jpandex

jpandex

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from jpandex, Health/Beauty, ilala Pangani, Dar es Salaam.

29/08/2023

Muhimu kufanya vipimo vya ultrasound kabla ya kuanza MATIBABU ya PID.

24/08/2023

ID,SABABU ZAKE,DALILI ZAKE,KUJIKINGA PAMOJA NA MADHARA YAKE:
PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (PID):
-Ni maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke.Na maambukizi haya kutokea ikiwa bacteria wanaoambukiza kwa njia ya kujamiiana watasambaa kutoka kwenye Uke kwenda kwenye mji wa mimba (Uterus),Mirija ya uzazi na kwenye O***y (ambapo mayai ya mwanamke hupatikana).
-Maambukizi ya PID mara nyingi husababishwa na Bacteria wanaosababisha Ugonjwa wa Kisonono na Chlamydia.Hivyo wanawake wenye Kisonono wapo hatarini zaid Kupata PID:
*_DALILI ZA MWANAMKE MWENYE PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)_*
-Zifuatazo ni dalili za mwanamke Mwenye PID:
⏬⏬⏬⏬

▶️ Maumivu ya kawaida ama makali chini ya kitovu.
▶️ Kutokwa Uchafu usio wa kawaida Ukeni ambao ni mzito wenye HARUFU MBAYA wenye rangi ya maziwa ama njano.
▶️ Maumivu makali wakati wa kujamiiana.
▶️ Hupata homa(joto laweza kupanda mpaka 110 F (38.3 °C).
▶️ Maumivu makali wakati wa kukojoa na hupelekea Kupata ugumu wakati wa kukojoa.
▶️ Hupatwa na kichefuchefu.
▶️ Kutapika
▶️ Miwasho sehemu za siri
▶️ Uchovu
▶️ Uke kuwa mlaini sana
▶️ Kizunguzungu
▶️ Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi.
▶️ Kuvurugika kwa Hedhi.
▶️ Maumivu ya kiuno

*ATHARI ZA PID*
⚫ Ugumba kwa wanawake
⚫ Kupata Kansa ya shingo ya Uzazi.
⚫ Kutunga mimba nje ya kizazi kutokana na yai kushindwa kufika katika mji wa mimba kutokana na madhara ya PID katika mirija ya Uzazi.
⚫ KUSABABISHA majeraha nje na ndani ya mirija ya uzazi na hii hupelekea kuziba kwa mirija ya Uzazi.
⚫ Maumivu ya tumbo /ngonga mara kwa mara baada ya tendo la ndoa na kipindi cha uchavushwaji mayai (Ovulation).

JINSI YA KUEPUKA/KUJIKINGA NA PID:
⚫ Epuka kuvaliana nguo za ndani.
⚫ Kuwa na tabia ya kupima mara kwa mara mfumo wako wa Uzazi.
⚫ Kuwa msafi wa mwili na nguo zako za ndan
⚫ Kula lishe bora.
⚫ Epuka kufanya tendo la ndoa na mwenza wako mara baada ya kugundua ana magonjwa ya kujamiiana (STDs).
Tumia dawa Asili iitwayo UROGETIX kwa matibabu ya haraka ya PID.

TIBA NA USHAURI
⏬⏬⏬⏬⏬⏬
Tiba Asili Tanzania
PANDEX HERBS CLINIC
0774 209 882

19/08/2023

JE WAJUA KWAMBA BAWASIRI INAWEZA KUKUSABABISHIA KANSA YA UTUMBO (Re**al Cancer) isipotibiwa kwa wakati?

Dr. Jaylaan
0774209882

Bawasiri imekuwa ikiwatesa watu wengi sana na kupelekea wengi wao kutapeliwa katika Matibabu kutokana na kuumwa kwao. Hii inatokana na watu wengi wanaojinadi kuwa wanatibu Bawasiri kutoijua Bawasiri vizuri na hivyo husababisha watu wengi kuamini kuwa Bawasiri haitibiki.

Zaidi ya Asilimia 75% ya wagonjwa ambao wamekuja wanaumwa Bawasiri hawajui sababu hasa ya wao kupata Bawasiri na matokeo yake wamekuwa wakidhani dawa pekee ndio suluhilo hali ya kuwa si kweli.

DAWA NI SEHEMU TU KATIKA MATIBABU.

10/08/2023

WATU WENGI WAMEKUWA WAKISUMBULIWA NA CHANGAMOTO YA BAWASIRI BILA MAFANIKIO

JE WAJUA KWAMBA BAWASIRI INAWEZA KUKUSABABISHIA KANSA YA UTUMBO (Re**al Cancer)?

Bawasiri imekuwa ikiwatesa watu wengi sana na kupelekea watu wengi kutapeliwa katika Matibabu kutokana na kuumwa kwao.Hii inatokana na watu wengi wanaojinadi kuwa wanatibu Bawasiri kutoijua Bawasiri vizuri na hivyo husababisha watu wengi kuamini Bawasiri haina haitibiki.

Zaidi ya Asilimia 75% ya wagonjwa ambao wamekuja wanaumwa Bawasiri hawajui sababu hasa ya wao kupata Bawasiri na matokeo yake wamekuwa wakidhani dawa pekee ndio suluhilo hali ya kuwa si kweli.
Dawa inakuwa ni sehemu tu katika MATIBABU.
Jambo la muhimu kabla ya MATIBABU ya dawa ni kufanya sababu iliyokupelekea wewe kupata Bawasiri.

Wasiliana nasi PANDEX HERBAL clinic Utapata OFA ya kujua njia muhimu za kufuata ili KUPONA Bawasiri yako iliyokusumbua kwa muda mrefu.

HUDUMA ZETU UTAZIPATA POPOTE ULIPO NDANI NA NJE YA TANZANIA
PANDEXHERBAL CLINIC TZ.
ILALA BOMA, PANGANI STREET DSM.
0774209882
Karibu tukusaidie.

25/03/2023

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWAGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)

Gastroesophageal reflux disease (GERD). -Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

Watu wengi sana wanasumbuliwa na tatzo hili bila wao kujua wanasumbuliwa na tatzo hili na hufikia hatua wengine kudhani wamerogwa kutokana na dalili ya tatzo hili. Tutaangalia hatua za GERD pamoja na dalili ambazo mtu anaweza kugundua kuwa anasumbuliwa na tatzo hili

HATUA ZA GERD (GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE)
Zipo hatua 4 ambazo GERD (kuzid kwa acid tumbon) hupitia,hatua hizo ni k**a ifuatavyo:⤵️

A .*HATUA YA KWANZA (MILD GERD).*
Wengi katika watu wanaosumbuliwa na GERD huangukia katika hatua hii ya kwanza ya GERD ambapo tatizo huwa katika hatua za mwanzo sana.

*DALILI ZA GERD HATUA YA KWANZA (MILD GERD)*
1.🖇️ Kiungulia
2.🖇️ Maumivu ya kifua
3.🖇️ Kuhisi k**a kuna vitu vya kunata katika kooni
4.🖇️ Kucheua chakula au vinywaji

⚫ Katika Hatua hii,mtu anaweza kujitibia kwa kubadili mfumo wake wa maisha kwa kuepuka vyakula na mifumo isiyofaa kutokana na hali yake mfano ajiepushe na Caffeine, pombe,vyakula vyenye mafuta mengi nk. Lakini pia ni rahisi mgonjwa kupona akitumia dawa katika hatua hii ya awali.

B. *HATUA YA PILI YA GERD (MODERATE GERD)*
Katika hatua hii,watu wenye GERD hupatwa na dalili za GERD mara kadhaa ndani ya wiki na dalili zake hutokea mara kwa mara ukilinganisha na Hatua ya kwanza na dalili huanza kuwa kali kiasi.

*DALILI ZA GERD HATUA YA PILI (MODERATE GERD)*
1.🖇️ Kiungulia kikali kiasi
2.🖇️ Maumivu ya kifua
3.🖇️ Kuhisi uteute wenye kunata kooni
4.🖇️ Kucheua chakula au vinywaji
5.🖇️ Moyo kupaparika(Heart palpation)

⚫ Katika hatua hii,mtu anahitajia matibabu ya dawa pia kumshirikisha daktar kwaajili ya ushauri wa kimatibabu na dawa.

C. *HATUA YA TATU YA GERD (SEVERE GERD)*
Katika hatua hii,asilimia 15% ya wagonjwa waliopo katika hatua hii hupata dalili za GERD kali mara nyingi zaid kwa wiki au kila siku.

*DALILI ZA GERD HATUA YA TATU (SEVERE GERD)*
1.🖇️ Kiungulia kikali
2.🖇️ Kucheua sana chakula na vinywaji na wakati mwingine kucheua Acid (uchachu)
3.🖇️ Kuvimba kwa koo(sore throat)
4.🖇️ Kikohozi kisichoisha
5.🖇️ Sauti ya kukwaruza
6.🖇️ Mapigo ya moyo kwenda kasi
7.🖇️ Wasiwasi uliopita kiasi bila sababu
8.🖇️ Kuota ndoto za kutisha
9.🖇️ Kichwa Kuvurugika na kuhisi kuchanganyikiwa
10.🖇️ Kizunguzungu
11.🖇️ Maumivu ya kichwa
12.🖇️ Macho kupungua nguvu ya kuona
13.🖇️ Maumivu makali ya mgongo
14.🖇️ Mwili kudhoofika
15.🖇️ Kuhisi dunia imekutenga
16.🖇️ Kujisaidia choo kigumu zaidi.

⚫ Katika hatua hii,GERD isipochukuliwa hatua basi kuna hatari ya mtu kupata matatzo makubwa zaid ya kiafya k**a vile KANSA YA KOO (EUSOPHAGEAL CANCER).

D. *HATUA YA NNE YA GERD (REFLUX-INDUCED PRECANCEROUS LESIONS/ESOPHAGEAL CANCER)*
Hatua hii inawakilisha matatzo makubwa zaidi kwa GERD ya muda mrefu na inakadiriwa ya kwamba,asilimia 10% ya wagonjwa wa GERD hufikia hatua hii ikiwa GERD haijadhibitiwa kwa muda mrefu. Hatua hii mgonjwa anaweza kupata Kansa ya koo nk.

*DALILI ZA GERD HATUA YA NNE*
1.🖇️ Kiungulia kikali
2.🖇️ Kucheua vyakula na vinywaji
3.🖇️ Sauti kukwaruza
4.🖇️ Kikohozi kikali
5.🖇️ Chakula kukwama kooni/kunasa koona wakati wa kula.
6.🖇️ Pamoja na dalili zote zilizopo katika hatua ya 3 ya GERD.

⚫Katika hatua hii mgonjwa anaweza kupata changamoto k**a vile *esophageal strictures*,*Barrett’s esophagus* na hata KANSA YA KOO *(esophageal cancers)*
MATIBABU YA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI-GERD

-Matibabu ya KUZIDI kwa Acid tumbon yamegawanyika katika aina mbili k**a ifuatavyo:

MATIBABU YA KISASA:
-Matibabu haya yanahusisha utumiaji ya njia za hospital katika matibabu ikiwemo utumiaji wa PPIs(Proton pump inhibitors), Antacids, Histamine, H-2 Blockers k**a vile Cimetidine (tagament HB), famotidine (Pepcid AC), Nizatidine (Axid AR) -esomeprazole (Nexium), lansoprazole (Prevacid), omeprazole (Prilosec), pantoprazole (Protonix), rabeprazole (Aciphex) and dexlansoprazole (Dexilant) .Magnesium nk.
Dawa hizi zimekuwa zikitumiwa sana na watu wenye changamoto za Acid nying tumboni na miongoni mwa changamoto ni kwamba dawa hizi zimekuwa zikionesha msaada mdogo sana kwa asilimia kubwa ya wagonjwa na hutoa naafuu ya muda tu.

2. MATIBABU KWA TIBA ASILI/TIBA MBADALA.

-Njia hii inahusisha matibabu kwa kutumia mimea tiba na imeonekana kuwa na ufanisi mkubwa kutokana na uwezo mkubwa wa mimea mingi katika kupambana na magonjwa mbalimbali kwasababu mimea kutibu kiini cha tatzo kwa kuzifanya kuwa mpya seli za mwili hivyo kuufanya mwili kuwa na uwezo mpya katika kufanyakazi zake.

-Ziko dawa nyingi asilia zenye uwezo mkubwa wa kupambana na matatzo ya ACID nying tumboni,mfano PEPTIC ULCERS + kutoka PANDEX HERBAL clinic.

Wasiliana nasi pandexherbal clinic :
0774209882
Dar es salaam- ilala boma, Pangani street

17/03/2023

WATU WENGI WAMEKUWA WAKISUMBULIWA NA CHANGAMOTO YA BAWASIRI BILA MAFANIKIO

Dr. Jaylaan
0774209882

Zaidi ya Asilimia 75% ya wagonjwa ambao wamekuja wanaumwa Bawasiri hawajui sababu hasa ya wao kupata Bawasiri na matokeo yake wamekuwa wakidhani dawa pekee ndio suluhilo hali ya kuwa si kwel.

▶️Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa kinyama,miwasho,maumivu makali na kutoa damu

*MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI*
▶️ Uzito kupita kiasi(Overweight)
▶️ Ujauzito
▶️ Unywaji pombe
▶️ Kukaa sana sehemu ngumu
▶️ Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa.
▶️ Kujisaidia Choo Kigumu.Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya TUMBO
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni
▶️ Kula sana nyama nyekundu
▶️ Presha ya kupanda
▶️ Kula sana pilipili
▶️ kutumia vyoo vya kukaa.

MATIBABU YA UGONJWA WA BAWASIRI:
⤵⤵⤵⤵⤵⤵⤵
Kuna matibabu aina mbili katika kutibu ugonjwa wa Bawasiri:

1.📎 MATIBABU YA KISASA
-Matibabu ya kisasa yanahusisha matibabu ya Hospital ambapo tiba kubwa ya Bawasiri kwa hospital ni kufanyiwa upasuaji mdogo ( *minor surgery*) kwaajili ya kuondoa kinyama. Changamoto kubwa ya matibabu haya ni kwamba asilimia kubwa ya wagonjwa wanaofanya upasuaj wa tatzo hili tatizo hujirudia kwasababu upasuaji huondoa athari ya tatzo na si mzizi wa tatizo yaani ni sawa na kukata mti kisha ukaacha mizizi bila shaka mti huo utachipua na kumea tena.Lakini pia Upasuaji wa Bawasiri huwa na maumivu makali sana na uponaji wa kidonda hufika mpaka miezi miwili,hali hii ya kukaa na kidonda kwa muda mrefu kunaweza kupelekea kupata Kansa ya utumbo ( *Colorectal Cancer*).

2.📎 MATIBABU KWA NJIA ASILI
-Matibabu haya yanahusisha utumiaji wa dawa zinazotokana na mimea dawa.Dawa hizi Hutibu Bawasiri bila kufanya upasuaji na huweza kuleta matokeo ya haraka kwa mgonjwa endapo atatumia dawa huku akijitahid kujiepusha na visababishi vyote vinavyopelekea mtu kupata Bawasiri. Zipo dawa asili nyingi na nzur sana katika kutibu Bawasiri, mfano wa dawa hizo ni *Bawasiri Fluid na Bawasiri powder*,dawa hizi zina ufanisi mkubwa katika kutibu Bawasiri endapo Mgonjwa atazingatia maelekezo.

Karibu tukusaidie
Pandexherbal clinic,
Ilala boma Dar es salaam

17/03/2023
15/03/2023

Bawasiri ni nini?*
*Bawasiri* Ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya dawa sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama ambacho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/mgongo nk.

▶️Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa kinyama, miwasho,maumivu makali na kutoa damu.

*MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI*

▶️ Uzito kupita kiasi(Overweight)
▶️ Ujauzito
▶️ Unywaji pombe
▶️ Kukaa sana sehemu ngumu
▶️ Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa.
▶️ Kujisaidia Choo Kigumu.Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya TUMBO
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni
▶️ Kula sana nyama nyekundu
▶️ Presha ya kupanda
▶️ Kula sana pilipili
▶️ Kula udongo(Wajawazito na watoto wadogo)

*AINA ZA BAWASIRI*⤵️
-Kuna aina 2 za Bawasiri k**a ifuatavyo⤵⤵⤵⤵

1⃣. BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.

2️⃣.BAWASIRI YA NDANI
Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.

Bawasiri ya ndani ina hatua NNE ambazo ni:⤵⤵⤵⤵

1. *HATUA YA KWANZA*
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekan wakati wa kujisaidia.

2. *HATUA YA PILI*
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia

3. *HATUA YA TATU*
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe ama inaweza kurud yenyewe baada ya muda

4. *HATUA YA NNE*
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi baada ya kujisaidia.

Ili kugundua bawasiri za ndani au kuondoa hali zingine, unaweza kuhitaji uchunguzi wa kina zaidi, pamoja na:

*Anoscopy*. Daktari wako anatumia mirija mifupi ya plastiki inayoitwa anoscope kuangalia kwenye mfereji wako wa haja kubwa.

*Sigmoidoscopy*. daktari wako anaangalia kwenye koloni yako kwa mrija unaonyumbulika unaoitwa sigmoidoscope. Wanaweza pia kutumia bomba kuchukua tishu kidogo kwa vipimo.

*Colonoscopy.* Daktari wako hutazama utumbo wako wote kwa kutumia mirija ndefu inayonyumbulika inayoitwa colonoscope. wanaweza pia kuchukua sampuli za tishu au kutibu matatizo mengine wanayopata.

*DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI*
1.📎kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.📎kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.📎kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
4.📎kupata kinyesi chenye damu
5.📎kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
6.📎 Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya

*ATHARI ZA BAWASIRI*
1.📎Upungufu wa damu mwilini.
2.📎Kutokwa na kinyesi bila kujitambua.
3.📎kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.
4.📎kupungukiwa nguvu za kiume.
5.📎kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu.
6.📎Kupata tatizo la kisaikolojia.
7.📎Kutopata ujauzito
8.📎 Mimba kuharibika
10.📎 Kupata kansa ya utumbo ( *Colorectal cancer*)
11.📎 Mwili kudhoofika

MATIBABU YA UGONJWA WA BAWASIRI:
⤵⤵⤵⤵⤵⤵⤵
1.📎 MATIBABU YA KISASA
-Matibabu ya kisasa yanahusisha matibabu ya Hospital ambapo tiba kubwa ya Bawasiri kwa hospital ni kufanyiwa upasuaji mdogo ( *minor surgery*) kwaajili ya kuondoa kinyama. Changamoto kubwa ya matibabu haya ni kwamba asilimia kubwa ya wagonjwa wanaofanya upasuaj wa tatzo hili tatizo hujirudia kwasababu upasuaji huondoa athari ya tatzo na si mzizi wa tatizo yaani ni sawa na kukata mti kisha ukaacha mizizi bila shaka mti huo utachipua na kumea tena.Lakini pia Upasuaji wa Bawasiri huwa na maumivu makali sana na uponaji wa kidonda hufika mpaka miezi miwili,hali hii ya kukaa na kidonda kwa muda mrefu kunaweza kupelekea kupata Kansa ya utumbo ( *Colorectal Cancer*).

2.📎 MATIBABU KWA NJIA ASILI
-Matibabu haya yanahusisha utumiaji wa dawa zinazotokana na mimea dawa. Dawa hizi Hutibu Bawasiri bila kufanya upasuaji na huweza kuleta matokeo ya haraka kwa mgonjwa endapo atatumia dawa huku akijitahid kujiepusha na visababishi vyote vinavyopelekea mtu kupata Bawasiri.
Zipo dawa asili nyingi na nzur sana katika kutibu Bawasiri, mfano wa dawa hizo ni *Bawasiri Fluid na Bawasiri powder*,dawa hizi zina ufanisi mkubwa katika kutibu Bawasiri endapo Mgonjwa atazingatia maelekezo.

Kwa tiba na ushauri wasiliana nasi ,
Pandexherbal clinic tz,
Ilala Dsm - Pangani Street.
+255774209882

25/02/2023

PID, SABABU ZAKE, DALILI ZAKE PAMOJA MATIBABU YAKE

PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (PID):

-Ni maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke. Na maambukizi haya kutokea ikiwa bacteria wanaoambukiza kwa njia ya kujamiiana watasambaa kutoka kwenye Uke kwenda kwenye mji wa mimba (Uterus),Mirija ya uzazi na kwenye O***y (ambapo mayai ya mwanamke hupatikana).

-Maambukizi ya PID mara nyingi husababishwa na Bacteria wanaosababisha Ugonjwa wa Kisonono na Chlamydia.Hivyo wanawake wenye Kisonono wapo hatarini zaid Kupata PID.

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE):

-Zifuatazo ni dalili za mwanamke Mwenye PID:
▶️ Maumivu ya kawaida ama makali chini ya kitovu.

▶️ Kutokwa Uchafu usio wa kawaida Ukeni ambao ni mzito wenye HARUFU MBAYA wenye rangi ya maziwa ama njano.

▶️ Maumivu makali wakati wa kujamiiana.

▶️ Hupata homa(joto laweza kupanda mpaka 110 F (38.3 °C).

▶️ Maumivu makali wakati wa kukojoa na hupelekea Kupata ugumu wakati wa kukojoa.

▶️ Hupatwa na kichefuchefu.

▶️ Kutapika.

▶️ Miwasho sehemu za siri.

▶️ Uchovu.

▶️ Uke kuwa mlaini sana.

▶️ Kizunguzungu.

▶️ Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi.

▶️ Kuvurugika kwa Hedhi.

▶️ Maumivu ya kiuno

ATHARI/MADHARA YA PID:

⚫ Ugumba kwa wanawake

⚫ Kupata Kansa ya shingo ya Uzazi.

⚫ Kutunga mimba nje ya kizazi kutokana na yai kushindwa kufika katika mji wa mimba kutokana na madhara ya PID katika mirija ya Uzazi.

⚫ KUSABABISHA majeraha nje na ndani ya mirija ya uzazi na hii hupelekea kuziba kwa mirija ya Uzazi.

⚫ Maumivu ya tumbo /ngonga mara kwa mara baada ya tendo la ndoa na kipindi cha uchavushwaji mayai (Ovulation).

JINSI YA KUEPUKA/KUJIKINGA NA PID:

⚫ Epuka kuvaliana nguo za ndani.

⚫ Kuwa na tabia ya kupima mara kwa mara mfumo wako wa Uzazi.

⚫ Kuwa msafi wa mwili na nguo zako za ndan

⚫ Kula lishe bora.

⚫ Epuka kufanya tendo la ndoa na mwenza wako mara baada ya kugundua ana magonjwa ya kujamiiana (STDs)

Tumia dawa Asili iitwayo UROGETIX 5 kwa matibabu ya haraka na uhakika ya PID.

TIBA NA USHAURI

⏬⏬⏬⏬⏬⏬

Pangani Street - ilala boma, Dar es salaam

PANDEX HERBAL CLINIC Tz
Dr. Jaylaan
+255774209882

25/02/2023

DALILI ZA UGONJWA WA NGIRI/HERNIA KWA WANAUME:

Ingawa Kuna vipimo mbalimbali vya kupima tatizo la Ngiri hospitalini, pamoja na hilo, vipimo vinaweza kuthibitisha kuwa ni muhanga wa tatizo hili pale tu inapotokea tayari umejitokeza uvimbe. Kinyume na hapo vipimo haviwezi kuonesha tatizo. Tambua unaweza kuifahamu Ngiri kupitia dalili zake zifuatazo.

Na mara ugunduapo una dalili hizi fanya haraka kupata MATIBABU:

1. Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.

2. Kupiga mingurumo tumboni.

3. Kujaa gesi tumboni.

4. Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.

5. Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.

6. Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.

7. Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.

8. Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.

9. Nuru ya macho hupotea taratibu.

10. Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.

11. Kuvutwa makende au upande mmoja maumivu.

12. Kupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.

13. Maumivu makali ya mgongo au kiuno

14. Uume kusinyaa na kunywea k**a wa mtoto.

Kwa tiba na ushauri kuhusiana na magonjwa mbalimbali wasiliana nasi.

PANDEXHERBAL CLINIC
Pangani, ilala- Dar es salaam.
Contact: 0774209882

19/02/2023

Dr.. jaylaan,
0774209882
Pandexherbal clinic
Pangani Street- ilala, Dar es salaam.

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWAGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)

*Gastroesophageal reflux disease (GERD).*
-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

Watu wengi sana wanasumbuliwa na tatzo hili bila wao kujua wanasumbuliwa na tatzo hili na hufikia hatua wengine kudhani wamerogwa kutokana na dalili ya tatzo hili. Tutaangalia dalili ambazo mtu anaweza kugundua kuwa anasumbuliwa na tatzo hili.

*DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux)*
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🖇️ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🖇️ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🖇️ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🖇️ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🖇️ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🖇️ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🖇️ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🖇️ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🖇️ Kupata kikokozi kisichoisha
11.🖇️ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🖇️ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🖇️ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🖇️ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🖇️ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.🖇️ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🖇️ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.🖇️ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.🖇️ Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.🖇️ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.🖇️ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.🖇️Kichefuchefu na kutapika.

*MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI*
1.🖇️ Uvutaji wa sigara
2.🖇️ Unywaji wa pombe
3.🖇️ Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
4.🖇️ Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
5.🖇️ Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.
6.🖇 Kutumia baadhi ya Madawa k**a vile ASPIRIN
7.🖇️ Ngiri ya kifua pia husababisha GERD lakin pia GERD huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Hiatal hernia)
8.🖇️ Kuwa Mjamzito
9.🖇️ Uzito kupita kiasi (Obesity)
10.🖇️ Matatzo ya mmeng'enyo wa chakula au kuchewa Kujisaidia pindi uhisipo haja kubwa.

*MATIBABU YA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI-GERD*
-Matibabu ya KUZIDI kwa Acid tumbon yamegawanyika katika aina mbili k**a ifuatavyo:⤵️⤵️

1️⃣ *MATIBABU YA KISASA*
-Matibabu haya yanahusisha utumiaji ya njia za hospital katika matibabu ikiwemo utumiaji wa PPIs(Proton pump inhibitors),Antacids,Histamine, H-2 Blockers k**a vile Cimetidine (tagament HB),famotidine (Pepcid AC),Nizatidine (Axid AR)
-esomeprazole (Nexium), lansoprazole (Prevacid), omeprazole (Prilosec), pantoprazole (Protonix), rabeprazole (Aciphex) and dexlansoprazole (Dexilant) .Magnesium nk.
Dawa hizi zimekuwa zikitumiwa sana na watu wenye changamoto za Acid nying tumboni na miongoni mwa changamoto ni kwamba dawa hizi zimekuwa zikionesha msaada mdogo sana kwa asilimia kubwa ya wagonjwa na hutoa naafuu ya muda tu.

2️⃣ *MATIBABU KWA TIBA ASILI/TIBA MBADALA.*
-Njia hii inahusisha matibabu kwa kutumia mimea tiba na imeonekana kuwa na ufanisi mkubwa kutokana na uwezo mkubwa wa mimea mingi katika kupambana na magonjwa mbalimbali kwasababu mimea kutibu kiini cha tatzo kwa kuzifanya kuwa mpya seli za mwili hivyo kuufanya mwili kuwa na uwezo mpya katika kufanyakazi zake.

-Ziko dawa nyingi asilia zenye uwezo mkubwa wa kupambana na matatzo ya ACID nying tumboni,mfano *PEPTIC ULCERS kutoka PANDEX HERBAL CLINIC*

11/02/2023

FAHAMU KUHUSU REFLUX YA ACID:
Hii ni hali ambayo hutokea wakati wa yale yaliyomo ndani ya tumbo kurudi Kwenye umio (mrija unaounganisha kati ya tumbo na mdomo).

Unapomeza chakula sphincter muscles ya chini hulegea na kufunguka ili kuruhusu chakula kishuke Kwenye tumbo. Ikiwa misuli hii italegea kusiko Kawaida au kudhoofika, acid iliyoko tumboni inaweza kurudi Kwenye umio na kusababisha ACID REFLUX au KIUNGULIA chenye maumivu.

-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni, miongoni mwa dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.

2.🖇️ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.

3.🖇️ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.

4.🖇️ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.

5.🖇️ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.

6.🖇️ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.

7.🖇️ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.

8.🖇️ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.

9.🖇️ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.

10.🖇️ Kupata kikokozi kisichoisha

11.🖇️ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.

12.🖇️ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.

13.🖇️ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki

14.🖇️ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).

15.🖇️ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.

16.🖇️ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.

17.🖇️ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.

18.🖇️ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.

19.🖇️ Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.

20.🖇️ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.

21.🖇️ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo..
22.🖇️Kichefuchefu na kutapika.

Kwa tiba na ushauri kuhusu acid REFLUX wasiliana nasi pandexherbal clinic.
Contact : 0774 209 882
Ilala Pangani Street - Dar es salaam

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Telephone

Address


Ilala Pangani
Dar Es Salaam
PANGANI&UTETESTREET.NO.18GROUNDFLOOR