Stemcell For Health Guarantee
We change your life.
11/04/2020
UGONJWA WA KIHARUSI NI NINI?
Stroke (Kiharusi) ni hali ya mwili kupoteza uwezo wake wa kufanya kazi upande mmoja eidha kulia au kushoto na kwa kiwango kidogo unashindwa kufanya kazi kiunoni kushuka chini. Stroke inatokea pale ubongo unapokosa damu ya kutosha na hewa safi ya oxygen pamoja na virutubisho muhimu ambapo hupelekea cells za ubongo kufa kwa haraka.
SABABU ZA STROKE
1. Kuziba kwa mishipa ya damu kichwani kwasababu mbalimbali ikiwemo na kuganda kwa damu
2. Kupasuka kwa mishipa ya damu kichwani na kupelekea damu ishindwe kufika katika ubongo
DALILI ZA STROKE
1. Upande mmoja wa uso kushika ganzi
2. Kushindwa kuongea au kupata tabu yakuongea
3. Kushindwa kuelewa au kupata tabu ya kuelewa
4. Mdomo kwenda pembeni
5. Mkono au mguu wa upande mmoja kuwa mzito au kushindwa kuunyanyua
6. Maumivu makali ya kichwa
7. kizunguzungu pamoja na kutapika
8. Kushindwa kuona vizuri
MAMBO YANAYO PELEKEA KUTOKEA KWA STROKE
1. Uzito uliopitiliza au kuzidi
2. Tatizo la pressure Ile ya kupanda
3. Chorestrol mbaya kwenye mishipa ya damu (mafuta yasiyo yeyuka)
4. Unywaji wa pombe uliopitiliza
5. Utumiaji madawa kwa kipindi kirefu
6. Kukaa bila kufanya mazoezi au kutojishughulisha
Hizo ni baadhi tu ya mambo ambayo hupelekea eidha kuziba au kupasuka kwa mishipa ya damu kichwani na kupata stroke na hii kuziba mishipa ya damu ndio iko kwa kiasi kikubwa ndio maana watu hawana pressure lakini wanapata stroke.
MATIBABU YA STROKE
Bidhaa zetu za Stem Cell ni suluhisho pekee kwa ugonjwa huu.
Stem cell itasaidia kuufanya mwili upate nguvu na kutibu matatizo yote ya mwili
Huimarisha afya yako na tatizo hili utalisahau kabisa. Hii ni ya ukweli.
Maelezo zaidi na upatikanaji wa stem cell wasiliana nasi +255719369187
11/04/2020
Hello,
happy Easter
11/04/2020
Hakuna mtu aliyeshindwa katika jambo k**a alijipa muda wa kujifunza.
📌Kuna nguvu kubwa sana katika kujifunza, hakika mafanikio unayoyaona kwa watu yalitokana na kukubali hawajui na kujifunza kwa nguvu sana na kufanyia kazi.
📌Kubali kujifunza, fanyia kazi uliyojifunza, mafanikio yatakuja kwa urahisi zaidi.
📌"K**a utapewa kazi ya kukata mti mkubwa kwa masaa 2, hakikisha unatumia saa 1 kunoa shoka lako, utafaikiwa kukata mti huo kwa muda mfupi zaidi"
, ili uweze kuona post zetu na ujifunze uchumi na Afya.
kwa faida ya wengine.
10/04/2020
CRYSTAL CELL "The origin of Stem cells" kinga ya magonjwa yanayoshambulia seli za mwili wa mwanadamu na tiba pekee kwa magonjwa zaidi ya 200
▪ Kisukari
▪ Presha
▪ Kupooza (Stroke)
▪ Cancer aina zote
▪ Fibroids, Goiter, Uvimbe wa aina yoyote
▪️ Vidonda vya Tumbo
▪ Tezi dume
▪ Magonjwa ya ngozi
▪ Sikoseli (sickle cell)
▪ Matatizo ya uzazi
▪ Magonjwa ya Figo
▪️ Magonjwa ya Moyo
▪ Homa ya Ini
▪ Pneumonia (Homa ya mapafu kwa watoto)
▪ Asthma/Allergies
▪ Kuotesha nywele kwenye vipara
▪ Matatizo ya Magoti, mgongo, nk
▪ Na mengine mengi 200+
CRYSTAL CELL ni 100% Natural (isiyo na kemikali) na 100% Halal
CRYSTAL CELL imethibitishwa na TFDA Tanzania na FDA ya nchini marekani
CRYSTAL CELL ina bima ya Dolla za kimarekani $1,000,000 utalipwa endapo utatumia zikakudhuru
Hizi ni habari njema kwako, wengi wamesaidika kupitia bidhaa hii. Follow page yetu kupata elimu zaidi kuhusu stem cell. Kwa maelezo zaidi na upatikanaji wa CRYSTAL CELL WhatsApp /call +255719369187
09/04/2020
WATOTO WA "WENZETU" HUPATA ELIMU TOFAUTI SANA NA KINA "SISI"
(Sifundishi ubaguzi....)
Miaka kadhaa iliyopita wakati wa sakata la ajira za idara ya uhamiaji ambako usaili ulifanyikia uwanja wa taifa kuna vijana wengi sana waliojitokeza hadi usaili ikabidi ufanyike uwanja wa taifa!
Baadaye ikaja ya TRA shortly thereafter. Na mwaka 2017 TRA tena wakaita watu kwa usaili wakajitokeza vijana wengi sana.
Katika hizo instances zote sikuona kijana wa kitanzania mwenye "ngozi nyeupe".
Nikawaza kidogo... Nikajiuliza.
Hivi kuna watanzania vijana wenye asili ya kihindi na kiarabu na hata kipakstani nk hapa nchini?
Nikajijibu kuwa "WAPO".
Nikajiuliza tena kidogo wote wameajiriwa?
Kaakili kangu kakaanza kusearch network kidogo kisha nikajijibu: "HAPANA"
Nikajiuliza tena: Sasa mbona hawaendi kufanya interview k**a wenzao sasa?
Nikawa sina jibu.
Eti, ulishawahi kujiuliza swali k**a hilo?
UMASKINI WA FIKRA NDO KIFUNGO KIREFU ZAIDI KUWAHI KUTOKEA
Sijui k**a umewahi kuishi kijijini. Lakini nikuulize tu hivyo hivyo. Hivi ukikuta wanaume 50 wako kwenye tope kwenye shamba kubwa la mpunga na wanakwambia hawawezi kujikwamua katika tope hilo wanaomba msaada wako utawaza nini? Tufanye hivi liwe ni shamba ambalo wewe una uhakika hilo tope hata mtoto wa shule ya msingi anaweza kutoka.
Utawaza nini?
Kuna kitu hakiko sawa kwenye "bongo" za watu hawa. Si ndiyo?
Fikra zako zikishikiliwa na mtu mwingine utakuwa mfungwa maisha yako yote. Kitu kikubwa kinachotutofautisha sisi sote siyo eti jinsia au rangi au imani nk. Ni jinsi tunavyotumia UHURU tuliopewa bure wa KUFIKIRI. Sijui wewe utakuwa kundi lipi.
1. Kuna ambao wanautumia uhuru huo KUFIKIRI kweli. Hawa hupiga hatua kidogo kidogo mwisho inakuwa kubwa. Hawa ni wa kuigwa mfano.
2. Kuna ambao wanautumia uhuru huo KUTOFIKIRI tu. Wapo tu hawataki kabisa kufikiri hata kidogo tu. Hapa unakuta wasomi tu wengi. Hawa wanahitaji nadhani.
3. Kuna wanaoutumia uhuru huo siyo tu KUTOFIKIRI bali KU-DEMAND mtu mwingine afikirie kwa ajili yao.
Sasa hawa wanahitaji lakini nadhani na (ikibidi).
Jokes aside...
Tuna kundi kubwa la vijana ambao hawataki kufikiri na wanataka mtu mwingine afikirie kwa NIABA yao.
Huu ndo unaitwa MSIBA WA TAIFA.
UNAPOJIFUNZA KWA MTOTO WA FORM ONE
Ngoja nikupe story kidogo.
Mwaka 2017 September nilisafiri kwa basi. Dar Lux. Basi zuri sana kwa kweli.
Nimekaa pembeni na kijana wa kiume miaka k**a 14 hivi mwenye asili ya kiarabu. Nilikuta keshaketi so nikamsabahi na kujitambulisha. "Naitwa Andrea ni mjasiriamali na nafurahi kuwa na wewe safarini mdogo wangu". Akajikuta anasmile na kujitambulisha pia. Well safari imeenda story za hapa na pale but mpaka mwisho wa safari nikajifunza kuwa alikuwa anatoka likizo kurejea shuleni. Katika kuongea naye nikajifunza kuwa baba yake ni mfanyabiashara na mjasiriamali mkubwa. Na kaka ya huyu kijana yuko nje ya nchi akisomea mambo ya usimamizi wa fedha (za familia)
Dada wa huyo kijana yuko Dubai anafanya kazi katika kampuni moja kubwa kupata uzoefu kwa ajili ya baadaye kusaidia biashara zao. Imagine huyo ni kijana wa Form One.
Yeye huyu kijana yuko kidato cha kwanza by that time lakini baba yake alikuwa akimshauri kuhusu kuchagua masomo ya biashara na kumwambia kuwa kuna mradi atampa akishamaliza mambo ya masomo yake ili ausimamie na ndo sasa huyo kijana akawa anasema alikuwa bado anawaza maana anaona jinsi baba yake anavyo"hangaika" kuwaza mambo mengi na ku-manage biashara zake za petrol stations na malori na nyinginezo. Nikawa namtia moyo tu kuwa asiogope changamoto nk.
Lakini huku nikawa najiuliza kimoyomoyo.
Hivi na mimi nilisoma sheria ili nikasolve kesi za ukoo wangu au familia yangu... au nilisoma ili niajiriwe tu ilimradi kwetu waone hela inakuja wamshukuru Mungu kuwa wamepata "mtu katika watu"??
Niliwaza sana.
Nikawaza hivi sisi tunaposoma degree ya USIMAMIZI WA FEDHA tunakuwa tunataka tukasimamie fedha za nani?
Za familia?
Eti.
Hivi tunaposoma degree ya BIASHARA tunakuwa na lengo la kwenda kuwa wafanyabiashara au kuajiriwa kwa mfanyabiashara ili yeye ndo AFIKIRIE cha kufanya atwambie sisi nini cha kufanya (Job description) halafu tukishakifanya atupe zawadi (mshahara)?
I mean tunaposomea UALIMU lengo ni kufanyanya nayo nini hiyo elimu.
Uhasibu.
Uhandisi.
Kwa nini watu wenye elimu ya udaktari WALIGOMA mpaka Ulimboka anapoteza meno na kucha kwa ajili yao?
Kugoma ni kulazimisha mtu mwingine afikirie cha kufanya. Na asipofanya huna cha kumfanya vile vile. Au naongopa ndugu zangu?
See?
Career guidance katika jamii ya kina sisi ni changamoto kubwa. Tunafanya tu mazoea. Wengi tumesoma kwa mazoea tu. Mpaka leo ndo tunaendeleza trend hiyo hiyo kwa kizazi kijacho.
Nenda shule yoyote ya msingi leo hapo ulipo uliza watoto wanataka kuwa nani baadaye. Ukiacha wanaotaka kuwa Diamond au Samatta wengi wanakwambia: mwalimu, rubani, mwanasheria, "injinia", mhasibu, daktari, nk. Wachache sana watakwambia kuhusu kuuza nguo au kuuza viwanja au kuuza magari na vitu vya aina hiyo. So career ni ualimu na udaktari nk tu? Why wazazi wanaona fahari kuwa na daktari au mwanasheria. Ndo maana zikitangazwa nafasi 50 kesho TRA hutoamini "nyomi" utakayoiona. Na hiyo itaendelea hadi Yesu arudi.
WHAT TO DO?
Kujitoa kwenye KIFUNGO cha fikra siyo kitu rahisi lakini ndo njia ya kuokoa uzao wako ujao. Lazima kuanza kuwaza TOFAUTI na mazoea. Mazoea ndo yametufikisha hapo. Na ni WEWE wa kuanzisha hiyo trend tofauti.
Tuanze kuwaza k**a "wenzetu".
K**a wewe ni mzazi anza kitu chako sasa. Hata k**a umeajiriwa. Anzisha biashara ambayo una uhakika unaweza kuwa-guide watoto wako wakasome elimu hiyo hiyo wanayosoma wengine ila wakimaliza waje kui APPLY hiyo elimu kwa biashara ya familia. K**a ni kusimamia fedha wasimamie za familia. Siyo tu za Vodacom.
Hivi watoto wa Bakhressa wanafanya kazi Vodacom?
Kuna wakati (2010) nilikaa na mtu mmoja hapa jijini ana "hela zake". Akasema mtoto wao wa kwanza wamemjengea Hoteli Zanzibar na mtoto huyo kwa sasa hivi 2019 ana miaka k**a 16 na anasoma hapa hapa Bongo. Na mtoto anajua. Na mtoto akiwa likizo huwa anaenda ofisini kwa baba yake kujifunza namna ya ku-MANAGE biashara kwa kuona.
Sasa mtoto huyo utamkutaje uwanja wa taifa kufanya interview eti. Au mei mosi amebeba Bango la kuongezwa maslahi?
Kwa sababu ya kushindwa kwetu kufikiri na kutaka SERIKALI ndo ifikirie kwa ajili yetu kuna siku watoto wetu wataambiwa wakafanye interview hata PORINI na wataenda. Tunakuwa k**a kondoo tu kupelekwa kokote.
Nimejifunza mengi kwa hawa "wenzetu".
Mtanzania mmoja mwenye asili ya kihindi anamiliki majengo makubwa k**a matano hapa jijini. Miaka 9 iliyopita nilikuta anahangaika na mafundi city centre kwenye ghorofa moja refu huko juu walikuwa wanajenga RESTAURANT moja ya kisasa. Katika kudadisi mbona anapush push hivyo akaniambia hiyo restaurant ilikuwa ni ZAWADI ya birthday ya mtoto wake wa kwanza ambaye alikuwa masomoni Uingereza wakati huo. Na birthday ilikuwa bado wiki moja tu. Hebu fikiria. Sisi birthday tunapeana "baisko" na likeki kuuubwa au eti simu. Thinking yetu iko na shida. Why birthday ya mwanangu nisimpe mradi. Anakuwa anagrow na mradi wake. Of course tunaweza lakini nani yuko tayari aache COMFORT ya ajira kwa ajili ya kuset TREND mpya kwa vizazi vijavyo? Tunalilia NYONGEZA ya mishahara.
Nimesema ukilazimisha mwingine awaze kwa ajili yako akikataa huna cha kumfanya. Si raisi huyo hapo amesema kwa VISION aliyonayo saivi priority ni HUDUMA ZA kijamii siyo kuongeza mishahara. Period. Kwani madktari waliambiwa nini wakati ule na JK? Asiyetaka mshahara uliopo aache kazi.
Unafanya nini sasa! Waliacha kazi? Thubutu.
Waswahili wanasema kila mtu apambane na nini......?
Halafu na wewe unaanza kulaumu raisi mbele ya watoto wako. Eti raisi huyu tutamnyima kura. Wakati hata hukumpa kura yako so in fact hakuna utakachobadili. Unaharibu tu fikra za watoto wako wanaoanza kufikiri kuwa raisi ndo anasababisha wakose ada au wale matembele wiki nzima.
Ukilazimisha SERIKALI ifikirie kwa ajili ya gharama ya elimu ya juu ya watoto wako watakachofanya hela ambayo zamani walikupa wewe yote saivi wataigawanya ili wapate watoto watano. Wanakwambia tumedahili wengi zaidi na tumetoa mikopo kwa wengi zaidi.
.
Utafanya nini?
So k**a hatutataka kufikiri tofauti tutaendelea kuishi hivi hivi vizazi na vizazi. Utajiri tunao elimu tunayo tunaenda kuiapply kwenye BIASHARA za "wenzetu". Na watoto wetu tunawafundisha hivyo hivyo.
EMBE! EMBE! EMBE! (Tumalizie... jifunze kutoka kwa story yangu)
Wakati niko mdogo kijijini huko Ukerewe kulikuwa na wahindi fulani wana Pick Up walikuwa wakitoka Nansio wanapita kijini kwetu wanaenda vijiji vya mbali zaidi kuchukua mazao nk. Sasa walikuwa wakifika kijijini kwetu wanakuta watoto wa kiume tunawasubiri kuwapa MAEMBE k**a zawadi eti kwa kuwa wamepita. Tunaita: Embe! Embe! Hata Kiswahili chenyewe tulikuwa hatujui sisi. Embe! Wanachukua MAEMBE hadi wanatosheka wanaondoka. Sisi tupo tu.
Na tunajisikia vizuri kweli kuwa wamekubali. Khaaa!
Kuna wakati wakawa wanatupa lift hadi k**a kilomita moja hivi wanatwambia turudi. Tunafurahi kweli. Tumepewa lift kwa kugawa "mali" bure. Tulikuta wenzetu wanafanya hivyo so na sisi tukaendelea hivyo hivyo. Hata hatujui kwa nini.
Sasa hiyo inatofauti gani na leo nikapata degree (embe) nikaanza kuwaambia waajiri "Embe"! Embe! Embe!
Halafu wakapokea hiyo degree yako wakakupa kalift kidogo kimaisha (ujira) kisha wanakwambia haya shuka toto jurii.
Hahaaaaa.
It's the same.
Kuna siku nikaenda nao hadi mjini nilikuwa nimeshakuwa rafiki na hao watoto. Nione hawa wanatokaga wapi lakini? Baba yao akawa ananishangaa tu. Lakini nikarudi kijijini kwa miguu. Sasa si ningeshauzwa mimi k**a ingekuwa dunia hii ya leo!! Lol.
Lakini naamini unaelewa jinsi tunavyofurahi kupata LIFT badala ya kufikiri ni namna gani TUMILIKI HILO GARI sisi wenyewe na tuwape "weupe" lifti.
Nilisema sifundishi ubaguzi.
Just kuchokonoa akili zetu ambazo mpaka leo zinawaza kuwa kuajiriwa kwenye ofisi ya WAZUNGU ni "BAHATI".
Sikia..
Watoto wa hao wahindi walikuwa wanafundishwa cha kufanya wakifika kijijini kwetu. Ni kusmile na kutuchekea kidogo. Sisi tunafundishwa na kugombania kugawa Embe! Na kupigana vikumbo nani embe zake zipokelewe.
Utumwa tu wa FIKRA.
Dewji hakuwahi kupanga foleni NBC kuomba kazi. Na wala watoto wake hutawaona njia hiyo. Wala kizazi chake chote. I strongly so believe!
Au watoto wa Ali Mufuruki wanaenda pia uwanja wa taifa eti interview?
Wapi.
Lakini sisi tumekazana tu kuanzia babu mpaka mjukuu: "Embe! Embe! Embe!
Dar es Salaam, Tanzania
East Africa
WhatsApp +255 719369187
09/04/2020
THE DIFFERENCES BETWEEN PHYTOSCIENCE STEMCELL PRODUCTS AND OTHER PRODUCTS
Stemcells is the New face of Medicine. They are mother cells that can generate brand new cells and treats over 200 diseases. That's fact! Other products are also beneficial to man but have limitations in some serious health challenges because they can only nourish the organs of the body, at most nourish existing unhealthy cells with nutrients to become healthy. But stemcells goes the extra miles. Stem cells from PhytoScience can:
1. Nourish existing cells
2. Repair worn out cells
3. Replace dead cells
4. Regenerate new cells where there is absence of one.
That's why we are seeing near miraculous healing effects with everyone that uses stemcells from PhytoScience. It can take care of over 200 health issues, examples are Arthritis, Cancer, Diabetes, Goitre, Stroke, Ulcer, Leukemia, Kidney failure, Hepatitis, Parkinson's disease, High Blood Pressure etc other uncommon results we have seen so far
✔grows back an adult missing tooth
✔Converts SS Genotype to AA
✔grows back hair on head of those with bald head
✔HIV cured
✔Mental illness cured
Other products can not do all these. All PhytoScience STEMCELL PRODUCTS are made in SWITZERLAND, the home of QUALITY PRODUCTS CERTIFIED BY
✅USA, FDA
✅TANZANIA, TFDA
✅HALAL
✅100% NATURAL
✅GMP
✅VEGETARIAN
✅EUROPEAN COSMETICS
✅PhytoCellTec Unique award winning ingredients patented to PhytoScience only.
For more information Call/WhatsApp +255719369187
26/03/2020
Je, wajua watoto karibu milioni 1.6 walio chini ya miaka 5 hupoteza maisha yao kila mwaka kutokana na homa ya mapafu? Hebu tega sikio!
HOMA YA MAPAFU NI NINI?
Homa ya mapafu ni maambukizi katika mapafu (moja au yote mawili) ambayo hupelekea pafu au mapafu kujaa maji na huathiri zaidi vifuko vidogo vidogo vya hewa viitwavyo Alveoli. Ugonjwa huu huathiri sana watoto hasa wenye umri mdogo au watu wenye umri zaidi ya miaka 65 na watu wenye upungufu wa kinga ya mwili. Husababishwa na vimelea ambavyo ni bakteria, virusi, parasites na fangasi.
VIHATARISHI VYA HOMA YA MAPAFU
1. Upungufu wa kinga ya mwili wa mtoto
2. Kutopata chanjo ya kuzuia pneumonia
3. Lishe duni na isiyotosheleza
4. Kutopewa maziwa ya Mama (kutonyonyeshwa)
5. Ugonjwa wowote katika mfumo wa hewa k**a mafua na kikohozi
6. Kupaliwa (aspiration pneumonia )
7. Kuvuta hewa chafu yenye vimelea vya pneumonia
8. Uvutaji sigara (kwa mtoto au aliye karibu na mtoto)
DALILI ZA HOMA YA MAPAFU
1. Homa
2. Kuhisi baridi
3. Kikohozi
4. Kupumua kwa haraka kuliko kawaida
5. Kutoa sauti isiyo ya kawaida wakati wa kupumua(sauti ya kifilimbi au kukoroma)
6. Mbavu za mtoto kuingia ndani wakati wa kupumua
7. Maumivu ya tumbo
8. Kupoteza hamu ya kucheza (kuchoka)
9. Kupoteza hamu ya kula na kushindwa kunyonya
10. Mtoto kubadilika rangi na kuwa na rangi bluu katika midomo na kucha
JINSI YA KUJIKINGA NA HOMA YA MAPAFU
1. Hakikisha unapata chanjo ya homa ya mapafu
2. Hakikisha watoto wanapata chanjo ya homa ya mapafu
3. Weka mazingira ya kuishi katika hali ya usafi
4. Usivute sigara, uvutaji wa sigara unaharibu tishu za mapafu na hivo kuzorotesha kinga ya mwili
MATIBABU YA HOMA YA MAPAFU
▪️Homa ya mapafu inayosababishwa na maambukizi ya bakteria mara nyingi dawa za kuua bakteria (antibiotics) ndizo hutumika katika kutibu ila kwa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi, antibiotics hazina uwezo wowote wa kutibu.
▪️Lakini tunazo habari njema bidhaa zetu za stem cell ni suluhisho kwa ugonjwa huu, huongeza kinga ya mwili na kuimarisha kabisa afya yako au mtoto wako. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi 0719369187 au 0746182162
21/12/2019
Phytoscience trend makers,
Call/WhatsApp +255719369187.
Benefits of using CRYSTAL CELL
*_👉As you fight one disease/ailment or medical condition with Crystal cell , you will be fighting all negative conditions in your body._*
*_👉You will also be looking younger, have a healthier skin, healthier bones & a refreshed body system._*
*_👉You will also feel young, rejuvenated & have your mind & vision (eye sight) sharpened._*
*_👉Crystal cell is the best way of managing & fighting all health challenges the natural way, & it's really safe & affordable._*
10/12/2019
Five Ways MEN Can Escape Poverty.
1. Stop Drinking Cheap Beer: I have no problem with having a
drink over the weekend for social interaction and networking.
However, when you drink cheap beer, you hang out with cheap
people who have cheap ideas and a cheap future. Big business
opportunities are found in places where the drinks are
expensive. Infact, in places where they sell cheap beer, the
only people you will find there are people who will be asking
you for money. They even clap when you come knowing 'big
buyer' has come...
2. Leave Naked Women Alone: Yes, those women who dress
like they are in the process of un******ng but they have not
finished. Leave them alone. Most of them are up to no good
and will only cost you a whole fortune in one weekend.
Instead, get yourself a real woman:
There is strength in a real woman. Get a woman who will not only support
your vision but will also push you to achieve more. A woman
who will inspire you to work hard and not a woman who just
makes you hard. He who finds a real woman finds a good
thing and obtains favour and power to create wealth.
3. Stop being Lazy: "Man ooh Man, why art thou Lazy?" You
are too lazy for your own good. You sleep the whole day and
blame the govt for your poverty. "A Little Sleep, a Little
Slumber, poverty shall overtake you like a political cadre in
overalls". A lot of men are just lazy when it comes to making
money. They have enough energy to give a woman five
or***ms, but have no energy to start one organization.... that's
why it is so easy for men to manufacturer children than it is to
make even pegs for putting children's clothes on the line..
4. Know Productive Things: You know too much about the,
UEFA, EPL and LaLiga than you know about the
Money Exchange and your Street... If you keep too much junk in your
head, you get a junk life. I know a lot of men who are so sharp
when you are talking about girls, about soccer and about
street politics, but bring a topic about investment, innovation
and business, they start looking at their phone, yawning or
saying bye.. Useless things, videos and memes go viral fast
than constructive things.. A man must know how to do atleast
one productive thing (have one skill) even without having gone
to college..
5. Get Connected to Big Men: A lot of men are failing because
they are not mentored. They don't have anyone to whom they
can sit down and listen, with obedience. In the old days, old
men would sit young men down and show them how to hunt
and kill animals... and no man was considered a man enough
until he has personally killed an animal... now these men of
nowadays are not mentored and can't even kill a bird.. There
are men out there who have made it in life, find a way to get
mentored by big men who are making waves...
Follow/like , for more posts.
💎💎💎
22/11/2019
fruits every day
17/11/2019
Health & beauty😀
09/11/2019
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Mwenge
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
