JALI AFYA
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from JALI AFYA, Health/Beauty, Dar es Salaam.
05/06/2023
TIBA YA SHINIKIZO LA DAMU.
🍏 *STC30, dawa ya BP*
*Hypertension ,,BP* ni hali ya muda mrefu ya kati ambapo shinikizo la damu katika mishipa huongezeka mara kwa mara. Inaweza kuongezeka kwa kasi kadri umri unavyozidi kuwa ngumu na nyembamba kwa sababu ya plaque kuongezeka, inaweza pia kusababishwa na matatizo ya homoni, hivyo kusababisha kutofautiana kati ya viwango vya potasiamu na sodiamu mwilini, *matumizi ya uzazi wa mpango mdomo, unywaji wa pombe kupita kiasi. *, n.k. Dalili zake ni pamoja na,
~ maumivu ya kichwa, haswa shinikizo linapoongezeka sana.
~ Kizunguzungu na Kusinzia
~ mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida
~shinikizo la damu kali linaweza kusababisha damu ya ghafla na puani
~kujipaka na kuhisi joto nk
~ long term high B.P inaweza kusababisha uharibifu wa macho na uoni hafifu au mara mbili.
~kichefuchefu na wakati mwingine kutapika.N.k.
*Madhara ya muda mrefu ya Presha ni pamoja na*
~stroke
~kuharibika kwa moyo na ateri
~ uharibifu wa figo
~kupoteza maono
~Mgogoro wa shinikizo la damu.
*Tumepata suluhisho kwa ajili yako, kwa kutumia stem cell STC 30 utaona yafuatayo*
~punguza lipid ya damu, mnato wa damu, kuzuia mkusanyiko wa chembe, kupunguza hatari ya atherosclerosis.
~zuia damu kuganda kwa wingi
~huzuia unene wa mishipa, kupanua na kulegeza mishipa
~kupunguza kiwango cha kolesteroli kwenye damu
~zuia kuzorota kwa uti wa mgongo unaohusiana na umri.
~pendezesha na kuondoa sumu
Stc30 ina uwezo wa kurekebisha seli zozote ambazo zimeshik**ana na kupanda kwa shinikizo la damu iwe seli za endothelial au seli yoyote ya misuli.
04/06/2023
🟣JE UNA CHANGAMOTO YA UUME KULEGEA NA KUTOKUWA NA HAMU YA TENDO..
👉Umehangaika sana na hujapata tiba ya ukweli...
👉TIBA IPO ITAKWENDA KUIMARISHA MISULI YA UUME WAKO NA KUKUPA HAMU YA TENDO NA KUONGEZA HOMON ZA UZAZI.
👉TUNATOA USHAURI BURE NA HUDUMA ZINAPATIKANA KWA GHARAMA NAFUU PIA ZINAKUFIKIA POPOTE ULIPOYA UUME KULEGEA NA KUTOKUWA NA HAMU YA TENDO.
04/06/2023
Je, unasumbuka na vimbe kwenye uzazi hadi zinakupelekea kutopata mimba ?Au mfumo wako wa uzazi haupo sawa hadi hupelekea kutobeba mimba?
Ujachelewa tiba ipo na unapona kabisa na shida ya utasa inakuondokea..
03/06/2023
TEZI DUME....
👉Tezi dume inatibika na unapona kabisa..
👉Inawezekana kabisa kuwa una dalili au umeshaanza kushambuliwa na TEZI DUME..
👉Tezi dume ni moja ya tezi la kiume ambalo kila mwana ume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye urethra( uume).
👉Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au saratani.
⭐KUNA AINA TATI ZA MAGONJWA YA TEZI DUME:
◾Maambukizi ya bacteria (Prostatitis)
◾Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy_BPH)
◾Saratani ya tezi dume (Prostate cancer)
⭐SABABU ZA KUTOKEA KWA TEZI DUME:
◾Umri
◾Uweza kurithiwa.
◾Baadhi ya rangi za ngozi zetu huathiriwa sana na tatizo la tezi dume.
◾Maradhi
◾Staili ya maisha tunayoyaishi
⭐DALILI ZA TEZI DUME:
◾Kukojoa mara kwa mara.
◾Kupatwa na ugumu kutoa mkojo.
◾Kujichafua wakati wa kukojoa.
◾Kushindwa kumaliza mkojo kabisa
◾Damu kwenye mkojo.
⭐ATHARI ZA TEZI DUME:
◾Kushindwa kukojoa kabisa .
◾Kupatwa na maambukizi ya UTI.
◾Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
◾Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea .
◾Figo linaweza kuharibika.
👉Mwisho napenda kumalizia kwa kusema kuwa tatizo la tezi dume linatibika bila wasi na bila operation.
👉HUJACHELEWA TUNA DAWA NZURI KWA AJILI YAKO NA UNAPONA KABISA ... BILA OPERATION....
NA KINGA PIA INAPATIKANA ...
KWA GHARAMA NAFUU KABISA
03/06/2023
MAUMIVU YA MIFUPA NA MATATIZO YA MAGOTI..
👉Ni ukosefu wa uteute unaofanya mifupa kutogusana..
👉Ugonjwa huu unatokea iwapo utakuwa na mabadiliko ya homon, upungufu wa madini km:calcium au vitamin D
👉Uzito wa mifupa Kwa kawaidakwa mtu k**a kijana huwa 2.5standard deviations Uzito chini ya huu mtu anaweza kupata osteoporosis (tatizo la mifupa).
🟣MADHARA YANAYOWEZA KUSABABISHWA NA TATIZO LA MIFUPA.
➡️ Maumivu makali katika magoti
➡️.maumivu kwenye UTI wa mgongo.
➡️Maumivu mabegani hadi kifuani.
➡️Maumivu makali ya nyonga.
➡️Kuvunjika mifupa kirahisi na mara Kwa mara.
➡️Kupinda mgongo hasa wakati wa uzeeni.
🟣TUNA DAWA NZURI SANA ZINATIBU TATIZO HILO NA KUZALISHA UPYA UTEUTE AMBAZO NI SELI SHINA.
🟣PIA TUNATOA USHAURI BURE NA TIBA NA KINGA.
03/06/2023
JE UNASUMBUKA NA MOJAWAPO YA TATIZO TAJWA HAPO CHINI??
JE UMESUMBUKA KWA MUDA MREFU NA HUJAPATA TIBA SAHIHI....
Usijikatie tamaa maana TIBA ipo na unapona kabisa kurudi katika Hali yako ya mwanzo.
TUNATOA USHAURI BURE NA TIBA KWA GHARAMA NAFUU.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
