AFYA YETU
WE CARE ABOUT HEALTH FIRST
KARIBU KWA UTATUZI WA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KIAFYA..
24/10/2023
Hii pia huimarisha kinga ya mwili!
Tule matunda kwa wingi haswa machungwa na mboga mboga kwa wingi!
07/09/2023
๐๐๐๐ผ ๐๐๐๐ ๐๐ผ ๐๐ผ๐๐ผ ๐๐๐ผ ๐๐ผ๐๐ผ ๐๐ฟ๐ ๐๐ผ๐ฝ๐ผ๐ฝ๐ ๐๐๐ฝ๐๐ผ ๐๐๐ผ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ผ ๐๐๐ ๐๐๐ฝ๐๐๐๐๐๐ผ,
Sasa fahamu sababu zinazoweza kupelekea hamu ya kula mara kwa mara soma mpaka mwisho:-
๐. ๐๐๐๐๐๐๐
๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐
Mwili wako unaweza kutamani vyakula maalum kwa sababu unakosa virutubisho fulani kwa mfano, tamaa ya chokoleti inaweza kuwa ishara ya upungufu wa magnesium.
๐. ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
Stress, kuchoka au hisia hasi zisizofaa zinaweza kuchochea tamaa ya vyakula vya kuwafariji watu mara nyingi hugeuza chakula k**a njia ya kukabiliana na Wanachopitia.
๐. ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐
Kubadilika kwa homoni wakati wa mzunguko wa hedhi kunaweza kusababisha hamu ya kula kuongezeka hasa kwa vyakula vya sukari au mafuta mengi.
๐. ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐ (๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐)
Kula mlo ulio na vyakula vingi vilivyochakatwa, sukari, na wanga iliyosafishwa kunaweza kusababisha kuongezeka kwa sukari kwenye damu na hivyo kusababisha kutamani zaidi kwa vyakula hivi.
๐. ๐๐๐๐๐๐
๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐
Kukosa usingizi kunaweza kuvuruga homoni zinazohusika na udhibiti wa hamu ya kula na kusababisha kuongezeka kwa tamaa ya kula hasa kwa vyakula vyenye calories nyingi.
๐. ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Kuonekana au kunusa kwa vyakula fulani kunaweza kusababisha tamaa ya kula hasa ikiwa umeshawahi kujihusisha na vyakula hivyo.
๐๐๐ฒ๐น๐ฒ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฏ๐ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐บ๐ฎ๐ป๐ถ๐ผ ๐๐ฎ๐ธ๐ผ ๐ธ๐๐ป๐ฎ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ธ๐๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ถ๐ฎ ๐ธ๐๐ฝ๐ฎ๐๐ฎ ๐ป๐ท๐ถ๐ฎ ๐บ๐ฏ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐น๐ฎ ๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐ฎ๐ณ๐๐ฎ ๐ฎ๐ ๐บ๐ถ๐ธ๐ฎ๐ธ๐ฎ๐๐ถ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ถ๐ฑ๐ต๐ถ๐ฏ๐ถ๐๐ถ ๐ธ๐๐๐ถ๐ธ๐ถ๐น๐ถ๐๐ฎ ๐ถ๐๐ต๐ฎ๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ ๐บ๐๐ถ๐น๐ถ ๐๐ฎ๐ธ๐ผ ๐ป๐ฎ ๐ธ๐๐๐ต๐๐ด๐ต๐๐น๐ถ๐ธ๐ถ๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ต๐ถ๐๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ฒ ๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐บ๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ ๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐บ๐ถ๐ต๐ฒ๐บ๐ธ๐ผ ๐ฎ๐ ๐๐ฎ ๐น๐ถ๐๐ต๐ฒ ๐ถ๐ป๐ฎ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ถ๐ฎ ๐ธ๐๐ฝ๐๐ป๐ด๐๐๐ฎ ๐ป๐ด๐๐๐ ๐ป๐ฎ ๐บ๐๐๐ป๐ด๐๐ธ๐ผ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐บ๐ฎ๐ป๐ถ๐ผ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐ผ๐๐๐ผ.
23/08/2023
*FAHAMU KUHUSU P2 (POSTINOR-2)*
P2 ni kifupi na Postinor-2, ni dawa inayotumika kwa dharula tu baada ya tendo ndoa(ngono isiyo salama) . Vidonge vya P2 havitakiwi kutumika k**a njia ya m Mara kwa kuzuia mimba*
๐งVidonge vya P2 vinafanya kazi kwa kuzuia yai kupevuka wakati wa mzunguko wa hedhi.(OVULATION) Pia P2 inafanya uteute wa ukeni kuwa mzito sana na kufanya mbegu kushindwa kuogelea kwenda kwenye yai. Kazi ingine ya P2 ni kubadili ukuta wa mji wa mimba ili kuzuia mimba kujishikiza.
๐ NB:ikumbukwe pia p2 HUHARIBU uzalishaji wa homoni za uzazi k**a lutenizing hormone na projesteroni, Hapo kufanya mtu asiweze kupata mimba hata k**a akishiriki tendo la ndoa kwa siku za hatari
๐k**a zinaharibu mpangilio mzuri wa homoni za uzazi kwa mwanamke basi ni sababu kubwa mojawapo ya HORMONAL IMBALANCE (MVURUGIKO WA HORMONI) hvyo kuleta shida katika mfumo wa uzazi wa mwanamke
Kwa wahanga ambao wamekuwa wakitumia P2 na njia nyingine za uzazi wa mpango kwa muda mrefu na Hormone zao zimeharibika.
Wanakumbwa na changamoto za uzazi zifuatazo.
๐ฅ KUTOPATA HEDHI HUKU UMRI WA HEDHI KUKOMA BADO.
๐ฅ KUKOSA UTEUTE
๐ฅMAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA LIKIAMBATANA NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA!
๐ฅ MAYAI KUTOPEVUKA
๐ฅMAUMIVU MAKALI KIPINDI CHA HEDHI.
๐ฅ VIMBE KWENYE KIZAZI
๐ฅ MIRIJA YA UZAZI KUZIBA.
Tunawasaidia watu kutatua changamoto zote hizi kwa njia za asilia kabisa.
karibu inbox Kwa maelezo zaidi call/whatsaap /0712139931 /0744113534/0673842739
PRINCESS PILL
NAMNA TUNAVYO SAIDIA WATU KUZIBUA MIRIJA YA UZAZI NA KUONDOA AINA MBALIMBALI ZA UCHAFU NDANI YA MJI WA UZAZI.
TEKNOLOJIA HII INAZIBUA MIRIJA KWA URAHISI MNO BILA MAUMIVU NA KWA GHARAMA NAFUU.
๐TIBA HII PIA INAONDOA CHANGAMOTO NYINGINE NYINGI KWENYE MFUMO WA UZAZI! K**A VILE:-
KUIMARISHA MISULI NDANI NA NJE YA UZAZI
๐ KURUDISHA SELI ZILIZOKUFA KWENYE KUTA ZA MJI WA MIMBA NA KWENYE SHINGO AMA MLANGO WA UZAZI!
๐INAREJESHA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA WANAWAKE!
๐INA NGUVU KUBWA YA KUPAMBANA NA BACTERIA WABAYA HIVYO KUWA TIBA NZURI KWA MAGONJWA YANAYOSABABISHWA NA BACTERIA WABAYA! K**A VILE UTI SUGU NA P I D sugu.
๐ TUPO UBUNGO NA MANZESE DAR ES SALAAM N
KWA MIKOA MWINGINE UNAWEZA KUPATA HUDUMA KWA KUWASILIANA NA SISI KWA SIMU AMA MITANDAO YA KIJAMII
๐0712139931 /0744113534 /0620238090
YOUTUBE: AFYA YETU
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
UBUNGO PLAZA/MANZESE
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |

18/07/2024
15/05/2024