Vara Essences
Natural Beauty Products| Natural Personal Care Products
The official ASTV page | Azamtv Channel 120 | Startimes Channel 121 | Follow us on Instagram @astvtanzania
27/05/2020
For Your Health Skin
09/05/2020
Hii scrub inaondoa takataka zote kuanzia uso hadi mwili ,uchafu wa kila aina, nongo, chunusi, sugu, weusi, ngozi iliyochoka kuanzia uso mpaka unyayo inakupa babe soft skin immediately ngozi inateleza kupita kawaida.
Kila unachopaka kinafanya kazi vizuri. K**a unashughuli, umetoka kujifungua, au unaona ngozi huelew invest on this scrub.
Inanukia vizuri sana so refreshing k**a cappuccino
Ukiscrub unapoosha inakuwa sabuni inatoa povu jepesi โบ๏ธ
300g - 20000/=
WhatsApp/Call 0789929936
08/05/2020
Coffee Honey Scrub
Coffee soap (Haipo kwenye Picha)
Facial cream (Anti Aging)
Ukiwa na hivi unapata ngozi nzuri bila kujichubua vitu hivi vinachofanya ni kuondoa ngozi ya juu iliyokufa (dead skin) yenye chunusi, madoa, stretch marks, mikunjo na haina nuru na kufanya ngozi yako changa na nzuri.
Unakuwa na ngozi ya rangi moja mwili mzima especially kwa mtu mwenye normal na ngozi kavu.
____________
Tsh. 56,000
_____________
WhatsApp/ call 0789929936
08/05/2020
You deserve amazing products that will change your life forever
Invest in your skinโ๏ธ Luxury skincare for total transformation ๐๐ .
We cater to all skin types and offer safe skin care products to meet the needs of our clients.
Our dedicated skin care consultants are always at your service. .
To order send DM or WhatsApp/Call 0789929936
08/05/2020
Body Scrub & Facial Cream (Anti Aging)
18/08/2017
,KILIMANJARO:Watoto watatu walionusurika katika ajali ya karatu mei 2017 kutoka shule ya Lucky Vicent warejea nchini,kutoka kwenye matibabu nchini uingereza.
18/08/2017
,Wanafunzi wa shule ya Lucky Vicent,wamesitisha masomo yao ili kwenda kuwapokea wenzao uwanjani muda huu,wenzao ni wale walionusurika kwenye ajali mbaya iliyotokea karatu mnamo mwaka huu.
18/08/2017
,New joint in town kutoka Bill Nenga link kwa bio yake ๐ฅ๐ง
18/08/2017
,askari polisi kutoka Tanzania wanaoenda Dafur nchini Sudan kwa ajili ya ulinzi wa amani waagwa rasmi jijini Dar es salaam.
17/08/2017
Swahili Habari 17 August 2017 KUJIUZULU KWA TRUMP KWAONGEZEKA. Rais wa Marekani Donald Trump avunja mabaraza yake mawili ya biashara kufuatia matamshi yake.
17/08/2017
, Mwimbaji wa Dancehall King Michael hatimaye tayari kutupia kile alichokuwa akipika.
The "Ok Ok" hitmaker ametangaza kwamba kufungua albamu yake mpya huko Autospa, Munyonyo.
Albamu hiyo 10-track ina nyimbo k**a "Upendo mimi", "Nayiga", "Yo Yo" na "Muliyo Mutya" nazingine kibao.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Makulu
Dar Es Salaam
