Maro Mens Health

Maro Mens Health

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Maro Mens Health, Beauty, cosmetic & personal care, Ladis Street, Dar es Salaam.

Photos from Maro Mens Health's post 17/07/2024

โ˜˜๏ธ ๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ถ๐—ป๐—ณ๐—ฒ๐—ฐ๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป๐˜€ ๐˜€๐˜‚๐—ด๐˜‚ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฎ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐˜‡๐—ฎ๐˜‡๐—ถ
k**a umetumia dawa nyingi kutibu infections k**a
๐ŸŒฟ UTI inayojirudia rudia,
๐ŸŒฟ FANGUS
๐ŸŒฟ PID
๐ŸŒฟ HARUFU MBAYA UKENI
๐ŸŒฟ KUTOKWA UCHAFU K**A MAZIWA YA MGANDO
๐ŸŒฟ MIRIJA KUZIBA
๐ŸŒฟ VIMBE MBALIMBALI K**A FIBROIDS, OVARIAN CYST
๐ŸŒฟ BV (bacteria vaginosis)
๐ŸŒฟ Hedhi zisizo katika mpangilio sahihi
๐ŸŒฟ Maumivu makali wakati wa s*x na wakati wa hedhi
๐ŸŒฟ Kuumwa chini ya kitovu na kwenye nyonga
na infections nyingine zote za via vya uzazi na bado hauoni mwanga.

Usikate tamaa wala usijiskie vibaya, ๐—ฌ๐—ผ๐—ป๐—ถ ๐—ฃ๐—ฒ๐—ฎ๐—ฟ๐—น๐˜€ ni kiboko ya kutibu hayo matatizo inafanya kazi ya kuvuta uchafu na kutibu infections za via vya uzazi yaani unapona na unasahau kabisaa

๐—•๐—ฒ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐—ป๐—ถ 25,000/= Inakua na vidonge vitatu.
Matumizi ya dose ni kulingana na ukubwa wa tatizo lako

07/07/2024

It's not too late to be what you want to be.

05/02/2022

JINSI MIN-BEDROOM PACKAGE MANPOWER INAVOWEZA KUKABILI CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WANAUME

*MIN-BEDROOM PACK*
Ni mchanganyiko wa Vitamรญn C,D3,E,B6 na madini k**a Zinc na Selenium.

Hizi hufanya kazi hizi hapa

1- Kulinda afya ya uzazรฎ kwa mwanaume kwa ujumla kusafisha na kufanya kila kiungo cha mfumo wa uzazi kufanya kazi yake inavopaswa
2- I,Kumaliza tezi Dume iliyokwishatanuka na kurudisha kwenye normally size
II, kuzuia tatizo la tezi-dumรฉ kujirudia kwa waliofanyiwa upasuaji au waliotumia dawa na ikawa normally in size.
III; Kinga dhidi ya kukuwa kwa tezi Dume.
IV;Kupambana na tatizo la kukojoa Mara kwa mara hasa wakati wa usiku na mkojo usiokwisha.

3- Udhibiti wa saratani ya korodanรฎ
4- Kuongeza uzalisha wa mbegu
5- Kuongeza Nguvu za Tendo
6- Kuleta hamu ya Tendo kwa wale wanaokosa hamu ya tendo na walioathirika na tezi dume
7- Husaidia kubalance hormone zakiume (Testosterone)
8- Kupambana na Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa Mwanaume mfano maumivu ya korodani maumivu nk
Nyongeza ni inavitamin c vitamin d3 na zink inayosaidia kupandisha kinga ya mwili na ufanisi wa utendaji kazi wa Mwili kwa ujumla na vitamin E ambayo itakusaidia kupambana na infection na matatizomengi ya mfumo wa uzazi *what i can say is the Fantastic pack for you*

*Bei ni 162000 tu*

Kwa mawasiliano Zaidi
Piga 0โ€ฆ.

05/02/2022

Hello, Nina zawadi hapa, multi maca , aloevera gell na aloe vera, gelly tube, Dawa ya Meno ,Deodorant na fab Active boost

Vyote hivi vitatolewa Buree, kuanzia Leo hadi tarehe 7/2/2022

Masharti ya kupata zawadi ni

Nunua
Arg+, Vitolize, Aloeva juice 2,
maca itawekwa k**a zawadi kwako

Ukinunua Arg+ , Vitolize, maca na aloevera juice 1. Utapata aloevera juice 1 bure.

Ukinunua Complete pack ya pressure utapata maca bure

Ukinunua C9 ya kupunguza uzito, utapata maca k**a zawadi

Ukinunua complete pack ya bawasili, utapata aloevera moja k**a zawadi.

Ukinunua Pack ya tatizo la kisukari tutakupa Multmacca pia ili kuchangamsha na upande wa afya ya tendo pia.

Ukinunua kwa Punguzo la Bei zawadi haitatolewa.
Arg+ 200,000, Vitolize 80,000, maca 70,000 aloe vera gell 65,000/=

Karibu tufurahie Bidhaa na Zawadi Pamoja.๐Ÿ™๐Ÿป๐Ÿ™๐Ÿป

ninaijali afya yako.

11/01/2022

MWANAUME IFAMU VIZURI (VITOLIZE MEN POWER)๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช

VITOLIZE FOR MEN POWER:
Ni mchanganyiko wa Vitamรญn C,D,E,B6 na madini k**a Zinc na Selenium.

Hizi hufanya kazi hizi hapa

๐Ÿ‘‰๐Ÿป 1- Kulinda afya ya uzazรฎ kwa mwanaume kwa ujumla kusafisha na kufanya kila kiunngo cha mfumo wa uzazi kufanya kazi yake inavopaswa
๐Ÿ‘‰๐Ÿป 2- Kupambana na kuzuia tatizo la tezi-dumรฉ
๐Ÿ‘‰๐Ÿป 3- Udhibiti wa Kansa ya korodanรฎ
๐Ÿ‘‰๐Ÿป 4- Kuzalisha mbegu zaidi
๐Ÿ‘‰๐Ÿป 5- Kuongeza Nguvu za Kiumรฉ zaidi
๐Ÿ‘‰๐Ÿป 6- Kuleta hamu ya Tendo kwa wale wanaokosa hamu ya tendo na walioathirika na tezi dume
๐Ÿ‘‰๐Ÿป 7- Husaidia kubalance hormone
zakiume (Testosterone)
๐Ÿ‘‰๐Ÿป 8-Inarudisha mishipa sawa kwa wale walio athiriwa na punyeto

hizi sio dawa za kubust ni virutubisho muhimu kwenye mwili wa mwanaume

Bei yake 85000 ni dozi kamili pia ni natural haina kemikali haina madhara, na wala sio adictive, imethibishwa na mamlaka ya chakula na dawa, pia inafaa kwa watu wote hata wenye shinikizo la juu la damu na wenye kisukari

deliver mikoani kote Tz

wa.me 20/12/2021

*LEO TUNAKULETEA NEW PROSTATE FIX THERAPY *

Sababu gani unahitaji Prostate Fix Therapyโ€ฆ

Ni kwa sababu imewekewa Mitishamba, vitamins na madini ambayo mfumo wako wa mkojo unavihitaji ili kufanya kazi k**a zamani. Pia

-Kudhibiti saratani ya Tezi Dume.

-Kupunguza Tezi Dume iliyotanuka.

-Kumaliza tatizo la kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku

-kumaliza tatizo la mkojo kutoka kwa shida.

-Kumaliza tatizo la Maumivu wakati wa kukojoa

-Kurejesha normal PSA level

- kurejesha hamu na nguvu

-Kupambana na Magonjwa Sugu ya njia ya Mkojo k**a U.T.I

*Matumizi ya Prostate Fix therapy ni salama na yamethibitishwa na mamlaka za chakula na dawa zaidi ya nchi 160 duniani na haina Madhara.

Unaweza kuitumia kujikinga na pia Kutatua tatizo la tezi dume*

*New Prostate Fix Therapy imedhibitishwa kuwa na matokeo chanya sana kwenye kumaliza tatizo la tezi dume kwa Maelfu ya Wanaume Tanzania*.

wa.me/255656548703
0656548703

wa.me

wa.me 19/12/2021

KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUPOTEZA HISIA/HAMU YA KURUDIA

Upungufu wa Nguvu za Ki-ume ni hali ya kushindwa kufanya tendo la ndoa kwa ufasaha/kikamililifu, viungo vya mwanaume hushindwa kusimama vizuri, huwa legevu na huwahi kufika kileleni. Tendo la ndoa huhusisha utulivu wa akili, mfumo wa homoni za ki-ume hasa testosterone, mfumo wa nerves, misuli ya mwili, pamoja na mishipa ya damu. Tafiti zinaonyesha kuwa kati ya wanaume 10 basi 4 kati yao wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za ki-ume. Kwa ujumla hali hii husababishwa na kutokuwa sawa kiafya.

Vipo viashiria mbalimbali vinavyoweza kuonyesha kuwa kuna upungufu wa nguvu za ki-ume. Miongoni mwa vitu hivyo ni; Kukosa hamu ya tendo la ndoa, askari hasimami sawa-sawa/bara-bara, au anasimama kwa muda mfupi na Kuwahi kufika kileleni na kukosa hamu ya kurudia tendo la ndoa, Kusikia maumivu ya tumbo na kiuno baada ya kufanya ma-penzi, Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili. Vitu hivi huonyesha kutokuwepo kwa nguvu za ki-ume.

Kuna magonjwa au maradhi kadhaa, tabia na mtindo wa maisha, pia aina ya vyakula tunavyokula vinavyoweza kupelekea shida ya upungufu wa nguvu za ki-ume. Baaadhi ya maradhi na tabia hizo ni; Maradhi ya U.T.I sugu, Tumbo kujaa gesi, Kujichua/kupiga pu-nyeto (ma********on), Vidonda vya tumbo, Maradhi ya kisukari, Presha ya kupanda na presha ya kushuka, Matumizi ya madawa ya kulevya, Pia kuchelewa kulala na matatizo ya kukosa usingizi, Kupata choo kigumu (Constipation), Uzito mkubwa/unene uliopitiliza, Saratani ya tezi dume (Prostate cancer), Vyakula vyenye mafuta mengi, Na maumivu ya kiuno na mgongo.

Wahanga wengi wa tatizo hili huhangaika na kutafuta dawa za kuongeza nguvu au msisimko wa misuli ya u-ume ili kukidhi haja ya kufanya ma-penzi kwa muda mrefu na kuchelewa kufika kileleni. Kitendo hiki siyo sahihi kwa sababu huwa hakitibu mzizi wa tatizo na badala yake huamsha misuli kwa muda tu na tatizo hubaki pale pale, kwamba hawezi kufanya ma-penzi hadi atumia dawa za kusisimua misuli ya u-ume.

Power Bank Pack ni mchanganyiko wa mimea, inayotibu tatizo la nguvu za ki-ume kwa kushughulika na mfumo wa uzalishaji wa homoni za ki-ume. Dawa hii pia huboresha mzunguko wa damu kwenye mishipa ya u-ume.
Pia tunazo dawa tofauti tofauti za mimea asilia ambazo hutibu changamoto mbalimbali za kiafya zinazopelekea upungufu wa nguvu za ki-ume. Dawa hizi hurejesha ufanyaji kazi asilia wa viungo vya mwanaume.

Kwa ajili kunyoosha na kuimarisha misuli ya u-ume uliosinyaa, kwa wale wenye maumbile yaliyosinyaa (Maarufu k**a KIBAMIA).

WASILIANA nasi kwa kupiga: 0656548703 au
WhatsApp link: wa.me/0656548703

wa.me

13/12/2021

Kwa nini awe maalumu?
Kwa sababu unapotibu nguvu za kiume unakuwa unatibu viungo vya mwili kwa ujumla. Daktari aliye mtaalamu na aliyebobea katika viungo vya uzazi vya mwanaume anakuwa ana uwezo wa kutambua tatizo la kiungo kilichokorofisha mwilini kutokana na kumhoji mgonjwa; na anaweza kwenda mbali zaidi kwa kujiridhisha kwa kumshauri mgonjwa afanye vipimo gani sahihi. Na anaweza kujua ni vyakula gani anavyopaswa mgonjwa kutumia kulingana na tatizo lake. Narudia tena na tena, upunguvu wa Nguvu za kiume lazima utibiwe kwenye chanzo cha tatizo, na si vinginevyo. โ€‹โ€‹@0656548703

13/12/2021

NANI ANAWEZA KUTIBU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME?

Kuna watu wengi sana hivi leo wanaodai kutibu nguvu za kiume. Ukweli wa mambo ni kwamba siyo kweli! Ni watu wachache sana wenye uwezo wa kutibu tatizo la kuishiwa nguvu za kiume. Na ni watu wachache sana wenye kuelewa matibabu sahihi.

Utakuta mtu au kampuni inatangaza dawa ya aina moja kuwatibu watu wote wenye matatizo ya nguvu za kiume. Tabia hii pia imejengeka kwa baadhi ya watu, hunipigia simu au kuniandikia baruapepe na kuniuliza moja kwa moja, "Daktari, dawa za nguvu za kiume ni shilingi ngapi?"
Hii ni dalili kwamba watu hawajui maana ya kupungukiwa nguvu za kiume. Na hawajui nguvu za kiume ni nini? Na kwa kutokujua huwafanya waendelee kuteseka. Tatizo la nguvu za kiume, haliwezi kutibiwa kwa njia hiyo hata siku moja.
Ndugu wapendwa, mimi siuzi dawa, nafanya matibabu. Kwa nini? Kila mwanamume ana sababu na chanzo chake cha kupungua nguvu za kiume. K**a wanaume 100 waliopungukiwa nguvu za kiume watajipanga mstari kwa daktari mjuzi na mtaalamu, basi kila mgonjwa atakuwa na sababu yake na chanzo chake cha kupungukiwa nguvu za kiume tofauti kabisa na mwingine. Na hivyo, kila mgonjwa atapewa dawa yake ya kipekee kabisa tofauti na mwingine.
Sasa itashangaza kuona huyu kapungukiwa nguvu za kiume kutokana na mishipa ya ateri kutofanya kazi vizuri, na yule kapungukiwa nguvu za kiume kutokana na kuvimba kwa tezidume, ati wote wapate dawa aina moja! Hiki ndicho kinachofanyika na watu wengi wamepoteza pesa na muda kwa matibabu k**a haya yasiyokuwa na maana.

Yahitajika daktari mtaalamu aliyebobea katika mfumo wa uzazi wa mwanaume na mfumo wa mkojo, na anayeujua utendaji wa mwili wa binadamu kwa ujumla. Huyu ndiye anayeweza kutibu tatizo la nguvu za kiume. Yaani, daktari ambaye anajua vizuri ndani na nje utendaji wa figo, ini, moyo n.k; ama awe ni daktari wa tiba asilia au daktari wa tibakemikali (yaani daktari wa hospitali) siyo kila mtu tu au kila daktari. Hata k**a utakwenda kwenye hospitali kubwa yoyote duniani unayoijua, na ukagonga hodi katika chumba cha daktari, ukamwambia, "Nina tatizo la upungufu au kuishiwa nguvu za kiume," atakurifaa kwa daktari maalumu aliyebobea katika mfumo wa uzazi wa mwanaume@0656548703

13/12/2021

KOSA KUBWA WANALOFANYA WANAUME WENGI

Wanaume wengi wanapopungukiwa nguvu za kiume hukimbilia kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume, na siyo kutibu chanzo cha tatizo. Hili ni KOSA KUBWA sana!

Ni kosa kubwa kukurupuka kubugia dawa za nguvu za kiume bila kujua chanzo cha tatizo na bila kujua hiyo dawa inakwenda kutibu eneo au kitu gani mwilini. Kwa njia hiyo, utamaliza miaka hata zaidi ya 100 na hata miaka elfu moja na hautapona!

Upungufu wa nguvu za kiume lazima utibiwe kuanzia chanzo cha tatizo; kwa maana ya kwamba mzizi wa tatizo sharti ung'olewe kwanza!

Mathalani, k**a tatizo ni la homoni ijulikane kwanza; k**a ni tatizo la tezi ijulikane kwanza, kisha matibabu sahihi yaelekezwe katika maeneo hayo. Hayo ndiyo matibabu, na si vinginevyo.

Hebu zingatia mfano kichwani mwako kwanza, upungufu wa nguvu za kiume unaweza kutokana na kisukari kwa mwanaume huyu, au shinikizo la damu la kupanda (HIGH BLOOD PRESSURE) kwa mwanaume yule; au shida ya tezidume kwa mwanaume mwingine au shida ya kihomoni (HORMONAL IMBALANCE) kwa wanaume wengine, basi vipi iingie akilini kwamba wote hao watatibiwa kwa dawa aina moja? Watu wengi sana wameelewa kimakosa sana ndiyo maana hata matibabu yamekuwa ni tatizo kubwa sana kwao.

Kosa lingine wanalofanya wanaume wengi ni kukimbilia dawa za k**emikali. Dawa hizi si kwamba hazitibu tu chanzo cha tatizo bali pia zina madhara mengi sana kiafya pia. Nini ambacho hufanya mwilini dawa hizi? Dawa hizi hufanya kazi ya kuulazimisha moyo kusukuma damu kuingia katika uume, kwa kua-activate nitric oxide. Matokeo yake ni kwamba, viungo ambavyo ni vigonjwa vitalazimika kufanya kazi huku vikiwa ni vigonjwa, na hatimaye vitadhoofika kabisa. K**a ambavyo wewe unakuwa mgonjwa unalazimishwa kufanya kazi. Mara ya kwanza unaweza kufanya, lakini mara nyingine unaweza kushindwa kabisa, na hata kuumia zaidi. Hiki ndicho kinachotokea kwa wahanga wengi wa madawa ya k**emikali. Atakwambia, โ€œNilijaribu kutumia mara kadhaa ikawa inasimama lakini baadaye haikusimama kabisa, hata k**a nikitumia siwezi kabisa.โ€@0656548703

13/12/2021

NINI KINACHOSABABISHA VIUNGO VISHINDWE KUFANYA KAZI?

Kuna maradhi kadhaa, vyakula tunavyokula, tabia na mtindo wa maisha vinavyoweza kupelekea viungo hivyo kutofanya kazi vizuri. Baaadhi ya maradhi hayo na tabia hizo ni kujichua/punyeto (ma********on); kisukari; presha ya kupanda; presha ya kushuka; uvutaji wa sigara; unywaji wa pombe; madawa ya kuleva; kufanya kazi kupita kiwango na kukosa muda wa kupumuzika; matatizo ya kukosa usingizi na kuchelewa kulala usiku.

Sababu zingine za kupungua nguvu za kiume ni kutokunywa maji ya kutosha, tatizo la kufunga choo hasa pale unapotumia nguvu nyingi kusukuma choo; kutofanya mazoezi; ukosefu wa kumbukumbu; uzito mkubwa/unene mkubwa; kitambi; kuvimba kwa tezidume (Benign Prostate Hyperplasia).

Sababu zingine ni saratani ya tezi dume (Prostate cancer), matibabu ya mionzi ya tezidume na upasuaji, ugonjwa unaoathiri vitendo na shughuli za mwili k**a vile mwondoko na balansi (multiple sclerosis), ugonjwa ambao hudhuru mawasiliano ya ubongo na miondoko ikiwa ni pamoja na kutembea, kuongea na kuandika (parkinsonโ€™s disease), vyakula vya mafuta, vyakula vilivyowekewa homoni bandia za k**e n.k.

Sababu zingine ni maumivu ya mgongo/kiuno; baadhi ya side effects za madawa ya kemikali (madawa ya hospitali); kiharusi (stroke); upungufu katika utendaji wa kazi za gonadi (hypogonadism); uzalishaji mwingi wa homoni ya thyroid.

Sababu zingine ni kutozalishwa kwa homoni ya thyroid ya kutosha; ugonjwa unaoathiri uzalishaji wa homoni ya cortisol (cushingโ€™s syndrome); ugonjwa wa kupinda uume (peyronieโ€™s disease); kukak**aa kwa mishipa ya damu (atherosclerosis); orodha ni ndefu sana, ni zaidi ya 200.

Hivyo mwanaume anapopungua nguvu za kiume, ina maana kuna ugonjwa ndani ya mwili wake, au unaweza kuwa huo ugonjwa umeshadhihirika (umeshatokeza) kwa nje, au huo ugonjwa bado uko ndani ya mwili unamla na kummaliza kimyakimya k**a yalivyo baadhi ya magonjwa ambapo baadaye hulipuka. Hii ndiyo maana kitaalamu tunasema kupungua nguvu za kiume siyo ugonjwa ni dalili ya ugonjwa. Yani unapopungua nguvu za kiume hiyo ni KENGELE YA TAHADHARI kwamba ndani ya mwili wako kuna kitu au vitu havifanyi kazi

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Ladis Street
Dar Es Salaam