AFYA Kwanza

AFYA Kwanza

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA Kwanza, Health/Beauty, Dar es Salaam.

Tumia Virutubisho vilivyotengenezwa na mimea ya Asili isiyokuwa na madhara, wala chemical zozote, kuweka afya yako vzr na kuwa bora.Afya ni mtaji, ukiwa na changamoto ya afya usisite kunitafuta

17/11/2022

Ni offer ya kipekee kwa virutubisho. ๐Š๐š๐ฆ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ข ๐ฒ๐ž๐ญ๐ฎ ๐ฉ๐ž๐ง๐๐ฐ๐š ๐ฒ๐š ๐๐ซ๐ข๐ ๐ก๐ญ ๐…๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ซ๐ž ๐ข๐ฆ๐ž๐ฅ๐ž๐ญ๐š ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ณ๐จ ๐ฆ๐š๐š๐ฅ๐ฎ๐ฆ ๐ค๐ฐ๐š ๐€๐ฃ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ข๐Ÿ๐ข๐ค๐ข๐š ๐ฃ๐š๐ฆ๐ข๐ข ๐ฒ๐ž๐ญ๐ฎ ๐ฉ๐ž๐ง๐๐ฐ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฎ๐ฐ๐š๐ง๐๐š ๐ฆ๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐š๐ญ๐ฎ๐š ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ฆ๐จ๐ญ๐จ ๐ณ๐š ๐ค๐ข๐š๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ณ๐ข๐ง๐š๐ณ๐จ๐ญ๐ฎ๐ค๐š๐›๐ข๐ฅ๐ข ๐ฉ๐š๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ณ๐ฎ๐ข๐š ๐ฉ๐ข๐š.

๐๐”๐๐†๐”๐™๐Ž ๐‡๐ˆ๐‹๐ˆ ๐๐ˆ ๐Š๐–๐€ ๐•๐ˆ๐‘๐”๐“๐”๐๐ˆ๐’๐‡๐Ž ๐•๐˜๐„๐“๐” ๐•๐˜๐Ž๐“๐„ ๐Š๐–๐€ ๐Œ๐ˆ๐…๐”๐Œ๐Ž ๐˜๐Ž๐“๐„ ๐Š๐€๐Œ๐€:

:
โœ…MFUMO WA MIFUPA NA MAUNGIO. changamoto k**a mgongo, kino, magoti, nyonga, pingili, shingo.
โœ…MFUMO WA UZAZI KWA JINSI YA KIUME: Tezi dume , kushindwa kurudia tendo, kukosa hamu ya tendo la ndoa , waathirika wa punyeto., Dhakar kutokusimama vizuri.

โœ…MFUMO WA UZAZI KWA AKINA MAMA: chukkas hamu ya tendo, chukkas hedhi, hedhi kuvurugika,, vimbe kwenye kizazi, UTI sugu, Fungus sugu, kutokwa na uchafu sehemu za siri, maumivu wakati wa tendo la ndoa.Kutokubeba ujaizito., Mirija ya uzazi kuziba, Mvurugiko wa vichocheo mwilimi/ hormonal Imbalance.

โœ…MFUMO WA MZUNGUKO WA DAMU, MOYO, UBONGO. : Kisukari , Pressure, miguu kufa ganzi, miguu kuwaka moto, saratani, maumivu ya macho, Masikio ,,Stroke, uoni hafifu.

โœ…MFUMO WA MMEN'GENYO WA CHAKULA: vidonda vya tumbo, H.pyrol , tumbo kujaa gesi, kiungulia,Bawasiri,Kukosa choo , Saratani ya utumbo.

โœ…KINYWA NA MENO:
fizi kutoa damu, harufu mbaya kinywani, maumivu ya meno , Fizi kutoa damu, meno kutoboka.

โœ…KINGA YA MWILI.
aliyeugua muda mrefu , magonjwa sugu,
โœ…MAGONJWA YA NDANI : changamoto za Inni, Figo,

โœ… MFUMO WA UPUMUAJI:
pumu, mapafu, changamoto za upumuaji.

โœ…NGOZI NA UREMBO:

Chunusi , miwasho ya ngozi, mapunye,. visunzua, kuungua na jua, kupambana na uzee, ngozi kuwa na unyevunyevu, kuondoa kemikali kwenye ngozi. Harufu mbaya mwilini,

โœ…CHANGAMOTO ZA WATOTO:
kuchelewa kuongea, kuchelewa kutembea, shingo kutokukaza, kukosa hamu ya kula, kudumaa.

Karibu virutubisho tiba vyetu vyenye ubora wa hali ya juu . Zina ubora wa kimataifa , zimethibitishwa na mamlaka kubwa nchini Tanzania k**a TMDA, TBS. Kimataifa imethibitishwa na shirika la viwango duniani ISO, GMP, na HALAL. Wahi sasa.

WAHI PUNGUZO HILI LINALOTOKEA KWA MWAKA MARA MOJA.

Mawasil๐ข๐š๐ง๐จ ๐ณ๐š๐ข๐๐ข. WhatsApp/call 0675013478/0626829627

22/10/2022

Watu wa nashindwa kupata Choo kutokana na vyakula wavyokula na wanakuwa bize kiasi kwamba hawakumbuki kbs. K**a unatatizo la kutokupata Choo tuwasiliane kwa no whatsapp/call 0675013478 nitakupatia tiba na pia ushauri

13/09/2022

Karibu Sana katika semina ili ujifunze kuongeza kipato chako. Mawasiliano WhatsApp no +255675013478 tuma neno Semina

20/08/2022

Je, USO WAKO UMEUNGUZWA NA CREAM?
Unachunusi, vipele au harara?
Ngozi yako Ina vipele.
Karibu tutatue tatizo lako

What's up/call 0675013478

18/08/2022

Kwan nini ukose amani na kujiamini kwa sababu unawasha na upo katika umati wa watu. Suluhisho la tatizo lako limepatikana Sasa wasiliana nasi kwa no 0675013478

30/05/2022

Wewe msichana/mwanamke unampenda mume/mchumba wako k**a unampenda mwambie apunguze kula hivi kma unataka kudumu naye kwenye mapenzi ili baadae usije kusema huyu mchumba hawez shughuli. Wakati uliambiwa mapema tu ukapuuzia na ukienda kuchepuka naye anakula zege utakuwa kma umeruka mkojo ukakanya Mavi. K**a unampenda mwambie aache hi kitu k**a unataka kuitwa mama ila kma hutaki kufanya hivi pole Sana. Mwambie aache kbs.

29/05/2022

UNAJIJUA HUNA NGUVU ZA KIUME,,UUME WAKO MDOGO,,NA BADO UNAHANGAIKA (KUDANGA) HUONI KUWA UNAJIDHALILISHA WEWE MWENYEWE AU NA MKEO???

LEO NATOA OFFER HII KWA WANAUME MATATIZO HAYA
โœ“kuwahi kufik kilelen mapema na kushindw kurudia tendo

โœ“mbegu chaxhena nyepesi hali inayopelekea kushindw kupata mtoto.

โœ“ uume kusimama ukiwa legelege na kuzima ghafla unapotak kuingia kweny tendo.

โœ“Uume mdogo (KIBAMIA)kutokana na athar za kujichua (punyeto),,kurithi au homon kutofany kaz vzr.
โœ“ngiri,,yaani maumiv chini ya kitov,,kutopata Choo,,ugumu wa choo,,, maumiv ya viungo no

โœ“Tezi dume na bawasir.na matatizo yote khs afya ya uzaz.

Piga/sms/ 0675013478
WhatsApp +255675013478

18/05/2022

Usichukulie mzaa pindi hali inapokuwa siyo ya kawaida Wahi kwenye kitu cha tiba

13/05/2022

HabarUnakunywa maji mara ngapi kwa siku? Au nimpka uwe na kiu

10/05/2022

Chanzo Cha Ukavu Ukeni

Picha ni Mfano wa uke

Nini kinasababisha ukavu ukeni? Uke umeumbwa kwa mashavu yenye kuta zenye tishu laini sana. Na kufunikwa na majimaji yenye utelezi ili kusaidia mbegu za kiume kuogelea vizuri na kurutubisha yai wakati wa tendo la ndoa.
Uteute huu pia ni kilainishi cha uke kupunguza msuguano wakati wa tendo la ndoa.

Kadiri mwanamke anavozeeka mabadiliko ya uzalishaji wa vichocheo ama homoni vinapelekea kuta za uke kusinyaa na kuwa dhaifu. Kuta zikisinyaa maana yake seli zinazozalisha uteute zinapungua na hivo kupelekea ukavu ukeni.

Mabadiliko ya homoni ndio sababu kubwa inayokufanya uwe na uke mkavu.

Nini Madhara ya Ukavu Ukeni?

Kukauka kwa uke wako kunaweza kusababisha madhara k**a

kuhisi hali ya kuungua ndani ya uke

kukosaย hamu ya tendo la ndoa

Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa

kutokwa damu baada ya tendo kutokana na msuguano

kuuguaย UTI kurahisi na kuwa sugu

muwasho ukeniย na

kuvimba kuta za uke.

Nini Kinapelekea Ukavu ukeni?

Kupungua kwa homoni ya estrogen ndipo chanzo kikubwa cha ukavu ukeni. Wanawake wote hupungua uzalishaji wa estrogen kadiri wanavozeeka na kukaribia kukoma hedhi yaaniย menopause.
Menopause siyo chanzo pekee kwani kuna vitu vingine vinavyopelekea uwe na uke mkavu. Mambo mengine yanayopunguza uzalishaji wa estrogen ni pamoja na

kunyonyesha

kuvuta sigara

kuzaa

upasuaji kuondoa mifuko ya mayai(ovary)

stress kupita kiasi

maozezi makali sana

sonona

magonjwa ya kinga na

baadhi ya tiba k**a chemotherapy na radiotherapy

04/05/2022

Karb tukupatie virutubisho kwa ajili ya mwanao na kumfanya akue akiwa na afya bora Pamoja na kinga

04/05/2022
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 17:00