Mumuh Hair oils
Watengenezaji na wauzaji wa bidhaa za urembo zinazotengenezwa kwa mimea asili. Karibu tukuhudumie📦🚚
09/05/2026
✌🏾It's the weekend and you deserve some pampering🥰
Tunafanya delivery kwa uharaka, uhakika na uaminifu mkubwa👏👏
📲0757 381 391 tupigie leo!
🔥Get your body oil and shine bright like a diamond✨✨
Call us to day and claim your glow📲 0757 381 391📲
01/05/2026
Usikubali kukosa hii shampoo nzuri sana kwa afya ya nywele zako🔥🔥🔥
Tshs 8,000 tu!!!😱😱😱
01/05/2026
🥶Cocoa Palmers lotion ni BEST SOLUTION kwa ngozi ya wanaume, wanawake na hata watoto!🙌🏼
🔥unyevu nyevu wa ngozi yako,
🔥kuipa ngozi mng'ao wa asili
🔥kuzuia michirizi
🔥kuilinda ngozi yako na mikunjo au makunyazi
📲0757 381 391 wasiliana nasi kwa huduma zaidi.
01/05/2026
🤩Ngozi inayong’aa ndani ya siku chache sana!🙌🏼
Papaya Lotion 🍊
✔️ Inang’arisha ngozi
✔️ Huondoa mabaka & makovu
✔️ Hupunguza vipele na chunusi
✔️ Huacha ngozi laini na yenye afya
🔥 Bei: Tshs 15,000 tu
📲 Oda sasa: 0757 381 391
🚚 Delivery popote ulipo kwa uaminifu 💯
Usikose kuglow , chukua yako LEO! 💫
01/05/2026
➡️DR. DAVEY Rice Ceramide Lotion 🌾
Ni lotion ya kiwango cha juu iliyotengenezwa kulisha ngozi yako kwa kina huku ikiipa mwonekano safi na wenye mvuto.💃🏽
✔️ Inalainisha na kutoa unyevu masaa 24
✔️ Inang’arisha na kusawazisha rangi ya ngozi
✔️ Inaimarisha ngozi na kuifanya iwe tight
✔️ Husaidia kupunguza chunusi na mabaka
✔️ Haina mafuta mazito (non-greasy) – inafyonzwa haraka
📲 Oda sasa: 0757 381 391
🚚 Delivery popote ulipo
🔥🔥Jipatie Vaseline body oil yako kwa Tshs 15,000 tu😱😱😱😱😱
📲0757 381 391 Tupigie leo tukuletee popote ulipo kwa gharama nafuu sana.
😱Unataka kuglow usoni ila kila unachotumia kinagoma???
Hii cream kiboko kabisa kwa uso wenye madoa na makovu, ngozi iliyofubaa na kugoma kutakataka🥵🙌🏼
➡️Utaipata kwetu kwa bei ya 12,000 tu
📲0757 381 391
29/04/2026
Hakikisha hukosi hizi Vaseline body cream kwa afya ya ngozi yako!🔥
Bei yake nafuu sana na matokeo ni ya UHAKIKA🥵
Wasiliana nasi leo ujipatie yako mapemaa📲📦🚚
29/04/2026
✨✨Ondoa mabaka na pata mwonekano laini, wenye nuru ndani ya muda mfupi.✨✨
💧 Inapunguza pigmentation
💧 Inalainisha & kung’arisha ngozi
💧 Inafaa kwa matumizi ya kila siku
🔥 OFFER YA HARAKA: Tshs 20,000 TU!
📩 DM sasa uagize kabla haijaisha!
🤣🤣Mwisho wa mwezi ndio huu jamani, muda wa kurestock umefika!!🔥🔥
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam
