AFYA Kwanza
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA Kwanza, Health/Beauty, Dar es Salaam.
Tumia Virutubisho vilivyotengenezwa na mimea ya Asili isiyokuwa na madhara, wala chemical zozote, kuweka afya yako vzr na kuwa bora.Afya ni mtaji, ukiwa na changamoto ya afya usisite kunitafuta
17/11/2022
Ni offer ya kipekee kwa virutubisho. ๐๐๐ฆ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ข ๐ฒ๐๐ญ๐ฎ ๐ฉ๐๐ง๐๐ฐ๐ ๐ฒ๐ ๐๐ซ๐ข๐ ๐ก๐ญ ๐
๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ซ๐ ๐ข๐ฆ๐๐ฅ๐๐ญ๐ ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ณ๐จ ๐ฆ๐๐๐ฅ๐ฎ๐ฆ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ฃ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฒ๐ ๐ค๐ฎ๐ข๐๐ข๐ค๐ข๐ ๐ฃ๐๐ฆ๐ข๐ข ๐ฒ๐๐ญ๐ฎ ๐ฉ๐๐ง๐๐ฐ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฎ๐ฐ๐๐ง๐๐ ๐ฆ๐ค๐ฎ๐๐ฐ๐ ๐ณ๐๐ข๐๐ข ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐ญ๐๐ญ๐ฎ๐ ๐๐ก๐๐ง๐ ๐๐ฆ๐จ๐ญ๐จ ๐ณ๐ ๐ค๐ข๐๐๐ฒ๐ ๐ณ๐ข๐ง๐๐ณ๐จ๐ญ๐ฎ๐ค๐๐๐ข๐ฅ๐ข ๐ฉ๐๐ฆ๐จ๐ฃ๐ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐ณ๐ฎ๐ข๐ ๐ฉ๐ข๐.
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐
๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐:
:
โ
MFUMO WA MIFUPA NA MAUNGIO. changamoto k**a mgongo, kino, magoti, nyonga, pingili, shingo.
โ
MFUMO WA UZAZI KWA JINSI YA KIUME: Tezi dume , kushindwa kurudia tendo, kukosa hamu ya tendo la ndoa , waathirika wa punyeto., Dhakar kutokusimama vizuri.
โ
MFUMO WA UZAZI KWA AKINA MAMA: chukkas hamu ya tendo, chukkas hedhi, hedhi kuvurugika,, vimbe kwenye kizazi, UTI sugu, Fungus sugu, kutokwa na uchafu sehemu za siri, maumivu wakati wa tendo la ndoa.Kutokubeba ujaizito., Mirija ya uzazi kuziba, Mvurugiko wa vichocheo mwilimi/ hormonal Imbalance.
โ
MFUMO WA MZUNGUKO WA DAMU, MOYO, UBONGO. : Kisukari , Pressure, miguu kufa ganzi, miguu kuwaka moto, saratani, maumivu ya macho, Masikio ,,Stroke, uoni hafifu.
โ
MFUMO WA MMEN'GENYO WA CHAKULA: vidonda vya tumbo, H.pyrol , tumbo kujaa gesi, kiungulia,Bawasiri,Kukosa choo , Saratani ya utumbo.
โ
KINYWA NA MENO:
fizi kutoa damu, harufu mbaya kinywani, maumivu ya meno , Fizi kutoa damu, meno kutoboka.
โ
KINGA YA MWILI.
aliyeugua muda mrefu , magonjwa sugu,
โ
MAGONJWA YA NDANI : changamoto za Inni, Figo,
โ
MFUMO WA UPUMUAJI:
pumu, mapafu, changamoto za upumuaji.
โ
NGOZI NA UREMBO:
Chunusi , miwasho ya ngozi, mapunye,. visunzua, kuungua na jua, kupambana na uzee, ngozi kuwa na unyevunyevu, kuondoa kemikali kwenye ngozi. Harufu mbaya mwilini,
โ
CHANGAMOTO ZA WATOTO:
kuchelewa kuongea, kuchelewa kutembea, shingo kutokukaza, kukosa hamu ya kula, kudumaa.
Karibu virutubisho tiba vyetu vyenye ubora wa hali ya juu . Zina ubora wa kimataifa , zimethibitishwa na mamlaka kubwa nchini Tanzania k**a TMDA, TBS. Kimataifa imethibitishwa na shirika la viwango duniani ISO, GMP, na HALAL. Wahi sasa.
WAHI PUNGUZO HILI LINALOTOKEA KWA MWAKA MARA MOJA.
Mawasil๐ข๐๐ง๐จ ๐ณ๐๐ข๐๐ข. WhatsApp/call 0675013478/0626829627
Watu wa nashindwa kupata Choo kutokana na vyakula wavyokula na wanakuwa bize kiasi kwamba hawakumbuki kbs. K**a unatatizo la kutokupata Choo tuwasiliane kwa no whatsapp/call 0675013478 nitakupatia tiba na pia ushauri
13/09/2022
Karibu Sana katika semina ili ujifunze kuongeza kipato chako. Mawasiliano WhatsApp no +255675013478 tuma neno Semina
20/08/2022
Je, USO WAKO UMEUNGUZWA NA CREAM?
Unachunusi, vipele au harara?
Ngozi yako Ina vipele.
Karibu tutatue tatizo lako
What's up/call 0675013478
18/08/2022
Kwan nini ukose amani na kujiamini kwa sababu unawasha na upo katika umati wa watu. Suluhisho la tatizo lako limepatikana Sasa wasiliana nasi kwa no 0675013478
30/05/2022
Wewe msichana/mwanamke unampenda mume/mchumba wako k**a unampenda mwambie apunguze kula hivi kma unataka kudumu naye kwenye mapenzi ili baadae usije kusema huyu mchumba hawez shughuli. Wakati uliambiwa mapema tu ukapuuzia na ukienda kuchepuka naye anakula zege utakuwa kma umeruka mkojo ukakanya Mavi. K**a unampenda mwambie aache hi kitu k**a unataka kuitwa mama ila kma hutaki kufanya hivi pole Sana. Mwambie aache kbs.
29/05/2022
UNAJIJUA HUNA NGUVU ZA KIUME,,UUME WAKO MDOGO,,NA BADO UNAHANGAIKA (KUDANGA) HUONI KUWA UNAJIDHALILISHA WEWE MWENYEWE AU NA MKEO???
LEO NATOA OFFER HII KWA WANAUME MATATIZO HAYA
โkuwahi kufik kilelen mapema na kushindw kurudia tendo
โmbegu chaxhena nyepesi hali inayopelekea kushindw kupata mtoto.
โ uume kusimama ukiwa legelege na kuzima ghafla unapotak kuingia kweny tendo.
โUume mdogo (KIBAMIA)kutokana na athar za kujichua (punyeto),,kurithi au homon kutofany kaz vzr.
โngiri,,yaani maumiv chini ya kitov,,kutopata Choo,,ugumu wa choo,,, maumiv ya viungo no
โTezi dume na bawasir.na matatizo yote khs afya ya uzaz.
Piga/sms/ 0675013478
WhatsApp +255675013478
18/05/2022
Usichukulie mzaa pindi hali inapokuwa siyo ya kawaida Wahi kwenye kitu cha tiba
13/05/2022
HabarUnakunywa maji mara ngapi kwa siku? Au nimpka uwe na kiu
10/05/2022
Chanzo Cha Ukavu Ukeni
Picha ni Mfano wa uke
Nini kinasababisha ukavu ukeni? Uke umeumbwa kwa mashavu yenye kuta zenye tishu laini sana. Na kufunikwa na majimaji yenye utelezi ili kusaidia mbegu za kiume kuogelea vizuri na kurutubisha yai wakati wa tendo la ndoa.
Uteute huu pia ni kilainishi cha uke kupunguza msuguano wakati wa tendo la ndoa.
Kadiri mwanamke anavozeeka mabadiliko ya uzalishaji wa vichocheo ama homoni vinapelekea kuta za uke kusinyaa na kuwa dhaifu. Kuta zikisinyaa maana yake seli zinazozalisha uteute zinapungua na hivo kupelekea ukavu ukeni.
Mabadiliko ya homoni ndio sababu kubwa inayokufanya uwe na uke mkavu.
Nini Madhara ya Ukavu Ukeni?
Kukauka kwa uke wako kunaweza kusababisha madhara k**a
kuhisi hali ya kuungua ndani ya uke
kukosaย hamu ya tendo la ndoa
Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
kutokwa damu baada ya tendo kutokana na msuguano
kuuguaย UTI kurahisi na kuwa sugu
muwasho ukeniย na
kuvimba kuta za uke.
Nini Kinapelekea Ukavu ukeni?
Kupungua kwa homoni ya estrogen ndipo chanzo kikubwa cha ukavu ukeni. Wanawake wote hupungua uzalishaji wa estrogen kadiri wanavozeeka na kukaribia kukoma hedhi yaaniย menopause.
Menopause siyo chanzo pekee kwani kuna vitu vingine vinavyopelekea uwe na uke mkavu. Mambo mengine yanayopunguza uzalishaji wa estrogen ni pamoja na
kunyonyesha
kuvuta sigara
kuzaa
upasuaji kuondoa mifuko ya mayai(ovary)
stress kupita kiasi
maozezi makali sana
sonona
magonjwa ya kinga na
baadhi ya tiba k**a chemotherapy na radiotherapy
04/05/2022
Karb tukupatie virutubisho kwa ajili ya mwanao na kumfanya akue akiwa na afya bora Pamoja na kinga
04/05/2022
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 17:00 |
| Tuesday | 08:00 - 17:00 |
| Wednesday | 08:00 - 17:00 |
| Thursday | 08:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 08:00 - 17:00 |
