Queen Beauty Point
We Sell cosmetics and Beauty products
ADVERTISE/COLLABORATE WITH MARKETIZER
The following options are available for those interested in advertising/collaborating with Market Place Tanzania
For Advertisers –
Partnered Posts
Banner Advertising
Partnered Events
Contest Sponsorship
Sidebars adds
Online Shopping
10/09/2021
*Dalili Za Ovarian Cysts*
Ovarian cysts nyingi hazitambuliwi na hupotea zenyewe bila hata mwanamke mwenyewe kujua kuwa alikuwa nazo. Wakati cysts zinaonyesha dalili, maumivu maeneo ya tumbo au kwenye nyonga hujitokeza. Maumivu haya husababishwa na:
.kupasuka kwa cyst, ukuaji wa haraka na kunyumbuka, damu kutoka kwenye cyst, kujinyonga kwa cyst kwenye mishipa ya damu (torsion).
K**a cyst imekuwa kubwa, dalili nyingine huweza kujitokeza kutokana na msukumo au kujinyonga kwa viungo vingine vya mwili vilivyo karibu (torsion). Endapo ovari itajinyonga au kuhama kutoka sehemu yake ya awali, mtiririko wa damu kuelekea kwenye ovari hukatwa, na k**a hakuna tiba itakayotolewa, tishu za ovari zinaweza kuharibika au kufa. Ovarian torsion inachangia asilimia 3 ya upasuaji wa dharura wa viungo vya uzazi vya akina mama. Katika mazingira hayo dalili hizi zinaweza kujitokeza:
kujaa kwa tumbo, kutanuka tumbo, maumivu eneo la chini ya mgongo, chakula kutomeng’enywa tumboni, kusikia umeshiba baada ya kula chakula kidogo tu kusikia haja ndogo kwa ghafla kushindwa kumaliza kabisa haja ndogo Kujisikia haja kubwa kila wakati kupata haja kubwa kwa shida maumivu wakati wa tendo la ndoa
*LIPO SULUHISHO *
📞0786882412
22/01/2020
Happy New Year 2019
01/12/2016
Hercules vs Barcelona 1 1 All Goals & Extended Highlights Copa del Rey 30 11 2016 HD Hercules vs Barcelona 1-1 - All Goals & Extended Highlights - Copa del Rey 30/11/2016 HD
30/11/2016
Milio ya risasi yasikika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Chad Ubalozi wa Marekani mjini N'Djamena, mji mkuu wa Chad, umeshambuliwa kwa risasi Jumatano hii asubuhi. Hata hivyo hakuna mtu yeyote aliye...
30/11/2016
Rais Magufuli azuru gereza la Ukonga ghafla Amiri Jeshi Mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amefanya ziara ya kushtukiza katika Gereza la Ukonga j...
29/11/2016
Philippe Coutinho hatocheza michezo 7 ya Ligi Kuu England baada ya kupata jereha Philippe Coutinho Mchana wa November 28 2016 kiungo mshambuliaji wa Liverpool Philippe Coutinho alipelekwa hospitali na alifanyiwa...
29/11/2016
Jose Mourinho kuadhibiwa Jose Mourinho akipiga teke chupa ya maji Chama cha soka cha nchini England FA, kimemfungulia mash*taka Meneja wa Manchester United Jose...
29/11/2016
Ndege iliyobeba wachezaji wa timu ya soka ya Brazil yaanguka Colombia Ndege iliyobeba watu 81, wakiwemo wachezaji wa klabu moja ya soka ya Brazil, imeanguka eneo la Medellin nchini Colombia. Taarifa zinas...
29/11/2016
Mshauri mkuu wa rais wa Burundi anusurika kuuawa mjini Bujumbura W***y Nyamitwe Mshauri mkuu wa rais wa Burundi anayehusika na maswala ya mawasiliano, W***y Nyamitwe ameponea kuuawa baada ya kun...
29/11/2016
Zimbabwe yazindua noti mpya Waandamanaji wakipinga utambulisho wa noti mpya nchini Zimbabwe Zimbabwe imetangaza kuanza kutumia noti mpya, ikitoa noti ya dhamana za...
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Tiptop Manzese
Dar Es Salaam
255788442657
