Oilframe Consultant
Skin care and Business consultant
13/09/2025
Je nywele zako zimeharibika na unahitaji kuzitengeneza karibu kwa order unapata shampoo conditioner na serum kwa sh 60,000 tu🔥🔥🔥
18/05/2025
https://www.facebook.com/100063707943964/posts/667788342021425/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
26/10/2019
Je,...
Una pesa za kutosha?
Una kila kitu ambacho unaota kuwa nacho?
Maisha yako yalivyo sasa, unayafurahia?
Unafikiri kwamba unafahamu kila kitu kuhusu ngozi yako na jinsi ya kuitunza? K**a jibu ni hapana comment namba yako tujiufunze jinsi ya kutunza ngozi na kujiongezea kipato
17/08/2019
Ina unyevu sana
Ni nzuri kwa ngozi kavu sana
Inafaa zaidi kwa wanawake
# skincare
17/08/2019
Unajua unaweza kutumia vipodozi huku unalipwa karibu nikuelekeze jinsi ya kutengeneza kipato huku unapendeza WhatsApp 0767140137
12/05/2019
DISCOVER TANZANIAN GRACE SHOWER GEL.☺☺😍😍
Sabuni hii imetengenezwa kwa maua ya mti wa mlonge pamoja na ubuyu
K**a tunavyoufahamu mti wa mlonge ni mti pekee unaotibu magonjwa mengi sana ndani na nje ya mwili,
Maua yake,mzizi yake, majani yake,magome yake, hutumika pia kutengenezea dawa za kunywa pia majani yake hutumika k**a mboga kwenye chakula. Hivyo hii sabuni ni nzuri sana hasa kwa wenye matatizo ya ngozi
Kwa sasa inapatikana kwa Tsh.10000 tu badala ya Tsh.13000 wahi yako kabla haijaisha whatsUp/ text 0767140137
11/05/2019
Weka order mapema kabla bidhaa hazijaisha mwisho WA offer ni 30 May 2019
05/01/2019
19/05/2018
Leo napenda kuongelea haya mafuta special kutoka oriflame.
Yanaitwa wonder oil. K**a jina lake lilivo yana maajabu mengi.
Yanatunza unyevu hata ukiyapaka mwenye ngozi itabaki laini.Yanazuia nywele zisikatike.Yanasaidia nyayo zisipasuke na kuzuia michirizi mwilini.
Pia yanaondoa madoa na kufanya ngozi kua na rangi moja.Yanatumika kwa kufanyia massage pia.
Yanalainisha mikono kwa tunaokaa kwenye AC sana.
Pia endapo hupendi kupaka mafuta usiku..dondoshea matone mawili au 3 ya wonder oil kwenye maji yako ya kuoga.
Hautapauka👌🏼👌🏼👌🏼
Ni asilia..yametengenezwa kwa Tangawizi ,n**i ,almond na vingine asilia kabisa.
Unayakosajee??
34,000 tu...unakaa nayo miezi miwili au zaidi.
0767140137
09/05/2018
Tag rafiki yako ambaye huwa hakosi kupaka lipstick ;)
The ONE lipstick ni🔥 🔥
08/05/2018
Fursa Fursa Fursa je ungependa kujiongezea kipato k**a ndio DM namba yako nikuelekeze jinsi ya kujipatia kipato 🔥
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Morogoro
Dar Es Salaam
147
