Tatuhealthsolution
Kwa elimu ya afya ya uzazi ya mwanamke na changamoto zote za uzazi. PID, fungus sugu, hormonal imbal
01/02/2025
31/01/2025
Je unajua kuwa kupitia Tatuhealthsolution PID sugu uliyonayo inaweza kuisha tena ndani ya muda mfupi sana haijalishi umehangaika kuitibu kwa muda mrefu kiasi gani?
Je unajua kuwa ukiondoa PID inayokutesa unaweza kurudisha ustawi wa mahusiano yako?
Je unajua kuwa ukiondoa PID sugu unaweza kubeba mimba pia?
Je unajua kuwa ukiondoa PID sugu ile miwasho sugu, kutokwa na uchafu wenye harufu au usio na harufu, mirija kuziba na kadhalika vyote vitaisha pia.
Kwa ushauri, elimu zaidi na tiba sahihi na ya uhakika karibu Tatuhealthsolution mkombozi wa changamoto zote za uzazi ili upate huduma sahihi.
WhatsApp 0672342933
31/01/2025
Miaka 10 tena kwenye ndoa, changamoto zimeisha, mama anasema hatimaye naye Mungu amemuona. Utukufu kwake Mungu.
Alipata ushauri kwenye group na sasa anategemea kuitwa mama.
Mama umehangaika sana kiasi cha kukata tamaa?
Inawezekana kabisa wewe sio mgumba, hujapata tu vipimo, ushauri na tiba sahihi. Utabeba mimba mama, nione.
Tatuhealthsolution mkombozi wa changamoto zote za afya ya uzazi, karibu upate huduma za uhakika.
31/01/2025
Furaha imepatikana kwenye ndoa
Upendo umetamalaki kwenye nyumba 🏡
Mama mkwe na mawifi gubu limeisha
Je unajua kwa nini hupati ujauzito? umeshafanya vipimo wewe na mwenza wako kujua tatizo lipo kwa nani na ni tatizo la gani ili muweze pata tiba sahihi?
Mama na baba hivi mnajua kutopatikana kwa ujauzito kunaweza sababishwa na baba au mama kutokana na changamoto alizonazo?
Je mnajua kuwa sio mama tu ndiye anayeweza sababisha kutopatikana kwa mimba?
Tatuhealthsolution mkombozi wa changamoto zote za afya ya uzazi karibu upate huduma sahihi na ya uhakika na kwa uwezo wake Mungu mimba itapatikana.
WhatsApp 0672342933 kwa ushauri, elimu zaidi na tiba sahihi.
31/01/2025
Yani siwezi elezea furaha ninayoipata pale mama anaponipa mrejesho wa kuwa amebeba mimba, uwa nafurahi sana na kuona nimemtendea haki nilipokubali kuanza kumtibia tatizo lake na nafurahi zaidi ninapoona Mungu yu pamoja nami.
Mama amebeba mimba baada ya kuteseka na PID kwa muda mrefu sana, nakumbuka alipokuja kwangu aliniambia mama mimi nina PID sugu yani imeshindikana maana k**a strong antibiotics mfano powercef nimeshacha zaid ya 20 lakini PID inaniangalia tu.
Nikamuhoji na kumshauri kupata vipimo ili tujue chanzo cha tatizo na kuanza tiba. Leo tunafurahi sote, mama kijacho mpya mjini. "A new mama kijacho in town ". Glory to God.
Tatuhealthsolution mkombozi wa changamoto zote za afya ya uzazi kwa kina mama, karibu upate huduma sahihi na ya uhakika.
WhatsApp 0672342933.
31/01/2025
Glory be to God. Hatimaye mama amebeba mimba, hii ni baada ya kuhangaika sana takribani miaka kumi bila kubeba mimba.
Hatimaye amekutana na tatuhealthsolution amebarikiwa amebeba mimba tena ndani ya muda mfupi sana.
Unajua kuelewa chanzo cha tatizo ni hatua ya kwanza katika kutafuta suluhisho la tatizo. Tatuhealthsolution tunatafuta chanzo cha tatizo kwanza ili tuweze kuondoa tatizo kabisa.
Je umekaa kwenye ndoa kwa muda mrefu bila kubeba mimba?
Je mawifi na mama mkwe wanakufuru Mungu na kukusimanga kwa kutokubeba mimba? Eti unajaza choo tu, huna faida kwao?
Je mume mapenzi yamepungua kisa hupati ujauzito?
Hivi unajua kuwa wewe sio mgumba? Ni vile tu bado hujajua chanzo cha tatizo lako ni nini na bado hujapata tiba sahihi kwako.
Nione, tatuhealthsolution mkombozi wa changamoto zote za afya ya uzazi kwa kina mama, kwa uwezo wake Mungu utabeba mimba. Sema Amiin.
06/01/2025
Tatuhealthsolution ni account iliyojikita katika kuondoa changamoto zote za afya ya uzazi kwa wanawake na
wanaume.
Kwa wanawake anashughulika
na👇
*PID ( pelvic inflammatory disease) maambukizi
katika via vya uzazi vya mwanamke*
*Homoni kuvurugika*
*Mirija ya uzazi kuvimba na kuziba* kwa kuwa na
uchafu, usaha, damu na maji machafu
*Endometriosis*
*UTI sugu na fangasi sugu*
"Magonjwa ya zinaa"
"Masundosundo*( ge***al warts)
"Mimba kutoka"
*Kutoshika mimba*
"Kukosa period*
*Kuoverbleed*
*Kunuka uchi
"Kutoa uchafu ukeni*
*Kuwashwa*
*Kukosa hamu ya tendo la ndoa*
*Uvimbe*( fibroids na ovarian cysts )
Kwa wanaume anashughulika na
Uti na fangasi sugu*
*Magonjwa ya zinaa
*Masundosundo* ( ge***al warts)
*Low s***m count*
*Premature ej*******on*
"Kukosa hamu ya tendo la ndoa"
Shuhuda ni nyingi sana, karibu nikuhudumie k**a una changamoto ya uzazi. Endelea kufuatilia account hii kwa elimu, ushauri na msaada zaidi.
Tatuhealthsolution ni mkombozi wa changamoto zote za afya ya uzazi kwa kina mama na kina baba
06/01/2025
Nieleze nini kinakukumba kutoka kwenye hii orodha
👉unajisikia unanuka ukeni
👉unatoa harufu sehemu zako za siri
👉unatoa majimaji ukeni
👉majimaji yanayotoka yananuka
👉ukikaa na mtu unahisi unanuka sana
👉ukeni kuna vidonda
👉ukeni kuna vinyama vimeota
👉uke haujatulia unatoa uchafu wa rangi ya maziwa, uchafu wenye rangi ya cream, uchafu wenye ya kijani au uchafu wenye rangi ya ugoro.
👉unawashwa ukeni sana
👉unajikuna ??
👉hauwezi kukaa na watu unaogopa kunuka
👉sehemu za siri zimekuwa tobo ??
👉mume wako analalamika kila akikuingilia uume
wake unaenda na kupitiliza yaani ukeni kukubwa
👉ukiingiliwa unapiga kelele ni maumivu makali
👉mwanaume akikuingilia anakutana na uchafu
kweye uume wake
👉una maumivu chini ya kitovuni makali sana sana
👉nyonga zinauma sana
👉kiuno na mgongo vinauma sana
👉kichefuchefu na kutapika
👉kichwa na kizunguzungu kikali?
Hizo zote ni dalili za maambukizi kwenye via vya uzazi yani Pelvic Inflammatory Disease (PID).
Naweza kukusaidia kuondoa tatizo ndani ya muda mfupi, nione.
Tatuhealthsolution mkombozi wa changamoto zote za afya ya uzazi kwa kina mama na kina baba.
06/01/2025
Tunaendelea na somo la leo la uke mkavu.
Ukiona uke unakuwa mkavu basi jua aidha una maambukizi kwenye via vya uzazi au una tatizo la homoni kutokuwa na uwiano ulio sawa (hormonal imbalance.
Ili kupata ute wa uzazi na lubricant kwenye uke ondoa maambukizi na balance homoni zako
Endelea kufuatilia account hii kwa elimu, ushauri na msaada zaidi.
Tatuhealthsolution mkombozi wa kweli wa changamoto za afya ya uzazi kwa kina mama na kina baba. K**a una changamoto nione upate msaada,
05/01/2025
Ukeni kwa mwanamke kuna bacteria wanaolinda uke ili usishambuliwe ndio maana uke unakuwa na harufu nzuri.
Mama ukiona uke unatoa harufu isiyoeleweka jua tayari umeshashambuliwa na bacteria wabaya hivyo unahitajika kuchukua hatua haraka sana ili maambukizi yasiende ndani zaidi ya via vyako vya uzazi na kuleta madhara zaidi.
Endelea kufuatilia account hii kwa elimu zaidi, ushauri na msaada wa haraka na uhakika.
Tatuhealthsolution mkombozi wa changamoto zote za afya ya uzazi.
Ukiwa na changamoto yoyote ya afya ya uzazi nione upate suluhisho la kudumu
05/01/2025
Siku 4 tu changamoto imeondoka, inawezekana kabisa kuondoa changamoto zote za afya ya uzazi kwa kina mama ni swala la kuamini tu na kuchukua hatua.
Tatuhealthsolution mkombozi wa changamoto zote za afya ya uzazi kwa kina mama.
Ukiwa na changamoto nione
05/01/2025
Ukipata elimu sahihi ya afya ya uzazi, changamoto zote zitaondoka ata k**a ulishahangaika sana na kukata tamaa.
tatuhealthsolution mkombozi wa changamoto zote za afya ya uzazi kwa kina mama.
Endelea kufuatilia account hii kwa elimu, ushauri na msaada zaidi.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
