Satoti_chuwa

Satoti_chuwa

Share

Afya yako ni mtaji wako

10/10/2024

Kampuni ya ukopeshaji mikopo ya OYA MICROCREDIT imesema imehuzunishwa sana na taarifa mbalimbali zinazohusu tukio la kusikitisha lililosababisha kifo cha Mfanyabiashara na Mkazi wa Mbagala Mlandizi, Kibaha Mkoani Pwani, Juma Mfaume (40) wakati Wafanyakazi wake walipokwenda kudai mkopo nyumbani kwake.

Taarifa rasmi ya Kampuni hiyo kwa Vyombo vya Habari imesema Kampuni hiyo inatoa pole zake za dhati kwa Familia ya Mfaume na kwa Jamii nzima katika hiki kipindi kigumu na kwamba inapenda kuweka wazi kwa Watanzania na Jamii kwa ujumla kuwa haijawahi kuidhinisha wala kutoa mafunzo kwa Wafanyakazi wake kutumia aina yoyote ya nguvu katika urejeshaji wa madeni

“Taratibu zetu ni za kisheria na zinazingatia maadili na tukio hili halioneshi maadili au taratibu zetu za kawaida za uendeshaji, OYA inashirikiana kikamilifu na Mamlaka katika uchunguzi wao na tutaendelea kuheshimu sheria na kudumisha uwazi katika mchakato huu mzima, taratibu zetu za urejeshaji wa madeni zinalenga kuwa za heshima na kufuata sheria na tunachukua hatua za haraka kupitia upya na kuimarisha michakato yetu ya ndani ili kuhakikisha kuwa tukio k**a hili halitokei tena” - OYA.

“Tunaendelea kujitolea kwa dhamira yetu ya kusaidia na kuwawezesha Watu wenye kipato cha chini, na tutaendelea kufanya kazi ili kudumisha imani ya Wateja wetu na jamii tunazozihudumia” - OYA.

Polisi Mkoa wa Pwani wamethibitisha kuwashikilia Wafanyakazi wanne wa Kampuni hiyo kwa tuhuma za mauaji ya Juma Said Mfaume (40) ikidaiwa kuwa walifika nyumbani kwake kwa lengo la kudai fedha za marejesho ya mkopo wa Mkewe ambapo baada ya Juma kuwaeleza kuwa Mkewe hayupo, walilazimisha kuingia ndani kwa nguvu ili wachukue vitu k**a dhamana huku wakimshambulia sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kutumia fimbo kitendo kilichosababisha Juma kuanguka na kupoteza fahamu na baadaye kufariki.

26/07/2024

26/07/2024 Ijumaa ya mwisho kwa mwezi huu, siku hii iwe ya Baraka Amani na Furaha kwako pamoja na familia yako 🙏

Kumbuka afya ni mtaji

+255755789070

Satoti_chuwa Afya yako ni mtaji wako

Photos from Satoti_chuwa's post 25/07/2024

Nina shauku kubwa ya kujua k**a utataka kurejesha muonekano wako mzuri wa awali.

Ni hivi karibuni tu nimegundua "P4Program", Hatua 4 za kupunguza uzito.

Je Itakuwa sawa kwako k**a nitakuunganisha na
Program hii yenye
hatua 4 za kupunguza uzito bila kuacha kula wala mazoezi magumu?

zifuatazo ni baadhi ya shuhuda za washiriki wa program hii.

Nipigie sasa hivi au nicheki Whatsapp Kwa maelezo zaidi
+255755789070

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


TABATA KIMANGA
Dar Es Salaam