AFYA LEO

AFYA LEO

Share

Ninasaidia wanaume kutatua changamoto katika mfumo wao wa uzazi ndani ya siku 7_30
Ask me how!📩

02/01/2023

Je wajua mambo mengi yameandikwa kuhusu suala la athari ya kutazama ponografia kupita kiasi kwa wanaume - na vyombo vya habari na pia wanasayansi.

Mnamo 2016, Angela Gregory, mtaalamu wa akili kuhusu masuala ya ngono aliambia BBC kwamba ponografia inayotazamwa kwa urahisi imechangia kuongezeka kwa idadi ya wanaume walioshauriwa kupokea matibabu kutokana na matatizo ya kuweza kushiriki tendo la ndoa.

Ponografia na ubongo wa (mwanamume)

Uchambuzi wa Shirika moja la msaada la elimu umeashiria kwamba wakati ponografia inachangia kati ya 2 hadi 5% ya visa vya wanaume kutoweza kushiriki tendo la ndoa katika miaka ya 2000- sasa inadhaniwa kuchangia takriban 30% ya visa hivyo

Tafiti za hivi karibuni zinaonesha kuongezeka kwa tatizo la hili
miaka ya hivi karibuni. Hii inatokana na upatikanaji wa vifaa k**a simu na kompyuta hivo kuwarahisishia vijana wengi uwezo wa kuingia mtandaoni kiurahisi na kutazama picha za ngono muda wowote.

Wengi hutazama picha na video za ngono ili kujiridhisha kimapenzi na kupiga punyeto. Wanaume wanaoangalia pono wanafadhaika pale wenza wao wanaposhindwa kuwafanyia vitu kwa mtazamo k**a ule kwenye pono.

Hivyo kuna mchango wa mitindo fulani ya maisha k**a kuwa na uzito mkubwa na kitambi. Lakini kutazama picha chafu za ngono zinaufanya mwili utake msisimko mkubwa sana kuliko uliozoeleka na jinsi mwili ulivoumbwa ili kuamsha hisia.

Tume saidia vijana walioathirika na upigaji punyeto ikiwemo na wenye upungufu wa nguvu za kiume kurudisha uwezo wa kuhimili tendo la ndoa vyema.

Wasiliana nasi sasa kupata SULUHISHO la tatizo hili.

Call/Whatsapp 👇
0625372677

Pia follow

# # # # # # # # # # # # #

02/01/2023

🌴*MSONGO WA MAWAZO* (stress) ni hali ya maumivu au mfadhaiko wa kihisia au kisaikolojia unaotokana na hali, tukio au jambo ambalo ni gumu sana au lenye changamoto kubwa.

🌴*MADHARA YA MSONGO WA MAWAZO (STRESS)*

🌴1. Kodhoofika kiafya > jinsi ubongo unavyopambana na mawazo makali unakosa raha na muda wa kutulia kuweza kuujenga mwili kwa namna yeyote ile afya yako inazorota kabisa.

🌴2. Vidonda vya tumbo > mwanadamu anapokosa kupata chakula kwa wakati au kula kiwango kidogo sana pamoja na kukaa kwa muda mrefu bila kula utumbo huathiriwa na asidi ya haidrokloriki (hydrocloric acid-hcl) ni acid ambayo inapokosa kukutana na aina yoyote ya chakula tumboni huanza kuchubua ukuta wa utumbo na hivyo kuweka Vidonda.

🌴Hivyo hali hii ikiendelea vidonda haviponi kirahisi na kuwa k**a vile sugu kwa mhusika.

🌴3. Magonjwa ya mfumo wa upumuaji pamoja na magonjwa mengine yanayoathiri mfumo wa damu k**a vile kushuka na kupanda mapigo ya moyo(BP), kisukari (kutokana na kushindwa kufanya kazi vizuri-liver failure), kuvimba na kushindwa kwa ini (liver cihosis).

🌴4. Kupata choo kigumu (Constipation) > Kutokana na kutopata chakula kwa wakati au kula kiwango kidogo sana hufanya mzunguko wa kujisaidia kuwa mdogo au kushindikana kabisa.

Kitakacho kuja kutokea ni kugandamana kwa ule uchafu tumboni bila kuweza kujitoa wenyewe, kitu ambacho utaingia kwenye gharama mpya za matibabu.

🌴5. Kukosa nguvu za kiume na hamu ya kujamiiana > Wakati ubongo unasumbuliwa na mawazo ya mara kwa mara hata zile homoni zinazo zalisha mbegu na hamu ya kujamiiana hushindwa kufanya kazi yake kwa vile ubongo huwa na kazi moja tu ya kupambana na mawazo(stress).

Ikiwa au utabahatisha kupata msisimko mara moja huwa vigumu kurudia tendo kwa mara ya pili au hata ukakatishwa mihemko katikati ya mchezo.

🌴6. Kuwahi sana kufika kileleni (pre-ejaculation) na kukosa nguvu ya kulimudu tendo kwa mara ya pili,hisia zinaweza kupanda kwa haraka na kupotea kwa haraka vile vile.

🌴●k**a una changamoto hii na na unahitaji ushauri zaidi private, usisite.
Wasiliana nasi
👇
𝐂𝐀𝐋𝐋/ 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏 0625372677

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Victoria, Mikocheni
Dar Es Salaam