AFYA YANGU
Umetumia dawa nyingi na hazijakusaidia kutatua changamoto yako uliyo nayo usikate tamaa
11/01/2024
TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI(Fibroids)
______________________
FIBROID NI NINI?
✍️ Siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la huu ugonjwa hebu Soma vizuri.
✍️ Fibroid_ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la uzazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
🔴AINA TOFAUTI TOFAUTI ZA FIBROIDS.
1: Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2: Intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3: Subserosal(nje ya kizaz)
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
------Watu wafuatao wako hatarini ya kupata ugonjwa huu fibroids
👉 Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
👉Miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
👉Kurithi
👉 Unene
Kuingia hedhi mapema
✍️Fibroids-sio kansa ni uvi mbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini.
✍️ Na mara nyingi uvimbe huu waga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
✍️ Na watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.
🔴●DALILI ZA FIBROIDS/UVIMBE KWENYE KIZAZI
📌.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
📌.kutokwa na uchafu wenye kiaharufu mbaya au ambao hauna harufu lkn mwingi na mweupe.
📌.maumivi ya kiuno hasa wakati wa hedthi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
📌.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
📌.hedhi zisizokuwa na mpangilio.
📌.maumivu wakati wa tendo la ndoa
📌.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
📌.maumivu makali wakati wa hedhi
🔴 UVIMBE UNAPOKUWA MKUBWA UNAWEZA KUSABABISHA MADHARA YAFUATAYO.
1: Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2: Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo
3: Haja kuwa ngumu
4: miguu kuvimba
5: kupungukiwa damu
🔴JINSI FIBROIDS/ UVIMBE UNAVYO WEZA KUKUNYIMA MTOTO:
1: Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yan ovari
2: Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi..hasa submucosal fibroids
3: Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai.
K**a wewe ni miongoni mwa wahanga wa tatizo hili,. Usisite kuwasiliana nasi kwa msahada zaidi.
Piga simu ili kuongea na Daktari namba zifuatazo👇👇
0784 703 163
Au gusa Link hapa chini kuchat na daktari Whatsap
https://wa.me/message/SLN5C2O7TFN6P1
28/09/2023
KITUO CHA AFYA - Gcat health care international
Ni taasisi inayomilikiwa na Wachina ambapo ina madktari waliobobea na vifaa vya kisasa wanatoa huduma ya vipimo kwa gharama nafuu sana.20,000tu
Pia wanatibu magonjwa yafuatayo:
✅Matatizo ya hedhi kwa wanawake
✅Kutoshika mimba
✅Mimba kuharibika
✅Chango la uzazi
✅Vimbe aina zote
✅PID & UTI
✅Kuzibua mirija ya uzazi
✅Vidonda vya tumbo
✅Tezi dume
✅Nguvu za kiume
✅Bawasiri
✅Matatizo ya mifupa
✅Ngiri
✅Matatizo ya kibofu cha mkojo
✅Aleji
✅Bandama
✅Homa ya Ini
✅Kiharusi/Stroke
✅Pumu
✅Miguu Kuwaka Moto
✅Uzito mkubwa
Pia tuna dawa maalum kwa wagonjwa wa
✅Presha
✅Sukari
Tupo banana Dar es salaam, Mwanza,Arusha,Dodoma, Mbeya,tupigie simu utapokelewa
Wasiliana nasi kwa namba za simu:
0784 703 163
17/09/2023
JE WAJUA?
MADAKTARI BINGWA TOKA HOSPITAL YA WACHINA G CAT WAMETOA OFA YA VIPIMO NA MATIBABU NDANI YA WIKI HII?
VIPIMO VYA KUCHEKI AFYA YA MWILÌ MZIMA, USHAURI N.A. KUMUONA DAKTARI KWA ELFU 20 000/= TU..
WAHI SASA KABLA OFA HII HAIJAISHA.
TUKO DAR NA MIKOANI.
PIGA 0784 703 163
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Majumbasita
Dar Es Salaam
