MR USAFI
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from MR USAFI, Health/Beauty, Dar es salaam, Dar es Salaam.
Tunafanya usafi wa masofa ,masink yaliyofubaa,tunang'arisha masink ,tunatoa harufu mbaya kwenye choo chako ,tunafanya famigation kwenye majumba na mahotel,lodge , pia tuzibua mabomba ya bafunii na
26/06/2022
Uchafu ni nini???
Uchafu sugu ni hali ya uchafu ulio na mwonekano wa rangi na asili tofauti ambao haufanani na sink au kigae ambao hauwez kutoka kwa urahisii
Hii ni changamoto ambayo inawasumbua watu wengii sana sababu ya kutojulikana sababu zake ni zipi na njia na njia sahihi ya kufanya usafii ambayo itasaodia kupunguza changamoto hii na kuondoa kabisaa
Asilimia 95% ya watu hawajui njia ya kutatua changamoto hii zaidi ya kubadilisha miundombinu kitu ambacho hakina msaada hasa pale tatizo linapojirudia rudia kwa mara nyingine tena
Hii ni kutokana na kwamba elimu hii ya uchafu sugu huwez ukaipata mashuleni wala vyuonii leo hii imekuwa changamoto sana maana kila eneo unaloenda utakutananayo
Jaribu kutembelea vituo vya afya , mashuleni, vyuoni, mahotelini, lodge na hata nyumba za majiranii kwa kiasi kikubwa ukifananisha unagundua changamoto hii ya uchafu sugu katika masink na vigae iko kila sehemu
Unaweza kudhani wahusika wa sehemu hiyo niwachafu kutokana na mwonekano wa chooni na bafuni ulivyo na hali mbayaa
Changamoto za uchafu wa masink na tiles zinatatulika ila ni kwa kufata formula maalumu itakayoweza kukusaidia kutatua tatizo lako na kuondokana nalo kabisa
Kwa elimu zaidi ya uchafu sugu wa masink na tiles
Bafu kuziba kushindwa kupeleka majii
Kuondoa vumbii kwenye masofa
Jinsi ya kusafisha ukuta wenye rangii
Jinsi ya kusafisha vioo , fenicha za ndanii
Jinsi ya kutokomeza wadudu wasumbufu kwenye nyumba yako ,(fumigation) kwenye hoteli , mambweni, lodge, nyumbani, mashulenii nasehemu zingine
Ilikupata elimu hii bure kabisaa piga 0715823322. Au whatsapp 0715823322
Usafi ni afya
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 18:00 |
| Tuesday | 09:00 - 18:00 |
| Wednesday | 09:00 - 18:00 |
| Thursday | 09:00 - 18:00 |
| Friday | 09:00 - 18:00 |
| Saturday | 09:00 - 18:00 |
