AFYA Muhimu

AFYA Muhimu

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA Muhimu, Health/Beauty, Dar es Salaam.

30/04/2026

Ukila Hivii Unaimarika Sanaa...
So Nawe Hakikisha Una Kula Vizurii

29/04/2026

Mmesikia shangazii
Tujiimarishe Ndugu zangu

28/04/2026

Bidhaa Muhimu Kwa afya Yako weka Order Yako Pia Upate Mzigo wako
Call whattsapp no 0754685663

27/04/2026

Hakikisha unashiriki tendo kikamilifu..

23/04/2026

Achana Na Booster Karibu Nikupe Miongozo Uweze Kutumia Virutubisho Na Kuboresha Afya Yako Vizuri Zaidiii...

19/04/2026

Njia za Kuboresha Mbegu za Kiume (S***m Quality)
1. Kula Vyakula Sahihi
Lishe ina mchango mkubwa sana:
Zinc: karanga, mbegu za maboga, nyama
Protein: mayai, samaki, maharage
Vitamini C & E: matunda (machungwa, embe), mboga za majani
Omega-3: samaki k**a dagaa, salmon
👉 Husaidia kuongeza idadi na nguvu ya mbegu
2. Epuka Pombe na Sigara
Pombe hupunguza uzalishaji wa mbegu
Sigara huharibu ubora wa mbegu
👉 Hata matumizi ya “kidogo kidogo” yanaweza kuathiri
3. Punguza Joto Sehemu za Siri
Mbegu zinahitaji baridi kidogo:
Epuka kuvaa chupi zinazobana sana
Usikae muda mrefu na laptop mapajani
Epuka kuoga maji ya moto sana mara kwa mara
4. Fanya Mazoezi Lakini Usizidishe
Mazoezi ya kawaida huongeza homoni za kiume
Lakini mazoezi ya kupitiliza hupunguza testosterone
👉 Balance ndiyo muhimu
5. Punguza Msongo wa Mawazo (Stress)
Stress hupunguza homoni muhimu
Pia huathiri uwezo wa uzalishaji wa mbegu
👉 Jaribu kulala vizuri, kupumzika, na kuwa na ratiba nzuri
6. Lala Usingizi wa Kutosha
Saa 6–8 kwa siku
👉 Usingizi huongeza testosterone na uzalishaji wa mbegu
7. Epuka Kemikali Hatari
Dawa za kilimo, plastiki zenye kemikali, na mazingira yenye sumu vinaweza kuharibu mbegu
Zingatia hayaa

Photos from AFYA Muhimu's post 14/04/2026

Msongo wa mawazo (Stress na anxiety)
Mawazo mengi, presha za maisha, au hofu (k**a performance anxiety) zinaweza kuathiri akili na kufanya mwili ushindwe kusimamisha vizuri.
2. Mzunguko mbaya wa damu
Uume unahitaji damu ya kutosha ili kusimama. K**a mishipa imeziba au damu haisambai vizuri, kusimama kunakuwa dhaifu.
3. Matumizi ya pombe na sigara
Pombe nyingi hupunguza uwezo wa mishipa kufanya kazi
Sigara huharibu mishipa ya damu
Vyote vinaathiri nguvu za kusimamisha
4. Homoni kuwa chini (hasa Testosterone)
Kiwango kidogo cha homoni ya kiume kinaweza kupunguza hamu ya tendo na nguvu ya kusimama.
5. Magonjwa ya mwili
Magonjwa k**a:
Kisukari
Presha ya damu
Unene kupita kiasi
Yanaweza kuharibu mishipa na neva zinazohusika na kusimamisha

29/03/2026

Hii ni kwelii kabisaa
Watu wavivu sana kufanya Mazoezii
So ushirikiano wa Mwilii unakosekanaa..

Pengine unakosa Mtu wa kukusimamia ili uwe na Fya bora Now mimi niko hapa kukusaidia kuwa Imara

Nicheki inbox..

26/03/2026

K**aa bd Upo Na Changamoto kufanya Tendo vizuriii
Basi Hii Ni Nafasi Kwako Ya Kujiwekaa Sawaa Ili Uzidi Kuupiga Mwingii..

26/03/2026

Hawa nao🤣🤣

26/03/2026

Hakikisha Una Nguvu za kutoshaa

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam