AFYA YANGU

AFYA YANGU

Share

Umetumia dawa nyingi na hazijakusaidia kutatua changamoto yako uliyo nayo usikate tamaa

11/01/2024

TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI(Fibroids)
______________________
FIBROID NI NINI?

✍️ Siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la huu ugonjwa hebu Soma vizuri.

✍️ Fibroid_ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la uzazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.

👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻

🔴AINA TOFAUTI TOFAUTI ZA FIBROIDS.

1: Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)

2: Intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)

3: Subserosal(nje ya kizaz)

👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
------Watu wafuatao wako hatarini ya kupata ugonjwa huu fibroids

👉 Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa

👉Miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma

👉Kurithi

👉 Unene

Kuingia hedhi mapema

✍️Fibroids-sio kansa ni uvi mbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini.

✍️ Na mara nyingi uvimbe huu waga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.

✍️ Na watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.

🔴●DALILI ZA FIBROIDS/UVIMBE KWENYE KIZAZI

📌.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.

📌.kutokwa na uchafu wenye kiaharufu mbaya au ambao hauna harufu lkn mwingi na mweupe.

📌.maumivi ya kiuno hasa wakati wa hedthi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.

📌.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.

📌.hedhi zisizokuwa na mpangilio.

📌.maumivu wakati wa tendo la ndoa

📌.Kukosa hamu ya tendo la ndoa

📌.maumivu makali wakati wa hedhi

🔴 UVIMBE UNAPOKUWA MKUBWA UNAWEZA KUSABABISHA MADHARA YAFUATAYO.

1: Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo

2: Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo

3: Haja kuwa ngumu

4: miguu kuvimba

5: kupungukiwa damu

🔴JINSI FIBROIDS/ UVIMBE UNAVYO WEZA KUKUNYIMA MTOTO:

1: Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yan ovari

2: Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi..hasa submucosal fibroids

3: Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai.

K**a wewe ni miongoni mwa wahanga wa tatizo hili,. Usisite kuwasiliana nasi kwa msahada zaidi.
Piga simu ili kuongea na Daktari namba zifuatazo👇👇
0784 703 163

Au gusa Link hapa chini kuchat na daktari Whatsap
https://wa.me/message/SLN5C2O7TFN6P1

28/09/2023

KITUO CHA AFYA - Gcat health care international
Ni taasisi inayomilikiwa na Wachina ambapo ina madktari waliobobea na vifaa vya kisasa wanatoa huduma ya vipimo kwa gharama nafuu sana.20,000tu
Pia wanatibu magonjwa yafuatayo:
✅Matatizo ya hedhi kwa wanawake
✅Kutoshika mimba
✅Mimba kuharibika
✅Chango la uzazi
✅Vimbe aina zote
✅PID & UTI
✅Kuzibua mirija ya uzazi
✅Vidonda vya tumbo
✅Tezi dume
✅Nguvu za kiume
✅Bawasiri
✅Matatizo ya mifupa
✅Ngiri
✅Matatizo ya kibofu cha mkojo
✅Aleji
✅Bandama
✅Homa ya Ini
✅Kiharusi/Stroke
✅Pumu
✅Miguu Kuwaka Moto
✅Uzito mkubwa
Pia tuna dawa maalum kwa wagonjwa wa
✅Presha
✅Sukari
Tupo banana Dar es salaam, Mwanza,Arusha,Dodoma, Mbeya,tupigie simu utapokelewa
Wasiliana nasi kwa namba za simu:
0784 703 163

17/09/2023

JE WAJUA?
MADAKTARI BINGWA TOKA HOSPITAL YA WACHINA G CAT WAMETOA OFA YA VIPIMO NA MATIBABU NDANI YA WIKI HII?

VIPIMO VYA KUCHEKI AFYA YA MWILÌ MZIMA, USHAURI N.A. KUMUONA DAKTARI KWA ELFU 20 000/= TU..

WAHI SASA KABLA OFA HII HAIJAISHA.

TUKO DAR NA MIKOANI.
PIGA 0784 703 163

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Majumbasita
Dar Es Salaam