Danga Jr

Danga Jr

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Danga Jr, Health/Beauty, Dar es Salaam.

15/02/2022

MAYELE ATASUBIRI SANA, NIMEJIPANGA KUWA MFUNGAJI BORA - LUSAJO

Mshambuliaji wa Namungo, Reliants Lusajo ambaye anaongoza kwenye orodha ya wafungaji kwenye Ligi Kuu ya NBC huku akiwa na magoli 9 amemtangazia njaa hasimu wake mkubwa kwenye mbizo hizo za ufungaji bora msimu huu, Fiston Mayele wa Yanga ambaye ana magoli 6 kuwa atasubiri sana kwani ye kajipanga ili kuwa mfungaji bora wa msimu

Amesema Lusajo

β€œNafurahia kiwango ambacho nimekuwa nacho kwa sasa, k**a mchezaji hususani ambaye ninahudumu kwenye unahodha ni jambo muhimu kuhakikisha ninaipambania timu yangu ili iweze kupata matokeo mazuri.

β€œKuhusu vita ya ufungaji bora ni kweli hiyo ni sehemu ya malengo ambayo nimejiwekea msimu huu, najua ushindani ni mkubwa kutokana na ubora wa washambuliaji wengine k**a vile Fiston Mayele, lakini nimejipanga kutumia kila nafasi ambayo nitaipata kuhakikisha ninafunga mabao mengi zaidi.” Alimaliza Lusajo.

Kwa habari kemkem za kuhabarisha kuelimisha na kuburudisha tembelea Msasa Online kila wakati hakika hutopitwa na chochote saa 24.

09/05/2020

K**a mapenzi ni menlod kali mi kwake ndo burudaniπŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’–πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—

20/12/2019

Bac ilikua ni cku ya j2 ndan ya gar aina ya kosta kulikuako na wa2 wengi wakiwa wanasafl kutoka mkoa mmoja kuelekea mkoa mwngne kwa shuhul maarum iliowasukuma kwenda huko, walpofka katkat ya safar yao mara ghafra mvua kubwa ilianza kunyesha ikisndikizwa na radi ya kutisha ,miale ,na milindmo ya hapa na pale, bac mioyoni mwao walishtuka sn na kuingiwa na hofu wakizan Kati yao kunamtu ni mzambi ndomana mungu hajabalk juu ya safar yao,
Bac kiongoz wa safar akaamulu dereva asimamshe gar Kwan hawawez kuendelea na safar angal Kat yao kuna mtu ni mzambi bac ili kumgundua nan ni mzambi huku mvua inaendelea kunyesha na radi kal ndipo ikaamulwa kila m1 ashuke kwny gar akashike mti kwa yule mwny dhambi mungu atamuazbu hapo hapo bac ndipo wote wakashuka wakaenda kushka mti na kurudi kwny gar lkn alibak mtu mmoja kwny gar aliekataa kushuka ndpo walimfoc ashuke akashike mti wakiwa wanamtuhumu kuwa yeye ndo mzambi anaesababisha safar iwe na vikwazo,
Ndipo kwa unyonge kjn yule akashuka alipo karibia karibu na ule mti Mala gafra mlipuko mkubwa ulitokea yule kjn kugeuka nyuma gar lote lilisambalatishwa na Wale watu wote walifia mule.

Kwenye maisha tusipende kuwatuhumu wengne kwa ubaya kwa kujiona ni wema zaidi ya wengine, kirakitu tunachokifny hapa dunian kiwe kizur au kibaya mungu pekee ndo anaona.mungu anahimiza kuishi kwa upendo, kuthaminiana na kujaliana ktk shida na dhiki
Have nice Day

20/12/2019
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam