Femi-fertility Program

Femi-fertility Program

Share

Tiba ya magonjwa ya uzazi na yanayohusiana na uzazi bila ya upasuaji. WhatsApp, +255782714546

29/03/2024

Je, Unatafuta Mabadiliko Makubwa?

Tunatambua Safari Yako ya Kupunguza Uzito!

Kwa wale wote wanaotafuta MABADILIKO YA KWELI bila diet kali...
..au mazoezi yasiyoisha, tunakuletea SUPPLEMENT YA MAPINDUZI

Punguza angalau KG 5 - Haraka na Rahisi!

Hakuna haja ya kusubiri muda mrefu au kujinyima vyakula unavyovipenda.

Na SUPPLEMENT YETU, unaweza kuanza kuona matokeo ya KUPUNGUZA UZITO...
.. kuanzia KG 5 na zaidi, BILA DIET wala MAZOEZI!

Pia SUPPLEMENT YETU, ipo kwenye mfumo Rafiki kutumia (utakuwa unatumia k**a juice) na ni ya asili, haina kemikali.

TAHADHARI
Hili HALIHUSU wale wenye lengo la kupunguza chini ya KG 5 .
Supplement...
.. yetu imeundwa kwa ajili ya MATOKEO MAKUBWA na ya KUDUMU.

K**a BMI yako hairuhusu kupunguza KG zaidi ya 5, Tunashauri ufanye mazoezi ya kawaida na diet.

Chukua Hatua Sasa!

Kwa mabadiliko unayoweza kuona na kujivunia, chagua Supplement Yetu.
Anza safari yako ya KUPUNGUZA UZITO leo na ujisikie MWENYE NGUVU, MWENYE AFYA, na MWENYE FURAHA zaidi!

Kila box 1 la SUPPLEMENT YETU (Ambalo hupunguza KG 5) Inagharimu TSH 197000/= Ila kwa leo utaipata kwa TSH 175,000/= Tu! na utakuwa umeokoa TSH 22,000/=

Disclaimer
Tafadhali kumbuka kuwa matokeo yanaweza kutofautiana kulingana na mtu na mtu pia na chanzo cha Uzito mkubwa.

Tunashauri kushauriana na mtaalamu wa afya kabla ya kuanza kutumia supplement yoyote ya kupunguza uzito.

Tunapatikana MNAZI MMOJA,Dar es Salaam, Tanzania

WhatsApp, 0782 714 546

29/03/2024

Kuishi Vizuri na Kisukari: Mbinu za Kudhibiti Sukari Yako Kila Siku!

Kila siku ni fursa mpya ya kudhibiti kisukari chako na kuishi maisha yenye afya na furaha. Hapa kuna mbinu chache za kukusaidia:

1. Pima Sukari Yako Mara kwa Mara
Kufuatilia viwango vya sukari yako ni muhimu ili kudhibiti kisukari. Tumia glucometer yako k**a dira inayokuongoza.

2. Lishe Bora
Chagua vyakula vyenye afya k**a mboga za majani, matunda, na nafaka zisizokobolewa. Epuka vyakula vyenye sukari nyingi na mafuta.

3. Fanya Mazoezi
Mazoezi ya kawaida yanasaidia kudhibiti uzito na kusimamia viwango vya sukari. Anza na mazoezi mepesi k**a kutembea kisha ongeza kiwango taratibu.

4. Usimamizi wa Stress
Stress inaweza kuathiri viwango vya sukari. Jaribu mbinu za kupunguza msongo k**a yoga, kutafakari, au hata kupata ushauri wa kitaalamu.

5. Dawa Zako
Hakikisha unatumia dawa zako k**a ilivyoelekezwa na daktari wako. Usiruke dozi yako na uwe wazi kuhusu madhara yoyote unayopata.

6. Elimu ya Kisukari
Jifunze kuhusu kisukari na jinsi ya kujisimamia. Maarifa ni nguvu!

7. Unganika na Wengine
Kushirikiana na watu wengine wenye kisukari kunaweza kukupa motisha na msaada.

Kumbuka, wewe ndiye meneja bora wa afya yako.

Kwa kufuata mbinu hizi, unaweza kudhibiti kisukari na kuendelea kufurahia maisha.

Kwa maswali au msaada, tafadhali jisikie huru kuwasiliana nasi.

Usisahau
K**a una changamoto ya kisukari, Type 1 au 2
Usisite kuwasiliana na Dr Samaya Wing kwa Vipimo na Tiba (Kisukari kintibika)

WhatsApp 0782 714 546

05/03/2024

Habari mpendwa

Je, unajua kuwa unaweza kupona magonjwa sugu k**a kisukari, saratani, ugonjwa wa moyo, na kadhalika kwa kutumia stem cells supplements?

Stem cells supplements ni bidhaa za asili zinazosaidia mwili wako kuzalisha seli shina zaidi.

Seli shina ni seli maalum zinazoweza kujigawa na kutoa seli nyingine zenye kazi maalum, k**a vile seli za damu, seli za neva, seli za misuli, na kadhalika.

Seli shina zina uwezo wa kurekebisha au kubadilisha seli zilizoharibika au kufa, na hivyo kusaidia katika uponyaji wa magonjwa sugu

Stem cells supplements za Revoobit zina faida nyingi kwa afya yako, k**a vile:

- Kujenga kinga imara ya mwili dhidi ya magonjwa
- Kurejesha ujana na nguvu za mwili na akili
- Kupunguza uzito na kuboresha umbo la mwili
- Kupendezesha ngozi na kuzuia kuzeeka
- Kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa n.k

Unaweza kupata stem cells supplements kwa bei nafuu na rahisi.

Unachohitaji kufanya ni kuwasiliana na mimi kwa njia ya simu 0782714546 na nitakuelekeza jinsi ya kupata bidhaa hizi bora na salama (zimethibitishwa)

Usikose fursa hii ya kuboresha afya yako na maisha yako kwa kutumia stem cells supplements .

Piga simu sasa na ujiunge na maelfu ya watu wanaofurahia faida za bidhaa hizi.

Asante kwa kusoma ujumbe huu.

Daktari wako mwaminifu, Dr Samaya

29/02/2024

Kwa MWANAMKE yeyote anayekabiliana na changamoto za kutopata mtoto, mimba kuharibika, au kutoka, napenda kumtia moyo na kumwambia kuwa Killa kitu kinawezekana

Hizi ni changamoto ngumu, lakini kuna mambo kadhaa unayoweza kufanya ili kujenga nguvu na kujisaidia:

1. Jali Afya Yako
Hakikisha unapata huduma ya matibabu na ushauri wa kitaalam. Kuzungumza na daktari wako au mtaalamu wa uzazi kunaweza kutoa mwongozo na faraja. Pia, hakikisha unazingatia afya yako ya kimwili na kihemko.

2. Jifunze Kuhusu Uzazi
Elimu ni muhimu. Jifunze kuhusu mzunguko wako wa hedhi, ovulation, na mambo mengine yanayohusiana na uzazi. Hii itakusaidia kuelewa vizuri zaidi mchakato wa kupata mtoto.

3. Msaada wa Kihisia
Usijisikie aibu au pekee. Kuzungumza na marafiki, familia, au kushiriki katika vikundi vya msaada kunaweza kutoa faraja na kujenga jamii inayoelewa.

4. Linda Akili Yako
Changamoto hizi zinaweza kuwa ngumu kihemko. Jitahidi kujenga mbinu za kukabiliana na msongo wa mawazo na wasiwasi. Kujihusisha na shughuli zenye furaha na kujitunza ni muhimu.

5. Kuwa na Matumaini
Kumbuka kuwa kila mwanamke ni tofauti, na kuna njia nyingi za kufikia ndoto ya kuwa mzazi. Usikate tamaa na endelea kuwa na matumaini.

Kwa kila mwanamke anayepitia hali hii, nawatakia nguvu, faraja, na mafanikio katika safari yao ya uzazi.

28/02/2024

K**a unasumbuliwa na changamoto ya kiafya, hudhuria channel yetu mpya ambayo inatoa updates za afya ya mwili mzima,

whatsapp.com

23/02/2024

Jinsi ya kujitibu changamoto za uzito mkubwa kwa kutumia Miira-curve

Miira-curve ni Tiba lishe ambayo inaondoa changamoto zote za mfumo wa chakula k**a vile bawasiri, choo kigumu, n.k

Pia
Uzito mkubwa, 5kg ndani ya siku 12 tu, k**a unahitaji kupunguza 1-3 kg hii sio rafiki, fanya mazoezi.

K**a unauhitaji wa kupunguza uzito mkubwa kuanzia 5kg, wasiliana nasi mda wa kazi (saa 3 asubuhi - saa 11 jioni)

Jinsi inavyofanya kazi

Inasaidia kuvunja vunja mafuta yaliyozidi kwenye sehemu za mwili haswa tumboni

inasaidia kurepair cells, kuzalisha ili kuufanya mwili uwe na uwezo wa kutobadirisha protein na carbohydrates kwa pamoja..

ambayo ndio huchangia kuongezeka na kujikusanya kwa mafuta mabaya (lehemu) mwilini ambayo pia huongeza uzito

Wasiliana nasi sasa kwa ushauri, vipimo (mwili mzima ili tujue k**a una changamoto nyingine kiafya) na Tiba

Kupitia WhatApp 0782 714 546

21/02/2024

Tunatibu changamoto ya fibroids/ vimbe nyama kwenye mji wa mimba ndani ya mwezi mmoja tu

Tumeboresha Tiba, Tunatumia sterm cells badala ya food supplements ambazo..

Huchukua zaidi ya miezi mitatu kwa muhusika kupata matokeo mazuri.

kwa ushauri, vipimo na matibabu wasiliana na Dr Samaya Wing sasa
Kupitia WhatsApp 0782 714 546

28/08/2023
28/08/2023

Ujumbe wa Leo kwa wanawake

16/08/2023

Hii ni kwa wanaume na kwa wanawake wanowapenda na kuwajali wenza wao (wanaume)

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00