afya Leo

afya Leo

Share

virutubisho kwa afya yako

09/04/2023

HABARI NJEMA KWA WAGONJWA WA MIFUPA NA VIUNGO

Mwili wa binadamu una mifupa zaidi ya 200 na viungo zaidi ya 200 vinavyounganisha mifupa hiyo.

Hata hivyo idadi hii ya mifupa na viungo vyake inakabiliwa na magonjwa kadhaa na miongoni mwa hayo ni k**a;

OSTEOPOROSIS-Ni ugonjwa ambao mifupa inakuwa tete na kufanya uwezekano wa kuvunjika.

OSTEOARTHRITIS-Hutokea wakati gegedu kati ya viungo viungo viwili huchakaa hivyo mifupa kusagana.

GOUT-Ni hali ya maumivu makali yanayoathiri kiungo kimoja kwa kawaida kidole cha mguu au kiungo kingine kwenye mguu au kifundo cha mguu.

MIONGONI MWA DALILI ZAKE

>Maumivu makali wakati wa mishughuliko lakini hutulia kidogo ukiwa umepumzika.

>Miguu kuwaka Moto

>Kushindwa kuinuka baada ya kukaa muda mrefu

>Kushindwa kukaa kwenye kiti au kupanda ngazi

>Uvimbe

Calcium ni moja ya madini muhimu sana katika mwili wako.Kiasi kingi cha madini huhifadhiwa kwenye mifupa ya mwili wako vile vile calcium inahitajika katika damu yako pia.

Calcium katika damu yako husaidia mishipa yako kufanya kazi,husaidia damu yako kuganda ikiwa damu inatoka na kusaidia moyo wako kufanya kazi vizuri.Kiwango kidogo cha Calcium katika damu yako kinaweza kuzuia uwezo wa mwili wako kufanya kazi.Unahitaji pia calcium katika mifupa yako ili kuwa na nguvu.

K**a hutumii calcium ya kutosha katika lishe yako, mwili wako huchukua calcium kutoka kwenye mifupa yako na kuitumia katika damu yako.Hali hii inaweza kudhoofisha mifupa yako.

K**a unasumbuliwa na magonjwa haya ya mifupa na viungo Basi ungana na waliowengi katika kujitibia maradhi haya kwa virutubisho ambavyo vimetengenezwa kwa formula ya hali ya juu kwa kuchanganywa calcium,zinc,amino acid,magnezium na selenium kwa wakati mmoja.Virutubisho hivi ni vya asili kabisa na havina madhara na vinafyonza na mwili wako kwa kiwango cha juu cha asilimia 90.Tofauti na virutubisho vingine vyenye kiasi kingi cha sukari na sodium ambavyo havifai kwa watu wenye kisukari na shinikizo la damu.

Wasiliana nami kwa 0714467913.

12/12/2022

DALILI 16 ZA VIDONDA VYA TUMBO

1 kukosa hamu ya kula au kuskia kichefu chefu

2. Maumivu ya tumbo chini au juu upande wa kushoto zaidi

3. Vichomi tumboni au kifuani

4. Mwili kukosa nguvu gafla unapo chelewa kula

5. Kuumwa kichwa mara kwa mara na kuskia kizungu zungu

6. Kiungulia

7. Kukosa choo au kupata choo kigumu na kusababisha tumbo kuwa kuvwa

8. Maumivu ya mgongo hasa upande juu kushoto

9 kukosa hamu ya tendo la ndoa

10. Kuwa na hasira hasira

11. Kuharisha au kutapika

12. Kupata hofu ya gafla bila sababu ya msingi

13. Moyo kulipuka lipuka na kuhisi presha inapanda

14. Presha hushuka au mapigo ya moyo yanapungua

15. Uziplto kupungua

16. Pumzi kupana hasa nyakati za usiku

Chukua tahadhari

Wataalamu wa tiba lishe tunatoa ushauri na tiba ya virutubisho ya kuponesha kabisa vidonda vya tumbo kikubwa ufate ushauri na kutumia dozi kwa usahihi tuu

Tumethibitishwa na mamlaka zote za afya chakula na ubora wa viwango km TBS TMDA, FDA, ISWA, ISO, HACCP, GLP, GMP nk

Nb sisi ni kampuni kubwa iliyo.

Call/Whatsapp no. 0656127357

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam