GlowVibe Store
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from GlowVibe Store, Beauty, cosmetic & personal care, Kimara, Dar es Salaam.
Qasil / Liwa / Manjano / Mavazi / Home Decor
Wauzaji na wasambaji wa;
➡️ Bidhaa asili za ngozi
➡️ Mavazi ya kisasa na kipekee
➡️ Mashuka original na mapambo ya nyumba
07/09/2025
Unastahili kuonekana mrembo kila siku.
Abaya zetu za kifahari kutoka Somalia zimebuniwa kwa urembo, ubora na heshima.
Material Premium
Designs za Kisasa
Size & Rangi Zote Zipo
Full Set + Niqab Available!
Overhead Abayas 45,000 Tshs
Hood Overhead Abayas 50,000 Tshs
Dress na Juba Lake 60,000 Tshs
Dress na Khimar 60,000 Tshs
📍 Kariakoo, Mtaa wa Ndanda na Muhonda
📞 0759 834 014 | 0614 919 18
Wahi sasa kabla stock haijaisha!
DM au WhatsApp sasa hivi kwa oda yako
28/04/2025
Je unajua SIRI hizi kuhusu HIJAMA:-
Hijama ina faida nyingi sana, hasa inapofanyika kwa uangalizi,mfululizo wa sessions na kwa mtu mwenye ujuzi sahihi. Faida zake huonekana katika karibu kila mfumo wa mwili:
1. Mfumo wa Fahamu (Central Nervous System)
Hijama husaidia kupunguza maumivu ya kichwa (headaches) na migraines kwa kusaidia kupunguza pressure kwenye mishipa ya fahamu. Inasaidia pia kutuliza akili, kupunguza stress na anxiety kwa kuchochea kutengenezwa kwa endorphins — kemikali zinazotuliza mwili.
2. Mfumo wa Mzunguko wa Damu (Circulatory System)
Wet cupping huondoa damu isiyokuwa na virutubisho, ambayo hubeba uchafu au sumu zilizokwama kwenye tishu. Hii huongeza blood flow, huimarisha moyo kufanya kazi vizuri, na kusaidia kushusha shinikizo la damu(blood pressure)kwa baadhi ya watu.
3. Mfumo wa Misuli na Mifupa (Musculoskeletal System)
Massage na dry cupping husaidia kulegeza misuli iliyokakamaa, kupunguza maumivu ya mgongo, shingo, mabega, na viungo. Wagonjwa wa arthritis hupata ahueni baada ya mfululizo wa sessions
Tunapatikana Mwanza Tanzania
Wasiliana nasi simu namba 0767345789
Au WhatsApp 0767345789
Ushanunua abaya la kupikia biriani la Eid 😁 au ndio unasubiri kumi la mwisho maabaya ya elfu 90 kuuzwa laki mbili 😁😁 anyways kuwahi ndio ujanja
Pia jiunge na group la WhatsApp ili kupata offer mbalimbali na bidhaa nyenginezo zaidi
https://chat.whatsapp.com/KakCXg32aNC6qZ5PKrPgxM
Yaani kanzu unanunua Ramadhani mpk Ramadhani hlf unataka kununua kanzu ya aftatu 😁😁 embu jipigepige umiliki hata ka kanzu ka laki basi ukikosa saana elfu 60 hata 😁,,,, jipatie kanzu kaliii kwa bei nzuri kabisa
14/03/2024
🌹Ramadhan Mubarak with the best Jilbab designs and quality from Indonesia🌹
⚠️wapendwa bei ya jilbabs zinatofautiana kulingana na quality ya material
🍀salmastylestz tunadeal na best best quality tuu
🍃Jilbabs zote ni freesize
🍃unapata full dress na juba kwa 79000tsh
🍃Tunapatikana Dar,kariakoo mtaa wa Agrey/nyamwezi
🍃Tunafanya delivery popote kwa gharama za mteja
☎️0614919168
14/03/2024
🌹Ramadhan Mubarak with the best Jilbab designs and quality from Indonesia🌹
⚠️wapendwa bei ya jilbabs zinatofautiana kulingana na quality ya material
🍀salmastylestz tunadeal na best best quality tuu
🍃Jilbabs zote ni freesize
🍃Bei ni 59000tshs unapata na niqab yake
🍃Tunapatikana Dar,kariakoo mtaa wa Agrey/nyamwezi
🍃Tunafanya delivery popote kwa gharama za mteja
☎️0614919168
14/03/2024
🌹Ramadhan Mubarak with the best Jilbab designs and quality from Indonesia🌹
⚠️wapendwa bei ya jilbabs zinatofautiana kulingana na quality ya material
🍀salmastylestz tunadeal na best best quality tuu
🍃Jilbabs zote ni freesize
🍃Bei ni 59000tshs unapata na niqab yake
🍃Tunapatikana Dar,kariakoo mtaa wa Agrey/nyamwezi
🍃Tunafanya delivery popote kwa gharama za mteja
☎️0614919168
14/03/2024
🌹Ramadhan Mubarak with the best Jilbab designs and quality from Indonesia🌹
⚠️wapendwa bei ya jilbabs zinatofautiana kulingana na quality ya material
🍀salmastylestz tunadeal na best best quality tuu
🍃Jilbabs zote ni freesize
🍃Bei ni 59000tsh
🍃Tunapatikana Dar,kariakoo mtaa wa Agrey/nyamwezi
🍃Tunafanya delivery popote kwa gharama za mteja
☎️0614919168
14/03/2024
🌹Ramadhan Mubarak with the best Jilbab designs and quality from Indonesia🌹
⚠️wapendwa bei ya jilbabs zinatofautiana kulingana na quality ya material
🍀salmastylestz tunadeal na best best quality tuu
🍃Jilbabs zote ni freesize
🍃Bei ni 69000 tshs
🍃Tunapatikana Dar,kariakoo mtaa wa Agrey/nyamwezi
🍃Tunafanya delivery popote kwa gharama za mteja
☎️0614919168
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Kimara
Dar Es Salaam
255
