Afya Tips
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya Tips, Health/Beauty, Dar es Salaam.
23/12/2023
Unatakiwa Kujua Siri Hii Kabla Hujaja Whatsapp 👇👇👇
Kikwazo kinakuja kutokana na kuwepo dhana miongoni mwa watu
kuwa tatizo la bawasiri lina uhusiano na kufanya mapenzi kinyume
na maumbile miongoni mwa wagonjwa dhana ambayo haina ukweli
wowote.
baadhi ya waathiriwa huogopa kujitokeza😓😓
kupata tiba kwa kuogopa kuchekwa hivyo kubaki wakiteseka na
tatizo hilo kwa muda mrefu.
"kwanini wanaogopa kujitokeza?"
swali zuri sana... sasa ipo hivi
kuwepo dhana Mbaya miongoni mwa watu
kuwa tatizo la bawasiri lina uhusiano na kufanya mapenzi kinyume
na maumbile kwahio mtu akijiona ana BAWASIRI basi anakua muoga kabisa kupata huduma.
Chanzo cha bawasiri wakati mwingine kinaweza kuwa ni matatizo
ya kufunga choo, kusimama au kukaa kwa muda mrefu, kazi za
kutumia nguvu kubwa👷🏼👷🏾♀, udhaifu wa misuri ya mwili au unene kupita
kiasi.
SASA BASI....
Ugonjwa huu unaweza kutibiwa kwa ganda la komamanga. ??
mbona umeshanga!!!! ndio ganda tu sasa fuatilia mpaka mwisho
Kaanga ganda la komamanga bila mafuta hadi liwe jeusi,
baadaye saga ilikupata jivu laini.
Changanya na mafuta ya karanga au pamba kisha
ingiza katika njia ya haja kubwa mara mbili kutwa.
Zingatia maelekezo ya mtaaalamu unapotumia dozi hii. Tumia
mfululizo kwa muda wa siku 10 utakuwa umepata nafuu au kupona
kabisa, ikiwa tatizo linaendelea unaweza kuongeza siku 10
nyingine.
mimi napata wapi hilo komamanga? ili nijitibu bawasiri?
TUNATOA OFFA KWA WAGONJWA 5 KUPATA TIBA YA BAWASIRI NA KUONDOKA NA MADHILA HAYO KWA OFFA YA ASILIMIA 20% MSIMU HUU WA SIKUKUU
kwanini niwahi offa ya tiba ya bawasiri.
UKICHELEWA UTAKUTANA NA AIBU HII
"Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi "
NIPIGIE 0657 865 050
0657 865 050
26/09/2023
Najua hujui ila ndiyo ujue
0657865050
HUU NDIO MWISHO WA BAWASIRI
Hongera kwa majukumu na pole pia kwa uchovu
Najua UMECHOKA SANA lakini pia huenda unapitia changamoto ya Bawasiri na huhisi k**a ni TATIZO.
SASA
☎️ Mawasiliano:⤵️
DR.WA BAWASIRI
+255657865050
bawasiri ni TATIZO KUBWA SANA TENA LENYE MADHARA MAKUBWA K**A UKICHELEWA
ILA wewe umwahi kujua mapema unaona kawaida tu Bawasiri inaedelea kukua ukumbuke zipo stage 4 za Bawasiri na zina madhara
unapo acha kutibu stage ya kwanza itafika ya stage ambayo ina madhara makubwa zaidi
Na unaanza kutoa maji sehemu ya haja kubwa na hapo unapata kansa
Wengi wao hufanyiwa oparashen
Ila baada ya muda hali ina rudia ile ile
Habari njema kwako TUMEWASAIDIA WENGI WENYE TATIZO K**A LAKO bila Oparashen ndani ya siku tatu TU.
NJOO NIKUSAIDIE SASA
☎️ Mawasiliano:⤵️
DR.WA BAWASIRI
+255657865050
MIONGONI MWA DALILI ZA BAWASIRI NI:⤵️
Kuota kinyama HAJA KUBWA.
Maumivu makali haja kubwa.
Miwasho Mikali haja kubwa
Kutoka USAHA haja kubwa.
Miwasho Mikali haja kubwa
06/09/2023
DALILI
Dalili hizi nitaziongelea kwa pande kuu mbili na kwa kuzingatia bawasili ya ndani {internal hemorrhoid} na bawasili ya nje {external hemorrhoid}, na dalili hizo ni k**a zifuatazo;
BAWASILI YA NDANI {INTERNAL HEMORROID}
1. Kutokwa na damu wakati wa haja kubwa.
2. Kupatwa na miwasho sehemu ya haja kubwa, miwasho sana maeneo ya haja kubwa basi nawe kuna uwezekano mkubwa sana ukawa unasumbuliwa na tatizo hili la bawasili ya ndani {internal hemorrhoid}. 3. Kutokwa na damu maeneo ya haja kubwa baada ya haja, k**a na ww unapatwa na hali hiyo basi kunauwezekano mkubwa sana nawe ukawa unasumbuliwa na tatizo hili la bawasili ya ndani.
4. Kushindwa kwenda haja kwa kawaida, kwa mtu anaekuwa anapatwa na usumbufu mkubwa sana hasa wakati wa haja kubwa kwa maana anakuwa anahangaika sana kutoa haja yake na wakati mwingine anakuwa hata hatamani kukumbwa na hali hii ya kupata choo kwa sababu ya maumivu makali sana anayokuwa akiyasikia lakini hajapatwa na hali ya kutokwa na kijinyama kwa nje basi kunauwezekano mkubwa sana mtu huyu akawa na tatizo hili la bawasiili ya ndani {internal hemorrhoid}. BAWASILI YA NJE {EXTERNAL HEMORRHOID}
1. Kutokwa na kinyama na kuning’inia kwa nje.
2. Kutokwa na damu wakati wa haja kubwa, ikiambatana na kutokwa na kinyama kwa nje.
3. Miwasho pia hutokea, maumivu lakini yanayokuwa yameambatana na kutokwa na kijinyama maeneo ya haja kubwa.
Na k**a unapatwa na hali k**a hiyo basi na wewe pia unaweza kufika hospital au wasiliana nasi kupitia namba zetu kwa ajili ya ushauri zaidi.
Wa.me/256657865050
06/09/2023
UTAJIKINGA VIPI USIPATE BAWASILI (HEMORRHOIDS)
Bawasili au hemorrhoids kwa kitaalamu inaweza kuzuilika k**a utafanya mambo yafuatayo kwa ukamilifu zaidi.
1. Kufanya mazoezi ya mwili angalau mara 4 kwa wiki.
2. Kuepuka kukaa sana, hasa kwa wafanyakazi maofisini na madereva.
3. Tumia zaidi vyakula vitokanavyo na mimea.
4. Matumizi ya matunda muda mwingi hasa baada ya kupata chakula.
5. Kunywa maji kwa wingi.
6. Mwisho kabisa ni kwenda haja pale tu unaposkia hali ya kwenda chooni, kwani kulimbikiza haja kunaweza sababisha kupata tatizo hili la bawasili.
Na kwa wale ambao tayar wamepatwa na tatizo hili ni vema wakafika katika vituo vya afya au wasiliana nasi kupitia namba zetu kwa ushauri zaidi wa tiba..
Wa.me/255657865050
06/09/2023
*JE WAJUA CHANZO, DALILI NA MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO SUGU?.*
.
Afyatips
Wa.me/2550657865050
*VIDONDA VYA TUMBO*
Ni>>>>tatizo linalotokea baada ya kuta za ukuta wa tumbo kuwa na vidonda.
*CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO*
1.Bacteria waitwao herico bacter phylor(H.Pylori)
2.Kula vyakula vyenye asidi kwa wingi
3.Kuwa na mawazo
4.Kunywa pombe na vinywaji vikali
5.Kula vyakula bila mpangilio
6.Uvutaji sigara
*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO*
1.Tumbo kuuma na kuwaka moto
2.Kupata kiungulia karibu na chembe ya moyo
3. Tumbo kujaa gesi
4. Kichefu chefu na kutapika
Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito
5.Kutapika damu
6. Kupata haja kubwa ya kawia au nyeusi na yenye harufu mbaya .
7.Kushindwa kupumua vizuri.
*MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO*
1.Magonjwa ya moyo na figo
2. Maumivu ya miguu,kiuno na mgongo
3.Kuziba kwa njia za kupitisha chakula
4. Ugonjwa wa ini na kongosho
5.Kutoboka kwa ukuta wa tumbo
6. Kukosa hamu ya kula
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke na mwanaume
8.Upungufu wa nguvu za kiume Kwa mwanaume.
31/08/2023
Hakuna oparashen tena
Sas bawasili inatibika kwa siku tatu tuu
Nichek 0657865050
31/08/2023
31/08/2023
Prostate cancer ( Tezi dume)
Wanaume wengi hawapendi kwenda kupima tezi dume baadhi yao hukaa kimya na kuogopa hata kusema dalili za ugonjwa huo kwa wenza wao.
Tezi dume ni sehemu moja wapo katk mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hi ipo mbele kidogo ya puru ( re**um) na chini kidgo ya kibofu cha mkojo na umee ( Urethra) hi ndo sababu ili wakupime lazima waingize kidole huko tigo sasa wanaume hawapendi kupimwa tezi dume ndo maana hata Kipindi kile Rc alitangaza wanaume wa dar wote wapimwe Tezi dume 😃😀 hawakutaka
Saiv technologia imekuwa sana unapimwa kwa mashine wala msjali kapimeni tu ok any way acha niendelee na soma maana na mimi story haziishi 🙈
ZIJUE KAZI ZA TEZI DUME
📌Kutoa maji maji yanayochanganyikana na mbegu za kiume (s***m) shahawa
Maji maji hayo husaidia kuzipa mbegu za kiume nguvu ya kusafiri kwenye uke mpka kufika kwenye mirija ya fallopian tube kwa kuruka so kuchuruzika tyr kwa utungisho na yai la k**e
📌Kutoa kitindikali kwenye uke wa mwanamke kisipo rekebishwa hufanya utungisho wa mimba kuwa wa shida
KUVIMBA KWA TEZI DUME
Number 0657865050
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
