AFYA kwanza

AFYA kwanza

Share

Afya yako ndo mafanikio yangu���

01/08/2023

VYAKULA VINAVYOONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA HARAKA.
Vyakula tunavyokula vinamchango mkubwa katika kuimarisha nguvu za kiume, hivi ni baadhi ya vyakula vilivyothibitika kuwa na matokeo mazuri sana na ya haraka katika kuimarisha nguvu za kiume:

1.Ndizi Mbivu
Kuwa na stamina ni muhimu katika ufanyaji mapenzi. Ndizi ni chanzo kikubwa cha vitamini B ambayo husaidia sana katika kuongeza stamina na nguvu mwilini hasa wakati wa kufanya kazi nzito.

Ndizi ina kimeng‟enyo cha Bromelain ambacho huongeza nguvu za kiume na ashki ya mapenzi (libido).

Kwa matokeo mazuri , kula ndizi 2 hadi 3 zilizoiva kila siku.

2. Tikiti Maji
Ulaji wa Tunda hili pamoja na kutafuna kokwa zake mara kwa mara una matokeo mazuri katika kuimarisha nguvu za kiume.

3. Kitunguu Swaumu
Kitunguu saumu kina allicin, kiambato kinachosaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye viungo vya uzazi. Kuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye uume ni sababu kubwa ya kuongeza stamina ya kufanya mapenzi.

Kwa ujumla vipo vyakula vingi venye mchango mkubwa katika kuongeza nguza kiume

vikiwemo pia:

Siagi ya Karanga
Parachichi
Pilipili
Pweza
Maji ya Kunywa kwa wingi
Komamanga n.k
Kwa mawasiliano Zaid piga namba 0684510806

31/07/2023

Kwa maelezo Zaid nichek Whatsapp namba 0684510806

21/05/2023
20/05/2023

NI YAPI MADHARA YA PID KWA MWANAMKE??🤦🤷
😥:Ugumba
😭:Kansa yashingo yakizazi
😔:Maumivu makali ya nyonga
🤦:Mimba kutungwa nje ya mirija ya uzazi (ECTOPIC pregnancy)
🤔:Maumivu makali wakati wa tendo landoa
🙄:Mzunguko wahedhi kubadilikabadili.
🌼🌼🌼🌼💚Kwann mwanamke uteseke,usiishi Kwa amani,kupoteza kujiamini!!!
Njoo tukupatie suluhisho Kwa kutumia tiba lishe ya aloe vera product na sio antibiotics karibuni 🥰🥰😘💕 nawapendaaa.kuwa na afya ni muhimu Kwa familia ako na Kwa ajili akoo🤗🤗💞

20/05/2023

Dalili Za Pid:
Zipo dalili kadhaa za ugonjwa wa pid, miongoni mwa dalili hizo ni pamoja na;

A) Mwanamke Kuhisi Maumivu Ya Tumbo Hasa Maeneo Ya Chini Ya Kitovu.

B) Kupata Maumivu Ya Mgongo.

C) Mwanamke Kupata Utoko Mchafu Sehemu Za Siri, Utoko Huu Huambatana Na Harufu Mbaya.

D) Kuhisi Maumivu Wakati Wa Kukojoa.

E) Kupata Maumivu/Kutokwa Na Damu Wakati Wa Tendo La Ndoa.

F) Kutokwa Damu Bila Mpangilio Wakati Wa Hedhi.

G) Kupata Homa.

H) Kupata Damu Nje Ya Siku Zako Za Kawaida Kupata Damu Ya Hedhi.
Uonapo hizo dalili usisite kunichek natumia tiba lishe na sio antibiotics karibuni 🥰🥰😘 nawapendaaa mnooo.afya kwanza

04/04/2023

Kwawale wanaohitaji kuwa na ngozi lani na nyororo, pia kawale wanaosumbuliwa na chunusi mkombozi huyo apo
Tuna kirutubisho hapa ambacho kitakusaidia kuondoa vijidudu kwenye ngozi yako.
TUONE FAIDA YA YA AVOCADO FACE AND BODY SOAP inavyofanya kazi;
1:kutakatisha na kulainisha ngozi
2:Inauwa bacteria na kuiacha ngozi kuwa na afya njema.
3:Kuondoa ngozi ilochoka.
4:Ina vitamin A,B,D na E zinazosaidia kuondoa sumu mwilini na kufanya kazi ya kulinda ngozi baada ya kuoga.
5:Inaharufu nzuri ya matunda ya citrus.
6:Kutaktisha na kulainisha ngozi.
KARIBUNI UJIPATIE HIYO SABUNI NI NZURI MNO .......Ukihitaji namba hiii 0684510806

04/04/2023

Je! wasumbuliwa na U.T.I sugu ambayo inakukosesha furaha nna suluhisho la huo ugonjwa kwa kutumia kirutubisho kisicho na kemikali kilichotokana na AlOEVERA(mualovera) naisi unafahamika njoo tukusaidie kwasababu ni ugonjwa unaowatesa wanawake wengi ukihitaji nichek namba hizi............ 0684510806 Karibu wateja

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam