Chagua AFYA NJEMA

Chagua AFYA NJEMA

Share

Afya njema Ni matokeo thabiti ya mtu anaethamini afya yake.

karibu utatue Changamoto YAKO pia kwa ndugu jamaa na MARAFIKI kwa KUTUMIA BIDHAA lishe (food suppliments).

0627780216

15/05/2023

Unamaumivu Ya Mifupa Na Viungo?

Changamoto ya mifupa na maungio inabainika Kwa maumivu makali katika maungio ikiwemo pingili za mgongo, magoti, mabega, vidole, nyonga na miguuni

https://wa.me/message/4MZ4YE2UOAO6A1

Dalili za changamoto ya mifupa na maungio ni k**a zifuatazo

✓Viungo kukak**aa na kukaza mfano katika vidole, magoti

✓Uvimbe katika magoti, miguu, nyonga na mabega

✓kujaa maji katika maungio na kuvimba hasa kwenye magoti na miguuni

✓Uchovu usio Wakawaida

✓Kuhisi ganzi na moto hasa katika nyonga

Dawa za maumivu hazimalizi tatizo sababu haziondoa chanzo cha tatizo

Kupata Suluhisho thabiti
+255627780216

Pia karibu ujiunge na group la Mifupa Afya imara na Dr. Charles kupata muongozo Kamili

https://chat.whatsapp.com/Dbk3fz3a2wSLDcBJOjSonU

23/04/2023

. Je Changamoto yako Ni Ukavu Uken?
______________

Uke mkavu: ni tatizo ambalo husababishwa na uwiano mbaya wa homoni za uzazi yaan ambayo huleta ute na vilainishi vya uke

_kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na ute wa wastanii ambao hufanya uke kubana,kuleta joto na raha katka tendo

Visababishi Vya Ukavu Uken

_uwiano mbaya wa homoni za uzazi
_magonjwa ya zina k**aa kaswende,gonorea n.k
_U.T.I sugu
_Fangasi sugu ukeni
_uke mchafu
_matumizi ya sabuni za anti biotics kusafishia uke
_matumizi ya pedi zisizo za anions

DALILI ZA UKE MKAVU

_Maumivu makali wakat wa tendo la ndoa

_kutokwa na damu wakat/baada ya tendo la ndoa

_kukosa/kupungua hamu ya tendo la ndoa

_maumivu ya chini ya kitovu wakati wa tendo

_maumivu ya kiuno,mgongo na tumbo

_maumivu ya mifupa na viungo

_kuwa na ngozi kavu

_msongo wa mawazo kupita kiasi

_siku za hedhi kuto kuwa na mpangilio maalum

_kuto furahia tendo la ndoa
_kuto shika mimba

MADHARA YA UKE MKAVU
_uwiano mbaya wa homoni za uzazi
_kuto shika mimba
_siku za hedhi kuto kuwa na mpangilio maalum
_ni rahisi kushambuliwa na maambukizi katka mfumo wa uzazi k**a PID,PCOS n.k

Kwa ushauri na tiba wasiliana nami
https://wa.me/255627780216

*Anza kufanya maamzi mazuri Zaid kuhusu afya yako*

23/04/2023

Changamoto Ni Mabonge Ya Damu Wakati Wa Hedhi?

Kwa asili, wanawake wengi huwa wanapatwa na hali hii ya mabonge wanapokuwa hedhini, ni jambo ambalo huwastusha wengi na hutufanya kuwa na maswali k**a vile •Kwa nini mwanamke anatokwa na damu iliyoganda wakati wa hedhi?
•Ni kipi hasa husababisha damu kuganda wakati wa hedhi?

Leo nipo kwa ajili ya majibu.

~~Kwa ujumla, chanzo cha kuganda kwa damu wakati wa hedhi yako hutokana na kushindwa kutoka kwa ute wenye kemikali unaozuia kuganda kwa damu kibaolojia huitwa anticoagulants......
ambapo kazi ya ute huu ni kuukinga ukuta wa kizazi usiharibike.

Wakati wa hedhi, ute mzito unakuwa kwenye ukuta wa kizazi huanza kutoka. Ute huu unaokuwa na kemikali huanza kuachiliwa ili kuzuia damu isigande wakati wa hedhi. Wanawake wengi wanaotokwa na damu ya hedhi muda mrefu hutoka na damu yenye mabonge kwa sababu damu inayotoka kwenye ukuta wa mfuko wa kizazi(uterus) hutoka kwa kasi kuliko ute wenye kemikali ya kuiyeyusha isigande. Hali hii ndio husababisha damu kuganda na hedhi kutoka na mabonge ya damu kwa muda mrefu.

Visabibishi vya kupungua kwa ute huu (anticoagulants) ni uwepo wa tatizo katika kizazi mfano.

1. Uvimbe Katika Kizazi (Uterine Fibroids)
Uvimbe mmoja au zaidi ambao huwa sio saratani, kwa kawaida huota ndani ya kizazi cha mwanamke. Hata hivyo kwa kuwa sio saratani, huwa havionyeshi kuwa vimetulia tu. Dalili za kawaida anazozipata mwanamke mwenye uvimbe aina ya fibroids ni k**a ifuatavyo:
•Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
•Maumivu wakati wa tendo la ndoa
•Kutokwa na damu ya hedhi muda mrefu
•Tumbo kujaa gesi ama kukosa choo
Ikiwa k**a umewahi kuwa na dalili yoyote au zote nilizozitaja hapo juu, yafaa ukaenda hospitali haraka ili kufanya vipimo katika tumbo lako la kizazi ili kubaini k**a una tatizo la uvimbe kabla hujapata utaratibu wa matibabu.

2. Njia za Kisasa za Mpango Wa Uzazi.

Mpango wa njia za kisasa za Uzazi wa mpango ni kuvuruga mpangilio wa homoni za mwanamke. Kivurugika kwa homoni hakuharibu tu ukomavu wa mayai bali huharibu vichochezi vya homoni hasa oestrogens na progesterone ambazo ni muhimu katika kuzalisha ute, mayai na ujauzito kwa ujumla.
JICHUNGUZE
Ikiwa k**a unapaswa kubadilisha pedi zaidi ya mara moja kila baada ya masaa mawili au k**a mtiririko wa damu yako ya hedhi una mabonge makubwa ya damu yasiyokuwa ya kawaida, basi ina maanisha kwamba unatokwa na damu nyingi mno.
Endapo k**a utagundua kuwa mtiririko huo wa damu ulianza tu kipindi ulipoanza kutumia aina mpya ya vidonge vya mpango wa uzazi, basi unapaswa umweleze daktari wako akupe usahuri kuhusu jambo hilo.

3. Kuporomoka Kwa Mimba
Kati ya asilimia 15-20 za ujauzito, mara nyingi huishia kuporomoka kabla haujafikisha wiki ya ishirini. Mabonge ya damu huwa ya kawaida sana wakati mwanamke mimba inapoporoka. Hata hivyo, k**a ukigundua kuwa ulitokwa na mabonge kwa kipindi cha mwezi mmoja, lakini yakaendelea mwezi uliofuata, basi usishangae kuona kuwa mimba iliporomoka, ikiwa pia k**a kuna mabadiliko kwenye mzunguko wako wa hedhi.

4. Kukaribia Kukoma Kwa Hedhi
Hali ya kukoma kwa hedhi mara nyingi huambatana na kutokwa na mabonge mengi ya damu wakati wa kipindi cha hedhi. Hii ni hatua ambayo huonekana kabla ya kuanza kukoma hedhi(menopause). Mwanamke anapokuwa katika hatua hii, utagundua kuwa mwili wake utazalisha vichochezi (hormone) aina ya progesterone kwa viwango tofauti. Wakati uzalishaji wa vichochez i(hormone) vya progesterone unapopanda na kushuka, viwango vya vichochezi (hormone) vya estrogen vitaanza kupanda na kufikia viwango ambavyo visingeweza kuchukuliwa taarifa hapo nyuma, na hali hii inaweza kusababisha kukua na kuvimba kwa tishu za ukuta wa kizazi.
Tishu za ukuta wa kizazi baadaye husababisha damu kuganda na kutokwa na damu nyingi muda mrefu wakati wa hedhi. Hivyo basi, naomba usishikwe na hofu kwa kuwa umefikia hatua ya kukaribia kukoma hedhi.

Endapo utaona hali ya mbonge ya damu sio ya kawaida, hakikisha kuwa unawahi hospitali kumuona daktari wako.

5. Mabonge Ya Damu Yasiyo Ya Kawaida
Unapoona mabonge madogo ya damu iliyoganda wakati wa hedhi, chanzo chake kinaweza kuwa damu iliyoganda isiyokuwa ya kawaida. Magonjwa mbalimbali ya kurithi yamekuwa yakifahamika kuwa yanaweza kumfanya mwanamke kupatwa na tatizo la kutokwa na damu muda mrefu. Kwa mfano, ugonjwa wa Von Willebrand.
Unapokuwa na ugonjwa huo, siku zako za hedhi zinaweza kuwa nyingi
Siku zako za hedhi zinaweza kuambatana na vibonge vidogovidogo vya damu.
Mwanamke mwenye ugonjwa wa kurithi hujeruhiwa kwa urahisi sana. Kwa nyongeza, anaweza kupata tatizo la kutokwa na damu siku zote mara kwa mara, kwa mfano; damu kutoka kwenye fizi au puani, hali ambayo inaweza kuwa ya muda mrefu. Moja ya masomo ambayo wanawake wote wanahitaji kuyakumbuka ni kwamba, kadiri damu inavyozidi kuganda na kutengeneza mabonge ya damu mabaya, usiwe na hofu, yawezekana mabonge hayo yanakuonyesha jambo fulani kuhusiana na afya yako.

6. Maambukizi
Aina ya kwanza ya maambukizi yanayoweza kusababisha hali hii ya kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi ni maambukizi katika via vya uzazi(P.I.D). Maambukizi ya aina hii huathiri viungo vya uzazi kwa mwanamke, na k**a tatizo hili litaendelea bila kufahamika vizuri, basi linaweza kusababisha uharibifu mkubwa katika mfumo wa uzazi wa mwanamke.

Habari njema ni kwamba kati ya visababishi vyote hakuna chanzo kisichokuwa na tatizo.

Ili kuzuia damu kutoka mabonge ni lazima kutibu/kushughulika na chanzo cha tatizo ambacho kimepelekea anticoagulants kuwa kidogo au homoni kushindwa kubalansi.

K**a umefaidika na nakala hii na ungependa kupata msaada wa haraka au kupata elimu zaidi ikiwemo maswali/ushauri/ Maoni na tiba ya uhakika usijali, unaweza kuwasiliana nami kwa msaada wakati wowote ndani ya masaa 24 BURE.
https://wa.me25562778016

19/04/2023

Born to save life

Here we go to save the world

Ikiwa unasumbuka na changamoto za ugumba na umezunguka katika huduma Mbali Mbali za afya pasipo matokeo mazuri unayohitaji,

Baasi tambua kuwa ewe siyo wakwanza, wapo walopitia hiyo changamoto lakin Leo wanamshukuru MUNGU Kwa kupata elimu yenye kuponya

Pia Kwa unasumbuliwa na u.t.i sugu, fangasi sugu, p.i.d,homon imbalances, vimbe kwenye kizazi, na hata kansa ya uzazi

Leo mekuandalia darasa maalumu na utafahamu kwanini ulikuwa huponi licha ya ushauri na dawa nyingi, pia utafahamu bayana kipi ufanye Kumaliza kabisa changamoto yako.

KARIBU
0627780216

19/04/2023

Mwaume Epuka Fedheha, Chukua Jukumu la Kujitibia Umalize Tatizo la Upungufu wa Nguvu za KIUME

Imarisha mfumo wa UZAZI, chukua jukumu la kumridhisha mwenza wako afurahi kuwa na ewe.

Mawasiliano
0627780216

19/04/2023

Changamoto yako ni miwasho??

Mwanadada, mama, binti .. fangasi, u.t.i sugu, P.i.d husababisha kushuka Kwa thamani yako kwani unakosa kujiamini mbele za watu, karibu nikupatie elimu itakayo kuponya

Mawasiliano
0627780216

04/02/2023

unafahamu kuwa tatizo la moyo kutanuka hupelekea kiharusi ??? Karibu

Nini Maana Ya Moyo Kutanuka?

Moyo kutanuka kwa kitaalamu cardiomegally, maana yake moyo wako umekuwa mkubwa kupita kiwango cha kawaida. Moyo unatanuka pale misuli yake inapofanya kazi kupita kiasi mpaka inapanuka na kufanya chemba za moyo nazo kutanuka.

🍇Kumbuka tu na ufahamu hili, kwamba moyo kutanuka siyo ugonjwa. Ni dalili ya ugonjwa fulani wa moyo unaopelekea mpaka moyo ufanye kazi kupita kiasi ya kupump damu. Magonjwa haya yanweza kuwa👇🏻👇🏻

👉🏼 kupanda kwa presha ya damu na
👉🏼 pia matatizo ya valve za kwenye moyo.

🍇Moyo uliotanuka hauwezi kusambaza damu vizuri kwenye maeneo mbalimbali ya mwili ukilinganisha na moyo mzima. Kitendo hichi kinakuweka kwenye hatari ya kupata kiharusi na hata moyo kufeli.

🍇Je unafahamu sababu ya moyo kutanuka??

Ni Kipi Chanzo Cha Moyo Kutanuka?

Chanzo kikubwa cha moyo kutanuka ni kupump damu kwa nguvu na hatimaye kutanuka ni kuziba kwa mishipa ya damu. Mishipa ya damu inaziba kwa kujikusanya kwa mafuta mabaya. Kuziba huku kwa mishipa kunapelekea misuli ya moyo itumie nguvu nguvu kusukuma damu, na hatimaye shinikizo la damu kupanda.

Pia Kuna vihatarishi vingine k**a👇🏻👇🏻

🩸maambukizi ya virusi kwenye moyo

🩸ukuaji wa valve za moyo usio wa kawaida

🩸mimba, hasa wakati wa kujifungua

🩸magonjwa ya figo

🩸matumizi makubwa ya pombe na dawa za kulevya

🩸maambukizi ya virusi vya Ukimwi

🩸matatizo ya kurithi

🩸matatizo ya tezi ya shingoni (thyroid)

🩸Shambulizi la moyo
Wakati wa shambulizi la moyo, sehemu kadhaa za moyo hazipati hewa ya kutosha ya oxygen na hivo kuathiri misuli ya moyo.

🩸Mabadiliko ya mapigo ya moyo mara kwa mara na kupelekea damu kurudi kwenye moyo na kuathiri misuli

🩸Upungufu wa damu

Ni Zipi Dalili Za Moyo Kutanuka?

Wakati mwingine tatizo la moyo kutanuka linaweza lioneshe dalili zozote linakutafuna taratibu bila hata ya wewe kujua. Dalili zikianza kujionyesha ni hizi hapa

📲kushindwa kupumua vizuri

📲mabadaliko ya mapigo ya moyo

📲kuvimba kwa miguu na vifungo vya miguu kutokana na kujaa maji

📲mwili kukosa nguvu na kizunguzungu

📲maumivu ya kifua

📲maumivu kwenye mikono, mgongo au shingo na kupoteza fahamu

Ukipata dalili hizi hakikisha unaenda hospitali mapema kupata vipimo ili uanze tiba.

Mazingira hatarishi zaidi yanayopelekea moyo kutanuka

Upo kwenye hatari zaidi ya kupatwa na shida ya moyo kutanuka endapo.

✅una shinikizo kubwa la damu

✅uzito mkubwa na kitambi

✅unaishi bila kufanya mazoezi ya viungo

✅familia yako iliwahi kuugua

✅una magonjwa ye tezi ya thyroid

✅unatumia madawa ya kulevya na pombe kupita kiasi na

✅k**a uliwahi kupatwa na shambulizi la moyo

Vipimo Kugundua tatizo la Moyo Uliotanuka

Daktari ataanza kwa kuuliza maswali kadhaa kuhusu dalili unazopata. Pia anaweza kupendekeza ufanyiwe X-ray ya moyo kuona k**a moyo umetanuka. Vipimo vingine vitafanyika kujua chanzo cha moyo wako kutanuka. Vipimo hivi ni k**a👇🏻👇🏻👇🏻

👉🏼Echocadiogram (ECHO)- kipimo kinatumia mawimbi ya sauti kucheki tatizo lolote kwenye chemba za moyo

👉🏼Electrocadiogram(ECG)- kipimo kinachofatilia umeme wa kwenye moyo ili kuona mabadiliko ya mapigo ya moyo.

👉🏼Kipimo cha damu-kuona k**a kuna tatizo la homoni

👉🏼CT-Scan– kipimo kinatumia mionzi ya X-rays kupata picha nyingi zaidi kuhusu moyo wako

👉🏼MRI– kipimo kinatumia nguvu ya usumaku kutoa picha za ndani ya moyo.

Tiba Ya Moyo Kutanuka

Daktari atapendekeza tiba kulingana na chanzo cha tatizo lako. Tiba hizi👇🏻👇🏻 zinaweza kujumuisha

💰dawa za kupunguza presha

💰pacemaker ama kifaa kingine cha kupandikizwa kuratibu mapigo ya moyo na

💰dawa za kumeza kwa ajili ya moyo uliofeli

Ushauri Kuhusu Mabadiliko Ya Mtindo Wa Maisha Kuepuka Tatizo

🥒Jiwekee ratiba ya kufanya mazoezi wala mara 4 kwa wiki

🥒Acha kuvuta sigara na upunguze unywaji wa pombe

🥒Anza kupunguza uzito kwa kufuata mpango wa lishe

🥒Punguza kula baadhi ya vyakula k**a vyakula vya sukari na wanga

Ikiwa makala hii imekuongezea maarifa kuhusu Afya yako basi waweza tumia kushare huu ujumbe ili kuweza kusaidia wengi wengi wenye uhitaji wa taarifa sahihi kuimarisha afya zao

Mawasiliano
+255627780216

05/09/2022

UNAJUA KWANINI UNA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME??

https://wa.me/message/OUDYUC5JIVIJJ1

PIGA: 0683753064
+Wanaume wengi wamekuwa wakisumbuliwa na changamoto ya nguvu za kiume, na kukimbilia kutibu changamoto bila kuangalia chanzo cha tatizo hivyo hupelekea kumuona kila mtoa huduma NI tapeli,
Lakin pia kushindwa kuzingatia tiba sahihi ya kutibu kabisa changamoto hii,,
Karibu nikujuze vyanzo kisha tuingie kwenye suluhisho
1. Kushirik kitendo cha kujichua kwa mda mrefu, hupelekea mishipa midogo midogo ya uume kusinyaa hivyo damu hushindwa kusafiri vizuri na uume kusimama lege lege, yapo madhara mengi ya kujichua lakin sio mada yetu ya Leo tutazungumzia siku nyingine.
2.Kuugua magonjwa sugu k**a vile, PRESSURE, KISUKARI, VIDONDA VYA TUMBO, BAWASIRI, TEZ DUME , N.K.
3. kuwa na msongo wa mawazo.
4. Kuwa na cholesterol nyingi mwilini
5.kukosa lishe ya vyakula ambavyo huongeza nguvu za kiume k**a vile karanga, mbegu za maboga, pweza, mihogo, parachichi, n.k

NI baadhi ya vyanzo ambavyo hupelekea changamoto ya nguvu za kiume, habari njema NI kwamba Mim Nina Bidhaa lishe ambayo husaidia kutibu kabisa changamoto ya nguvu za kiume kulingana na chanzo cha tatizo na ukubwa wa tatizo,

https://wa.me/message/OUDYUC5JIVIJJ1

naomba tuwasiliane kupitia simu namba 0683753064 whatsap/Call/SMS ili kupata Bidhaa lishe hizo

25/07/2022

*FAHAMU KWANIN HUPONI BAWASIRI*
Piga 0683753064
Bawasiri ni changamoto ambayo ipo katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, na ni ile hali ya kuota kijinyama kwenye njia ya haja kubwa, changamoto hii kwa ukubwa husababishwa na;
>Kujisaidia choo kigumu kwa mda mrefu
>Kukaa kitako kwa mda mrefu
>kunyanya vitu vizito
>mjamzito wakati wa kujifungua
>kuwa na uzito mkubwa
>Kulawitiwa,(kufanya tendo la ndoa kinyume na maumbile)
● *WATU WENGI WAMEKUWA WAKITIBU CHANGAMOTO HII LAKINI HUJIRUDIA MARA KWA MARA HII NI KWASABABU;*

>Kutaka kutibu changamoto ya kijinyama bila kuzingatia chanzo cha tatizo, k**a wew chanzo cha tatizo lako ni choo kigumu bas tibu kwanza choo kigumu kisha ondoa kijinyama.
>Kushindwa kubadilisha mfumo wa ulaji, vyema uwe unatumia vyakula na mboga mboga zenye nyuz nyuz k**a vile machungwa, mapapai, maembe, parachichi, ili kulainisha choo
>kushindwa kujua dawa sahihi ambayo inatibu changamoto, usifwate mkumbo bali tambua dawa thabiti kwakufwata ushauri wa daktari.

Habari njema ni kwamba nimewasaidia watu wengi sana ambao wameteswa na hii changamoto ya BAWASIRI na wamepona bila UPASUAJI, hivyo nawew jenga tumaini kupona changamoto yako kupitia bidhaa zile , napatikana kwa simu namba 0683753064

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam