NEEMA AFYA YAKO
Karibu Neema Afya Yako.
Mahali pekee pa suluhisho la changamoto za kiafya kwa tiba Lishe katika mfumo wa vidonge.Tiba zetu ni kwa changamoto za jinsia zote na rika zote zenye unafuu na uhakika wa kutatua changamoto yako ya kiafya.
06/06/2022
*SEMINA SEMINA SEMINA SEMINA SEMINA* *SEMINA AMBAYO HAIJAWAHI KUTOKEA* *TAREHE 25/06/2022 SAA 6:00PM HADI 10:00 JIONI, NI SEMINA KUBWA SANA ITAKAYOFANYIKA MILLENIUM TOWER DAR ES SALAAM* *SEMINA ITAHUSU:-* #.Afya pamoja na *ZAWADI ZITATOLEWA KWA:-* 👉Watakaohudhuria na kushiriki vizuri kwenye Semina. 👉Watakaoalika watu wengi kufika kwenye Semina. *HII SIYO YA KUKOSA KWA WEWE MKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM NA WEWE ULIE NJE YA DAR ES SALAAM UNAWEZA ALIKA WATU KUFIKA KATIKA SEMINA HIYO NA WATAPOKELEWA VIZURI*
Cont: 0789481910
05/06/2022
*FEMICARE KIPENZI CHA WANAWAKE*
Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminika
Unasafishia ukeni usiku mara Moja
*KAZI ZAKE*
👉Hutibu UTI sugu
👉Hutibu Fangasi sugu
👉Inaondoa Miwasho ukeni
👉Inaondoa Harufu mbaya ukeni
👉inaondoa Uchafu unatoka ukeni
👉inasafisha na kuzibua milija ya uzazi
👉inakurinda usipate UTI na Fangasi
👉inaufanya uke unakuwa msafi na kuvutia muda wote
👉inaongeza joto la uke
👉inabana Kuta za uke zilizo legea
👉inapunguza Maumivu makali wakati wa Hedhi
👉inarudisha ute ute ukeni
👉inatibu PID ikitumika na refined, Refined ni ya vidonde unameza
Kwa maelekezo zaidi namna ya Kuipata karibu inbox au piga: 0789481910
12/05/2022
*NMN NI KAHAWA ISIYO NA SUKARI YA LATTER.*
*1️⃣.Mchanganyiko ulio changanywa wa poda ya kahawa ya papo hapo na NMN.*
*2️⃣.Inatoa radha bora zaidi huku ikiongeza kiwango cha NAD+ kwenye Mwili wako.*
*3️⃣. Inaboresha Metabolism ya Nishati na shughuli za Mwili*
*4️⃣.NMN inakandamiza Ongezeko la uzito linalohusiana na Umri*
*5️⃣.Nzuri kwa Ugonjwa wa Kisukari, Pressure na kuzalisha Insulin Mwilini.*
*6️⃣.Inaboresha kazi ya Macho*
*7️⃣.Inazuia Magonjwa ya Moyo*
09/05/2022
YOUTH EVER*
Youth Ever Ni nini??
➖ Ni mchanganyiko wa virutubisho vyenye Antioxidant na Anti-aging.
?️NMN
?️RESVERATROL
?️Grape seed extract, Acai berry Extract Belberry, Extract na Oliver leaf extract
➖ Mchanganyiko wa RESVERATROL na NMN unairudisha umri nyuma kwa kuunda upya speed ya NAD+ Ambayo inazuia magonjwa yanayoletwa na uzee?????
?️Sukari.
?️Kusahau.
?️Kuangamiza Cells za Saratani.
?️Kuboresha Afya ya Moyo.
*YouthEver* pia inasaidia sana
1️⃣: Kukinzana na Uzee
2️⃣: Kukinzana na saratani
3️⃣: Kutengeneza DNA
4️⃣: Ni nzuri Sana kupambana na Matatizo ya Wanawake ,Ngozi, Uzazi kuboresha Mishipa ya damu na misuli
5️⃣: Huyifanya Ngozi kuwa nyororo na yenye unyevu unyevu
Piga/WhatsApp
➖ Mchanganyiko huo huo inaondoa MIKUNJO ya NGOZI na kurudisha NGOZI katika hali ya UJANA yenye MVUTO zaidi.
➖ Antioxidant inaondoa SUMU MWILINI na kutupatia Mwili nguvu UPYA na KINGA dhidi ya Magonjwa ya UZEE.
Wasiliana nasi kwa ushauri wa kiafya
08/05/2022
DermaEver imetengenezwa takriban na mimea asili 7 isiyo na kemikali na ni chakula Kwa ngozi. Mimea hiyo inaifanya DERM EVER kuwa mafuta Bora ya mwili na uso na kukupa faida zifuatazo👇🏾👇🏾 🍒Inaongezwa unyevu kwenye ngozi, Kwa asilimia 53% 🍒Inarudisha uwezo wa ngozi kutanuka na Kusinyaa Hivyo huondoa makunyanzi kwenye ngozi. 🍒inaleta mng'ao wa ngozi Inamfanya mtumiaji kuwa na ngozi yenye rangi Moja mwili mzima. 🍒inasaidia kuondoa uchakavu wa ngozi kwa watu wote. 🍒inasaidia ngozi kujilinda na kujitibu na magonjwa ya ngozi, k**a vile mabalango. 🍒huondoa cell zilizokufa kwenye ngozi na kuchochea uzalishaji wa cell mpya kwenye ngozi. 🍒inarekebisha ngozi iloungua na cream zenye kemikali..
14/04/2022
*FAIDA ZA PURE AND BROKEN*
Kiini Cha Uyoga Mwekundu ♥️♥️♥️💯✅
Baadhi za kazi zake ni zifuatazo👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
OFFER OFFER OFFER PASAKA HII!!
⏺ Hupandisha CD4 mwilini
⏺ Huongeza Kinga mwilini
⏺ Ni nzuri kwa walio ugua mda mrefu
⏺ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
⏺ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
⏺ Ni nzuri kwa waathilika wa VVU
⏺ Huongeza nguvu Mwilini
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
⏺ Huondoa Sumu mwilini
⏺ Huondoa uvimbe mwilini
⏺ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
⏺ Huondoa Maumivu makali wakati wa hedhi
⏺ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini
⏺ Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu
⏺ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
⏺ Huimarisha macho
⏺ Huongeza nguvu za kiume
⏺ Huondoa vimelea vya Saratani
⏺ Huimarisha ngozi yako
⏺ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
⏺ Hutibu Ugumba
⏺ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
⏺ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo na kwa jinsia husika
⏺ Hujenga Kinga ya mwili dhidi ya magojwa mbalimbali
Uyoga mwekundu unakazi nyingi Sana kuziorodhesha zote hatutaweza kuzisoma zote
Kwa ubora wa afya na Kinga ya mwili tumia Uyoga mwekundu mara moja hata kwa miezi mitatu wewe Mwili wako utakuwa imara hii ni dawa iliyotengenezwa kwa ubora mkubwa zaidi na inakazi Kubwa kuliko vile tunavyoiona
Angalia kidogo hapa 👇
Pure ikiisha katika kuitengeneza mabaki ya Uyoga mwekundu ndo hutengenenezea baadhi ya dawa nyingine tena ndio maana huitwa *pure*
Unakosaje kuitumia pure K**a unauwezo nayo?
Uwe unaumwa au huumwi pure ni kitu sahihi na Ni mhimu kwako kuitumia.
07/04/2022
Kuna wanawake wanapata sana maumivu makali wakati wa hedhi.
*Hakuna haja ya kuendelea kuteseka wakati suluhisho lipo ndani ya siku 28 tu matatizo yote yanakwisha na hayatajirudia tena.
-Tumia package ya ZACO kuondoa changamoto ya maumivu wakati wa hedhi.
FAIDA ZA ZACO PACKAGE.
1⃣ hutibu fibroids (uvimbe kwenye kizazi bila UPASUAJI)Kurudisha hamu ya tendo la ndoa na kuwasaidia walo athirika na kujichua kwa wanawake.
2⃣ Hupandisha na kuimarisha kinga za mwili hivyo kuwa msaada kwa wote wajaliao afya zao na kinga zao na hata wenye kinga dhaifu
3️⃣ Husaidia sana wagonjwa wenye kansa au wale walio kwenye tiba ya mionzi au dawa za kansa
4️⃣ Husaidia wanawake wenye tatizo la hormone imbalance wenye matatizo ya p.i.d na kurekebisha hedhi zao na kuondoa kabisa maumivu ya tumbo la hedhi
5️⃣ Inasaidia na kutibu kabisa HPV Human papiloma virus ni UGONJWA mbaya sana na unawasumbua sana wanawake huwa k**a visunzua vinavyoota ukeni
INAPATATIKANA.
Dose nzima kwa siku 30.
Cont: 0789481910
06/04/2022
NMN
♦️ Hukinga na kuzuia kisukari
♦️ Kuvunja vunja sukari iliyozidi mwilini
♦️ Huyeyusha Mafuta yaliyozidi mwilini na kuondoka nyama uzembe
♦️ Hupambana na uzee(ant aging)
♦️ Hutengeneza/Kusaidia DNA zilizoharibika na kuzifanya mpya na kusaidia
•kuondoa makunyanzi
•Huponya Ngozi iliyoungua na vipodozi vikali •inakupa Muonekano mzuri
♦️ Inaongeza uwezo wa vinasaba(genes)kufanya kazi mwilini kwa muda mrefu na kurefusha maisha
♦️ Huzuia na kuponya Saratani
♦️ Huzuia na kuponya ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu ♦️ Huzuia stroke(kiharusi) ,paralysis(kupooza) na pressure.
Matumizi: 2 mara1kila siku
+255789481910
06/04/2022
Je anasumbuliwa na tatizo la uvimbe kwenye kizazi?
Hakuna haja ya kuendelea kuteseka na vimbe na kufanyiwa upasuaji. Suluhisho ni siku 56 tu tatizo linakwisha bila upasuaji.
Tumia suluhisho kwa ajili ya vimbe zote..(Refined),
Ni dawa za asili Inayotokana Viambata Asilia(Natural Ingredients) Katika Kutatua Changamoto Mbalimbali Za Uvimbe , kwa Mfumo Wa Uzazi Kwa Wanawake na Kinga Ya Mwili.
1⃣ Hutibu fibroids (uvimbe kwenye kizazi bila UPASUAJI) Na kusaidia kuzibua mirija ya Uzazi Inayosababisha kushindwa Kubeba Ujauzito
2⃣ Hupandisha na kuimarisha kinga za mwili hivyo kuwa msaada kwa wote wajaliao afya zao na kinga zao na hata wenye kinga dhaifu
3️⃣ Husaidia sana wagonjwa wenye kansa au wale walio kwenye tiba ya mionzi au dawa za kansa
4️⃣ Husaidia wanawake wenye tatizo la hormone imbalance wenye matatizo ya p.i.d na kurekebisha hedhi zao na kuondoa kabisa maumivu ya tumbo la hedhi pamoja na kuondoa uchafu mzito ukeni
5️⃣ Inasaidia na kutibu kabisa HPV Human papiloma virus ni UGONJWA mbaya sana na unawasumbua sana wanawake huwa k**a visunzua vinavyoota ukeni
6️⃣Inasaidia Kuweka Sawa Mzunguko Wa Hedhi,Ni Muhimu Sana Kwa Wale Ambao Siku Zao Haziendi Sawa,Yaani Tarehe Zinabadilika(Irregular Menstruation)
7️⃣Hutibu Na Kuondoa Kabisa Chango La Uzazi,Maumivu Makali Wakati Wa hedhi,Huondoa tatizo La Kupata Vichomi Chini Ya Kitovu Wakati wa Haja Ndogo,Kubwa Au Wakati Wa tendo La Ndoa
Hii ni Tibalishe yenye uwezo wa kuondoa uvimbe wa aina yoyote.
+255789481910
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Kimara Street
Dar Es Salaam
100
