Ibrahim Na AFYA BORA
Karibu Ibrahim na AFYA BORA.. Tunatoa ushauri na Tiba za afya za kuaminika. Wasiliana nasi tukusaidi
13/08/2021
WATU WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA 0744888902
#Watu wenye vidonda kwenye uti wa mgongo
#Mtu yeyote mwenye tatizo katika mfumo wa mkojo
#Tendo la ndoa linaweza likahamisha bakteria kutoka kwenye uke kwenda kwenye urethra
#Baadhi ya njia za uzazi k**a kutumia diaphragm,spermicides,kondomu nk
KURUDIARUDIA KWA UTI(UTI SUGU)
Mara nyingi wanawake wakipata UTI inaweza ikawa inajirudia mara kwa mara kulingana na sababu zifuatazo
1.Uwezo wa bakteria kujishika kwenye njia ya mkojo hivyo kutotibika na kurudia tena
2.Sababu nyingine ni wanawake kuwa non sector yani kuwa na damu grupu A,B na AB ambao hawawez kuzalisha kinga nzur kwa ajili ya hao bakteria
DALILI ZA UTI
1.Kukojoa mara kwa mara na maumivu wakati wa kukojoa
2.Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye kibofu au mrija wa mkojo
3.Maumivu ya misuli na tumbo
4.Mkojo kuwa na harufu mbaya na pia kubadilika rangi kuwa nyeusi au rangi ya mawingu nk
5.Kwa mtu aliyeathiriwa figo anaweza kuwa na maumivu mgongoni au kwenye mbavu pia kichefuchefu na kutapika
6.Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo
JINSI YA KUTIBU UTI SUGU
Tunayo tiba maalum kwa ajili ya kutibu UTI sugu zilizoshindikana kwa dawa za hospitalini pamoja maaambukizi mengine k**a P.I.D na fangasi katika via vya uzazi
Kwa uhitaji na maelezo zaidi 0744888902
13/08/2021
Je unasumbuliwa na P.I.D
Piga simu number 0744888902 kwa Tiba na ushauri
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Chamazi Complex
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 00:00 - 22:00 |
| Tuesday | 00:00 - 22:00 |
| Wednesday | 00:00 - 22:00 |
| Thursday | 00:00 - 22:00 |
| Friday | 00:00 - 22:00 |
| Saturday | 00:00 - 22:00 |
| Sunday | 00:00 - 22:00 |
