengi ya kiafya. Kwa mujibu wa Takwimu zilizotolewa na shirika la afya duniani, zaidi ya watu bilioni 1.5 duniani wamezidisha uzito wa miili yao. Milioni 500 kati yao huwa na unene wa kupindukia.

♦Tatizo hili la UNENE
uliopitiliza kuliko inavyohitajika kiafya huwa linaletwa na kuongezeka kwa kiwango cha mafuta mwilini.
♦Njia rahisi inayokubalika ya kuweza kugundua k**a mtu ni mnene kupita kiasi (Obese) inafahika k**a kipimo cha Body Mass Index (BMI) vipimo hivi vya BMI ndio vinaweza kukujulisha k**a unene ulionao unastahili kulingana na umri, urefu,na uzito wako.

♦Magonjwa yanayoweza kuambatana na tatizo la unene uliopitiliza Ni:
▪Kisukari
▪shinikizo la damu (hypertension)
▪Matatizo ya kizazi (Infertility)
▪kiharusi (Stroke),
▪Magonjwa ya moyo (Heart Failure)
▪Kiwango cha juu cha lijamu kwenye damu ( Cholesterol )
▪Saratani ya matiti. ▪Saratani ya tezi dume ( prostate Cancer) ▪Saratani ya utumbo mpana pamoja na maeneo ya haja kubwa ( Colorectal Cancer)
▪ Matatizo ya mzunguko na mishipa ya damu k**a vile kuvimba kwa Vena za miguuni ( Varicose veins)
▪kutokupumua vizuri wakati mtu yupo usingizini.
▪Kutoku perform vizuri kwenye TENDO la Ndoa.
▪Ugonjwa wa mifupa k**a yabisi nk

💥💥 Epuka kupunguza UZITO kwa kufanya DIET na MAZOEZI. Kiafya sio nzuri, kupungua utapungua lakini huwezi kudetox (kusafisha)mwili wako kwa kutoa sumu tulizonazo na vilevile ngozi yako itanyauka kwa kuunyima mwili virutubisho muhimu kwa kufanya diet.

🔷Clean9 ni Bidhaa Bora ya Asili Yenye Virutubisho muhimu kwa ajili ya kutoa SUMU na kupunguza UZITO.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Victoria
Dar Es Salaam