Ndoa imara1

Ndoa imara1

Share

TUNATOA ELIMU PAMOJA NA MIONGOZO
NAMNA YA KUBORESHA AFYA YA UZAZI KWA WANAUME.

14/12/2023

Baada ya Kuwai Kufika Kileleni Kuna Ile Hali Ya Kuhisi Kudharauliwa au Kupoteza Heshima K**a Kidume Ndio Inayopelekea Wanaume Wengi ........

Kutumia Dawa Hovyo Na Wengi Wao Hufanya Hivyo Katika Hali tu Ya Kulinda Heshima......

Ila Kwa BAHATI Mbaya Zaidi Wanaume Wengi Hawafahamu Kua Kutumia Dawa Hovyo......

Kunaweza Kupelekea Tatizo Kua Kubwa Zaidi.....

Kwani Inatengeneza Usugu Wa Dawa ....

Na Ndio Maana Wengi Huishia Kupata Nafuu Ya Muda Mfupi Kisha Tatizo Linarudi Tena ......

K**a Ungefahamu Jinsi Mfumo Wako Wa Uzazi Unavyo Fanya Kazi Basi......

Ukafahamu Ule Nini Uache Nini Au ....

Utumie Virutubisho Vya Aina Gani ......

Basi Ungeweza Kabisa Kumaliza Changamoto Ya Kuwai Kufika Kileleni MAPEMA........

Na Kuongeza Uwezo Wako Wa Kushiriki Vizuri Tendo La Ndoa....

Ni Bahati Umekutana Na Ujumbe Huu ......

Kwani Kuanzia Sasa Kwa Sasa Hutokua na Haja Ya Kuangaika Kutumia Madawa Kiholela Kwani.......

Tumekuandalia Program Rahisi Itakayo Kusaidia....

Kutatua Changamoto Yako Ndani Ya Siku 30 tu .....

Kwani Zaidi Ya Wanaume 2000+ Wameshatumia Program Hii Na Imewasaidia....

Kurudisha Uwezo Wa Kushiriki Vizuri Tendo La Ndoa Kwa Muda Mrefu Bila Kuchoka ....

Hupaswi Kukosa Program Hii Ambayo Sio Ya Kila Mtu Na Wanaume Wengi Bado Hawaifahamu .....

Ili Kupata Tiba Hii Tupigie Simu

Tupigie Moja Kwa Moja Kwa Namba

📞 +255 683600298

Au Bonyeza Hapo Chini 👇🏾

04/12/2023

ndoaimara1

WhatsApp 0683600298

*JINSI FANGUS SEHEMU ZA SIRI KWA MWANAUME, ZINAVYOPELEKEA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME:*

Fangasi za sehemu za siri zinaweza kuathiri nguvu za kiume kwa njia kadhaa.
Moja ya athari kubwa ni kuongezeka kwa uvimbe na maumivu katika eneo la sehemu za siri, ambayo hupelekea Kupungua kwa hamu ya Tendo la ndoa na kushindwa kusimamisha uume kwa nguvu.

Fangasi k**a vile Candida albicans, Husababisha ugonjwa wa kuvu wa sehemu za siri (candidiasis),
Fangus hawa wanapokupata husababisha maambukizi na kupungua kwa kiwango cha homoni ya testosterone mwilini.

Homoni ya Testosterone ni homoni muhimu kwa Afya Ya Mwanaume pamoja na Nguvu za kiume.

Kupungua kwa kiwango chake mwilini husababisha upungufu wa nguvu za kiume hasa hasa katika hamu ya tendo na Uwezo wa Uume Kusimama kwa Muda Mrefu.

*Nini Ufanye Kuanza Kujilinda na hili Tatizo?*

Ili kuzuia na kutibu tatizo hili, ni muhimu kuchukua hatua za kuzuia maambukizo ya fangasi katika sehemu za siri.

Hapa kuna hatua kadhaa unazoweza kuzingatia:

*1. Zingatia usafi wa kutosha:*
Safisha sehemu za siri kwa umakini na maji safi mara kwa mara, na jikaushe vizuri baada ya kusafisha.

*2. Epuka unyevu:*
Epuka kuvaa nguo zinazosababisha unyevu kwenye sehemu za siri, k**a vile nguo za ndani zenye nyuzinyuzi au nguo zilizobana sana.

*3. Chagua nguo za ndani zinazoingiza hewa:*
Chagua nguo za ndani zilizotengenezwa kwa pamba, ili kusaidia kupitisha hewa safi katika eneo la sehemu za siri.

*4. Epuka kutumia madawa ya fangasi bila ushauri sahihi wa daktari:*
Ikiwa una dalili za maambukizo ya fangasi, ni muhimu kutafuta ushauri wa daktari kabla ya kuanza matibabu yoyote, Kwasababu mara nyingi Fangus huambatana na Magonjwa Mengine ya Sehemu za Siri.
Hivyo ni vyema kufanya Vipimo ili Kupata Uhakika zaidi.

*Umetumia Dawa Nyingi lakini hujapata Matokeo yoyote sahihi ?*

*Usihofu,*

Vipo Virutubisho lishe ambavyo ukivitumia vitakupa matokeo mazuri.

Vipo ambavyo utatumia kwa kunywa, na Vingine utavitumia kwa kupaka kuzunguka sehemu zako za siri mara baada ya kuoga / kujisafisha.

*Karibu Tuzungumze...*

WhatsApp 0683600298

13/11/2023

*Tendo la ndoa, ni muhimu sana kwa afya ya mwanaume na Mwanamke Pia,*

▪︎ Kushiriki Tendo La ndoa mara kwa mara husaidia sana kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo kwasababu husaidia kuboresha mzunguko mzuri wa Damu,

▪︎ Kwa Mwanamke husaidia Kuimarisha Mifupa wakati wa Kipindi Cha kuelekea Ukomo wa Hedhi.

▪︎ Husaidia sana Kupunguza Msongo wa Mawazo na Maumivu Ya Kichwa pia.

▪︎ Tendo La Ndoa Hupunguza Uwezekano wa kupata saratani ya Tezi Dume na Kutanuka Kwa Tezi Dume.

▪︎Husaidia Kuimarisha Kinga Yako Ya Mwili.

▪︎Kwa Mwanamke husaidia kuwa mchangamfu, Afya Nzuri na Muonekano Mzuri.

*Lakini pia,* Kushiriki Tendo mara kwa mara kwa Mwanamke Humsaidia kurekebisha mzunguko wake wa hedhi.

Kushiriki Tendo la Ndoa ni Afya, Furahia Tendo kujenga afya Bora wewe na Mwenza Wako.

Licha ya kuwa Kushiriki Tendo la Ndoa kuna Faida,
Wapo Baadhi Ya Wanaume wanaopitia Changamoto Ya Kukosa hamu ya Tendo, Kushindwa Kurudia Tendo au Kufika Kileleni Mapema

muhimu kujiweka sawa maana yeye ukiangaria haridhiki ataona anakufaidisha ww tu vema kufaidishana ndio lengo la tendo la ndoa

Lakini Pia, Wapo Wanawake wanaopitia Changamoto ya Kukosa hamu Ya tendo, Kupata Maumivu makali wakati wa tendo na Ukavu Ukeni...

✅ Wapo wanaume wengi na wanawake wengi wanapata Changamoto hizo

Ndio maana tukaandaa Virutubisho Lishe Vizuri sana ikiwemo
*S*XPACKAGEKIT*
ambavyo vitakusaidia kumaliza changamoto hizo zote...

K**a unamfahamu mwenye changamoto hizi usisite kuniunganishanae niweze kumsaidia atakushukuru sana nikutakie siku njema na muda mwema kwako 🙏🙏🤝🤝

Wasiliana nami kupitia WhatsApp 0683 600 298

22/10/2023

*FURAHA YANGU YAREJEA..*

K**a wewe ni mwanaume mwenye changamoto ya nguvu za kiume na hujapata suluhisho ya kudumu juu ya changamoto yako basi naomba unisikilize (unisome) kwa makini sana kwani huenda hii ikawa makala muhimu kuliko makala yoyote utakayosoma mwaka huu.

Naweza kusema hivyo kwa ujasiri mkubwa kwa sababu mimi binafsi nilikuwa na tatizo sugu la ukosemu wa nguvu za kiume zaidi ya miaka 10 na nimeweza kutokomeza changamoto hiyo kabisa

Na nimefanya hivyo bila ya kumeza dawa kila siku au kutumia miko yenye kufanya uchukie chakula chako

Lakini kabla sijakwambia nimetokomeza vipi upungufu wa nguvu za kiume nikuhadithie story yangu ilivyokuwa.

*Nakumbuka k**a jana*

Ilikuwa tarehe 8 mwezi wa 8, 2018 siku ya wakulima. Tena nakumbuka ilikuwa siku ya *"SIMBA DAY"* maana mke wangu aliniambia hajaenda uwanjani na hakuna nilichokifanya!

Hiyo ndiyo siku imenifanya nasimulia yote haya, Siku hiyo nilibahatika kushinda nyumbani mimi na mke wangu nikiwa nimejiandaa kuwa siku ya kupika na kupakuwa tena usiku wa kuamkia siku hiyo tuliandaa ratiba kabisa ili kesho yake iwe ni utekelezaji tu.

Nakumbuka siku hiyo mke wangu alikuwa na uchu na mimi aliniamsha alfajiri sana kutekeleza mpango tulioupanga usiku.

Cha ajabu Round ya kwanza hata dakika haikuisha mimi nishamwanga wazungu, sikusituka sana kwa sababu ilikuwa kawaida yangu Round ya 1 kutumia nusu dakika au dakika moja.

Mbaya zaidi mke wangu ali play part yake ya kuendelea kuniandaa ila mkuki ulishindwa kusimama vizuri.

Kilichoniuma zaidi ni pale mke wangu aliniacha chumbani na kwenda kunifatia supu ya pweza akiwa na imani nikiitumia mkuki utaweza kusimama vizuri lakini hadi inafikia mchana mimi nilikuwa na Round yangu moja tena ya nusu dakika.

Naweza kusema nilikurupuka haraka sana na kuelekea kwa daktari na kumuelezea hali iliyonikuta na hapo ndipo nilianza kuchukua hatua.
Sikufedheeka wala mara moja..

Wala mara mbili...

Lakini mara tatu

Nilivyomuuliza daktari chanzo cha ukosefu wa nguvu za kiume ni nini aliniambia ni
-kudhoofika kwa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

-kuwa na GAS nyingi tumboni na kuwa na kiungulia mara kwa mara.

- changamoto ya bawasiri

- Unene ( kitambi )

- kuziba kwa mishipa ya damu inayosambaza damu kwenye uume

- Ugonjwa wa kisukari, presha n.k

Daktari alinielekeza madawa ya kutumia yakiwemo madawa ya kienyeji nilitumia sikuweza kupata mafanikio kwa muda wote huo.

Na yote hayo yalitokea licha ya kufata ushauri wa daktari na kutumia baadhi ya madawa aliyonielekeza.

Hapo ndipo nilipoamua kutafuta njia mbadala ya kutatua changamoto yangu ya NGUVU ZA KIUME.

Kwani sikupenda kudharaurika na kupoteza mke wangu maana niligundua mke wangu anatembea na mdogo wangu.

Na K**a wewe unadhani kuwa tatizo lako la upungufu wa nguvu za kiume ni la kawaida tu kwa vile hujadharaurika basi

Usijidanganye...

Hata mimi nilidhani afya yangu iko sawa kwani nilikuwa nakula vizuri, nafanya mazoezi lakini pia nilikuwa ni mwembamba sikuweza kujua k**a nitapitia changamoto hiyo.

Maana niligundua niko na baadhi ya dalili nilizoambiwa na daktari k**a vile

- vidonda vya tumbo

- bawasiri

- Gas tumboni

- Changamoto ya joint

*USIJIDANGANYE*
Utafiti uliofanyika mwaka 2016 na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) katika wilaya moja tu ya kinondoni Dar es salaam, unaonesha takiribani mwanaume mmoja kati ya wanne ana tatizo la nguvu za kiume

Utafiti huo ulifanyika kwa wanaume 18,441 huku umri wa waliochunguzwa ni miaka 30 hadi 47

Na kwabahati mbaya changamoto hii haitatuliwi hospitalini

Lakini mimi leo nipo hapa kukujulisha sio kwamba changamoto yako haitatuliwi inatatuliwa tena milele k**a mimi nilivyoondokana na changamoto hiyo.

Na mimi sio mtu wa kwanza kutokomeza tatizo hilo.

Wapo watu wengi ambao wametokomeza tatizo hili sugu

Baada ya kuangaika sana nilikuja kutokomeza changamoto yangu kwa kutumia package ya S*X PACKAGE KIT ambayo ni package iliyotengenezwa na virutubisho na baadhi ya mimea.

Nilitumia program hii ndani ya mwenzi mmoja na mpaka sasa bado niko fit

Je utapenda kujifunza ni virutubisho gani na mimea gani asilia pamoja na vyakula ili kutokomeza changamoto hiyo.

K**a jibu ni ndiyo basi naadaa darasa bure kupitia group la WhatsApp ndani ya wiki nitakuelekeza namna inavyoweza kufanya kazi, na wewe unaweza kuamua kuandaa program yako itakayoweza kukusaidia.

Wasiliana nasi kupitia call/WhatsApp +255683600298

19/10/2023

Ilikua Juzi Nilingia Food Point Moja Hivi kwa Pembeni alikuwa amekaa Dada Mmoja Mrembo, Nikasogea hadi alipo...

Katika meza ileile aliyokuwa amekaa yeye, namimi nikakaa hapohapo...kisha nikamuita muhudumu.

Kwa sauti ya juu kidogo nikauliza "Chakula k**a anachokula huyu dada ni bei gani?"

"Shilingi 7,000 ni Mchemsho Wa Kuku Kienyeji" (Muhudumu Alijibu)

"Basi Niletee Namimi" (Nikamwambia)

"Sawa Mkuu, Unaletewa"

Wakati nasubiri chakula kije nikawa namuangalia yule dada usoni, kisha nikamwambia "Tiffah, Mambo"

"Mimi Siitwi Tiffah, Naitwa Aisha" (Nikawa Nimepata Kujua Jina Lake Bila Kumuuliza)

Ukweli ni kwamba, Nilikua simjui...ila nilimuita Tiffah, Ili Akatae Kuwa Sio Jina lake na anitajie jina lake la ukweli.

"Ooh..Aisha, Inaonekana umetoka kufanya mazoezi Ryt?" (Nikamuuliza)

"Yes...Umejuaje" (Akanijibu)

"Mchemsho ni Vyakula ambavyo Wafanya mazoezi pamoja na Walevi Hupendelea Kutumia Asubuhi" (Nikamjibu)

"Haha...Kwahiyo umeniona mie mlevi jamani" (Akanambia Huku anacheka Kwa aibu)

"Hapana, Wewe Ni Mfanya mazoezi" (Nikamwambia)

Ok...Nawewe Unafanya mazoezi? (Akaniuliza)

Hapana (Nikamjibu)

"Anhaa, Kwahiyo ni mlevi ryt (akaniuliza tena)

Hapana Aisha..mimi sio mlevi (Nikamjibu)

"Sasa, K**a Mazoezi Hujafanya na Sio Mlevi..Mbona umeagiza chakula k**a ninachokula mimi.."

(Akaweka Pause...Akanywa Mchuzi Kidogo Afu akaendelea)
..Na Umesema Chakula K**a Hiki Huwa Wanapendelea Walevi ama Wafanya Mazoezi (Akanambia)

Uko Sahihi Aisha....(nikamjibu)

"mimi sifanyi mazoezi, wala sio mlevi.."

Ila..niaamini kuwa watu wazuri huwa wanavijua vitu vizuri pia.

"Unamaanisha nini? (Kaniuliza)

"Nilikuwa na mpango wa kula chakula kizuri this morning, lakini Nilishindwa kuchagua,

Ila... nilipokuona wewe nikapata kujua chakula kinipasacho kula (nikamjibu)

"Haha..Unataka kusemaje Kwa Mfano" (Akaniuliza)

"Nilichotaka kusema nimeshakisema, Labda Tu Nikiseme Tena...Wewe ni Mzuri Aisha" (Nikamjibu)

"Huhuhu..Ahsante Jaman..ila kawaida tu (akanijibu)

Aisha (nikamuita huku namtazama usoni afu nikakaa kimya bila kuongea,..ukimya ukatawala kidogo)

"Abee"* (Akaitika, Akaniangalia kwa aibu..afu akainama chini lilipo bakuli la supu...)

"Wakati naingia hapa nilipokuona nilidhani wewe ni mzuri tu, baada ya kukaa nawewe nimegundua sifa yako ingine nzuri uliyonayo"

(Nikamwambia)

"Mhh..ipi hiyo" (akaniuliza)

Nimegundua kuwa You Are Genuine (Uko Asilia)

Mhh jamani we umejuaje na wakati ndo umeniona leo tu? (akaniuliza)

Nimeona jinsi unavyotafuna mifupa hahaha (nikamjibu)

Hahahaah, we kaka jamani (akacheka kwa sauti afu akajiziba mdomo na tissue)

Akiwa amefurahi sana aisha nikamwambia.....

"Tumekuwa na wakati mzuri pamoja, mimi naelekea ofisini...naitwa Mr Phidelis, and This Is My business Card...Tunaweza Kuendelea Kuwasiliana"

(Nikamkabidhi Business Card Kisha Nikaingia Kwenye Gari Nikaamsha)

Nikawa nimejipatia Rafiki Anaitwa "Aisha" toto moja la kimang'ati lenye rangi ya pesa.

P.S; Niliwafundisha, Ukiwa onaongea na Mwanamke Ambae hujazoeana nae....hakikisha unamaliza mazungumzo yako pamoja nayeye kwa KUMFANYA ACHEKE.

Akicheka Tu DISSAPEAR...ukiendelea utaharibu Mangi.

Anyway...A Hope Umepata Kitu Eeh?

Its Me Phidelis Bwahama.

Ukiwa na maneno mazuri ya kunasa watoto usisahau kutumia package ya S*X PACKAGE KIT itakayo kusaidia kuimarisha tendo la ndoa.

Sio mtoto unamfikisha geto ukipiga kimoja basi.

Wasiliana nami WhatsApp 0683600298 kuipata

ndoaimara1

16/10/2023

Hata Mimi Naunga Mkono Kauli Na Engelbert Hans

Ujumbe Huu Unaweza Ukakuumiza, Lakini...Ukikuumiza Basi Ujue Uliandikwa Kwaajili Yako.

Siku Moja, Engelbert Alikuwa amekaa ofisini kwake mida ya mchana.

Akaingia Dads mmoja ambae alionekana kuchoka na mwenye huzuzi sana.

Akaanza kulalamika...akisema

"Nampigia simu hapokei, meseji hajibu na wala emails hafungui"

Simu zoote ni mpaka nipige mimi, mazungumzo yoote ni mpaka nianzishe mimi.....yeye hawezi"

Najua unajiuliza "Huyu Engelbert ni Nani"

Engelsbert ni Mwalimu aliyekuwa amejikita zaidi katika mahusiano, Uchumba na Ndoa K**a nilivyo mimi kuhakikisha afya za watu zinaimarika hasa swala la tendo, kupungua uzito na kunukia vizuri

Na...alikuwa na ofisi zake zinazotoa huduma ya ushauri na msaada wa kisaikolojia.

Ndio maana huyu dada alikwenda kumlalamikia.

Baada ya malalamiko yake Engelbert Alijibu...

"As We Make Time And Give a F**k For Things We Love, Is As We Make A Time And Give a F**k To People We Love.....The Viseversa Is True."

K**a Hujaelewa Usijali, Hii Hapa Chini Ndio Maana Yake.

K**a Tunavyovipa Muda na Kuvijali vitu Tunavyovipenda Ndivyo Tunavyowapa Muda, Kuwazingatia na Kuwajali Watu Tunaowapenda.

Kinyume Chake ni Kwamba....K**a Ambavyo Hatuvipi Muda Wala Hatujali Kabisa Kuhusu Vitu Tusivyovipenda...Ndivyo ambavyo hatuwapi muda wala kuwazingatia watu tusiowapenda.

Kabla hujaendelea mbele ngoja nikuulize.

Si una yule mtu ambae unajua kabisa anakupenda? Na messji zake pamoja na simu zake kwako ni k**a Usumbufu?

Haumpi Muda wala kumzingatia kabisa kwa Sababu HUMPENDI.

Basi..Ndivyo Ilivyo kwa mtu asiyekupenda.

Hajali, Haguswi wala kuzingatia kabisa kuhusu wewe kwa sababu HAKUPENDI.

Na Anatamani Ujue Kwamba Hakupendi na Zile Simu zako na sms zako nyinginyingi kwake ni KERO.

Sasa...k**a unavyotaka yule usiempenda akuelewe kuwa HUMPENDI, Ndivyo unavyopaswa kumuelewa Aziyekupenda Kuwa HAKUPENDI.

Ukweli ni kwamba, Meseji zako anaziona, Simu Zako Anaziona, Voice na Video Calls Zako anaziona lakini HANA MUDA WA KUSHUGHULIKA NAZO.

Yoote ni kwa sababu...Watu hutoa muda wao kwaajili ya vitu vilivyo na uthsmani kwao na watu walio na thamani kwao.

Kwahiyo..unapaswa KUACHA USUMBUFU, Kubali Kuwa HUPENDWI na HUNA THAMANI kwa huyo mtu.

Kitendo tu cha kukubali kitakusaidia kabisa kuhakikisha UNAMOVE ON.

Mwanaume anaepitia haya yote huwa namshauri atumie package ya S*X PACKAGE KIT ili akipata bahati ya akikutana kukutana nae awe na uwezo kwelikweli

Mwanamke pia akitumia package ya S*X PACKAGE KIT lazima awe na utelezi na hamu ya kuendelea itakayo mchanganya mwenyenza wake

Wasilia nami kupitia WhatsApp 0683600298

Nakutakia Kila La Kheri.

15/10/2023

Wewe Unatumia Deodorant Ipi Check Hi Unaweza Tumia 4-6 Month Na Pia Haitoi Harufu Wala Kuacha Alama Kwenye Nguo , Inatoa Weusi Kwenye Kwapa , Mapaja , Chini Ya Maziwa Kwa Wanawake Na Waume Ukitumia Kwenye Miguu Inatoa Fangasi Kwa Sababu Ina Aloevera Kwa Wengi Na Haina Chumvi Chumvi Za Aluminium soi salama kiafya.

Tuma neno DEODORANT WhatsApp +255683600298 au piga upatiwe ushauri wa namna ya kuondoa weusi kwapani pamoja na harufu mbaya ya jasho

Niambie na ulipo nione utaipataje

15/10/2023

Asilimia kubwa ya wanawake sikuhizi hawana hamu ya kufanya tendo la ndoa kulinga na lifestyle yao hususani vyakula wanavyokula, kutokufanya mazoezi na madawa wayatumiayo kuzuia mimba.

Haya mambo huwa yanasababisha tatizo la homoni imbalance.

Lakini pia ukifatilia vizuri wanawake/ mabinti hata ukishiriki nae anakuwa anachoka haraka sana akifika round ya pili kashachoka hataki kuendelea tena.

Pia mara nyingi hukabiriwa na changamoto ya ukavu maana homoni zao zinashindwa kuzalisha uteute sehemu zao za sili.

Sio kwamba wanaume tu ndio hawana nguvu za kiume hata wanawake wengi hawana nguvu za k**e ni vile tu kwenye tendo asilimia kubwa mwanaume anaitajika kuwa fit zaidi ya mwanamke ili tendo linoge zaidi

Suluhisho:
Changamoto hii ya mwanamke kukosa hamu ya kushiriki teno au kuchoka haraka wakati watendo itaisha akifanikiwa kutumia package ya S*X PACKAGE KIT kutoka ndoaimara1

Kuipata wasiliana nasi kupitia WhatsApp no. 0683600298

ndoaimara1

14/10/2023

Naendelea kusisitiza product zangu sio dawa ni virutubisho maana upungufu wa nguvu sio ugonjwa ila niulegevu wa misuli na upungufu wa virutubisho mwilini hadi baadhi ya viungo kushindwa kufanya kazi zake vizuri. Mfano, uume

Karibu utumie package ya S*X PACKAGE KIT iliyoandaliwa vizuri kutumika kwa jinsia zote mbili kuimalisha afya ya tendo la ndoa

Mwanaume hutakiwi kuishia kimoja tu na kunaliza mwendo tumia package hii itakusaidia kusimamisha uume kwa muda mrefu na kukuongezea stamina

Kwa mwanamke itakuongezea utelezi na kukufanya utamani tendo la ndoa na kukusaidia ku balance homoni zako na kuweka mpangilio mzuri wa hedhi

Kwa ushauri zaidi karibu WhatsApp +255683600298

Follow ndoaimara1

13/10/2023

Sababu 4 Kwanini Mwanaume Anaweza Kuperform Vizuri Kwa Mwanamke Fulani na Kwa Mwingine Akazingua.

Siku Moja alikuja mtu mmoja ofisini kwangu, yeye ni dereva wa malori yaendayo Zambia.

Akanambia "Nahitaji Dawa Mkuu"

Shida Yako Hasa Ni Ipi (Nikamuuliza)

"Aah..Yaani Nikikutana na Mke Wangu Naenda Kimoja Tu tena chapchap, ila nikitoka nje naenda hadi vitano"

"Kwani Unafikiria Kuna Tofauti Gani Kati ya mkeo na mchepuko" (Nikamuuliza)

"Hahaha, Mkuu Basi Tu Nashindwa Kukuelezea Ila Unaelewa Mzee" (Akanijibu)

"Hahahaha" (Tukacheka Woote K**a Ishara ya Kuelewana)

Nilipiga Story Nyingi sana na huyu jamaa na ndipo nilijifunza kuwa,

Mwanaume anaweza asiwe na tatizo la nguvu za kiume na bado akaperform vibaya kwa mwanamke huyu ila kwa mwingine akafanya vizuri.

Na unaweza kuta, mwanaume ambae kuna mwanamke anamuona k**a NGULI-Mzee Wa MOTOMOTO,

Kuna mwanamke mwingine anamuona MZEMBE (Kimoja chali)

Hii ni kwa sababu, performance yake iko tofauti kati ya mwanamke mmoja na mwingine. Hali hii inasababishwa na mambo 4

1. Aina ya mwanamke na ushiriki wake wakati wa tendo.

Kila mwanaume ana sifa za mwanamke anaevutiwa nae.

Wengine huvutiwa na wanawake wenye miili. So inapotokea akakutana na mwembamba lazima tu atazingua.

Lakini pia, kuna namna mwanamke anaweza mchochea mwanaume afanye vizuri zaidi.

Hii inahusisha namna anavyojiweka, maneno anayomwambia kabla hawajakutana,

namna mwanamke anavyoonesha kuwa na hamu na mwanaume huyo pamoja na mwili wake (shanga nk)

Lakini pia, kuna hata zile fujo, kelele na miguno plus kukatika kunaweza mchochea mwanaume afanye vizuri zaidi.

Aina hii ha hamasa inaitwa "Extrinsic Motivation" inayotokana na mazingira ya nje.

2. Hisia za mwanaume kwa mwanamke.

Kila mwanaume ana mwanamke ambae ana hisia nae (kuwa na nyege nae)

Hizi hisia ndizo zinazomfanya mwanaume afanye zaidi.

Sasa..mara nyingi huwa zinaweza kupotea, ndio maana kuna wanaume hawana nyege na wake zao.

Na ili wamwage wakati wa s*x ni mpaka kichwani wavute taswira za wanawake wengine (hili wanawake huwa hawalijui)

Matokeo yake wanaweza kaa miezi bila kukutana kimwili kwa sababu mwanaume hana nyege.

Na muda woote ambao hawakutani kuna mahali mwanaume anamaliza haja zake.

Na hata wakikutana hawatumii muda mrefu sanaaa!

Hivyo..ikitokea mwanaume akas*x na mwanamke ambae ana nyege nae ni lazima atafanya vizuri tofauti na yule ambae hana nyege nae.

Hii ipo hata kwa wanawake, mwanamke hujituma zaidi kwa mwanaume ambae ana hisia nae zaidi ya yule ambae hana hisia nae.

Japokuwa, kwa malaya huweza kujituma pia kwa sababu anataka kulipwa vizuri.

3. Siku wanazokutana.

Kisaikolojia, kila mwanaume huwa ana kitu kinaitwa "MOOD SWINGS"

Ni mabadiliko ya hisia yanayotokea mara kwa mara.

Kuna wakati mwanaume anakuwa na furaha na kuna wakati anakuwa cool.

Na mara nyingi, mwanaume akiwa ana jambo linamsumbua furaha huwa inapotea.

Na akifanikiwa katika jambo fulani furaha huwa inakuja na anakuwa "At the peak"

Sasa..ikitokea akakutana na mwanamke A wakati hana furaha ni rahisi kuzingua.

Na ikitokea akakutana na mwanamke B wakati anayo furaha ni rahisi kuperform vizuri.

Kwahiyo, wakati mwingine performance ya mwanaume inaweza kuamuliwa na mood ambayo mwanaume yuko nayo kwa wakati huo.

4. Eneo

K**a mwanaume atas*x na mwanamke mmoja katika eneo moja mara zoote ni rahisi kuzingua.

Ndio maana...wanaume wengi kwa wake zao hupiga show za kawaida sana tofauti na za kwa michepuko.

Hii ni kwa sababu, kwa mke mazingira ni mamoja kila siku

Ila kwa mchepuko ni mazingira mageni kwa sababu halali siku zoote pale.

Jambo la pili, kwa mke hafungi safari ila kwa mchepuko anafunga safari...hii inaongeza mzuka zaidi.

So...upo uwezekano mkubwa kabisa, mwanaume akawa hana tatizo la nguvu za kiume na bado akazingua kwenye show.

Hii ni kwa sababu, s*x haihusishi nguvu pekeake, inahusishs mambo mengi k**a mazingira, hisia, ushiriki wa mwanamke n.k nk.

Wasiliana nami k**a utakuwa na changamoto yakutoshiriki vizuri tendo la ndoa niweze kukusaidia.

WhatsApp +255683600298
Phidelis bwahama

11/10/2023

Haijalishi una hali gani sasa hivi, hata k**a umetumia madawa mengi ya kemikali hadi yamekuaribu kabisa, au umefanya ma********on hadi uwezo wako umeshuka kabisa..

HAYA YOTE YANAWEZEKAMA KUREKEBISHIKA k**a utaamua leo📌📌
NITAKUPATIA PROGRAM YA VIRUTUBISHO LISHE vitakavyoenda kusafisha sumu zote mwilini zilizotokana na madawa (boosters),

Baada ya hapo, nitakupatia program maalum ya virutubisho lishe kuimarisha mifumo yako yote k**a MWANAUME ili uwe RIJALI haswaa🔥🔥💪💪

Mwisho.. nitakupatia miongozo tofauti kwenye maswala ya ulaji, mazoezi n.k hata baada ya kumaliza program tutaendelea kupeana hii miongozo ✅

NI WEWE TU KUAMUA… NAHITAJI WATU SERIOUSLY kweli wanaohitaji KUIMARIKA✅

WASILIANA NASI KWA NAMBA 0683600298

Kujifunza zaidi👇
Follow
ndoaimara1

10/10/2023

👉Kuna hatari kubwa ya kupata ugonjwa WA moyo, utafiti ulibaini kuwa kufanya mapenzi wala mara mbili hupoteza nusu nzima ya hatari ya kupata magonjwa ya moyo kwa mwanaume (kwani mishipa ya moyo haitapata hatari ya kutaka kuziba)

👉 Kukak**aa mgongo (wanaume), Inasemekana kuwa mwanaume akikaa bila kufanya mapenzi kwa muda mrefu husumbuliwa na maumivu ya mgongo ya mara kwa mara.

👉 Kuumwa na kichwa, Wataalamu wametaja maumivu ya kichwa mara kwa mara wakati mwingine husababishwa na kutofanya mapenzi kwa muda mrefu.

👉 Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno, Inasemekana utakuwa umekamia mechi hivyo utauanza mchezo bila maandalizi yanayotakiwa hivyo msuguano utakuwa mkali na kuleta madhara.

👉Tezi Dume
Kwa wanaume inaweza kuwa rahisi zaidi kupata tezi dume, katika tafiti iliyofanywa kwa wanaume 30,000 waliobainika kufanya tendo la ndoa na kufika kileleni mara 21 kwa mwezi, walionekana ni nadra sana kupata ugonjwa wa tezi dume kuliko ambao hawafanyi kabisa tendo la ndoa kwa muda mrefu.

👉 Kupoteza umakini katika kazi

👉Kusahausahau

KWA USHAURI ZAIDI KUHUSIANA NA AFYA YA UZAZI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0683600298

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
Dar Es Salaam