geneseeogranicglow

geneseeogranicglow

Share

Tunajihusisha na uuzaji wa bidhaa za asili kwa ajili ya uso na mwili mzima...bei zetu ni rafiki na tunatoa ushauri kwa mtu buree kuhusiana na maswala ya ngozi.

06/10/2022
06/10/2022

Happy Thursdaayy✨💃🏽...
Leo tuzungumze kiasi kuhusiana na utunzaji wa ngozi na kwanini products unatumia hazifanyi kazi vile ipasavyo🤝...
Nadhani kuna baadhi ya watu wameshaexperience ukavu wa ngozi muda mfupi baada ya kutumia mafuta yako haswa mwilini🥲
No glow, nothing ngozi ni k**a umetoka kuoga ukavaa ukaenda na shughuli zako
Well tutawaibia siri ya how to keep your skin moisturized siku nzima bila kuexperience dryness...
1. Tumia sabuni yenye moisturizing effect kwenye ngozi yako. Dry soap ambazo are meant for only cleansing your skin wont help your case. Kuna watu roho zao uridhika wakitoka kuoga ngozi iwe kavu kabisa haina ulaini hata kidogo
Thats wrong❌
We recommend the use of Shower gels, body wash, moisturizing and conditioning soaps. Utajuaje hii sabuni ina izo effects, ukitoka kuoga utakua unateleza hivi na ngozi inakua laini☺️🥰..
2. Tumia scrub walau mara 2 au 3 kwa wiki, ngozi yako needs it, kuondoa dead skin cells, kupunguza wrickles, madoa, stretchmarks and kufanya ngozi yako iwe laini na nyororo.
Na hapa pia tumia scrub yenye moisturizing effect, itakayokuacha na ulaini na unyevu unyevu👌🏽 sio dry🙅🏽‍♀️🙅🏽‍♀️...
3. The trick ya kufanya ngozi yako iwe laini, kipodozi chako kiingie ndani ya ngozi na kuwa moisturized through out the day ni kupaka mafuta yako ya mwilini ngozi ikiwa bado ina unyevu unyevu sio dry kabisa
Usisubiri ukauke ndipo upake mafuta, la hasha paka ukiwa bado mbichi
Your skin will thank you, utakua mlaini na mwenye kuglow vizuri💁🏾‍♀️....
Unataka kuwa na ngozi nyororo, laini na yenye rangi moja tamu, talk to us we will make it happen for you at a very affordable price💁🏾‍♀️...
Tuna package ya mwilini
Whipped soap 20,000
Turmeric and honey or Coffee scrub each 20,000
Body oil 30,000
Creamyyy body butter 25,000
Restoration body creme 25,000
All handmade with love and natural ingredients
0768078727

19/09/2022

Money Monday💰....
Delivery ipo Dar na Mkoani
0768078727.
Karibuni sana❤️

07/09/2022

‼️RESTOCKED‼️
20,000 for 250g
Contact 0768078727
Karibuni❤️

05/09/2022

Happy Mondaayy🎊🎉...
Una matatizo ya chunusi? Madoa meusi? Ngozi ya usoni kuwa na rangi mbili mbili? Kuwa na matundu makubwa usoni?
Hii package ya cleanser, serum, toner na darkspot remover moisturizer itakusaidia kutibu matatizo hayo yote nimeyataja hapo juu kwa muda wa wiki 6 pekee....
Kwa maelekezo zaidi juu ya package hii tupigie au whatsapp 0768078727

27/06/2022

Happyy New Week🌻...
Je unasumbuliwa na chunusi zisizoisha na dark spots zinazotokana na chunusi?..
Tumefanya kazi na sasa tunawaletea two powerful products kwa ajili ya chunusi na dark spots...
Products hizi zina ingredients ambazo zina lengo la kutibu chunusi na kuondoa madoa meusi usoni na shingoni..
More info coming soon🥰🔥💃🏽
We are exciteddd🎉🎉

16/06/2022

* JINSI YA KUTUNZA NGOZI YAKO KIPINDI CHA BARIDI/KIPUPWE*..
Naamini wengi kipindi ichi ukitoka nyumbani umepaka mafuta yako ila baada ya muda mchache unajiskia k**a umepauka au ngozi yako imekua dry na even rough...
It happens haswa kipindi ichi cha baridi..
What to do?
Short and simple tips za kukusaidia kukeep up na hali ya hewa ya sasa;
1. Apply mafuta mazito (body butter) combine with light oils kwenye ngozi ambayo ina unyevunyevu
2. Exfoliate ngozi yako at least mara mbili kwa wiki kwa ajili ya kuondoa ile dull skin na kuruhusu ngozi mpya kutokea na kuflourish🥰🥰
3. Kunywa maji mengi through out the day (stay hydrated)....
Tunapokea order za body butter (special edition) kwa ajili ya kipindi ichi cha baridi na kipupwe plus body oil yetu combined, your skin will thank you🔥🔥💃🏽💃🏽...
Please wasiliana nasi for maelekezo and orders 0768078727

16/06/2022

Healthy Skin🥰🔥

16/06/2022

*JINSI YA KUTUNZA NGOZI YAKO KIPINDI CHA BARIDI/KIPUPWE*..
Naamini wengi kipindi ichi ukitoka nyumbani umepaka mafuta yako ila baada ya muda mchache unajiskia k**a umepauka au ngozi yako imekua dry na even rough...
It happens haswa kipindi ichi cha baridi..
What to do?
Short and simple tips za kukusaidia kukeep up na hali ya hewa ya sasa;
1. Apply mafuta mazito (body butter) combine with light oils kwenye ngozi ambayo ina unyevunyevu
2. Exfoliate ngozi yako at least mara mbili kwa wiki kwa ajili ya kuondoa ile dull skin na kuruhusu ngozi mpya kutokea na kuflourish🥰🥰
3. Kunywa maji mengi through out the day (stay hydrated)....
Tunapokea order za body butter (special edition) kwa ajili ya kipindi ichi cha baridi na kipupwe plus body oil yetu combined, your skin will thank you🔥🔥💃🏽💃🏽...
Please wasiliana nasi for maelekezo and orders 0768078727

Photos from geneseeogranicglow's post 15/06/2022
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
255