Animal Care Unit
Wanyama na ndege ni viumbe rafiki ambao wanastahili kupendwa, kutunzwa vizuri na kutoteswa
*DAWA (TZ) LIMITED*
Better quality life for All.
Sms us for more details of what services we offer
01/12/2025
Bidhaa hizi zote na nyinginezo zinapatikana DAWA TZ LIMITED, wasiliana nasi leo kupitia 0767-763-959 uweze kuwa wakala wetu.
26/11/2025
DAWA (TZ) LIMITED
20/11/2025
*RAHISI SANA KUPATA KALENDA HII* PIGA PICHA UKIWA UNANUNUA, UNAUZA AU UKO NA MIFUGO YENYE KUTUMIA BIDHAA YEYOTE KUTOKA *DAWA (TZ) LIMITED* NITUMIE ALAFU TUMA ENEO ULIKO UTAFIKISHIWA HII KALENDA.
17/11/2025
*Dawa Bora ya Mafua, Ina kiwango cha juu kabisa cha dawa mbili zenye uwiano mkubwa, Tylosin 20% na Doxycline 20%, Inapatikana katika unazo wa 30g, 100g, 500g na 1kg. Nenda duka la Mifugo karibu yako watakuhudumia.*
11/11/2025
Jipatie dawa Bora kabisa ya minyoo yenye muunganiko wa dawa mbili kwa ujazo dawa/concentration kubwa
*Levamisole 3%w/v + Oxclozanide 6%w/v*
07/11/2025
*MULTIMED FORTE*
Hii ni vitamini muhimu kabisa kwa ajili ya Ng’ombe, Farasi, Kondoo, Mbuzi na Nguruwe. *Multimed Forte* hutumika kuukinga na kuupa mwili wa mnyama nyongeza ya Vitamini muhimu ambazo humkinga na magonjwa nyemelezi, kuongeza hamu ya kula, ukuaji na hata kuongeza uzalishaji wa maziwa na nyama.
Vitamini hii inapatikana katika ujazo wa 100ml na utaipata duka lolote la mifugo karibu nawe.
05/11/2025
TAARIFA KWA WATEJA WETU.
DAWA (TZ) LIMITED
28/10/2025
*MEDLICK MAZIWA*
Pata leo *Madini* bora kabisa ya ng’ombe ambayo husaidia kuongeza wingi wa maziwa, ng’ombe kuingia kwenye joto kwa wakati sahii, uongeza uwezekano wa ng’ombe kushika mimba, madini ya *Medlick* huongeza kinga dhidi ya magonjwa nyemelezi na kumkinga ng’ombe dhidi ya upungufu wa madini ambao husababisha madhara makubwa wakati wa ng’ombe kuzaa.
Madini haya hupatikana katika ujazo wa kilo 2 na 5 na unashauriwa kumpa kila ng’ombe angalau gramu 120 kwa siku.
Wasiliana na muuzaji wa duka la pembejeo za mifugo karibu yako au tupigie simu leo *0765223363* kwa maelezo zaidi.
24/10/2025
*TROXYNIL 34%*
Troxynil 34% ina kiambata adimu kabisa aina ya *Nitroxynil 340mg* ambayo ni maalumu kwa kupambana na minyoo sugu aina ya fashiola ambayo hushambulia maini na kuleta madhara makali kwa ng’ombe na kondoo na kumfanya mnyama hapunguze kula, kukonda sana, uvimbe sehemu ya chini ya mdomo, manyoya kwenye ngozi huvurugika na kunyonyoka kiulaini na kupunguza utoaji wa maziwa.
*Troxynil* Inapatikana katika ujazo wa 100ml na uitajika 3ml kwa mnyama wa kilo 100 au k**a itakavyoelezwa na mtaalamu wako. Dawa hii utaipata katika duka la pembejeo za mifugo karibu nawe.
20/05/2025
More than 75% of the world's crops depend on pollination.
Without bees and other pollinators a lot of our food wouldn't exist.
When you eat today, think of tiny helpers who worked harder to produce your food!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Telephone
Website
Address
Bunju
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 07:00 - 19:00 |
| Tuesday | 07:00 - 19:00 |
| Wednesday | 07:00 - 19:00 |
| Thursday | 07:00 - 19:00 |
| Friday | 07:00 - 19:00 |
| Saturday | 10:00 - 19:00 |
