Dr divah

Dr divah

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dr divah, Health/Beauty, Dar es Salaam.

23/03/2025

NDANI YA WEEK TATU TU UNAENDA KUWA MAMA KIJACHO HAIJALISHI UNA;
- UVIMBE (fibroids, mayoma,ovarian cysts,uvimbe maji )unatibika wote bila operation
- ⁠Mirija kuziba au kujaa maji
- ⁠homoni imbalance (huoni siku zako, unapata hedhi ndefu au kubleedmabongemabonge ,kupata dalili za ujauzito na ukipima hakuna)
- ⁠mimba kuharibika
- ⁠PID(maambukizi kwenye via vya uzazi)
- ⁠hauna mbegu za kitosha
- ⁠na changamoto zote za uzazi suluhisho lako liko hapa

K**a una dalili za changamoto tajwa hapo juu na nyingine nyingi, wasiliana nasi sasahivi kwa suluhisho la kudumu kwani;

✅️ Utafanya vipimo vya mfumo mzima wa uzazi ili kufahamu changamoto yako vizuri kwa thamani ndogo ya tsh 30,000 tu! Ndio ni tsh elfu thelathini tu (pasipo vipimo sahihi ni sawa na kuotea ugonjwa tu).

✅️ Utapata matibabu sahihi kutokana na majibu ya vipimo vya uzazi utakavyofanya.

Sisi ni daraja la afya yako njema ya uzazi, Mungu unayemuamini azidi kukupa afya njema wewe na uzao wako.

SASA KUPATA SULUHISHO JUU YA CHANGAMOTO .

Wasiliana nasi kupNDANI YA WEEK TATU TU UNAENDA KUWA MAMA KIJACHO HAIJALISHI UNA;
- UVIMBE (fibroids, mayoma,ovarian cysts,uvimbe maji )unatibika wote bila operation
- ⁠Mirija kuziba au kujaa maji
- ⁠homoni imbalance (huoni siku zako, unapata hedhi ndefu au kubleedmabongemabonge ,kupata dalili za ujauzito na ukipima hakuna)
- ⁠mimba kuharibika
- ⁠PID(maambukizi kwenye via vya uzazi)
- ⁠hauna mbegu za kitosha
- ⁠na changamoto zote za uzazi suluhisho lako liko hapa

K**a una dalili za changamoto tajwa hapo juu na nyingine nyingi, wasiliana nasi sasahivi kwa suluhisho la kudumu kwani;

✅️ Utafanya vipimo vya mfumo mzima wa uzazi ili kufahamu changamoto yako vizuri kwa thamani ndogo ya tsh 30,000 tu! Ndio ni tsh elfu thelathini tu (pasipo vipimo sahihi ni sawa na kuotea ugonjwa tu).

✅️ Utapata matibabu sahihi kutokana na majibu ya vipimo vya uzazi utakavyofanya.

Sisi ni daraja la afya yako njema ya uzazi, Mungu unayemuamini azidi kukupa afya njema wewe na uzao wako.

SASA KUPATA SULUHISHO JUU YA CHANGAMOTO .

Wasiliana nasi 0712653754

Kwa whatsapp bonyeza link hapa chini 👇https://wa.me/message/VIAHAIQKRDMSD1

08/10/2024

K**a unahitaji kuondokana na changamoto za uzazi hauna budi kufuata utaratibu sahihi wa matibabu kwa ajili ya kuhakikisha unakua na afya njema ya uzazi.

Changamoto za uzazi kwa wanawake na wanaume zinahitaji uangalizi na matibabu sahihi ili kuhakikisha afya ya uzazi inakua salama, bora na yenye afya wakati wote.

Mimi ni Dr. Divah mtaalamu wa lishe na afya ninaesaidia wanawake na wanaume kuondokana na changamoto za uzazi zinazowakabili k**a vile;

✅ Mvurugiko wa siku za hedhi kwa wanawake.

✅ Uume kulegea na kukosa nguvu kwa wanaume.

✅ Uvimbe kwenye kizazi kwa wanawake.

✅ Kuwa na mbegu nyepesi zisizoweza kumpa mwanamke mimba kwa wanaume.

✅ P.I.D kwa wanawake.

✅ Mvurugiko wa homoni za uzazi kwa wanawake na wanaume.

✅ Changamoto ya TEZI DUME.

✅ Maumivu makali wakati wa hedhi.

✅ UGUMBA.

✅ Uume kulegea na kushindwa kuendelea na tendo kwa wanaume.

✅ Maumivu kwenye korodani.

✅ Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa.

Wasiliana na mimi zaidi hapa chini 👇👇0712653754

Kwa whatsapp bonyeza link hapa chini 👇https://wa.me/message/VIAHAIQKRDMSD1

09/09/2024

SOMA NA SIKILIZA HAPA VIZURI HILI LISIKUPITE.!

Matatizo mengi sana ya wanawake yana dalili za kufanana, yana vyanzo vinavyofanana fanana (baadhi ya changamoto) na matokeo yake huwa yanaonekana kufanana na hiyo ndio sababu wanawake wengi hawaponi changamoto za mfumo wa uzazi kwani wanatumia dawa nyingi wakidhani wanafahamu changamoto zao vizuri lakini kumbe hawafahamu kabisa.

K**a mwanamke una changamoto za kiafya hasa afya ya uzazi, karibu sana kwenye vituo vyetu vya afya vya Gcat Health Clinic vinavyopatikana kwenye zaidi ya mikoa 15 Tanzania kupata suluhu la changamoto yako.

Tunatibu changamoto nyingi za afya ya uzazi wa mwanamke k**a;

👉 P.I.D
👉 Kuvurugika kwa homoni za uzazi (hormone imbalance)
👉 Kutokwa na uchafu sehemu za siri wenye harufu mbaya sana
👉 Fangasi ukeni na uke kuwa mkavu
👉 Mvurugiko wa siku za hedhi
👉 Maumivu makali sana ya tumbo na maumivu ya kiuno mara kwa mara
👉 Mimba kuharibika
👉 Uvimbe kwenye kizazi
👉 Mirija ya uzazi kuziba
👉 Maambukizi kwenye mfumo mzima wa uzazi
👉 Kukosa hamu ya tendo la ndoa
👉 Ovarian cyst na mayai ya uzazi kutokukomaa

Na kubwa zaidi......

👉 KUKOSA UJAUZITO KWA MUDA MREFU

K**a una dalili za changamoto tajwa hapo juu na nyingine nyingi, wasiliana nasi sasahivi kwa suluhisho la kudumu kwani;

✅️ Utafanya vipimo vya mfumo mzima wa uzazi ili kufahamu changamoto yako vizuri kwa thamani ndogo ya tsh 20,000 (kwa baadhi ya changamoto za uzazi) na 30,000 tu (kwa mfumo mzima wa uzazi) kwa kipindi hiki cha ofa! (pasipo vipimo sahihi ni sawa na kuotea ugonjwa tu).

✅️ Utapata matibabu sahihi kutokana na majibu ya vipimo vya uzazi utakavyofanya.

Sisi ni daraja la afya yako njema ya uzazi, Mungu unayemuamini azidi kukupa afya njema wewe na uzao wako.

Dr. Divah
0712653754

13/08/2024

JE! UMESUMBU KA NA CHANGAMOTO YA UZAZI KWA MUDA MREFU?
GCAT HEALTH inakupatia huduma kwa punguzo la Gharama kwa asilimia 40% ikiwemo vipimo matibabu (dawa)

🟢 NGUVU ZA KIUME
🟢 KUSHINDWA KULUDIA TENDO
🟢TEZI DUME
🟢 BAWASIRI
🟢UUME KUSIMAMA REGEREGEE
🟢 KUPUNGUZA MADHARA YA KUJICHUA/ PUNYETO
🟢KUBALANCE MZUNGUKO WA DAMU KATIKA MWILi
🌊 PID, UTI,hedhi
⏺️ Fangasi, Uvimbe
⏺️Ukavu ukeni
⏺️ Mimba kutoka
⏺️Mirija ya uzazi
⏺️ Saratani ya uzazi
⏺️ Kutoshika mimba

OFA HII NIYA MWEZI HUU TU PIGA SIMU 0712653754 AU gusa links👇👇https://wa.me/message/VIAHAIQKRDMSD1

13/07/2024

Kwa watu wote wenye changamoto mbalimbali kiafya tutakuwa na Ofa ya Vipimo na Matibabu

Shirika la Afya kutoka CHINA/ ETERNAL HOSPITAL, Imeanza kutoa Ofa kwa wagonjwa wote wanao fika katika vituo vyake vyote, na Ofa hii niya👇👇
▪️ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 20,000/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;
🚑 🔹Presha, 🔹Matatizo ya Moyo na INI
🔹Kansa, 🔹Vidonda vya Tumbo,
🔹Kisukari 🔹Pumu
🔹Stroku. 🔹Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
🔹Matatizo ya mifupa, 🔹Matatizo ya miguu
🔹Ngozi, 🔹Figo, 🔹Fangasi sugu
🔹Kupunguza unene, uzito, na matumbo
🔹Kuongeza kinga mwilini(CD4)
🔹U.T.I sugu, 🔹Gesi
🔹Bawasiri, 🔹Tenzi dume
🔹Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
👉 Kuosha
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu

Karibu sana Upate huduma yetu msimu huu wa Ofa. Tupo Dar es salaam Majumba sita Airport na Mikoani pia tunapatikana

Wasiliana nasi kwa simu namba 0712653754

Kwa Whatsapp gusa Link hapa chini👇https://wa.me/message/VIAHAIQKRDMSD1

05/06/2024

Mwanaume Nisikilize Kwa Umakini Sana. K**a Uko Serious Na Kuondokana Na Changamoto Za Nguvu Za Kiume Ni Lazima Kufuata Utaratibu Wa Matibabu. ACHA KUTAFUTA NA KUTUMIA DAWA BILA KUFAHAMU CHANGAMOTO YAKO VIZURI.

USIDANGANYIKE! Hakuna Dawa Ya Kuboost Ya Kupaka Wala Ya Kunywa Inayomaliza Changamoto Za Nguvu Za Kiume, Pasipo Kufuata Utaratibu Wa Matibabu.

Ukiwa Na Changamoto Za Nguvu Za Kiume Fuata Utaratibu Huu Wa Matibabu Kwa Makini Kabisa Itakusaidia Kwa 100%.

👉 Fanya Vipimo Sahihi Vya Uzazi. Vipimo Hivi Vitahusisha;

✅ Afya Ya Misuli na Mishipa Inayopitisha Damu Hadi Kwenye Uume (Hii Ni Msaada Kwa Walioathirika Na Punyeto Pia),

✅ Homoni Ya Kiume (TESTOSTERONE) - Hii Ikiwa Kwa Kiwango Cha Chini Ni Athari Kwa Afya Ya Mwanaume,

✅ Uwezo Wa Kusimamisha (ER****ON TRANSMITTER) - K**a Uwezo Wa Kusimamisha Uko Chini Lazima Uathiri Uanaume Wako,

✅ Magonjwa Yanayoathiri Afya Ya Mwanaume (Moyo, Ini, Bawasiri, Figo, Vidonda Vya Tumbo, Presha, Kisukari n.k)

✅ Wingi Na Uimara Wa Mbegu Za Kiume. Ni Lazima Kufanya Vipimo Hivi Wewe Mwanaume Mwenye Changamoto Ya Nguvu Za Kiume Kabla Hujatumia Dawa Yoyote Ile.

👉 Fanya Mazoezi Mepesi. Kwa Lengo La Kuimarisha Msuli Wa Pelvic Floor Muscle (Msuli Muhimu Kwa Ajili Ya Kumuimarisha Mwanaume Na Kumfanya Awe Imara K**a SIMBA 🦁)

👉 Kula Vyakula Vyenye Madini Mengi Hasa Madini Chuma, Calcium, Protein Na Zinc. Vyakula K**a Samaki Wa Omega 3, Karanga, Korosho, Tangawizi, Vitunguu Swaumu, Nafaka Zisizokobolewa Zote Na Matunda Tofauti Tofauti K**a Parachichi, Ndizi n.k.

Vyakula Na Matunda Hayo Huboresha Mzunguko Wa Damu Na Kuongeza Madini Muhimu Mwilini.

👉 Acha Mitindo Hatarishi Inayoathiri Uanaume Wako. ACHA PUNYETO! ACHA ULEVI ULIOPITILIZA! PUNGUZA STRESS KABISA! ISHI MAISHA YA FURAHA NA FANYA KAZI ZAKO KWA BIDII.

MUHIMU
👉 USITUMIE KABISA DAWA ZA KUBOOST ILI KUWA NA NGUVU ZA MUDA MFUPI ZINAZIDI KUKUATHIRI.

K**a unahitaji msaada zaidi baada ya kuathirika na ukosefu wa nguvu za kiume na punyeto nipo tayari kukusaidia kwa kufuata utaratibu wa matibabu kwa kuanza na vipimo vya mfumo wa uzazi nilivyozungumzia hapo juu kwa thamani ndogo sana ya tsh 20,000 tu kwa vituo vyetu vyote vya afya.

Jisajili kupata huduma ya vipimo sahihi vya afya ya mwanaume kwa thamani ya ofa ya tsh 20,000 program maalumu ya kuwa imara kiume na kuongeza ubora wa mbegu za kiume na matibabu yanayofuata utaratibu kwa kuwasiliana nasi hapa chini. 👇

0712653754

Au bonyeza neno WHATSAPP hapo chini sasahivi kupata nafasi hii adhimu. Mwenye changamoto ya nguvu za kiume unahitaji msaada wa haraka sasahivi.

Dr Divah
0712653754

11/05/2024

WELCOME ETERNAL

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam