Jennifer afya bora
Afya yako ni muhimu sana pata vipimo,ushauri na tiba kwa wakati
07/01/2025
02/12/2024
🩺HAKIKISHA HAYA MAMBO 05 YAPO SAWA NDIPO UANZE RASMI KUTAFUTA UJAUZITO.
Mwanamke | Dada | Mzazi,
K**a unahitaji mchakato wa wewe kupata ujauzito usiwe mgumu hata kidogo, basi hakikisha haya mambo kwako yapo vizuri:-
🌱 Hakikisha unapata hedhi Kila mwezi.
Hedhi Bora na yenye mafanikio, upate kwa siku 2 mpaka 7 si chini au juu ya hapo.
🌱 Hakikisha hutokwi na uchafu unaonuka (PID) ukeni.
Kila mwanamke anatokwa na uchafu ukeni, japo upo uchafu wa uke kujisafisha huu hautoi harufu, lakini uchafu wa ugonjwa unakuwa unanuka na una rangi tofautitofauti.
🌱Hakikisha mayai Yako ya uzazi yanapevuka vizuri.
Dalili ya kujua kwamba mayai Yako yanapevuka ni kuona ule Ute wa uzazi unaovutika k**a maji ya bamia.
🌱Hakikisha unazifahamu vizuri siku zako za hatari (danger days).
Kuzijua siku zako za hatari vizuri zitakusaidia kujua lini ushiriki tendo na mwenzako ili iwe rahisi kupata ujauzito (k**a hujui ni lini hakikisha unajifunza)
🌱Hakikisha unapata tendo la ndoa (s*x) kwa wakati,Kwa Ushaur na suluhisho 📞+255748015964
22/11/2024
Tunalo suluhisho la kudumu usiendelee kuteseka
15/11/2024
📌Mpendwa Mwanaume Acha Kuhatarisha Mahusiano Yako Kwa Kutokuishughulikia Changamoto Yako.
✨K**a, Ulisha wahi kufatilia post zangu kupitia Page zangu mbalimbali za Mitandao?
Na pengne tulisha wahi kuchati au kuongea kwa njia ya simu.?
Lakini...leo nimeona nikuweke wazi kuwa, ?
K**a Una Changamoto Zifuatazo Mahusiano Yako Yapo Hatarini Mfano?
🌱1. Uume Wako Hausimami Kabisa, Unasimama Kwa Nadra Au Kiulegevu.
🌱 Ukikutana na mwanamke, mkichezeana kidogo unamwaga.
🌱 Ukiingiza uume ukeni uume wako unasinyaa?
🌱. Ukimwaga mara moja unachukua muda mrefu kusimamisha ili kuendelea na....
Wakati mwingine inakuwa ndo imetoka hiyo hadi kesho?
🌱 Ukimwaga bao la kwanza unapatwa usingizi mkali sana!
🌱 Unachukua muda mfupi sana kumwaga, yaani shwaa umemaliza.
🌱 Hauna stamina za kushiriki tendo kwa muda mrefu.
🌱 Unatoa mbegu chache na nyepesi mnoooo!
🌱 Wakati mwingine unatumia muda mreefu sana na mbegu hazitoki (Delaying Ej*******on)
🌱. Unakosa hamu ya kushiriki tendo, umepoteza hamu na mwenzi wako.
Tuongee Afya
04/11/2024
*🩺P.I.D NI UGONJWA GANI?*
Maambukizi Katika Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke (PID)
Maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke hujulikana kwa kitaalamu k**a ‘Pelvic Inflamatory Diseases’ yaani P.I.D
P.I.D ni ugonjwa mpya katika jamii yetu na ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake.
Maambukizi haya huweza kuhusisha shingo ya uzazi, yanaweza kuwa pia kwenye nyama ya mfuko wa uzazi, na katika mirija ya uzazi.
*NI NINI HASA HUSABABISHA P.I.D?*
Huu ni ugonjwa wa unaotokana na bakteria wanaojulikana kwa kitaalamu bakteria wa jamii ya ‘Neisseria Gonorrhoeae’ na kundi lingine la bakteria hawa hujulikana k**a ‘Chlamydia trachomatis’.
Makundi haya mawili ya bakteria ndiyo wanahusika kwa sehemu kubwa na ugonjwa huu wa P.I.D.
*JE P.I.D HUAMBUKIZWAJE?*
Zipo njia kadhaa ambazo wanawake wanaweza kuambukizwa ugonjwa wa P.I.D.
*Baadhi ya hizo njia ni pamoja na:*
1. Kushiriki tendo la ndoa bila kinga
2. Maambukizi katika njia ya uzazi baada ya kujifungua
3. Kutoa ujauzito kwa njia zisizo salama
4. Baadhi ya dawa za uzazi wa mpango
5. Kuwa na wapenzi wengi
6. Kuambukizwa kupitia damu yenye vimelea vya PID hasa katika harakati za upasuaji nk.
DALILI ZA P. I. D
Wapo baadhi ya wanawake ambao wanaweza kuwa na ugonjwa huu na wasionyeshe dalili wala ishara zozote za kuwa nao.
Mwanamke akianza kuonyesha dalili za ugonjwa wa P.I.D anaweza:
1. Kuhisi maumivu ya tumbo hasa maumivu chini ya kitovu
2. Kutokewa na maumivu ya mgongo mara kwa mara
3. Kupata utoko mchafu sehemu za siri ambao huambatana na harufu mbaya k**a shombo ya samaki
4. Kupata maumivu wakati wa kukojoa
5. Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
6. Kupata damu bila mpangilio akiwa kwenye siku zake
7. Kuwa na homa mara kwa mara
8. Kichefuchefu
9. Kutapika
MADHARA YA P. I. D
P.I.D inaweza kukuletea madhara yafuatayo usipochukuwa hatua ya kutibu tatizo hili mapema
✳Inavuruga homoni
✳Inavuruga mzunguko wa hedhi
✳Inasababisha uke kuwa mkavu
✳Inaondoa ute ute wa uzazi (ovulation)
✳Mirija ya uzazi itajaa maji
✳Mirija ya uzazi kuziba au kuvimba
✳Inaweza kukuletea saratani ya shingo ya kizazi
✳Inaweza kukufanya kuwa mgumba
*JINSI YA KUPAMBANA NA P.I.D)*
Ili kutibu aina yoyote ya maambukizi ya ndani ya mwili ambayo yanahusu bakteria, virusi au fangasi kunategemea sana na uimara na ubora wa Dawa.
Ili kupata Dawa Bora na salama wasiliana nasi,+255682581170
01/11/2024
👉TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI (ACI REFLUX-GERD)
Gastroesophageal reflux disease (GERD).
-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.
DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux)
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:👇
1✨Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula
✨ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
✨ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
✨ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
✨ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa
Whatsapp
https://wa.me/255748015964?text= VIDONDA VYA TUMBO
01/11/2024
📌BAWASIRI/MGOLO*
🌱Bawasiri* ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.
Kwa kiingereza hujuliakana k**a *piles* .
Na kitaalam hujulikana k**a *hemorrhoids*
🌱AINA ZA BAWASIRI*
🩺 BAWASIRI YA NJE*
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina hii ya bawasiri kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
🩺BAWASIRI YA NDANI*
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu.
*Aina hii imeainishwa katika mainisho ya madaraja manne yafuatayo:
*Daraja la 1* - Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
*Daraja la 2* - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya haja.
*Daraja la 3* - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa..Kwa maelezo Zaidi Tupge sm hapa
whtsApp,
+255682581170
29/10/2024
Leo nataka kuwapitisha kwenye somo la UTI
✅ UTI ( urinary tract infection)
Ni maambikizi yanayotokea kwenye mfumo wa mkojo ambao unajumuisha figo na mirija inayosafirisha mkojo kutoka kwenye figo hadi kibofu.
👉Sababu
UTI husababishwa na bacteria mara nyingi E.coli ambaye hupatikana kwenye utumbo mkubwa .
Bacteria hawa wanaweza kuingia kwenye urethra na kuingia kwenye mfumo wa mkojo na kusababisha maambikizi.
👉Dalili
1. Maumivu wakati wa kukojoa
2. Kukojoa mara kwa mara hata k**a mkojo ni mdogo
3. Mkojo wenye harufu mbaya
4. Maumivu ya mgongo au kwenye kibofu
👉Aina za UTI
1. maambikizi ya urethra ( urethritis)
2. Maambukizi ya kibofu cha mkojo (cystitis)
3. Maambukizi ya figo ( pyelonephritis)
👉Madhara
1. Kidney failure
2. Maambukizi ya figo
3. Maambukizi kwenye damu
✅ *Leo lengo ni kukupitisha kwenye maambukizi ya figo*
UTI inaweza kuleta madhara kwenye figo ikiwa haitatibiwa kwa wakati na vizuri.
Hii inaweza kusababisha maambukizi kupanda kutoka kwenye kibofu cha mkojo hadi kwenye figo hali ambayo inajulikana k**a *pyelonephritis.*
Madhara ya UTI kwenye figo
*Maambukizi sugu:* Pyelonephritis sugu inaweza kusababisha uharibifu wa figo kwa muda mrefu na kusababisha figo kushindwa kufanya kazi ipasavyo
*Figo kushindwa kufanya kazi* : Maambukizi makali ya figo yanayojirudia yanaweza kusababisha upungufu wa uwezo wa figo kusafisha damu hali inayojulikana k**a figo kushindwa kufanya kazi
👉Kuvimba kwa figo:
Maambukizi yanaweza kusababisha uvimbe kwenye figo hali inayoweza kusababisha maumivu makali homa, na kutapika
*Maambukizi ya damu (sepsis)* Ikiwa maambukizi yatakuwa makali sana yanaweza kusababisha sepsis hali ambapo maambukizi yanaenea kwenye damu na kusababisha hatari kubwa kwa maisha ( kupoteza maisha
Napenda kukuambia kua suluhisho lipo piga simu no 0682581170/ tuma ujumbe whatassap
Ushauri ni bure
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Kariakoo Gerezani
Dar Es Salaam
