AFYA YETU

AFYA YETU

Share

WE CARE ABOUT HEALTH FIRST

21/09/2024

KARIBU KWA UTATUZI WA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KIAFYA..

24/10/2023

Hii pia huimarisha kinga ya mwili!
Tule matunda kwa wingi haswa machungwa na mboga mboga kwa wingi!

13/10/2023
07/09/2023

๐™†๐™๐™‡๐˜ผ ๐™Š๐™‘๐™”๐™Š ๐™‰๐˜ผ ๐™ˆ๐˜ผ๐™๐˜ผ ๐™†๐™’๐˜ผ ๐™ˆ๐˜ผ๐™๐˜ผ ๐™‰๐˜ฟ๐™Š ๐™Ž๐˜ผ๐˜ฝ๐˜ผ๐˜ฝ๐™ ๐™†๐™๐˜ฝ๐™’๐˜ผ ๐™„๐™‰๐˜ผ๐™”๐™Š๐™€๐™‹๐™€๐™‡๐™€๐™†๐™€๐˜ผ ๐™ˆ๐™๐™ ๐™†๐™๐˜ฝ๐™Š๐™‰๐™‚๐™€๐™†๐˜ผ,

Sasa fahamu sababu zinazoweza kupelekea hamu ya kula mara kwa mara soma mpaka mwisho:-

๐Ÿ. ๐”๐๐”๐๐†๐”๐…๐” ๐–๐€ ๐‹๐ˆ๐’๐‡๐„
Mwili wako unaweza kutamani vyakula maalum kwa sababu unakosa virutubisho fulani kwa mfano, tamaa ya chokoleti inaweza kuwa ishara ya upungufu wa magnesium.

๐Ÿ. ๐’๐€๐๐€๐๐” ๐™๐€ ๐Š๐ˆ๐‡๐ˆ๐’๐ˆ๐€
Stress, kuchoka au hisia hasi zisizofaa zinaweza kuchochea tamaa ya vyakula vya kuwafariji watu mara nyingi hugeuza chakula k**a njia ya kukabiliana na Wanachopitia.

๐Ÿ‘. ๐Œ๐€๐๐€๐ƒ๐ˆ๐‹๐ˆ๐Š๐Ž ๐˜๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐Ž๐๐ˆ
Kubadilika kwa homoni wakati wa mzunguko wa hedhi kunaweza kusababisha hamu ya kula kuongezeka hasa kwa vyakula vya sukari au mafuta mengi.

๐Ÿ’. ๐‹๐ˆ๐’๐‡๐„ ๐ˆ๐’๐ˆ๐˜๐Ž ๐๐€ ๐”๐’๐€๐–๐€ (๐”๐๐๐€๐‹๐€๐๐‚๐„๐ƒ ๐ƒ๐ˆ๐„๐“)
Kula mlo ulio na vyakula vingi vilivyochakatwa, sukari, na wanga iliyosafishwa kunaweza kusababisha kuongezeka kwa sukari kwenye damu na hivyo kusababisha kutamani zaidi kwa vyakula hivi.

๐Ÿ“. ๐”๐Š๐Ž๐’๐„๐…๐” ๐–๐€ ๐”๐’๐ˆ๐๐†๐ˆ๐™๐ˆ
Kukosa usingizi kunaweza kuvuruga homoni zinazohusika na udhibiti wa hamu ya kula na kusababisha kuongezeka kwa tamaa ya kula hasa kwa vyakula vyenye calories nyingi.

๐Ÿ”. ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐Š๐„๐™๐Ž ๐•๐˜๐€ ๐Š๐ˆ๐Œ๐€๐™๐ˆ๐๐†๐ˆ๐‘๐€
Kuonekana au kunusa kwa vyakula fulani kunaweza kusababisha tamaa ya kula hasa ikiwa umeshawahi kujihusisha na vyakula hivyo.

๐—ž๐˜‚๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐—ธ๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐—ป๐—ท๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ๐—น๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—บ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜‡๐—ถ๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ๐˜‡๐—ฎ ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐—น๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐˜‚๐—ด๐—ต๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜†๐—ผ๐˜†๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐˜€๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐—ถ๐—ต๐—ฒ๐—บ๐—ธ๐—ผ ๐—ฎ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—น๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฒ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐˜‡๐˜‚๐—ป๐—ด๐˜‚๐—ธ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐—ผ๐˜ƒ๐˜†๐—ผ.

23/08/2023

*FAHAMU KUHUSU P2 (POSTINOR-2)*

P2 ni kifupi na Postinor-2, ni dawa inayotumika kwa dharula tu baada ya tendo ndoa(ngono isiyo salama) . Vidonge vya P2 havitakiwi kutumika k**a njia ya m Mara kwa kuzuia mimba*

๐ŸงƒVidonge vya P2 vinafanya kazi kwa kuzuia yai kupevuka wakati wa mzunguko wa hedhi.(OVULATION) Pia P2 inafanya uteute wa ukeni kuwa mzito sana na kufanya mbegu kushindwa kuogelea kwenda kwenye yai. Kazi ingine ya P2 ni kubadili ukuta wa mji wa mimba ili kuzuia mimba kujishikiza.

๐Ÿ’” NB:ikumbukwe pia p2 HUHARIBU uzalishaji wa homoni za uzazi k**a lutenizing hormone na projesteroni, Hapo kufanya mtu asiweze kupata mimba hata k**a akishiriki tendo la ndoa kwa siku za hatari

๐ŸŽk**a zinaharibu mpangilio mzuri wa homoni za uzazi kwa mwanamke basi ni sababu kubwa mojawapo ya HORMONAL IMBALANCE (MVURUGIKO WA HORMONI) hvyo kuleta shida katika mfumo wa uzazi wa mwanamke

Kwa wahanga ambao wamekuwa wakitumia P2 na njia nyingine za uzazi wa mpango kwa muda mrefu na Hormone zao zimeharibika.
Wanakumbwa na changamoto za uzazi zifuatazo.

๐Ÿ’ฅ KUTOPATA HEDHI HUKU UMRI WA HEDHI KUKOMA BADO.
๐Ÿ’ฅ KUKOSA UTEUTE
๐Ÿ’ฅMAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA LIKIAMBATANA NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA!
๐Ÿ’ฅ MAYAI KUTOPEVUKA
๐Ÿ’ฅMAUMIVU MAKALI KIPINDI CHA HEDHI.
๐Ÿ’ฅ VIMBE KWENYE KIZAZI
๐Ÿ’ฅ MIRIJA YA UZAZI KUZIBA.

Tunawasaidia watu kutatua changamoto zote hizi kwa njia za asilia kabisa.


karibu inbox Kwa maelezo zaidi call/whatsaap /0712139931 /0744113534/0673842739

11/06/2022

PRINCESS PILL

NAMNA TUNAVYO SAIDIA WATU KUZIBUA MIRIJA YA UZAZI NA KUONDOA AINA MBALIMBALI ZA UCHAFU NDANI YA MJI WA UZAZI.
TEKNOLOJIA HII INAZIBUA MIRIJA KWA URAHISI MNO BILA MAUMIVU NA KWA GHARAMA NAFUU.

๐Ÿ‘‰TIBA HII PIA INAONDOA CHANGAMOTO NYINGINE NYINGI KWENYE MFUMO WA UZAZI! K**A VILE:-
KUIMARISHA MISULI NDANI NA NJE YA UZAZI

๐Ÿ‘‰ KURUDISHA SELI ZILIZOKUFA KWENYE KUTA ZA MJI WA MIMBA NA KWENYE SHINGO AMA MLANGO WA UZAZI!

๐Ÿ‘‰INAREJESHA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA WANAWAKE!

๐Ÿ‘‰INA NGUVU KUBWA YA KUPAMBANA NA BACTERIA WABAYA HIVYO KUWA TIBA NZURI KWA MAGONJWA YANAYOSABABISHWA NA BACTERIA WABAYA! K**A VILE UTI SUGU NA P I D sugu.

๐Ÿ‘‰ TUPO UBUNGO NA MANZESE DAR ES SALAAM N

KWA MIKOA MWINGINE UNAWEZA KUPATA HUDUMA KWA KUWASILIANA NA SISI KWA SIMU AMA MITANDAO YA KIJAMII

๐Ÿ“ž0712139931 /0744113534 /0620238090
YOUTUBE: AFYA YETU

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


UBUNGO PLAZA/MANZESE
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00