Ibrahim Na AFYA BORA

Ibrahim Na AFYA BORA

Share

Karibu Ibrahim na AFYA BORA.. Tunatoa ushauri na Tiba za afya za kuaminika. Wasiliana nasi tukusaidi

13/08/2021

WATU WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA 0744888902
‪ #‎Watu wenye vidonda kwenye uti wa mgongo
‪ #‎Mtu yeyote mwenye tatizo katika mfumo wa mkojo
‪ #‎Tendo la ndoa linaweza likahamisha bakteria kutoka kwenye uke kwenda kwenye urethra
‪ #‎Baadhi ya njia za uzazi k**a kutumia diaphragm,spermicides,kondomu nk

KURUDIARUDIA KWA UTI(UTI SUGU)

Mara nyingi wanawake wakipata UTI inaweza ikawa inajirudia mara kwa mara kulingana na sababu zifuatazo

1.Uwezo wa bakteria kujishika kwenye njia ya mkojo hivyo kutotibika na kurudia tena

2.Sababu nyingine ni wanawake kuwa non sector yani kuwa na damu grupu A,B na AB ambao hawawez kuzalisha kinga nzur kwa ajili ya hao bakteria

DALILI ZA UTI

1.Kukojoa mara kwa mara na maumivu wakati wa kukojoa
2.Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye kibofu au mrija wa mkojo
3.Maumivu ya misuli na tumbo
4.Mkojo kuwa na harufu mbaya na pia kubadilika rangi kuwa nyeusi au rangi ya mawingu nk
5.Kwa mtu aliyeathiriwa figo anaweza kuwa na maumivu mgongoni au kwenye mbavu pia kichefuchefu na kutapika
6.Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo

JINSI YA KUTIBU UTI SUGU

Tunayo tiba maalum kwa ajili ya kutibu UTI sugu zilizoshindikana kwa dawa za hospitalini pamoja maaambukizi mengine k**a P.I.D na fangasi katika via vya uzazi

Kwa uhitaji na maelezo zaidi 0744888902

13/08/2021

Je unasumbuliwa na P.I.D
Piga simu number 0744888902 kwa Tiba na ushauri

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Chamazi Complex
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 00:00 - 22:00
Tuesday 00:00 - 22:00
Wednesday 00:00 - 22:00
Thursday 00:00 - 22:00
Friday 00:00 - 22:00
Saturday 00:00 - 22:00
Sunday 00:00 - 22:00