AFYA updates

AFYA updates

Share

𝐀𝐟𝐲𝐚 | 𝐋𝐢𝐬𝐡𝐞 | 𝐌𝐚𝐳𝐨𝐞𝐳𝐢 | 𝐔𝐬𝐡𝐚𝐮𝐫𝐢 | 𝐔𝐳azi we are supplier of health and wellness product which are natural and organic

17/03/2023

Inabidi Ufahamu kwamba Kuna Umuhimu Mkubwa Sana Katika Kuzingatia Ufanyaji wa Mazoezi Ya Viungo.

Bila kujishughulisha na mazoezi ya viungo kila siku itakuwa ni vigumu sana kwako kupona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Kutengeneza mwili na kupunguza uzito isiwe ndiyo sababu pekee ya kwenda gym.

K**a unahitaji nguvu za kiume na uume wenye afya, unahitaji kujishughulisha na mazoezi ya viungo mara kwa mara ili kusafisha mishipa ya damu na hivyo kuongeza kiasi cha utiririkaji wa damu kwenda kwenye uume.

K**a uzito wako upo juu sana na ni mnene fanya mazoezi ya kukimbia (jogging) kila siku kwa mwezi mmoja mpaka miwili.

K**a uzito wako upo sahihi tu kwa mjibu wa urefu wako fanya sana mazoezi ya kuchuchumaa na kusimama.

Zingatia sana umhimu wa mazoezi ya viungo.

Bila kujishughulisha na mazoezi ya viungo kila siku itakuwa ni vigumu sana kwako kupona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Kutengeneza mishipa na kupunguza uzito isiwe ndiyo sababu pekee ya kwenda gym. K**a unahitaji nguvu za kiume na uume wenye afya, unahitaji kujishughulisha na mazoezi ya viungo mara kwa mara ili kusafisha mishipa ya damu na hivyo kuongeza kiasi cha utiririkaji wa damu kwenda kwenye uume.

Kutembea kwa miguu Kutembea ni moja ya zoezi zuri kabisa unaweza kufanya na ambalo mtu mwingine yeyote anaweza kufanya pia.

Ni zoezi unaweza kufanya mahali popote, wakati wowote na haligharimu chochote. Sehemu nzuri kutembea ni nje au uwanjani au karibu na msitu ambako unaweza kupata hewa safi ya asili ya kutosha.

Unaweza kufanya ndiyo zoezi lako la kwanza asubuhi au jioni vilevile mchana wakati wa jua kali ni muda mzuri kufanya zoezi hili au wakati mwingine wowote utakapojisikia kufanya basi fanya kuliko kuleta visingizio.

K**a una lengo la kupunguza pia uzito basi tembea mwendokasi kidogo dakika 60 bila kusimama mara moja mpaka mbili kila siku. Huhitaji kusema nitoke hapa mpaka pale, unahitaji uwe na saa mkononi kukuonyesha kwamba kweli dakika 60 zimeisha ukitembea pasipo kusimama.

Kwa ushauli, Elimu, Miongozo, Suluhisho sahihi kwa upande wa afya ya uzazi tupigie sasa hivi au tuma ujumbe whatsapp andika "NGUVUKAMIRI"

USISITE KUTUTAFUTA 👇🏽

☎️ 0627906266 follow

AFYA YA UZAZI | NGUVU ZA KIUME on Instagram: "Ukifuata maelekezo yangu matokeo ni lazima yaonekane sisi ndio wataalamu wa hizi kazi kwa miaka mingi tumekuwa tukiwasaidia wanaume wenye changamoto mbali mbali za afya ya uzazi karibu nawe ili ukawe... 12/03/2023

AFYA YA UZAZI | NGUVU ZA KIUME on Instagram: "Ukifuata maelekezo yangu matokeo ni lazima yaonekane sisi ndio wataalamu wa hizi kazi kwa miaka mingi tumekuwa tukiwasaidia wanaume wenye changamoto mbali mbali za afya ya uzazi karibu nawe ili ukawe... 3 Likes, 0 Comments - AFYA YA UZAZI | NGUVU ZA KIUME () on Instagram: "Ukifuata maelekezo yangu matokeo ni lazima yaonekane sisi ndio wataalamu wa hizi kazi kwa miaka m..."

12/03/2023

hayo.magonjwa

10/03/2023

SABABU ZINAZO PELEKEA KUWA NA KITAMBI

Sababu kubwa ya kitambi ni kukosekana ulingano wa nguvu(kalori) katika mwili wa mwanadamu, hali inayo sababishwa na mtu kula vyakula vinavyotia nguvu sana kuliko jinsi anavyoweza kutumia na kutoa k**a taka mwili.

Vyakula vinavyochangia kuleta kitambi ni pamoja na :

i. Vyakula vyenye mafuta mengi k**a vile nyama nyekundu (iwe ni ya kuchemsha, kukaanga au kuchoma), nyama ya kuku wa kizungu ( iwe ya kuchemsha, kukaanga ama kuchoma ), mafuta ya kupikia, (hasa yale yatokanayo na bidhaa za wanyama, k**a siagi, na jibini), viazi ya kukaanga kwa mafuta (chips) pamoja na pizza.

ii. Vyakula vyenye wanga mwingi k**a vile ugali wa mahindi, mihogo, wali na mkate mweupe.

iii. Vyakula na vinywaji vyenye sukari nyingi iliyo ongezwa
k**a vile soda na keki.

iv. Vyakula vilivyo tengenezwa kwa ngano na sukari k**a vile keki, skonzi, chapati, maandazi, mkate mweupe nk

v. Pamoja na vinywaji vilivyo tengenezwa kwa kutumia ngano k**a vile bia za aina mbalimbali na nk.

vi.Sababu nyingine ni kutofanya mazoezi ya mwili na viungo kwa muda mrefu

Vyakula vilivyo tajwa hapo juu, vikitumiwa bila kuzingatia kanuni za mlo kamili, huchangia kuleta tatizo la kitambi.

Karibu tukuhudumie ,kwani tuna program maalum ambayo itakusaidia kusafisha tumbo , (yaani kuondoa mafuta na takataka zisizofaa ndani ya mwili wako ambazo zimeenda kutengeneza mafuta mengi ambayo yanapelekea magonjwa tajwa hapo juu).

Program zetu zinahusisha virutubisho maalumu ambavyo hutumia ndani ya siku kadhaa na utaona utofauti mkubwa.

Program hii ni muhimu sana kwa watu wa rika zote hasa katika kuimarisha kinga ya mwili na kuongeza vitamini mwilini. Matokeo yanaweza kutofautiana.CALL/WHATSAPP 0627906266

02/03/2023

Habari za asubuhi Natumaini Unaendelea vizuri kabisa, leo tu nikumbushe tena kuhusu matumizi ya Sukari na afya zetu;

Imekuwa Tabia ya Kawaida Kwa Wanaume Wengi kujihusisha na utumiaji wa Vyakula vyenye sukari kupita kiasi ikiwemo cake, soda,🍫🍷🍺🍻🥂🧁🎂🍭🍬🍪🍩🍯🥮🍧🍨🥧🍰🍡🥠 pombe, p**i, ice cream, chai yenye sukari, visheti, kalmati, vitumbua, nk.

Najua umewahi kusikia kuwa insulin inafanya kazi ya kurekebisha sukari yako kwenye mwili, ni kweli kabisa nakubaliana na hilo. Lakini pengine hujawahi kupata dondoo ni kwa kiasi gani homoni hii ina mchango mkubwa kwenye swala la s*x. Hebu tutazame sasa ni kivipi ili upate ufahamu.

Pale sukari inapokuwa nyingi zaidi kwenye damu, kongosho humwaga insulin kwenye damu ili kurekebisha kiwango kile cha sukari. Sukari nyingi hubadilishwa na kuhifadhiwa k**a mafuta kwenye seli za kuhifadhi mafuta mwilini.

Mafuta haya Huwa ni Bad Cholesterol ambayo yanaenda kuziba kwenye mishipa ya damu kwenye mwili wako hivyo kuzuia damu isiingie Kwa Kasi kwenye Uume. Na ndio maana Changamoto ya kuwa na Uume mlegevu haiishi.🥹

Pia Kadiri insulin inavomwagwa zaidi kwenye damu itafikia mahali mwili hausikii uwepo wa insulin kitaalamu tunaita Insulin resistence, na ndipo mtu ananza kuugua kisukari. Insulini inapokuwa nyingi kwenye damu basi utolewaji wa testosterone (hormone ya Kiume) hushuka na ndio hupelekea mwanaume kushindwa kuhimili tendo la ndoa kabisa. Hivyo kukosa hamu ya tendo na kuwahi kufika kileleni.

Je; unahisi bado kuna changamoto gani unayo kwenye afya yako sasahivi na lipi lengo lako kuhusu kuwa na afya bora na endelevu?
KARIBU TUKUHUDUMIE
TUMA NENO "AFYA" KWENDA WhatsApp namba

+255 627 906 266

02/03/2023

PIGA SIMU/WHATSAPP 0627906266
Kwa msaada wa haraka zaidi

27/02/2023

Mwanamke akilizishwa katika tendo utaona tuu ishara za kuhitaji kufanya tena kutokana na ile raha kudumu katika kichwa chake na kuhitaji kufanya tendo kwa mara nyingine tena

Hakikisha unamfanya aridhike katika tendo na k**a unapitia changamoto yoyote basi ndio suluhisho lako karibu tukuhudumie kwa kukupatia ushauri na tiba kwa kutumia virutubisho ndani ya siku 7-30

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
72413