Own Your Life

Own Your Life

Share

Page ya OWN YOUR LIFE ipo kwa ajili ya kuwapa watu wote fursa ambayo itaweza kuwaingizia hadi Tsh 1 million kwa siku na tuko tayari kuwasaida watu wote.

28/01/2020

Hii ni special kwa Malkia wa Nguvu na Wanawake wote.....Kuna tamasha maalumu kwako Mwanamke huu ni mwaka 2020 na jopo la wanawake wenye mafanikio makubwa wamekuandalia mkutano special wakukuonyesha ni jinsi gani mwanamke unaweza ongeza kipato chako na thamani yako ikaongezeka katika jamiii kwakuwa kujiamini kunaongezeka na uwezo wako wa kifedha kumbuka mwanamke ndo muhimili wa familia na kufanikiwa kwako kunafanikisha jamii nzima usipange kukosa Tamasha hili limedhaminiwa na hivyo hakuna kiingilio ila kuconfirm uwepo wako unabidi ujisajili kwa kutuma jina na namba yako ya simu kwa sms kwa Event Organiser kupitia namba hii 0744 373 225 (Piga/SMS/Whatsapp) ....Mwanamke usikose uwe ni mwanachuo au mjasiliamali au umeajiriwa au kujiajiri au upo nyumbani na ungependa uwe na shughuli yako njoo ujifunze kwa wanawake wenzio waliofanikiwa.... *

Photos from Own Your Life's post 23/11/2018

UNIVERSITY STUDENTS BUSINESS PROJECT:
Wanachuo tunatambua mnachangamoto nyingi za kifedha na tumekaa na kutengeneza Special Business Project kwa ajili ya wanachuo na wakazi wa Dodoma ambapo unaweza ifanya hii business project kwa muda wako wa ziada bila kuathiri ratiba zako za kila siku.

Ni kwanini Uje kusikiliza hili Tamasha:-
1: Utapata kujifunza jinsi ya kumiliki mfumo wa biashara ambao utakuwa unakuingizia kipato endelevu hata k**a haupo sehemu ya tukio.

2: Tumetambua wanachuo wanaingia kwa madeni na riba za hayo madeni zinapanda juu sana kupelekea kwa mwanachuo kuwa na kitanzi cha madeni yanayokuwa kwa riba ya kila siku.

3: Business Project yetu ukiifanya hata k**a kwa muda wa ziada kwa mlolongo wa miaka mitatu inaweza kukupa kipato endelevu kuanzia Tsh 1 Million moja kwenda mbele kwa wiki.

4: Utapata Elimu ya Maisha na Afya kwa kuja kwenye hili Tamasha njoo uone Vijana wa KiTanzania wanamtazamo gani na wanaelekea wapi na wewe unaweza kuwa mmoja wetu na kutimiza ndoto zako.

5: Lengo letu kuu ni kuwasaidia wanachuo wanavyograduate wawe na uhuru wa kipato na ajira kwao iwe option B kwakuwa k**a tunavyojua ajira imekuwa changamoto kubwa kwa sasa lakini pia mshahara ni mdogo na gharama za maisha zinapanda kila siku.

K**a na wewe unataka kuanza kuishi maisha ya ndoto zako, kuwa na Uhuru wa kipato na Uhuru wa Muda pamoja na Afya Bora hili tamasha sio la kukosa na linaongozwa na vijana wa KiTanzania wenye mafanikio makubwa na wenye Experience ya zaidi ya miaka miwili katika Hii project njoo jifunze kwa The Best Ili na Wewe Uwe na Best Matokeo katika mfumo wetu kwa ajili ya kufanya booking ya seat ikumbukwe tamsaha ni bure lakini katika hii project utahitaji kuwa na kiongozi atakaye kuongoza vyema na ningeoenda tufanye kazi kwa pamoja so tuwasiliane kupitia 0674 610 067 au 0744 373 225 (Ipo pia WhatsApp) uonapo hili tangazo copy na kupaste kwa magroup na wenzako iwafikie kwa haraka Jumapili hii si ya kukosa....University Of Dodoma Social Hall Theatre 2 saa nane mchana sharp tunaanza tuonane hapo.

Photos from Own Your Life's post 18/10/2018

Leo Hii Tumevunja Rekodi.

Kutana na Business Partner wangu Miss Farida, ni binti mwenye miaka 24 na bado anasoma chuo lakini tulianza kufanya kazi pamoja naye tangia mwaka jana baada ya yeye kunionyesha hii business project na leo hii baada ya Mwaka Mmoja na miezi nane kuifanya hii biashara kwa muda wake wa Ziada tu huyu dada kaweza tengeneza faida zaidi ya Tsh Millioni 50 (50,000,000). Mimi binafsi nimefurahia mafanikio yake kwa sababu Farida ni mtu wa kujituma sana na kupambania malengo yake na binadamu yeyote mwenye hizi sifa lazima atimize malengo yake na kufanya vitu vikubwa.

Unaweza ukawa ni mzazi utajisikiaje mwanao wa miaka 24 Kaweza tengeneza hiki kiasi cha pesa na kusaidia familia???? Farida hivi sasa anasomesha wadogo zake na kusupport familia yao.

Unaweza ukawa ni kijana k**a mimi au Farida na taka kukuuliza je ungekuwa na wewe umetengeneza hiki kiasi cha pesa maisha yako yangekuaje???? Utofauti hapa kati ya mtu aliyefanikiwa na mtu wa kawaida ni MAAMUZI NA KUJITUMA TU...hivi ndivyo vinavyowafanya watu wakawa na GAP kubwa kimaisha.

Ili maisha yako ya badilike lazima wewe k**a muhusika au mbeba ndoto ndo upambanie kufanikisha vitu vinatokea huwezi hata siku moja ukakaa chini na kulaumu mtu mwengine kwakuwa mwenye usukani wa maisha yako ni WEWE MWENYEWE SO DESIGN YOUR LIFE!

Leo hii ninavyo type hivi na furaha iliyopitiliza nilimuona Miss Farida tangia akianza biashara na akipitia changamoto zote lakini leo hii kasimama k**a kinara...na mwangaza akiangaza Tanzania nzima Leo hii tuna Millionea Binti Mdogo wa miaka 24 naomba stori ya huyu dada iwe chachu na kubadilisha maisha yako leo hii.

Kiu yangu kubwa ni pale ninapoona vijana wenzangu wanafanya mambo makubwa na kufanikiwa k**a hivi leo hii ni zamu ya Miss Farida kesho ni wewe karibu tuanze kazi kwa pamoja kwa kuwa katika maisha ya sasa huwezi kutoka mwenyewe ni muhimu kuwa na business partneship.

Bonus:
"Miaka kumi kutoka sasa hivi Mwanao au Wanao watakula au kufa njaa kwa maamuzi unayoyafanya leo hiii"

Karibu na kwa pamoja lets OWN YOUR(OUR) LIFE PROJECT.

Own Your Life Project Inawakarabisha WaTanzania wenye kiu ya mafanikio na wachapakazi katika Business Partnership.

K**a unakiu ya kumiliki biashara au kuwa na kipato cha ziada fanya tuwasiliane kupitia namba zetu za +255 744 373 225 kwa sms au kupiga na pia ipo whatsapp....Tafadhali usiache namba kwenye comment ili kuweka privacy mawasiliano yako.

Lengo letu ni kujenga Tanzania bora kwa kuwasaidia watu wafikie ndoto zao kupitia hii business project.

We are creating a legacy.
Empire Of Billionaires We Are Proud Of You Miss Farida keep setting the pace....Run the World.

Photos from Own Your Life's post 29/09/2018

Mwanza Rock City Are You Readddy?

Good Morning Mkoa wa Mwanza ni zamu ya kaskazini mwa Tanzania, Mkoa wa Biashara, Mkoa wenye ziwa kubwa Africa, Mkoa ulijengeka na wakitalii wenye wakazi wapenda mafanikio.

Mimi pamoja na Wafanya Biashara wenzangu tumewaandalia kongamano la kibiashara kwa Wakazi wote wa Mwanza bila kujali Professionals zenu wenye kiu ya mafanikio na kutaka boresha maisha yao na familia zao hili kongamano ni lenu tuna mfumo wa biashara ambao umekuwa proven kwa ubora kwa miaka zaidi ya kumi na unafanya kazi vizuri sio tu kwa Tanzania bali hadi bara la Asia Yes mfumo wetu wa biashara unakupa uwezo wa kumiliki biashara kimataifa...k**a ushawahi kuwa na ndoto kubwa ya kumiliki biashara kubwa ya kimataifa basi jibu lako limepatikana.

Kongamano letu linafanyikia Gold Crest Hotel Mjini Mwanza kwa ajili ya kufanya Booking na Seat reservation wasiliana na mimi nikufanyie booking uje ujifunze kwa wafanya biashara wa kimataifa na upate Elimu ya maisha...Tupo Karne ya 21 hii ni karne ambayo wanaofanikiwa ni watu wenye taarifa sahihi karibu uambatane nasi katika kuijenga Tanzania mpya yenye Uhuru wa kipato, Uhuru wa Muda na Afya Bora Tunaanza mkoa mmoja baada ya mwengine...Muda wa Kongamano kuanza ni saa tisa na nusu sharp Jumapili ya Tarehe 30/09/2018 kumbuka kuwasiliana nami for booking karibu sana NA HAKUNA KIINGILIO UTAYALI WAKO NDO UTAJIRI WAKO.

Kwa kufanya booking ya seat Piga simu au sms 0744 373 225 (Whatsapp ipo pia) Au 0674 610 067 usiache namba kwenye comment kwa ajili ya kukwepa usumbufu.

Photos from Own Your Life's post 26/09/2018

Good Morning Dar Es Salaam City.

Ni zamu ya mkoa wa Dar Es Salaam 29/09/2018 Tumewaandalia kongamano Kubwa la Biashara na Tutukuwepo na Wafanya biashara wakubwa wanaomiliki biashara za kimataifa kupitia mfumo wetu mzuri wa biashara ambao unakuruhusu kumiliki biashara ya kimataifa na kuweza tengeneza faida na kuendesha biashara yako kwa gharama Ndogo.

Karibu upate kuona jinsi gani mfumo wetu ulivyoweza msaidia Mr Evans kubadilisha maisha yake kutoka katika maisha ya madeni na mihangaiko mingi ya kimaisha mpaka kuja kuwa mfanyabiashara wa kimataifa pamoja na kuweza wasaidia watu wengi kutimiza malengo yao makubwa k**a kupata uhuru wa muda, Uhuru wa kipato na Uhuru wa afya bora katika maisha ukiwa na hivi vitu vitatu tunasema wewe una mafanikio.

Business Forum yetu itakuwa tarehe 29/09/2018 Rombo Green View Hotel saa tisa kamili mchana kwa kila Kadi ni sh 10,000 tu pamoja na vinywaji njoo upate kuona watu ambao wanafanikiwa katika karne ya 21 wanafanya nini tofauti.

Ili kuwekewa Booking kwa ajili ya kuwepo kwenye kongamano piga au sms 0744 373 225 (Ipo pia whatsapp) au 0674 610 067 usiache namba kwenye comment ili kuepusha kusumbuliwa karibuni nyote.

Photos from Own Your Life's post 07/04/2017

Changamoto ya Ajira ni kubwa mnoo Tanzania
Naitaji watu wachache wakufanya nao Biashara Ambao wako Tayari kujikwamua kiuchumi na kujiingizia laki 5 mpaka million 1 kwa week
Kwa Maelezo zaid piga +255744373225 au 0674610067
Au tuma number yako!

Photos 03/03/2017

Wow Wow Wow.....🔥
This👆 Has Never Happenned In Dar....? All TOP MILLIONAIRES EAST AFRICA Of Alliance In Motion Global, Will Be In Dar!

How Do You Plan To Miss This...?
I Expect All Those Complaining About life is hard and no money To be there because Trust Me..."CHANGE BEGINS WITH YOU👉,

If You Want To Meet With People Making 7millions Per day, 1million Per Day....."NEVER MISS THIS ONE!"💪 If Your In Dar Es Salaam And You Want To Make One million Tanzanian Money Everyday don't Miss This 👆 !

Venue: JAMIREX HOTEL 4Th Floor Opposite Mwenye Market!

Time: 1:30pm

When: Saturday 4th March, 2017
Entry : CONTACT ME AND I WILL PAY FOR YOU
👊
💰





For Details #0674610067

GUESS WHAT...?
I Am A Proud Member Of Alliance Because I AM MAKING 💰💰💰💰💰
💪

Photos from Own Your Life's post 25/02/2017

"Where there is a will there is away.."

We are giving you a chance to make part-time income while working at your full-time job because we know a person can't depend on a single source of income.

📌Dar Es Salaam
📌Arusha
📌Mwanza
📌Dodoma
📌Mbeya
📌Iringa
📌Tanga
📌Moshi

Are you in any of the above regions? We can connect you

Private chat me for details. Serious people only!!!

Call/text 0674610067 or whatsapp +255744373225.

Photos from Own Your Life's post 11/02/2017

=> Are You Open Minded To The Possibility That There Is A way For You To Have A Better Future?

♧ 95% of a people work hard in a job but still end up broke.

♧ Most of people have little or no saving.

♧ Most of people feel undervalued.

♧ Most of people would like more free time with their families.

♧ Most of people would like an opportunity to change their lives.

♧ Most of people would love to have a low investment high return based business.
We are group of dynamic & highly successful East Africa Business people with a proven International Track Record.

: We Seek AMBITIOUS Individuals Who Want To Be A Part Of Our Extensive Mission Plans Into AFRICA And GLOBALLY.

Individual To Come & See How You Can :
● Earn substancial Full- Time or Part-Time daily income from $250 to $500
● Qualify for a free Company Car(Car Plan)
● Qualify for a free world-wide travel…………….. and so much more!!

☆ Call/Text 0674610067 or WhatsApp + 255744373225 for more information about meeting in your area.

☆ Come prepared to be amazed!!

👇 Comment your Contacts we shall contact you.

Photos from Own Your Life's post 20/01/2017

TUNATAKA KUSAIDIA WATU WALIOJITAMBUA!

Wanaojua Mshahara wao hautoshi, hivyo wanataka kujiongeza!
Wenye ndoto kubwa sana na shauku ya kutimiza!
Wenye muda mchache wa kufanya biashara au kuisimamia!
Wenye kutaka kuongeza mkondo mwengine wa fedha!
Tutawasaidia kuongeza kipato...
Ila muwe tayari kujifunza
Wasiliana nasi kwa call/text 0674610067 whatsapp +255 744 373 225.

Pia like page yetu ya OWN YOUR LIFE na pia invite marafiki zako wapate elekezwa jinsi ya kuweza kutoka kimaisha na kuonyeshwa njia ya uhakika ya mafanikio... Share page info ipate kuwafikia watu wengi... TUNAKUONYESHA NJIA YA KUPATA MAFANIKIO NA HIVYO KUJITEGEMEA NASIO KUKUPA MAFANIKIO UENDELEE KUWA TEGEMEZI KARIBUNI NYOTE..

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


P. O Box 11055 Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
255