MAMeC

MAMeC

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from MAMeC, Health/Beauty, Ilala, Mwanza/Moshi Street, Dar es Salaam.

07/01/2024

HUDUMA YA MATIBABU YA MATATIZO YA AFYA YA BINADAMU KWA KUTUMIA TIBA MBADALA ZA KISASA ZILIZOFANYIWA TAFITI KUTOKA INDIA.

Iwapo unasumbuliwa na Tatizo lolote la Afya ya Binadamu,Popote ulipo ndani na Nje ya Tanzania usisite kuwasiliana nasi Kwa number:

+255(0)682903050.

HATUA ZA KUPATA HUDUMA
1.kuongea Na Daktari.
2.Vipimo iwapo vitahitajika
3.Matibabu(Ushauri/Dawa/Upasuaji.....nk).

MAWASILIANO
+255(0) 0682903050

Photos from MAMeC's post 11/07/2023

CONFIDO
Ni dawa maalum Asilia (Natural) ambayo husaidia:-

11/07/2023

GOKSHURA

Ni Dawa maalum Asilia (Natural) ambayo husaidia kwenye Mambo yafuatayo:-

1.Kuongeza hamu ya kushiriki Tendo la ndoa.
2.Kuimarisha Usimamaji wa uume wakati wa tendo la ndoa.
3.Kukufanya Uwe na Stamina ya kufanya Tendo kwa muda mrefu na kuepuka tatizo la kuwahi kufika kileleni
4.Kukujengea uwezo wa kurudia Tendo la ndoa zaidi ya Maramoja.
5.Kuimarisha Misuli ya Uume na mwili kwa ujumla.

MAWASILIANO
+255(0) 623 677 706
+255(0) 682 90 30 50

11/07/2023

KAPIKACHU
Ni dawa Maalum asilia (Natural) Ambayo husaidia mambo yafuatayo:-

1.Kuchochea Uzalishaji wa mbegu za uzazi za kiume.
2.kuhakikisha ubora wa majimaji yanayobeba mbegu za uzazinza mwanaume.
3.Kongeza Idadi ya Mbegu za uzazi za mwanaume.
4.Kuongeza Speed ya Mbegu za Uzazi za mwanaume.

MAWASILIANO

0623 677 706
0682 90 30 50

06/07/2023

OPTHA CARE

Ni dawa asilia(Natural) ya matone kwa ajili ya kutibu matatizo ya Macho k**a:-

1.maambukizi ya macho (Infection).
2.Allergy ya macho.
3.Maumivu ya macho.

Watu wenye dalili zifuatazo wanaweza kunufaika na Dawa hii:-
1.Maumivu ya macho.
2.Macho kuwa mekundu.
3.Macho kuwasha.
4.Macho Kuvimba
5.Macho kuwa makavu
6.Macho kuogopa mwanga....nk

MAWASILIANO

+255(0) 623 677 706
+255(0) 682 90 30 50

Photos from MAMeC's post 06/07/2023

AYU SLIM

Ni Product maalum Asilia(Natural) kwa ajili ya kusaidia kupunguza Uzito wa mwili na Kuwa na Uzito stahiki.

AYU SLIM

1.Hupunguza Mafuta Mwilini
2.Huchochea uzalishwaji wa Insulin na hivyo kusaidia kucontrol sukari.
3.Hupunguza hamu ya kula hovyo hovyo vyakula vyenye sukari.
4.Hisaidia Kushiba haraka.
5.Husaidia mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

MAWASILIANO

+255(0) 623 677 706
+255(0) 682 90 30 50

06/07/2023

LUKOL

Ni dawa maalum asilia(Natural) iliyo katika mfumo wa vidonge kwa ajili ya matatizo yafuatayo:-

1.Maambukizi Ukeni.
2.Maambukizi kwenye shingo ya kizazi.
3.Maambukizi kwenye mji wa uzazi.
4.Maambukizi kwenye Mirija ya uzazi.

Wanawake wenye dalili zifuatazo wanaweza kunufaika na Matibabu haya:-

1.Kutokwa na Uchafu ukeni.
2.Miwasho ukeni.
3.Maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa.
4.Maumivu Kwenye nyonga.
5.Maumivu ya Tumbo chini ya kitovu.

MAWASILIANO

+255(0) 623 677 706
+255(0) 682 90 30 50

Photos from MAMeC's post 14/06/2023

CHANDRPRABHA VATI

Ni matibabu maalum Asilia (Natural) kwa Tatizo la UTI Sugu.

Kumbuka,UTI ni ugonjwa wa maambukizi katika mfumo wa utengenezaji na Usafirishaji wa Mkojo ambao unatengenezwa na
1.FIGO
2.URETER
3.KIBOFU (Urinary Bladder)
4.Urethra
Kumbuka UTI ni ugonjwa hatari sana na Usipotibiwa hadi kupona unaweza sababisha Madhara yafuatayo:-

1.Figo kufeli
2.Njia ya mkojo kupata vidonda na kusinyaa (Urethral stricture)
3.PID kwa wanawake.
4.Mirija ya Uzazi ya mwanamke kuziba.
5.Mwanamke kushindwa kubeba Ujauzito.
6.Ujauzito kutunga Nje ya mji wa uzazi kwa Mwanamke.
7.Maambukizi ya Tezidume kwa wanaume.(Prostatitis)
8.Maambukizi ya Korodani na Chumba cha kuhifadhi mbegu za uzazi za mwanaume (epididymo-Orchitis)
9.Upungufu wa nguvu za kiume.
10.Kupungua kwa uzalishaji wa mbegu za uzazi za Mwanaume.

Ili kupata matibabu haya usisite kuwasiliana na
Kwa matibabu ya uhakika,kwa wakati,Gharama nafuu na Ubora wa hali ya juu.

MAWASILIANO

0623 677 706
0682 90 30 50



NGUVU YA UPONYAJI ILIYO KATIKA MIMEA

14/06/2023

VASEER

Ni matibabu maalum Asilia (Natural) ya Tatizo la BAWASILI/MGOLO/PILES/HEMORRHOIDS bila kufanya Upasuaji.

Kumbuka ,Dalili za ugonjwa wa bawasili ni pamoja na:-

1.Kuwa na Uvimbe/Kinyama kwenye njia ya kutolea hajakubwa.
2.Kutoa hajakubwa iliyochanganyika na damu nyekundu.
3.Maumivu makali wakati wa kujisaidia hajakubwa.
4.kupata hajakubwa ngumu na Inayofanan na ya Mbuzi.
5.Miwasho eneo la kutolea hajakubwa.
6.Kutokwa na Majimaji/Mlenda mlenda eneo la kutolea hajakubwa.

Ili kupata matibabu haya,usisite kuwasiliana na
Kwa matibabu ya Uhakika,kwa wakati na kwa Gharama nafuu.

Photos from MAMeC's post 13/06/2023

PEPGARD

Ni matibabu maalum asilia (Natural) kwa watu wenye changamoto zifuatazo:-
1.Vidonda vya Tumbo.
2.Kiungulia sugu.
3.Kujamba Mara kwa mara.
4.Acidity
5.Reflux Esophagitis (GERD)

Iwapo in changamoto kati ya hizo usisite kuwasiliana na kwa ufumbuzi wa haraka,uhakika na Gharama nafuu.

MAWASILIANO

0623 677 706
0682 90 30 50



NGUVU YA UPONYAJI ILIYO KATIKA MIMEA

13/06/2023

BONISSAN

Ni Matibabu Maalum Asilia (Natural) kwa matatizo yafuatayo kwa watoto:-

1.Tatizo la maumivu ya tumbo kwa watoto.(Abdominal cramps)
2.Tatizo la Watoto kutokupata hajakubwa.(Constopation)
3.Tatizo la watoto kutokuwa na hamu ya kula. (Low appetite)
4.Tatizo la watoto Uzito kutokuongezeka vizuri.
5.Tatizola chakuta kutokumeng'enywa Vizuri (Ingestion)

Iwapo Mtoto wako ana changamoto k**a hii,usisite kuwasiliana na Kwa ufumbuzi wa uhakika,kwa wakati na kwa Gharama nafuu.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Telephone

Website

Address


Ilala, Mwanza/Moshi Street
Dar Es Salaam