UTAMU WA AFYA YANGU.
Nawasaidia Wanaume kumaliza Moja kwa Moja tatizo la upungufu wa nguvu za kiume bila madawa Bali LISHE
18/11/2023
*DARASA BURE *
Somo Linaanza Rasmi Get Ready 💪
Tutaanza Na Kufahamu Kwanza Tatizo La Upungufu Au Ukosefu Wa Nguvu Za Kiume!...
Lakini kabla sijaelezea kuhusu Nguvu za kiume nitatoa Somo hili 👇
*Uwezo wako k**a Mwanaume*
Yani ili Ujue k**a Upo Imara Basi utapimwa kwa mambo makuu matano Ambayo ni
1. Uwezo wako wa Kusimamisha.
2. Hamu ya tendo
3. Uwezo wako wa Kumwaga mbegu ( S***m mobility )
4. Uwezo wako wa kutungisha mimba ( s***m count and morphology )
5. Uwezo wako wa kumfikisha Mwenza wako kileleni.
Basi K**a Upo Vizuri Maeneo hayo yote basi Jipige kifua sema Mimi KIDUME haha,
Lakini pia k**a Unahisi una changamoto Kati ya hayo niliotaja hapo juu basi Usijali Upo Sehemu Sahihi Nitakupa Madini yote Ili Nawe Uweze KUTAMBA k**a Aslay 🙌
Ok sasa Let's define Nguvu za Kiume ili Ujue Nguvu za Kiume ni Nini Hasa.
Lakini Kabla sijazungumzia hili, watu Wengi wakiskia Nguvu za kiume wanajua ni Mtu kuwa Na mwili Mkubwa, misuli k**a Mwarabu Fighter hapana, Nguvu za Kiume ni tofauti kidogo 👇
*NGUVU ZA KIUME*
Ni Ule uwezo wa Mwanaume kuwa na hisia na kuweza Kushiriki kikamilifu tendo bila kupata Changamoto yoyote ile kabla na baada ya Kushiriki.
Naomba Uelewe vizuri hiyo maana ya Nguvu za kiume , kuna watu hupata changamoto kabla, najua Unaweza ukajiuliza changamoto za kabla ni zipi, usijali nitakwambia ni pamoja na Kukosa hamu na hisia ya kutaka kushiriki tendo.
Na changamoto baada ni k**a 👇
1.Kuchoka sana baada ya kumaliza bao la kwanza
2. Kupata bao lenye maumivu
3. Kushindwa kuendelea zaidi ya Moja
4. Kumaliza haraka haraka, Watoto wa Mjini tunasema ukiweka imo , ukiweka tu Imo basi jua hiyo ni changamoto.
5. Kupata maumivu kwenye Uume ( Uume kuuma baada ya kumaliza )
6. Uume kusinyaa wakati unaendelea au baada tu ya kumaliza bao la kwanza!...
*Upungufu Wa Nguvu za kiume*
Upungufu Au Ukosefu wa Nguvu za kiume ni ile hali ya Mwanaume Kushindwa au kutokuwa na Uwezo wa kukamilisha tendo kwa Ufasaha.
Maana yake unakuwa na Moja ya Changamoto kwenye yale mambo 5 tuliosema hapo juu, yani Kusimama Imara, Hamu ya Tendo, mbegu zenye Ubora na nyingi na kumfikisha Mwenza wako kileleni
By the way nimeandaa darasa Bure kwaajili ya wanaume miaka 30 hadi 59 tuma ujumbe NENO NIUNGE Sasa hivi kwenda whatsapp namba +255694029966
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Address
MAKUMBUSHO _TANAHOUSE
Dar Es Salaam
