Afyadozi

Afyadozi

Share

1. Nasaidia wanaume wenye Changamoto za afya ya uzazi

2. kupunguza uzito na nyama uzaembe

3.

matatizo ya joint K**a mgongo kuuma,miguu kupooza au Kuwaka moto shingo na kiuno kukaza na Changamoto nyingine nyingi za kiafya

nipigie sasa hivi +255755909400

13/02/2026

USISITE KUNIPIGIA SIMU AU KUNITUMIA UJUMBE WHATSAPP +255755909400.

Andika neno Imara hapo Kwenye comment au tuma Ujumbe Dm

βœ… like Share comment

01/02/2026

Maumivu ya viungo mara nyingi sio kitu cha kuvumilia kabisa kabisa…

Ukisikia unapata maumivu ya Muendelezo kwenye Joint zako jua kwamba kuna sehem Mwili wako umepungukiwa hivyo hiyo ni message kuwa unahitaji. Kujiimarisha kabla ya changamoto kuwa kubwa

Shara na rafiki yako hii video Utakuwa umemdsidia sana Nitumie neno nikupatie muongozo wa kupata package yako..

24/01/2026

Jenga tabia ya kuipa kipao mbele afya yako.. wanaume wengi sana wamekuwa wamiteseka na maswala ya mfumo wa uzazi bila kupata suluhisho

Sasa nikutie woo wewe unae soma hapa kuwa changamoto zako zote 2026 niko hapa kuziondoa nakukussidia kurejesha ulijari wako..

Andika neno nitakufatilia kwa karibu ili kukupa muongozo

πŸƒπŸΎβ€β™€οΈ

11/12/2025

Celebrating my 4th year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. πŸ™πŸ€—πŸŽ‰

11/12/2025

Mazoezi haya yanasaidia kuongeza mzunguko wa damu, kuongeza udhibiti, stamina na kuzuia kulegea kwa misuli ya nyonga.

Lakini ili kupata matokeo ya haraka na thabiti, wengi huongeza na virutubisho vinavyosaidia kurejesha urijali na kuongeza nguvu kwa ndani kabisa ya mfumo wa uzazi wa mwanaume.

Unataka kufahamu combination ya Kegel + virutubisho vinavyofanya kazi kwa wanaume?

Comment β€œNGUVU” au DM β€œURJALI” nikutume muongozo kamili.

16/11/2025

AFYA YA UZAZI WA MWANAUME NI NGUZO YA NGUVU ZAKO ZA NDANI πŸ’ͺ🏽πŸ”₯

Wanaume wengi wanapunguza kasi kimyakimya! Uchovu, kushindwa kudumu muda mrefu, maumivu wakati wa tendo, au kupoteza hamu haya yote siyo laana, ni ishara ya mwili kuchoka ndani kwa ndani.

Sababu kubwa mara nyingi ni hizi πŸ‘‡πŸ½

1️⃣ Msongo wa mawazo unaoathiri homoni za testosterone
2️⃣ Kutokulala vizuri
3️⃣ Kutokula lishe yenye virutubisho kamili (hasa zinc, vitamin E na amino acids)
4️⃣ Pombe na sigara
5️⃣ Kukosa mazoezi ya mara kwa mara

🧠 UJUMBE MUHIMU:
Afya ya uzazi haianzi chumbani inaanzia jikoni, kwenye sahani yako na maamuzi ya kila siku.

πŸ’¬ Swali kwa wanaume:
Ni tabia gani kati ya hizi unataka kuanza kubadilisha leo ili urejeshe nguvu zako kikamilifu?πŸ‘‡πŸ½

16/11/2025

*JE UNAPATA CHANGAMOTO HII !??*

πŸ“ *Misuli ya UUME, Inasinyaa au kulegea mara tuu, unapomaliza mzunguko wa kwanza!*
πŸ“ *Unapoteza kabisa hisia za tendo la ndoa mara tuu unapofika kileleni!*
πŸ“ *Unafika kileleni mapemaaa, na huwezi kabisa kuendelea na tendo, na wakati mwingine unapitiwa na usingizi mzito kabisaaa!*
πŸ“ *Kumwaga mbegu mapema sana, na wakati mwingine unamwaga hata kabla hujaanza kushiriki hilo tendo la ndoa kabisa yani ule muda wa kujiandaa tuu...*
πŸ“ *Unapata maumivu wakati wa kumwaga bao, na unatoa mbegu hafifu pia!..*

*K**a unapitia changamoto mojawapo hapo, nikupe pole lakini pia nikutie moyo, ni changamoto ambayo inaweza kuondoka k**a tukifuata muongozo sahihi wa lishe.*
*Nitafute sasa inbox nikusaidie*

20/03/2022

HERNIATED LUMBAR DISK Ni ugonjwa mbaya sana ambao Huathiri eneo la chini la Uti Wa Mgongo,kutokana na Disc kukandamiza Mshipa Wa fahamu(nerve root) na hata kupelekea dalili zifuatazo.

1.Maumivu ya Mgongo Karibu na Kiuno ambayo husambaa kwenye mguu/Miguu yote.

2.Maumivu ya Mgongo Karibu na kiuno pindi Unaposimama,Kutembea au kukaa.

3.Maumivu ya Mgongo Karibu na kiuno Pindi Unapoinama,kunyanyua vitu vizito,au kukaa.

4.Ganzi kwenye miguu na Nyayo.

5.Vichomi kwenye miguu na Nyao.

6.Miguu kuishiwa Nguvu.

7.Kushindua kuzuia Hajandogo.

8.Kushindwa kuzuia Hajakubwa. .....nk.

Tatizo hili sasa Linatibika
Kwa maelezo zaidi wasiliana nas whtspp/Call +255 773342971

25/02/2022

NILITESEKA NA TATIZO LA MIFUPA, JOINTS NA MGONGO KWA MIAKA MINGI HADI NILIPOIJUA SIRI HII!!

Naitwa James. Nina umri wa miaka 47 sasa. Naishi Ukonga Dar es Salaam. Kwa kifupi sana ni kuwa nimepitia changamoto kubwa sana ya mifupa, joints na MGONGO kwa muda mrefu. Mwanzo haikuwa shida. Maumivu yalikuwa madogo. Hii ilikuwa ni miaka k**a 8 iliyopita. Mwaka jana tatizo likawa kubwa mno kiasi kwamba nikawa nashindwa hata kukaa vizuri.

Nilipata ushauri na "matibabu" kadhaa hospitali lakini sikufanikiwa. Nikatafuta matibabu sehemu nyingi lakini nikawa sioni mabadiliko makubwa. Nilikuwa napata nafuu ndiyo lakini ya muda tu. Baada ya mwezi tena maumivu yanarudi. Nikaanza kukata tamaa! Lakini miezi michache iliyopita nikaona makala moja hapa mtandaoni ikiongelea mambo ambayo mtu mwenye changamoto ya mifupa anapaswa kuyajua.

Nikaisoma na kujifunza sababu NYINGI SANA za kwa nini watu wanaendelea kuteseka na matatizo ya mifupa na joints! Sababu zingine niliona zinanihusu. Mfano kukimbilia DAWA ZA KUTULIZA MAUMIVU (pain killers) ambazo zenyewe zipo kwa ajili ya kumpa mhusika TEMPORARY RELIEF (nafuu ya muda tu) na siyo kudili na chanzo cha tatizo. Kingine walielezea kuwa watu wengi hawazingatii vitu vidogo k**a vile kiti anachokalia ofisini kipoje, mazoezi anayofanya yapoje na anafanya kwa KIPIMO kipi na kiwango na muda gani wa siku wa kuyafanya na ni lishe gani mhusika ale nk, Godoro analolalia na mito ipoje. Nk.

So niliwatafuta kwa namba zao na kuanza kufanyia kazi ushauri wao. Na tangu mwezi huu ulioisha mpaka sasa niko vizuri mno. Nadhani mara ya mwisho kuishi bila maumivu mwezi mzima ilikuwa ni 2013 huko wakati tatizo ndo limeanza.

Lakini sasa huu ni mwezi wa tatu mfululizo nimeimarika sana. Naamini hadi mwaka huu uishe nitakuwa katika ubora mkubwa k**a enzi za ujana wangu! Naendelea na maelekezo yao na sasa nimerejea kwenye maisha yangu vizuri zaidi kazini na nyumbani pia k**a MUME WA MTUπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

K**a wewe pia umehangaika k**a mimi kwa muda mrefu nakushauri watafute hawa wataalamu watakusaidia sana! Watumie neno MIFUPA NA JOINTS kwa WhatsApp namba yao +255 0755909400 watakufikia na kukusaidia.

23/02/2022

JE UNATATIZO LA MIFUPA (JOINTS), MIGUU KUUMA, MGONGO NA VIUNGO VINGINE? . ● KINA MAMA wengi wanapofikia umri Wa kuzeeka yaani miaka 45 na kuendelea miguu na mgongo kuuma imekuwa ni tatizo linalowasumbua. . ● WAZEE nao wamekuwa wakisumbuliwa na hili tatizo linalowapelekea wengi wao kushindwa kutembea. . ● WAFANYA MAZOEZI na WANAMICHEZO pia wana changamoto hii ya mifupa/viunga kuuma kutokana na ukosefu Wa majimaji kwenye viunga........ . ● Itambue FOREVER FREEDOM NA KAZI ZAKE KATIKA VIUNGO VYA MWILI. . ****FAIDA ZAKE:-**** . ++ Husaidia mifupa isichakae na kurudisha majimaji yaliyopo katikati ya viungo ili kulainisha viungo na kuondoa maumivu na uvimbe. . ++ Ni nzuri kwa wanamichezo na wanaofanya mazoezi. . ++Nzuri kwa wanawake na wazee kwani tatizo hili huwaandama sana. . ++ Vitamin C iliyoko ni kwa ajili ya kutibu pale inapotokea uhitaji huo na inasaidia ufanisi Wa MSM. . ++ Ni kinywaji kinachotengenezwa na kupatikana kiasili. . ++ Ni nzuri kwa watu wenye uzito uliopitiliza na wanaofanya kazi nzito. . ++ Itakupatia kiasi cha Glucosamine Sulphate, Chondrotin Sulphate, MSM pamoja na vitamin C ambacho kinatakiwa na kuhitajiwa na mwili kila siku. . Kumbuka Bidhaa Hizi Si Dawa, Ni Virutubisho Lishe Vya Asili. Na Pia Havina Kemikali Hatarishi, Hivyo Ni Salama Kwa Afya Ya Mtumiaji. . KWA MAWASILIANO ZAIDI AU USHAURI WA HUDUMA HII PG / WhatsApp/SMS 0755909400

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Makumbusho
Dar Es Salaam