AFYA YAKO

AFYA YAKO

Share

medical service

19/10/2023

Kwa watu wote wenye changamoto mbalimbali kiafya tutakuwa na Ofa ya Vipimo na Matibabu

Shirika la Afya kutoka CHINA/ ETERNAL HOSPITAL, Imeanza kutoa Ofa kwa wagonjwa wote wanao fika katika vituo vyake vyote, na Ofa hii niya👇👇
▪️ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 20,000/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;
🚑 🔹Presha, 🔹Matatizo ya Moyo na INI
🔹Kansa, 🔹Vidonda vya Tumbo,
🔹Kisukari 🔹Pumu
🔹Stroku. 🔹Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
🔹Matatizo ya mifupa, 🔹Matatizo ya miguu
🔹Ngozi, 🔹Figo, 🔹Fangasi sugu
🔹Kupunguza unene, uzito, na matumbo
🔹Kuongeza kinga mwilini(CD4)
🔹U.T.I sugu, 🔹Gesi
🔹Bawasiri, 🔹Tenzi dume
🔹Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
👉 Kuosha
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu

Karibu sana Upate huduma yetu msimu huu wa Ofa. Tupo Dar es salaam Majumba sita Airport na Mikoani pia tunapatikana

Wasiliana nasi kwa simu namba
+255765321475

https://wa.me/message/4ASTYVXZWXBZB1

Kwa Whatsapp +255765321475

18/10/2023

BAWASIRI/KIKUNDU (HAEMORHOIDS)

BAWASIRI NI NINI?
Ni mkusanyiko wa damu ndani ya njia ya haja kubwa (mkundu na puru) katika sinusoid za ateri na vena za njia ya haja kubwa. Ikumbukwe kwamba mifumo hii ya damu ni ya kawaida na kila binadamu anazo. Mifumo hio ya damu ya ndani ya njia ya haja kubwa ikijaa damu ndipo inavimba na inakua bawasiri au vijivimbe laini ndani ya njia hiyo. Watu wengi sana wana bawasiri na kwa kua hazinaga dalili basi hata watu wengi hawajijui k**a wana hali hii.Bawasiri huwapata sana watu kuanzia miaka 30 hadi 65;chini ya miaka 20 au juu ya miaka 70 ni ngumu sana kupata bawasiri. Ikumbukwe kwamba bawasiri zipo sana na k**a hazikupi shida yeyote wala hazihitaji matibabu ya aina yeyote

AINA ZA BAWASIRI

👉BAWASIRI ZA NDANI(INTERNAL HAEMORHOIDS)

👉BAWASIRI ZA NJE(EXTERNAL HAEMORHOIDS)

👉BAWASIRI MCHANGANYIKO(MIXED HAEMORHOIDS)

WALIOPO KWENYE HATARI YA KUPATA BAWASIRI

👉Wanaoharisha sana(diarrhea)

👉Wajawazito( pregnancy)

👉Wanaopata choo kigumu kwa muda mrefu(chronic constipation)

👉Wanaokaa muda mrefu kwenye kiti( prolonged sitting)

👉Watu wenye kiribatumbo(obesity)

👉Wanaofanya mapenzi ya njia ya haja kubwa(a**l in*******se)

👉Wanaonyanyua vitu vizito(Regular heavy lifting)

👉Watu wenye maisha mazuri na wasomi(Higher socioeconomic status)

👉Waliofanyiwa operesheni ya aina yeyote ya mkunduni(Rectal surgery)

👉Wenye magonjwa ya ini(Hepatic disease)

👉Watu wenye saratani ya utumbo mpana(Colon malignancy)

👉Wenye presha ya puru(Elevated a**l resting pressure)

👉Wenye presha ya Ini(Portal hypertension

ATHARI ZA BAWASIRI
🔹Upungufu wa damu mwilini
🔹Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
🔹kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
🔹kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
🔹kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
🔹Kupata tatizo la kisaikolojia
https://wa.me/message/4ASTYVXZWXBZB1

18/10/2023

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO.
-Gesi tumboni.
-kiungulia
-Choo kuwa kigumu k**a cha mbuzi.
-Maumivu tumboni.
-Maumivu ya chembe ya moyo.
-Maumivu ya mgongo unaoambatana na chembe cha moyo.
-Kupata choo laini sana.
-chembe cha moyo kuwaka moto pale unapokawia kula chakula.

Kumbuka ukiwa na dalili moja wapo
K**a hii usitumie vyakula k**a
>Dagaa
>Maharage
>kabichi
>Nyanya zenye maganda na mbegu zake.
>Maziwa mtindi.
>Ndizi
>Pilipili.
*Kumbuka vidonda vya tumbo vinatibika kabisa kwa kutumia dawa zitokanazo na mimea na matunda.Wasiliana nasi kupitia:-

Whatsapp namba ☎️ +255765321475
https://wa.me/message/4ASTYVXZWXBZB1

18/10/2023

UGONJWA WA UTI WA MGONGO (Meningitis)

Ugonjwa wa uti wa mgongo hutokea iwapo utando unaofunika ubongo na uti wa mgongo utapatwa na maambukizi.

Ugonjwa wa Uti wa mgongo husababishwa na nini?

Ugonjwa huu husababishwa na vimelea mbalimbali vya makundi ya bakteria, virus na hata fungus. Tukivigawanya visababishi hivi katika makundi haya, tutaona kuwa bakteria wanaosababisha ugonjwa wa uti wa mgongo ni k**a vile; bakteria wajulikanao k**a Beta-streptococci, Hemophilus influenza, Escherichia coli, Listeria monocytogenes, Neisseria meningitides, Streptococci pneumoniae pamoja na Mycobacteria tuberculosis, ambao pia ni maarufu kwa kusababisha ugonjwa wa kifua kikuu.

Aidha kutoka kundi la virus, virus wanaojulikana kwa kusababisha ugonjwa huu wa uti wa mgongo ni pamoja na Herpes simplex type 2, HIV pamoja na Varicella zoster.

Vimelea vya fungus ambavyo hujulikana kwa kusababisha ugonjwa wa uti wa mgongo ni pamoja na wale wajulikanao k**a Coccoidiodomycosis pamoja na Cryptococci meningetides.

DALILI ZA UGONJWA WA UTI WA MGONGO

Dalili na viashiria vya uti wa mgongo ni pamoja na
-Shingo kukak**aa na kuwa ngumu isivyo kawaida
-Mgonjwa kujihisi homa kali
-Maumivu makali ya kichwa
-Mgonjwa kupoteza fahamu
-Mgonjwa kupatwa na degedege (seizures) na -mwili kukak**aa
-Mgonjwa kushindwa kuvumilia mwanga (photophobia)
-Mgonjwa kutoweza kukaa sehemu yenye makelele (phonophobia)
-Kwa watoto, kuvimba utosi

Madhara yanayoweza kuletwa na ugonjwa wa uti wa mgongo

Ugonjwa wa uti wa mgongo unaweza kusababisha
+Kuamshwa kwa chembechembe za damu zinazo sababisha damu kuganda kitaalamu – Disseminated Intravascular Coagulopathy (DIC).
+Kuvuja damu kwa katika tezi za adrenalin na kupelekea kutokea kwa ugonjwa ambao kitaalamu unaitwa – waterhouse friderichsen syndrome.
+Kwa watoto, ugonjwa huu unaweza kusababisha mtoto kuwa na kichwa kikubwa - hydrocephalus.

Kwa mawasiliano , ushauli na huduma ya dawa tupigie kwa namba
+255765321475
https://wa.me/message/4ASTYVXZWXBZB1

17/10/2023

🎯𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗛𝗔𝗨𝗣𝗔𝗧𝗜 𝗨𝗝𝗔𝗨𝗭𝗜𝗧𝗢 𝗝𝗜𝗨𝗟𝗜𝗭𝗘 𝗠𝗔𝗦𝗪𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗔𝗙𝗨𝗔𝗧𝗔𝗬𝗢

🌹Je, mzunguko wa siku zako upo vizuri?

🌹Je, unapata maumivu makali sana ya tumbo wakati wa hedhi?

🌹Je, una uvimbe kwenye kizazi?

🌹Je, unapata maumivu ya tumbo chini ya kitovu upande wa kulia na kushoto?

🌹Je, unatokwa na uchafu wa aina yeyote ile ukeni?

🌹Je, unapata siku zako vile inavyotakiwa? Yaani mzunguko wa siku zako upo sawa?

🌹Je, unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa?

🌹Je, unapata ukavu wakati wa tendo la ndoa?

🌹Je unakosa hisia za tendo la ndoa?

🌹Je, huwa haupati ute wa uzazi siku za hatari (ovulation days)?

🌹Je, ulishawahi kutoa ujauzito?

🌹Je, umeshawahi kuugua P.I.D (mashambulizi ya bakteria kwenye kizazi)?

🧲k**a jibu ni ndio kwa sababu mojawapo tajwa hapo juu basi hiyo ndiyo Sababu inayokuchelewesha kupata ujauzito.

🪸Je wewe unatatizo gani? Niambie sasa hivi sasa bofya link hii Message afya yako on WhatsApp. https://wa.me/message/5EC2ECY6IHJ4C1

08/10/2023

DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI

Ishara na dalili za bawasiri kawaida hutegemea aina ya Bawasiri

BAWASIRI YA NJE
Hizi ziko chini na nje ya ngozi karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa. Ishara na dalili zinaweza kujumuisha:

1. Kuwasha katika maeneo yaliyozunguka sehemu ya haja kubwa
2. Maumivu au usumbufu
3. Kuvimba kuzunguka sehemu ya kutolea haja kubwa
4. Mara nyingine yaweza Kuvujadamu au k**a michubuko
5. Kutokwa na kinyama baada ya kwenda haja.
BAWASIRI YA NDANI
Bawasiri ya ndani iko ndani ya sehemu ya kutolea haja. Kawaida huwezi kuziona au kuzihisi, na mara chache husababisha usumbufu. Lakini kukaza au kuwasha wakati wa kupitisha kinyesi kunaweza kusababisha:

1. Kutoa haja/kinyesi chenye damu na maumivu yasiyo makali. Unaweza kuona kiasi kidogo cha damu nyekundu kwenye haja yako.
2. Maumivu na muwasho sehemu ya haja

08/10/2023

➡️Kwa kawaida mishipa ikiwa imara mashine husimama Kwa muda mrefu sana bila kusinyaa❗

Mishipa ikiwa na shida, mashine husimama ikiwa lege-lege, au hushindwa kusimama kabisa.

Kwa wengi Changamoto hii husababishwa na mishipa kulegea hivyo kupunguzaa uwezo wake wa kupitisha damu kwa wingi kuingia katika Mashine.

➡️ Upigaji ny3to na Utazamaji wa picha za EX kwa muda mrefu huweza kupelekea ubongo hushindwa kutuma taarifa kwenye moyo ili usukume Damu ya kutosha kwenda kwenye mashine!

Ndiyo maana w'/me wengi wanaoendekeza tabia hizo hupata changamoto ya kushindwa kusimamisha vizuri mashine zao.

➡️ Ikiwa changamoto hii inakusibu, basi hii iwe habari nzuri zaidi kwako,

Nimekuandalia program MAALUMU kusaidia wanaume kukabili changamoto hii.

Ni rahisi sana kujifunza;

Inahusisha hatua tatu (3) tu k**a ifuatavyo; 🎯

1. Kuondoa sumu zilizoingia kutokana vyakula/vinywaji/madawa yenye kemikali

2. Kuboresha Mzúnguko wa damu Mwilini ili damu ifike ya kutosha kwenye mashine kuiwezesha isimame muda mrefu zaidi.

3. Kuongeza nguvu na uwezo wa mashine kufanya kazi yake kwa ufanisi bila kuchoka haraka

➡️ Wasiliana nasi kwa WhatsApp namba +255 765321475

08/10/2023

SABABU ZA MSINGI ZA MWANAMKE KUTOKUPATA MIMBA (UGUMBA)
Ili mwanamke apate mimba , sehemu zote za mwili wake zinazohusika na uzazi zinatakiwa zifanye kazi inavyotakiwa na katika hatua zote
Katika utengenezaji wa mimba ni K**a ifuatavyo:

(1)Moja Kati ya ovari mbili za mwanamke kuachia yai lililokomaa .
(2)yai hii husafilishwa mrija wa uzazi (Fallopian tube).
(3)mbegu za mwanaume kusafiri Hadi kwenye cervix , kupitia tumbo la uzazi (uterus)hadi kwenye mrija wa uzazi ,kulifikia yai na kulipevusha .
(4)yai lililopevushwa kusafiri kupitia mrija wa uzazi Hadi kwenye tumbo la uzazi (uterus).
(5)yai kunata kwenye ukuta wa uterus na kukua .

UGUMBA KWA MWANAMKE UNAWEZA KUTOKANA NA DOSARI KATIKA HATUA YOYOTE KATIKA HIZO TULIZOZITAJA NA MARA NYINGINE KUTOKANA NA DOSARI KATIKA HATUA ZAIDI YA MOJA .

pamoja na kwamba Kuna sababu nyingi za mwanamke kutopata mimba ,lakini sababu kuu hizo hapo juu ndio zinahusika zaidi K**a tutavyoeleza hapa chini .

1)KUSHIDWA KUZALISHA MAYAI (ANOVULATION).
=Hili ndio Tatizo linachangia ugumba kwa wanawake kwa asilimia 30 Lakini kwa bahati nzuri asilimia 70 ya wanawake wenye Tatizo hili linatibika na kufanikiwa kupata watoto .
Mwanamke mwenye tatizo hili hutoa mayai Mara chache au hutoi mayai kabisa .

a/MATATIZO YA HOMONI
=Homoni ndio sababu kuu kwasababu homoni ndio kichocheo Cha kunfanya mwanamke kuwa kamili kwenye mfumo mzima wa Uzazi.
Na hii kupelekea Mzunguko wako wa hedhi kubadilika na kupelekea hedhi kubadilika badirika .

2)MAKOVU KWENYE OVARI
=Uaribifu kwenye ovari unaweza kusababisha Ovari hizi kushidwa kuzalisha mayai . oparesheni za Mara kwa mara huongezeka Makovu kwenye ovari hizo na kushidwa kuzalisha mayai .nk

DALILI ZA MWANAMKE MGUMBA
=✓KUNA DALILI KUU MOJA TU AMBAYO NI
KUJAMIANA NA MWANAUME KWA MWAKA MMOJA LAKINI HABEBI MIMBA ,YAANI MIEZI 12 KWAHIYO HIYO NI DALILI YA MWANAMKE MGUMBA.

NB : SULUHISHO LIPO
Tucheki kupitia WhatsApp namb +255 765321475

08/10/2023

K**A WEWE NI MWANAMKE BASI HABARI HII NI MUHIMU SANA KWAKO.
Baada ya kuwasaidia Wanawake Zaidi ya 1000 wenye changamoto za kiafya hasa kwa Upande wa Matatizo ya Uzazi na magonjwa ya Ukeni..Nimegundua njia rahisi ya kutatua changamoto zifuatazo kwa kutumia Tibalishe ya asili(herbal) ambayo imeleta matokeo makubwa kwa jamii .nimeamua kutoa offer ya tiba kwa punguzo la 30% Wahi offer kabla haijaisha. Mungu tu pamoja nasi

i/Mvurugiko wa homoni(hormone inbalance) =
ii/Hedhi isiyo na mpangilio
iii/Uke mkavu
iv/Mirija kuziba/kujaa maji
v/Hedhi isiyoisha
vi/Uvimbe kwenye kizazi(fibroids)
vii/Kutoshika ujauzito/ugumba
viii/Kukosa hedhi kipindi kirefu
ix/Wale wote waliothiriwa na matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
x/Mimba kuharibika na kutoka
xii/Kupata hedhi yenye mabongemabonge
xiii/Maumivu wakati wa tendo la ndoa
xiv/Uke kutoa maji/harufu mbaya
xv/P.I.D(pervic inflammation disease)
xvi/Kukosa hamu ya tendo la ndoa
xvii/Uchafu katika mfumo mzima wa uzazi
xviii/Fangasi za ukeni
xix/Masundosundo/Vigwaru
xx/U.T.I sugu
Yote kwa gharama ya elfu 35,000 tu
Kwa uvimbe elfu 75,000
Kwa dar es salaam fika ofisini
MIKOCHENI B FEZA NURSERY

Kwa mikoani tutakutumia
Chukua Hatua afya yako ni ya thamani sasa wasiliana nami
Kupata punguzo hilo la dawa kabla muda haujaisha

+255 765 321 474/ Whatssap

08/10/2023

UGONJWA WA FANGASI KWENYE UKE.

Habari ninaimani kabisa kila mtu anapenda kuwa na afya njema lakini changamoto inakuja pale watu wanapokuwa hawana elimu ya kujua kuwa wanahitaji wafanye nini ili kuimarisha afya zao na mimi leo napenda kutoa elimu hii ya fangasi ukeni maana ni changamoto inayoasili wanawake wengi kwa asilimia 78, hii ni takwimu kubwa sasa ebu tuone jinsi gani kila mtu ataendelea kuimaria sehemu zake alizosababishwa aitwe mwanamke.
• Hizi ni sehemu nyeti kwa mwanamke zinahitajika ziheshimiwe kuanzia kwenye tendo la ndoa pale anapokutana na mwenzi wake na hutakiwi akudharau mtu, kuna baadhi ya wanaume wanatabia anapokuwa yuko kwenye tendo anatemea mate kwenye uke huko kwa ujumla hapo ni kudharauliwa kwa mwanamke tafadhiri yake ni kwamba siyo sehemu nzuri ndo maana anatema huko ni kumshusha kiwango cha ubora wake, kisa kuna ukavu ndo akutemee mate hiyo ni sehemu ambayo haihitaji kutemewa mate ivi kwanza ni kwa nini akutemee mate na wewe mwanake bila kujua unaongezea mate ya kwako hiyo inaonyesha kuwa na wewe mwenyewe unajidharau.

VYONZO VINZVYOSABABISHA FANGASI UKENI.

• maji chumvi hasa kwa watu wanaotumia maji ya chumvi chumvi kuoga nah ii inawasumbua sana watu wa dar es salaam kwa Tanzania pamoja na Dodoma.
• Matumizi ya kuchangiana taulo
• Kutokujikausha vizuri baada ya kumaliza kuoga
• Matumizi mabaya ya madawa hasa kipindi cha hedhi
• Wakati wa tendo la ndoa unapaswa ujisafishe baada ya kumaliza kushiriki.
DALILI ZA KUWA NA UGONJWA WA FANGASI.
i. Ukiingiza kidole sehemu za uke unatoka na vitu vyeupe vyeupe, hiyo ni dalili mojawapo kwa mwanamke kuwa na fangasi kwa nini uwe navyo na kwa nini mwingine asiwe navyo.
ii. Kuwashwa sehemu uke na kukaa unajikuna kila muda.
iii. Kutoa harufu mbaya ukeni au kutoa maji maji yanayonuka.
iv. Kuwa k**a umeungua moto ukeni au kuwa na wekundu sehemu za uke
NINI AFANYE KWA MTU ALIE NA HIZO DALILI.
Kuna moja ya vitu ambavyo akivitumia kwa umakini mzuri na kwa aubora Zaidi hiyo changamoto anaepukana

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Majumba Sita
Dar Es Salaam
MEDICALSERVICE