AFYA YAKO

AFYA YAKO

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA YAKO, Health/Beauty, Dar es Salaam.

19/08/2022

*ONDOA CHANGAMOTO YA MIGUU KUWAKA MOTO, GANZI NA KUVIMBA MIGUU KWA NJIA HII SALAMA.*

*UTANGULIZI:*

Miguu kuwaka moto ni changamoto inayotokea endapo katika mwili wa binadamu kutakuwa na matatizo k**a kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili yani za miguuni hivyo kupoteza uwezo wa utendaji kazi wa neva miguuni, sababu zingine ni k**a kutokuwa na mzunguko mzuri wa damu, kuwa na sumu nyingi mwilini, uzito mkubwa au mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.

*Changamoto hii huwa na dalili nyingi zikiwemo:*
- Kuhisi ganzi.
- kuhisi kuchomwa na kitu chenye ncha Kali miguuni,
- kuhisi miguu inawaka moto na majimaji kwa ndani,
- joto Kali miguuni,
- kuhisi k**a unaungua miguuni,kushindwa kushika au kubeba vitu na maumivu makali.

*Vitu/ mambo yanayoweza kupelekea mtu miguu yake kuwaka moto:*

•Uzito mkubwa wa mwili: (hii husababisha uti wa mgongo kukaa tofauti na unavyostahili hivyo baadhi ya neva kukandamizwa na uzito wa mwili au misuli hivyo kusababisha miguu kupata maumivu na kufa ganzi.

• Matumizi ya baadhi za dawa zenye kemikali kwa muda mrefu au mara kwa mara mfano dawa za TB, HIV nk.

• Upungufu wa virutubusho mwilini hasa mkusanyiko wa Vitamini B

• Magonjwa ya sukari na Shinikizo la damu , magoti , mzio na fangasi.

• Matatizo ya moyo.

• Matatizo katika mishipa ya damu.

• Ulevi wa kupindukia kwa muda mrefu.

*Jinsi ya kuepuka ugonjwa wa miguu kuwaka moto.*

• Kuwa na uzito unaoenda na na kimoja chako
• Fanya mazoezi ya mwili
• Kula chakula kinachokupatia virutubisho mwili hasa VITAMINI B.
• Ondoa sumu au kemikali mara kwa mara mwilini.
• Kula vyakula vyenye mkusanyiko wa vitamini B za kutosha
• Fanya mazoezi ya mwili k**a kukimbia, Kutembea n.k pia kufanya massaging
• Punguza uzito uliopitiliza.
• Tibu maradhi ya sukari hakikisha sukari ipo sawa
• Ondoa sumu kali mwilini mara kwa mara
• Chua miguu yaki kwa vitu vinavyopunguza maumivu ,vinavyosaidia mzunguko wa damu kuwa Vizuri.

*TIBA LISHE & VIRUTUBISHO.*

Kwa wewe ambae unasumbuliwa na changamoto hii kwa muda mrefu na bado haujapata suluhisho lake, basi habari njema kwako ni kwamba,

*Zipo tibalishe za Mfumo wa Vidonge, Maji, Unga na tubes za kupaka.*
Hizi zinakusaidia kuondoa changamoto hii kuanzia ndani mpaka nje.
Itaondoa chanzo cha tatizo mpaka tatizo lenyewe.

• K**a changamoto yako, inachangiwa na kuwa na mzunguko mbaya wa Damu basi utapewa programu ya kupunguza uzito kwanza.
Then, utaendelea na programu nyingine za kumaliza changamoto yako.

*KARIBU SANA UPATE SULUHISHO KAMILI.*

26/07/2022

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE

Tuma ujumbe neno BABA RIJALI kwenda whatsapp namba +255682368294 au piga simu usaidiwe mapema

26/07/2022

Kila baada ya kumaliza, alipatwa na hasira kwa kuwa alipohitaji zaidi sikuwa na uwezo wa kuendelea.

Nilipatwa na msongo mkubwa sana hasa pale zikinijia fikra za kusalitiwa kwani ni ukweli usio na shaka kabisa kuwa sikuwa namtosheleza.

Mwanzoni alinivumilia lakini ilifikia kipindi saikolojia yake iliharibika na tendo halali kabisa la ndoa lilikuwa kero kubwa kwake kwani ilifikia wakati nikihitaji hataki kwakuwa alijua sitofanya chochote zaidi ya kumchafua tu.

Niliumia zaidi pale alipoanza kuniita "Mr Five seconds"

Natambua kuniita hivo hakuwa anafanya utani bali alikuwa anafikisha ujumbe kuwa haridhiki,

Utamsikia anasema, "Mr Five Seconds, Unataka kunipaka shombo?"

Basi hadi hamu yote inaniisha.

Kiukweli niliteseka sana.

Mchezo wa kujichua wakati nipo shule ndio uliosababisha yote hayo

Sikujua kuwa kufanya vile nilikuwa najiandalia madhila makubwa baadae.

Tatizo langu kubwa lilikuwa ni kuwahi kumaliza kabla safari haijafika mwisho.

Nikiupanda tu mnazi dakika mbili nyingi, Chali.

Hali ilizidi kuwa tete baada ya kufika hatua ya kushindwa kusafiri hata kwa dakika moja tu.
Nikaanza kuona dalili zote za ndoa kuvunjika,

Ukifika muda wa kulala akawa anachukua rimoti ananiambia "tangulia kuna tamthilia naifuatilia".

Sikuwa na jinsi, nilianza kujaribu kila kitu nitachosikia kinasaidia kutibu tatizo hili.
Kwa kujaribu jaribu huku nilijikuta natumia pesa nyingi bila mafanikio.

Siku moja wakati naperuzi nili kutana na BABA RIJALI AKINIONESHA NJIA SAHIHI NI IPI YA KUONDOA HII TATIZO

Sasahivi Baada ya kumaliza nikimgeukia, huniangalia kwa tabasamu nami kwa kujiamini kabisa huwa namuuliza,

vipi unataka tena?
Hakuna anachojibu zaidi ya tabasamu lililojaa bashasha.
Ndoa imeimarika, kazi nafanya vizuri na kujiamini kumezidi kwa kuwa sasa nimekuwa Mwanaume kamili.

Tatizo kubwa tunalopata wengi tuliowahi kujichua ni Kulegea kwa misuli ya mlingoti jambo ambalo husababisha tuwahi kumaliza safari.
tuma neno BABA RIJALI kwenda Whatsapp 0682368294 see

14/07/2022

KUTOKANA NA CHANGAMOTO YA MAISHA NA MFUMO MZIMA WA ULAJI WATU WENGI WANAKUMBWA NA TATITO LA KUTOFURAHIA TENDO LA NDOA NA KUTO MUDU KUFANYA VYEMA TENDO*.
*MULT-MACA - ni mchanganyiko kati ya mmea wa maca na mimea mingine asilia. *"MACA" ni mmea Uliogundulika Miaka 2000 iliyopita nchini *"PERU"* na mizizi yake ilikua ikitumika k**a chakula kikuu kwa mashujaa wa *INCAN* kabla ya kwenda vitani ili kuwapa nguvu, stamina na kuondoa wasi wasi.

Mmea unaushuhuda mwingi ambapo wanawake nchini PERU wamekuwa wakiutumia kuweka body shape nzur na yenye mvuto pia kuleta ute mzito unaofaa wakat wa tendo la ndoa pia kuleta nguvu na hamu kubwa lakini pia kuimarisha muscles na ukuaji wa mifupa.

*FAIDA ZA KUTUMIA MULT-MACCA*
1. Huongeza hamu ya tendo la ndoa kwa kina mama na kina baba kwa asilimia zaidi ya 180 kwani,Huongeza Nguvu na Stamina

2. Inasaidia kuondoa depression (msongo wa Mawazo).

3. Inasaidia kuondoa madhara ya kukoma hedhi - menopause(homoni na kusikia joto kali hot flashes).

4.Inarutubisha mayai kwa mwanamke na Inaongeza idadi ya mbegu za kiume kwa asilimia 200,na uwezo wa mbegu kuogelea vizurii kulifikia yai.

6.Inabalance kiwango cha chuma Kwenye damu, ambacho husaidia utengenezaji wa damu na kuboresha mzunguko wake.

7.Inasaidia kupromote matumizi ya glucose kwenye damu na kubadili mafuta kuwa nguvu.

Nb:
*BIDHAA HII NI VIRUTUBISHO NA SIYO DAWA AMBAVYO VITAKUSAIDIA ,KULIKO KUTUMIA DAWA KALI ZENYE MAKEMIKALI HATARISHI.*

Call
WhatsApp
+255682368294

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam