Afyabora2018
My page is about make awareness of everybody here loves and taking care of his or her expensive asse
02/05/2018
Aloe Vera Gelly ni tube yenye pure aloevera kutoka shambani na imekua stabilized itumuke vizuri katika ngozi. Ina kazi mbalimbali na inafaa familia nzima.
💥Kwa watoto ni nzuri katika,
1. Mapunye, mashilingi na mba wa aina zote
2. Diaper rushes kwa watoto wadogo
3. Vipele vya joto, chickenpox, burns mbalimbali
💥 Kwa wakina baba/kaka pia inafaa katika,
4. Fungus za miguu na fungus zingine mbalimbali
💥 Wakina mama/dada pia inasaidia katika mambo mengi sana k**a,
5. Chunusi na vipele mbalimbali usoni na mwilini pia
6. Fungus za ukeni, na maeneo mbalimbali
7. Mba kichwani kwa wanaosuka au kuweka dawa kichwani
8. Nzuri kwa kulainisha ngozi baada ya waxing au kunyoa mwilini, kutinda nyusi pia
9. Wenye tatizo la ukavu wakati wa tendo la ndoa, inatumika k**a kilainishi (Intimate care) badala ya kutumia gels zingine zenye madhara kwa baadae k**a fungus etc.
10. Inaondoa make-up ( make up remover)
💥 Faida zingine ni k**a,
11. Huduma ya kwanza baada ya kuungua
12. Inatumika wakati wa ultrasounds (nzuri kwa ultrasound ya kuingiza machine kwa njia ya ukeni)
13. Inafaa kwa wenye bawasiri (hemorrhoid)
14. Nzuri kupaka kabla ya kupaka rangi au dawa kichwani
15. Inafaa kwa wanyama pia (pets)
Its economically pia, inatumika kidogo sana kwa matumizi ya mara moja. Ina faida zingine pia nyingi....
Gellytube haina madhara kwa kua imetengenezwa kiasilia, ni rafiki wa ngozi, pia inaua bacteria wabaya.
💥Namba ipi inafaa kwa matumizi yako na nyumbani kwako?
22/04/2018
Hello Friend. I thought of this. It's worth sharing.
19/04/2018
I welcome you a visionary person to this business Talk.
For inquire call or whatsapp though 0714236095
14/04/2018
Aloe propolis Creme ni nzuri kwa kulainisha ngozi,huondoa michirizi kwenye ngozi,chunusi,miwasho ya nepi,husaidia ngozi kavu zisipasuke, na magonjwa ya ngozi ya eczema na psoriasis
call u on 0714236095
Tunahitaji kufanyia service miili yetu k**a tunavyofanyia service magari yetu. Ili kuweza kuondoa mafutamafuta yasiyohitajika mwilini.
Tumsikilize Dr. Allen anavyoielezea hii juice yetu ya Aloe Vera Gel.
Kwa mawasiliano zaidi, nipigie kupitia 0714236095
Hii juice yetu ni kiondoa sumu mwilini. Tumsikilize Dr. Allen anavyoielezea vizuri. Kwa ushauri zaidi, wasiliana na sisi kwa namba hii 0714235095
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Mbezi Beach/Africana
Dar Es Salaam
