Oilframe Consultant

Oilframe Consultant

Share

Skin care and Business consultant

13/09/2025

Je nywele zako zimeharibika na unahitaji kuzitengeneza karibu kwa order unapata shampoo conditioner na serum kwa sh 60,000 tu🔥🔥🔥

18/05/2025
Photos 26/10/2019

Je,...

Una pesa za kutosha?

Una kila kitu ambacho unaota kuwa nacho?

Maisha yako yalivyo sasa, unayafurahia?

Unafikiri kwamba unafahamu kila kitu kuhusu ngozi yako na jinsi ya kuitunza? K**a jibu ni hapana comment namba yako tujiufunze jinsi ya kutunza ngozi na kujiongezea kipato

Photos 17/08/2019

Ina unyevu sana
Ni nzuri kwa ngozi kavu sana
Inafaa zaidi kwa wanawake
# skincare

Photos from Oilframe Consultant's post 17/08/2019

Unajua unaweza kutumia vipodozi huku unalipwa karibu nikuelekeze jinsi ya kutengeneza kipato huku unapendeza WhatsApp 0767140137

Photos 12/05/2019

DISCOVER TANZANIAN GRACE SHOWER GEL.☺☺😍😍
Sabuni hii imetengenezwa kwa maua ya mti wa mlonge pamoja na ubuyu

K**a tunavyoufahamu mti wa mlonge ni mti pekee unaotibu magonjwa mengi sana ndani na nje ya mwili,

Maua yake,mzizi yake, majani yake,magome yake, hutumika pia kutengenezea dawa za kunywa pia majani yake hutumika k**a mboga kwenye chakula. Hivyo hii sabuni ni nzuri sana hasa kwa wenye matatizo ya ngozi

Kwa sasa inapatikana kwa Tsh.10000 tu badala ya Tsh.13000 wahi yako kabla haijaisha whatsUp/ text 0767140137

Photos from Oilframe Consultant's post 11/05/2019

Weka order mapema kabla bidhaa hazijaisha mwisho WA offer ni 30 May 2019

Photos from Achayoa's post 05/01/2019
Photos 19/05/2018

Leo napenda kuongelea haya mafuta special kutoka oriflame.

Yanaitwa wonder oil. K**a jina lake lilivo yana maajabu mengi.

Yanatunza unyevu hata ukiyapaka mwenye ngozi itabaki laini.Yanazuia nywele zisikatike.Yanasaidia nyayo zisipasuke na kuzuia michirizi mwilini.

Pia yanaondoa madoa na kufanya ngozi kua na rangi moja.Yanatumika kwa kufanyia massage pia.
Yanalainisha mikono kwa tunaokaa kwenye AC sana.

Pia endapo hupendi kupaka mafuta usiku..dondoshea matone mawili au 3 ya wonder oil kwenye maji yako ya kuoga.
Hautapauka👌🏼👌🏼👌🏼

Ni asilia..yametengenezwa kwa Tangawizi ,n**i ,almond na vingine asilia kabisa.

Unayakosajee??
34,000 tu...unakaa nayo miezi miwili au zaidi.

0767140137

Photos 09/05/2018

Tag rafiki yako ambaye huwa hakosi kupaka lipstick ;)
The ONE lipstick ni🔥 🔥

Photos 08/05/2018

Fursa Fursa Fursa je ungependa kujiongezea kipato k**a ndio DM namba yako nikuelekeze jinsi ya kujipatia kipato 🔥

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Morogoro
Dar Es Salaam
147