Suzana Herbs

Suzana Herbs

Share

Tunawasaidia wenye kusumbuliwa na changamoto za kiafya kutatua matatizo yao kwa njia asilia

13/02/2025

Piga 0621596614 kupata utaratibu wa kuanza Tiba ya kuondokana kabisa na ugonjwa wa Kisukari

13/02/2025

Piga simu 0712286614 kupata utaratibu wa kuanza Tiba ya kuondokana kabisa na ugonjwa wa Kisukari

08/11/2024

0621596614
Hakuna kitu kinakera k**a Ugonjwa wa Kisukari hasa k**a unapitia changamoto k**a;

1. Ganzi za mara kwa mara
2. Miguu Kuchomachoma
3. Uoni hafifu
4. Matatizo ya Nguvu za kiume
5. Presha ya kupanda
6. Uchovu wa mara kwa mara n.k

Kibaya zaidi unajikuta kwenye Utegemezi wa dawa za kila siku na hujui ni lini utakuwa huru

K**a mtu huyo ni wewe usiogope kwani tiba ya kukusaidia kuondokana kabisa na ugonjwa huu inapatikana

Nipigie sasahivi kwa namba 0621596614

07/11/2024

Jinsi ya kujitibia ugonjwa wa Kisukari kwa Njia Asilia

0621596614 Samwel Charles

K**a unataka kupona Ugonjwa wa Kisukari, Uko na chaguzi 2;

1. Kufanya tiba ya kuishi na kisukari (Diabetes Management)

Kwenye aina hii ya tiba, lengo kuu sio kuutokomeza ugonjwa,

Hapa mgonjwa anafuata mbinu chache tu kwaajili ya kupunguza makali ya ugonjwa, huku akibakia kuwa tegemezi wa Dawa za kushusha maisha yake yote..

Bahati mbaya ni kwamba aina hii ya tiba huendelea kulifanya tatizo lizidi kukomaan zaidi siku hadi siku..

Kwenye Tiba hii mtu anakuwa tegemezi wa Dawa milele na madhara ya ugonjwa hu yanakuwa palepale

Uchaguzi wa 2 ni;

2. Kufanya Tiba ya kuuondoa kabisa ugonjwa wa Kisukari (Diabetes Remission)

Hii ni tiba ambayo inajikita kutumia njia asilia zenye kusaidia kuuondoa ugonjwa wa Kisukari

Tiba hii inauwezo mkubwa sana (Holistic Healing) kwani inajikita kwenye kuondoa mzizi wa tatizo la Kisukari pamoja na kukarabati mwili ili uweze kurudia hali ya awali k**a zamani

Katika Tiba hii utatumia njia mbalimbali k**a;

✅ Kubadili aina ya Lishe unayokula kwa kipindi fulani ili kuruhusu mwili uanze kujitibia na kujikarabati (Dietotherapy) pamoja na kufanya Fasting maalumu .

✅ Njia nyingine kwaajili ya kuusaidia mwili wako kujitibu haraka ni kutumia Bidhaa maalumu za mimea tiba na virutubisho ili kuongezea mwili kasi ya kujitibia haraka a kuondoa madhara yote yanayokusumbua

Habari njema ni kuwa nimekuandalia Program maalumu kwaajili kukufundisha na kukusimamia ili uweze kutekeleza Tiba hii yenye kukusaidia kupona kabisa na ugonjwa huu

Nitakupatia na bidhaa maalumu za mimea tiba ili zikusaidie kufikia malengo haraka

Nipigie simu sasahivi kwenda 0621 5966 14

Suzana Herbs Tunawasaidia wenye kusumbuliwa na changamoto za kiafya kutatua matatizo yao kwa njia asilia

07/11/2024

Jinsi ya kujitibia ugonjwa wa Kisukari kwa Njia Asilia

0621596614 Samwel Charles

K**a unataka kupona Ugonjwa wa Kisukari, Uko na chaguzi 2;

1. Kufanya tiba ya kuishi na kisukari (Diabetes Management)

Kwenye aina hii ya tiba, lengo kuu sio kuutokomeza ugonjwa,

Hapa mgonjwa anafuata mbinu chache tu kwaajili ya kupunguza makali ya ugonjwa, huku akibakia kuwa tegemezi wa Dawa za kushusha maisha yake yote..

Bahati mbaya ni kwamba aina hii ya tiba huendelea kulifanya tatizo lizidi kukomaan zaidi siku hadi siku..

Kwenye Tiba hii mtu anakuwa tegemezi wa Dawa milele na madhara ya ugonjwa hu yanakuwa palepale

Uchaguzi wa 2 ni;

2. Kufanya Tiba ya kuuondoa kabisa ugonjwa wa Kisukari (Diabetes Remission)

Hii ni tiba ambayo inajikita kutumia njia asilia zenye kusaidia kuuondoa ugonjwa wa Kisukari

Tiba hii inauwezo mkubwa sana (Holistic Healing) kwani inajikita kwenye kuondoa mzizi wa tatizo la Kisukari pamoja na kukarabati mwili ili uweze kurudia hali ya awali k**a zamani

Katika Tiba hii utatumia njia mbalimbali k**a;

✅ Kubadili aina ya Lishe unayokula kwa kipindi fulani ili kuruhusu mwili uanze kujitibia na kujikarabati (Dietotherapy) pamoja na kufanya Fasting maalumu .

✅ Njia nyingine kwaajili ya kuusaidia mwili wako kujitibu haraka ni kutumia Bidhaa maalumu za mimea tiba na virutubisho ili kuongezea mwili kasi ya kujitibia haraka a kuondoa madhara yote yanayokusumbua

Habari njema ni kuwa nimekuandalia Program maalumu kwaajili kukufundisha na kukusimamia ili uweze kutekeleza Tiba hii yenye kukusaidia kupona kabisa na ugonjwa huu

Nitakupatia na bidhaa maalumu za mimea tiba ili zikusaidie kufikia malengo haraka

Nipigie simu sasahivi kwenda 0621 5966 14

10/10/2024

TIBA YA UZAZI KWA AKINA MAMA WENYE UHITAJI WA KUPATA UJAUZITO;

Suzana herbs,, wanakutakia mafanilkio makubwa kiafya kupitia huduma wanayotoa ya uzazi Kwa Akina mama, kwanza Napenda kuwasisitiza Akina mama, wanaotafuta mtoto Kwa mda mrefu bila mafanikio fuata maelekezo hayo Kwa umakini ,mafanikio yapo na ujauzito utabeba, enenda nami hatua Kwa hatua, mafanilkio makubwa utayaona,;

(Hatua ya kwanza :;)

Andaa mdalasin iliyosagwa unga wake wa kutosha,, Andaa Asali mbichi ya kutosha:

(Hatua ya pili;)

Chukuwa kijiko Cha chakula kimoja cha mdalasin, chukuwa vijiko viwili vya chakula Cha asali,Kisha changanya Kwa pamoja, Tumia kila siku jion kabla ya kulala, mda wa mwezi na zaidi Haina madhara Tumia Kwa uzingatifu kabisa matokeo yataonekana hakika.

👉wewe mama uliye na uke mkavu hauna hamu ya tendo la ndoa, utaona matokeo, maana mama ukiwa na uke mkavu kubeba mimba kwako itakuwa ndoto,; Tumia na juis ya bamia grac moja asubuhi na jioni Kwa mda wa mwezi wewe mama utaona matokeo,

👇wewe Baba nguvu za kiume zilishapungua Tumia mchanganyiko wa Tangawizi vtunguu saum vitunguu maji Ili usafishe milija Yako punguza na ulevi ,vyakula vya mafuta mengi tena yasiyo sahihi, fuata maelekezo utaona matokeo, Tumien Kwa uaminifu kabisa huo mchanganyiko mafanikio mtayaona:

Nawatakia mafanilkio mema na Mungu awatendee kadiri ya mahitaji yenu:
Bye
Suzana Herb 🌿💕

09/10/2024

Habarin ndugu na jamaa wote mnaosumbuka na uzaz, zingatia kutumia juis ya bamia na mchanganyiko huo wa mdalasin na asali mbichi mafanikio yatatokea hakika

27/05/2024

TIBA YA UVIMBE KWENYE MFUKO WA KIZAZl:

👉Hatua ya kwanza,

Chukuwa vitunguu swaum
punje sita,
Chukuwa vitunguu maji vitatu
Chukuwa tangawaizi kipande;

👉Hatua ya pili,

Chukuwa vitunguu maji vitatu vitwange upate maji yake,
Chukuwa vitunguu swaum punje sita vikatekate vidogo vidogo,
Chukuwa tangawaizi kipande itwange ilainike,;

👉Hatua ya tatu,

Weka kwenye bakuli tangawizi na vitunguu swaum vyote kwenye chombo kimoja ongezea maji ya moto kiasi Ili upate dawa ya Kutumia sku mbili acha mchanganyiko huo mda wa MASAA mawili, Kisha weka vijiko vitano vya asali mbichi;

👉Hatua ya Nne,

Tumia vijiko viwili vya chakula Mara tatu kutwa Kwa mda wa siku Saba Hadi kumi na nne mfurulizo matokeo utayaona;

Tumia mdalasin wa unga kijiko kimoja uchanganye na asal mbichi vijiko viwili kila siku mfululizo mda wa mwezi utaona matokeo

Suzana Herb:

27/05/2024

TIBA YA UZAZI KWA AKINA MAMA WENYE UHITAJI WA KUPATA UJAUZITO;

Suzana herbs,, wanakutakia mafanilkio makubwa kiafya kupitia huduma wanayotoa ya uzazi Kwa Akina mama, kwanza Napenda kuwasisitiza Akina mama, wanaotafuta mtoto Kwa mda mrefu bila mafanikio fuata maelekezo Ninayoyatoa,,mafanikio yapo na ujauzito utabeba, enenda nami hatua Kwa hatua, mafanilkio makubwa utayaona,;

(Hatua ya kwanza :;)

Andaa mdalasin iliyosagwa unga wake,, Andaa Asali mbichi ya kutosha:

(Hatua ya pili;)

Chukuwa kijiko Cha chakula kimoja cha mdalasin, chukuwa vijiko viwili vya chakula Cha asali,Kisha changanya Kwa pamoja, Tumia kila siku jion kabla ya kulala,Tumia na Baba wote,mda wa siku Saba Hadi kumi na nne:

👉wewe mama uliye na uke mkavu hauna hamu ya tendo la ndoa, utaona matokeo, maana mama ukiwa na uke mkavu kubeba mimba kwako itakuwa ndoto,; Tumia na juis ya bamia grac moja asubuhi na jioni Kwa mda wa siku Tano,

👇wewe Baba nguvu za kiume zilishapungua utaona matokeo, Tumien Kwa uaminifu kabisa huo mchanganyiko mafanikio mtayaona:

Nawatakia mafanilkio mema na Mungu awatendee kadri ya mahitaji yenu:
Bye
Suzana Herb 🌿💕

26/03/2024

TIBA YA UVIMBE KWENYE MFUKO WA KIZAZl:

👉Hatua ya kwanza,

Chukuwa vitunguu swaum
punje sita,
Chukuwa vitunguu maji vitatu
Chukuwa tangawaizi kipande;

👉Hatua ya pili,

Chukuwa vitunguu maji vitatu vitwange upate maji yake,
Chukuwa vitunguu swaum punje sita vikatekate vidogo vidogo,
Chukuwa tangawaizi kipande itwange ilainike,;

👉Hatua ya tatu,

Weka kwenye bakuli tangawizi na vitunguu swaum vyote kwenye chombo kimoja ongezea maji ya moto kiasi Ili upate dawa ya Kutumia sku mbili acha mchanganyiko huo mda wa MASAA mawili, Kisha weka vijiko vitano vya asali mbichi;

👉Hatua ya Nne,

Tumia vijiko viwili vya chakula Mara tatu kutwa Kwa mda wa siku Saba Hadi kumi na nne mfurulizo matokeo utayaona;

Suzana Herb:

26/03/2024

TIBA YA UZAZI KWA AKINA MAMA WENYE UHITAJI WA KUPATA UJAUZITO;

Suzana herbs,, wanakutakia mafanilkio makubwa kiafya kupitia huduma wanayotoa ya uzazi Kwa Akina mama, kwanza Napenda kuwasisitiza Akina mama, wanaotafuta mtoto Kwa mda mrefu bila mafanikio fuata maelekezo hayo Kwa umakini ,mafanikio yapo na ujauzito utabeba, enenda nami hatua Kwa hatua, mafanilkio makubwa utayaona,;

(Hatua ya kwanza :;)

Andaa mdalasin iliyosagwa unga wake wa kutosha,, Andaa Asali mbichi ya kutosha:

(Hatua ya pili;)

Chukuwa kijiko Cha chakula kimoja cha mdalasin, chukuwa vijiko viwili vya chakula Cha asali,Kisha changanya Kwa pamoja, Tumia kila siku jion kabla ya kulala,Tumia na Baba wote,mda wa siku Saba Hadi kumi na nne:

👉wewe mama uliye na uke mkavu hauna hamu ya tendo la ndoa, utaona matokeo, maana mama ukiwa na uke mkavu kubeba mimba kwako itakuwa ndoto,; Tumia na juis ya bamia grac moja asubuhi na jioni Kwa mda wa siku Tano,wewe mama,

👇wewe Baba nguvu za kiume zilishapungua utaona matokeo, Tumien Kwa uaminifu kabisa huo mchanganyiko mafanikio mtayaona:

Nawatakia mafanilkio mema na Mungu awatendee kadiri ya mahitaji yenu:
Bye
Suzana Herb 🌿💕

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
255