SAID UZAZI

SAID UZAZI

Share

"Furaha ya ndoa ni mtoto"οΏ½ οΏ½
Rejesha furaha ya ndoa yako kwa kubeba ujauzito ndani ya siku 90 tu bila kutumia dawa.
0759296625.

04/07/2026

Marufuku kufanyaje..?
.

Photos from SAID UZAZI's post 02/07/2026

Tujiambatanishe na baraka hizi nasi tuwe washindi na tulete mirejesho k**a hii.πŸ€°πŸ‘©β€πŸΌπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
.

30/06/2026

JE, NIFANYE NINI NIKIWA HEDHI?.

Ili kuongeza uwezekano wa kubeba ujauzito baada ya hedhi, basi maandalizi yaanze kabla ya hedhi, ukiwa hedhi na baada ya hedhi kwa ajiri ya mzunguko ujao ikiwa hujabeba ujauzito.

FANYA HIVI:πŸ‘‡

1. Fuatilia utokaji wa damu. Je ni nyingi au kidogo?. Je ni nyeusi, mabonge au ya kawaida?. Je, inatoa harufu au inateleza?.
2. Punguza mawazo, hofu na wasiwasi. Kisha ongeza imani, kujiamini na kunywa maji mengi kila siku.
3. Chukua binzari (manjano) nyingi kisha usage unga wake ambao utakuwa unatumia kila unapohitaji.

Vilevile chukua mdalasini mwingi kisha usage unga wake ambao utakuwa unatumia kila unapohitaji.

MATUMIZI YAKE:πŸ‘‡

1. Chemsha maji kikombe kimoja yapate uvuguvugu kisha epua na uweke kwenye kikombe, ongeza kijiko kimoja cha unga wa mdalasini, kijiko kimoja cha unga wa binzari (manjano) na kijiko kimoja cha asali. Kisha koroga kwa pamoja chai hii na unywe kikombe kimoja asubuhi na kimoja jioni.

2. Chemsha maziwa fresh kikombe kimoja kisha epua weka kwenye kikombe, ongeza kijiko kimoja cha unga wa mdalasini, kijiko kimoja cha unga wa binzari (manjano) na kijiko kimoja cha asali. Kisha koroga kwa pamoja chai hii na unywe kikombe kimoja asubuhi na kimoja jioni.

Chagua njia mojawapo kati ya hizo mbili itakayokuwa rahisi kwako.
Usiweke sukari.❌
4. Chukua kipande kimoja saizi ya robo kwenye boga kubwa kisha chemsha mchemsho na maji kwa kufunika ili mvuke usitoke nje. Hakikisha maji hayajai kwenye chombo unachochemshia kuruhusu mvuke kuliivisha vizuri weka na chumvi kiasi.

Kisha epua subiria ipoe na ule mchemsho huu mtamu.πŸ˜‹ Unaweza kupika na mchicha chukuchuku pembeni ili kuboresha mchemsho wako.
5. Kila siku hakikisha unakula parachichi moja.πŸ₯‘
6. Tumia juisi ya machungwa mawili🍊🍊 na tangawizi kipande kimoja.🫚 Vioshe kwa pamoja kisha katakata vipande vidogo vidogo na maganda yake na mbegu zake.

Saga kwa pamoja kwa kutumia maji ujazo wa glass mbili kisha chuja na unywe glass moja asubuhi na glass moja jioni kila siku.

Usiweke asali na unaruhusiwa kuweka kwenye friji.

NYONGEZA:πŸ‘‡
1. Unaweza kutumia hata baada ya hedhi, unaweza kutumia ukiwa siku za hatari, unaweza kutumia hata baada ya siku za hatari.
2. Hakikisha haukosi vitu vitatu mpaka vinne kati ya hivyo kila siku.
.

29/06/2026

Tumia chai ya tangawizi na pilipili manga kutwa mara mbili kwa ajiri ya:πŸ‘‡

1. Kuondoa sumu ya P2 mwilini.
2. Kutibu UTI ya kujirudiarudia au mkojo kuwa mchafu au kuuma baada ya kukojoa.
3. Kutibu chango la uzazi.

Fuatisha maelekezo haya:πŸ‘‡

Chukua kipande cha tangawizi kisha kikwangulie kwenye chombo, chemsha na maji kupata kikombe kimoja.

Weka kijiko kimoja kidogo cha pilipilimanga iliyosagwa na asali kijiko kimoja au viwili.

Kunywa chai hii asubuhi kikombe kimoja na jioni kikombe kimoja kwa siku 30 mfululizo.
.

28/06/2026

Uwe wewe mwakani 2027πŸ‘©β€πŸΌ
.

Photos from SAID UZAZI's post 27/06/2026

Furaha hii ikatimie nyumbani kwako mama mzuri.πŸ€°πŸ‘©β€πŸΌ
.

26/06/2026

Furaha hii ikatimie nyumbani kwako.πŸ€°πŸ‘©β€πŸΌ
.

25/06/2026

Mjamzito k**a:-πŸ‘‡
1. Tumbo, nyonga au kiuno linaumauma/vinauma bila sababu.
2. Unajisikia kichefuchefu au kutapika.
3. Unajisikia uchovu uchovu hasa asubuhi.
4. Unakosa hamu ya kula.
5. Unapata maumivu ukikojoa, miwasho au uchafu uchafu.
6. Kichwa kinauma mara kwa mara nk.

FANYA HIVI:πŸ‘‡

Tengeneza chai ya mchaichai mwingi afu maji kikombe kimoja, ukichemka chuja weka kwenye kikombe kisha kamulia limao moja zima au ndimu.

Weka asali vijiko viwili unywe 1x3 kwa siku 30 mfululizo

NYONGEZA:πŸ‘‡
1. Unaweza kuifanya kuwa chai yako kila siku na kila wakati unapohitaji.
2. K**a una vidonda vya tumbo usiweke limao.
3. Ukiona hali huielewi nenda hospitali kufanya vipimo zaidi na ushauri mahususi.
.

24/06/2026

Siku uliyojifungua na kukabidhiwa mtoto wakoπŸ‘©β€πŸΌ kwa mara ya kwanza ulitamka maneno gani?. πŸ˜‚
.

23/06/2026

FANYA HIVI ILI USIUMIE TENA UKIKUTA HAKUNA MIMBA (Negative) BAADA YA KUPIMA.πŸ‘‡

K**a huwa unapima unakuta hakuna mimba halafu unaumia, unakosa raha kiasi cha kususia kupima tena basi kuna kitu huwa unakosea.

"Huwa unakosea kukipangia kipimo majibu ya kukupa."

Wengi kabla hawajapima hukipangia kipimo kitoe mistari miwili (positive) wanasahau kazi yao siyo kukifanya kipimo kitoe mistari miwili bali kazi yao ni kupima.

Ukimaliza kupima kiache kipimo kitoe majibu chenyewe. Ukikipangia majibu kuwa hapa lazima kitoe mistari miwili na ukaja mstari mmoja ndipo hasira na makasiriko huanzia.

Kazi yako kupima pekee. Kutoa mistari miwili au mstari mmoja ni kazi ya kipimo siyo kazi yako.

Jaribu leo kutokujiba kazi ya kipimo uone k**a utaumia baada ya kukuta hakuna mimba.

Wanaosema wanaogopa kupima mimba wote hujipa kazi ya kipimo (kukiamrisha kitoe majibu fulani) badala ya wao kufanya kazi yao (kupima).πŸ˜€

JIFUNZE KITU HAPA.πŸ‘‡

Kuna mama mmoja saivi ni mjamzito miezi minne alipitiliza tarehe baada ya kutumia juisi. Alitakiwa aingie period mwishoni mwa mwezi wa kwanza (January 2023).

Akaniambia nimepitiliza siku wiki moja nikamwambia pima mimba akasema ngoja nisubirie wiki nyingine.

Akasubiria ikaisha wiki ya pili akanitafuta tena nikamwambia pima mimba akasema naogopa hata hivo huwa ni kawaida yangu kupitiliza ngoja nitumie tangawizi kali na karafuu nyingi damu itatoka tu.

Baada ya mwezi kupita akanitafuta Dr. Said nimepitiliza mwezi sasa sioni period lakini najihisi tu homa nadhani period inataka kutoka ila haitoki. Nikamwambia nimekuwa nikikuambia kupima mimba hutaki unataka nikusaidiaje?.

Akasema ngoja nisubirie kidogo isipotoka nitapima. Nikamwambia poa.

Akawa kimya mwezi mzima na nusu akanitafuta tena period haijatoka ila naogopa kupima. Nikamjibu sina cha kukusaidia mpaka upime mimba.

Akasema ahsante dokta.

Wiki mbili baadae akanitafuta anasema ilibidi niende hospital nikapime nimekuta nina ujauzito wa miezi mitatu na wiki moja.

Nisamehe sana nifanyeje dokta maana katika miezi mitatu ya mwanzo kuna vitu mjamzito anatakiwa atumie ili mtoto asizaliwe njiti, asizaliwe na kichwa kikubwa wala mgongo wazi pia shingo iwe imekaza. Najiona tayari nimechelewa na sijavitumia nifanyeje nachanganyikiwa mimi?.
πŸ˜ͺ

Nikamuuliza nimekuambia kupima mimba mara ngapi akasema mara nyingi sana. Akasema nimsamehe.

Nikamwambia wala hujanikosea mimi bali k**a tatizo litatokea kwa mtoto ujue ulijiharibia mwenyewe.πŸ˜ͺ

Je, wewe huwa unaogopa kupima mimba kwa kuhofia itakuja negative yaani mstari mmoja?.
.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00