elimu ya afya
Tunatatua wenye changamoto mbalimbali za kiafya kwa tiba ya virutubisho lishe visivyo na kemikali
25/07/2023
*Jamaniiii kupata choo (kunya) ni muhimu kwa afya yako acheni kujivunga, usiwe busy unasahau na jambo la msingi k**a hili.*
*Kuna wadada wao ni kukojoa tu, siku 2 hajapata choo na hana wasiwasi kabisa 😢 jamani mtapata matatizo ya utumbo, mtahangaika sana hapo mbeleni.*
Ukipata tatizo la kukosa choo utajutia, utaumia tumbo, unakosa hamu ya kula, unakosa energy ya kufanya kazi.
*Sometimes unaweza kwenda chooni dk 10 zote hamna kitu, unalia machozi yanakutoka lakini hakuna kitu.*
Constipation ni mbaya, inaweza kukusababishia ukapata tatizo la Bawasiri (kuota kinyama kwenye eneo la haja kubwa) nayo hii itakuumiza.
Jitahidi Asubuhi pata choo, saa 8 mchana pata choo, saa 4 usiku pata choo. Itakusaidia tumbo lako kuwa free na kupata mmeng'enyo mzuri wa chakula.
Utaepuka tatizo la kukosa choo (Constipation) na Bawasiri (haemorrhoids)
*K**a hii shida unayo karibu Dm tuwasiliane kwa no 0767095181 usione aibu wala usichukulie poa, utapona*
Sisi tunaendelea kukupatia maarifa ili afya yako iwe salama.
06/07/2023
*MADHARA YA KUKOSA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU*
Watu wengi hudhani ni hali ya kawaida kupata CHOO KIGUMU au KUTOPATA CHOO kabisa. Wengine hukaa siku mbili au tatu au zaidi bila kupata CHOO, ... Usipuuzie kwani hilo ni tatizo kubwa sana.
Madhara ya KUTOPATA CHOO au kupata CHOO KIGUMU ni makubwa k**a:-
* Kutanuka kwa mishipa ya damu kunakotokana na nguvu nyingi unayotumia wakati wa kujisaidia. Hii hupelekea maumivu makali kwenye njia ya haja kubwa.*
Kupasuka kwa layer ya ndani ya njia ya haja kubwa. Ni kutokana na nguvu nyingi inayotumika wakati wa kujisaidia. Hutokea sana kwa watoto.
*Kuchungulia kwa Kinyama (Vimbe) sehemu ya haja kubwa*.
Magonjwa ya tumbo, Tumbo kuuma bila sababu. Tumbo kunguruma. Tumbo kujaa Gesi. *Kansa ya utumbo mpana*
Hii Hutokana na kinyesi kukaa kwa muda mrefu bila kutolewa hupelekea kupata maambukizi ya Magonjwa mengi yatokanayo na bakteria na pia hupelekea kupata kansa za utumbo, U.T.I, maumivu ya sehemu ya mgongo n.k
*K**a umepata changamoto hi kwa mda mrefu karibu0767095181
06/07/2023
▶️Ni kawaida kukosa hedhi iwapo una mimba, Una nyonyesha au umefika Ukomo wa Hedhi.
▶️IWAPO Umekosa hedhi nje na hapo, zipo sababu, tutaziona Hapo chini
▶️Kutoona Hedhi au Kuchelewa kuona Hedhi husababishwa na..
. MVURUGIKO WA HOMONI, Homoni ya prolactin pia Homoni ya thyroid.
▶️Ipo mifano ya mitindo ya maisha, ina Changia, ukose hedhi au upate hedhi kwa kuchelewa mfano :
01:Matumizi Ya Uzazi wa mpango (sindano, vidonge, kitanzi)
02:Uzito mkubwa
03:Msongo wa Mawazo
04:Mlo Mbovu : Matumizi ya kiasi kikubwa wa vyakula vya mafuta mengi, na Sukari.
05:Mazoezi Kupita Kiasi
NOTE:Wanawake wengi wenye changamoto ya kukosa/kuchelewa kuona Hedhi..
. Hupata changamoto ya KUKOSA MTOTO, UVIMBE kwenye mji wa uzazi /mayai au kushika MIMBA NA KUHARIBIKA .
ONANA na Daktari iwapo ume pitisha mwezi /miezi huoni siku zako au siku zako zimevurugika au una chelewa kuona hedhi
Tumia Namba Yetu Yax Huduma Hapo Chini kupata SULUHISHO kwa changamoto ya hedhi uliyo nayo
PIGA/WHATSAPP :0767095181
15/06/2023
*KUMBE HII NDIO SIRI YA KITANDANI , Mwanaume anayelala hivi na mke Wake Mara kwa Mara , huwa na nguvu nyingi sana za kiume kwa sababu ya Connection ya kihisia aliyonayo Kati yake na Mpenzi wake. Ukiona kitandani unapenda kulala mbalimbali na mke wako bila kusogeleana au akikugusa unaona kero , juwa kabisa umeanza kupata shida za kihisia. Kwa maana ya kwamba hakuna chemistry ya kihisia baina yako na mke wako hata K**a mmefunga ndoa. Kwa asilimia kubwa ya watu waliotumia VIRUTUBISHO, wana hisia na wenza wao hata chemistry yao ipo vizuri. Ukiwa na upungufu wa nguvu za kiume magomvi hayaishi ndani ya nyumba. TUJIIMARISHE WANAUME TUACHE VISINGIZIO KILA SIKU.*kwa mawasiliano zaidi 0767095181
15/06/2023
*KUMBE HII NDIO SIRI YA KITANDANI , Mwanaume anayelala hivi na mke Wake Mara kwa Mara , huwa na nguvu nyingi sana za kiume kwa sababu ya Connection ya kihisia aliyonayo Kati yake na Mpenzi wake. Ukiona kitandani unapenda kulala mbalimbali na mke wako bila kusogeleana au akikugusa unaona kero , juwa kabisa umeanza kupata shida za kihisia. Kwa maana ya kwamba hakuna chemistry ya kihisia baina yako na mke wako hata K**a mmefunga ndoa. Kwa asilimia kubwa ya watu waliotumia VIRUTUBISHO, wana hisia na wenza wao hata chemistry yao ipo vizuri. Ukiwa na upungufu wa nguvu za kiume magomvi hayaishi ndani ya nyumba. TUJIIMARISHE WANAUME TUACHE VISINGIZIO KILA SIKU.*kwa mawasiliano zaid 0767095181
31/05/2023
WITY📌
*▪︎IPI NI CHANGAMOTO KWAKO 🤷♂️??*
📍Dhakari kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.
📍Dhakari kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.
📍Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.
📍Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza
📍Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.
📍Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.
📍Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.
📍Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.
📍Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.
*K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,*
*HII NI PROGRAM. AMBAYO ITAKUSAIDIA KUMALIZA CHANGAMOTO YAKO NDANI YA SIKU 15 MPAKA 60 TUU*
Karibuni wapendwa tuweze kutatua changamoto zenu🙏👇0767095181
28/05/2023
*Mtu hupata MAWE kwenye Figo (kidney stones) ni kutokana na MATUMIZI ya dawa za hospital kwa muda mrefu, Hii husababisha au hupelekea mtu kupata MAWE kwenye Figo*
,.kwa mfano kwa wagonjwa wanaotumia dawa za kutibu CANCER,"; H.I.V.";ANTIBIOTIC, K**a ciprofloxacin, cefrtriaxone, na madawa yenye sulphur K**a matacalphin na n.k. pia Matumizi ya VYAKULA vyenye kuongeza vitamin A,na D, kwa Kasi kubwa na madini joto MWILINI hupelea tatizo I'll la mawe kwenye FIGO,: Lakini pia kuishi kwenye mazingra ya joto bila kunywa maji ya kutosha hii husababisha kiasi Cha chemical kuongezeka katika Figo na kusababisha mgandamizo na kutengeneza MAWE ndani ya FIGO
*Tumia virutubisho lishe kuboresha figo zako*
NOTE;- *KUWA NA MAZOEA YA *KULISAFISHA FIGO LAKO NA KULICHEKI MALA KWA MALA ILI KUEPUKANA NA TATIZO ILI NA UKISHAGUNDUA UNA TATIZO ILI WAHI KUAZA MATIBABU.*kwa maelezo pg namba 0767095181
19/05/2023
*Ili mbegu zitoke kwa kufyatuka kwa speed ni lazima mirija ya kupitisha mbegu iwe safi, pia iwe na uwezo mkubwa wa kutanuka na kisinyaa kwa wakati mmoja ,kitendo hiko kitasaidia kutengeneza presha ndani ya mirija na kupelekea Mbegu za kiume kusukumwa kwa speed kubwa sana kutoka nje. JE! Ungependa kujua njia rahisi ya kufanya mbegu zifyatuke? NIJULISHE SASA HIVI NIKUPE MBINU*🤝 au kwa mawasiliano zaidi 0767095181
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| 09:00 - 17:00 |
