vicky afya tips
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from vicky afya tips, Health/Beauty, Dar es Salaam.
Nafasi ya kazi ya mauzo (sales)
Vigezo 1. Uwe na smartphone
2. Uwe na elimu ya kidato cha nne hadi chuo kikuu.
3. Ujue kutumia simu janja.
4. Uwe mwepesi wa kuelekezeka.
utafufndishwa namna ya kufanya kazi ya mauzo kupitia simu janja. Utafanyia kazi ofisini kariakoo jengo linaitwa Nasra Tower.
Kwa maelekezo zaidi tuma jina lako what's app 0746689980
interview ni tarehe 10/07/2024 siku ya jumatano.
Interview ni 4:00am saa nne asubuhi fika mapema.
Ukubwa wa vidonda hivi hutofautiana, kuanzia millimita chache hadi sentimita kadhaa.
Dalili za ugonjwa huu mara nyingi hutegemea umri pamoja na eneo husika vilipo vidonda hivi. Miongoni mwake ni -
Maumivu makali ya kuvuta kwa misuli, au kuwaka moto kwa misuli ya tumbo
Tumbo kujaa gesi mara kwa mara
Kiungulia
Kichefuchefu
Kujisaidia choo chenye damu, au choo cheusi
Kutapika uchafu wenye damu, au wenye rangi ya weusi
Kupata maumivu kifuani, k**a moto unaochoma
CHANZO
Kuna nadharia nyingi zinazohusishwa na kutokea kwa tatizo la vidonda vya tumbo. Lakini ukweli ni kuwa, tatizo hili kwa kiasi kikubwa hutokana na sababu mbili tu ambazo ni-
Maambukizi ya bakteria jamii ya H. pylori
Matumizi mabaya ya dawa za kupunguza maumivu mfano aspirin, ibuprofen, mefenamic acid na diclofenac
Kitaalamu, dawa hizi huwekwa kwenye kundi kubwa linaloitwa Non Steroidal Anti Inflammatory Drugs (NSAIDs).
Dawa hizi zinapotumika pasipo kufuata taratibu sahihi huharibu na kuvunja mfumo wa kinga unaolinda kuta za tumbo hivyo kusababisha kutokea kwa vidonda vya tumbo.
Ni muhimu sana kuepuka matumizi holela ya dawa za kutuliza maumivu pasipo kufuata miongozo ya magonjwa na dozi sahihi k**a sehemu ya kujikinga na tatizo hili. Aidha, mtu mwenye vidonda vya tumbo hashauriwi kutumia dawa hizi kwa kuwa huongeza ukubwa wa tatizo.
Dawa k**a paracetamol (Panadol) ambayo kimpangilio huwa haipo kwenye kundi la NSAIDs hufaa k**a mbadala wake kwa wagonjwa, lakini mtaalamu wa afya anaweza kushauri matumizi ya dawa nyingine kwa kadri atakavyoona inafaa.
Kwa upande mwingine, maambukizi ya bakteria wa H.pylori hutokea baada ya kula chakula au kunywa maji yenye vimelea hivi. Aidha, choo, matapishi na mate ya mtu mwenye bakteria hawa vinaweza kuwa chanzo cha kutokea kwa maambukizi.
vicky afya tips Health/beauty
25/04/2024
Ukubwa wa vidonda hivi hutofautiana, kuanzia millimita chache hadi sentimita kadhaa.
Dalili za ugonjwa huu mara nyingi hutegemea umri pamoja na eneo husika vilipo vidonda hivi. Miongoni mwake ni -
Maumivu makali ya kuvuta kwa misuli, au kuwaka moto kwa misuli ya tumbo
Tumbo kujaa gesi mara kwa mara
Kiungulia
Kichefuchefu
Kujisaidia choo chenye damu, au choo cheusi
Kutapika uchafu wenye damu, au wenye rangi ya weusi
Kupata maumivu kifuani, k**a moto unaochoma
CHANZO
Kuna nadharia nyingi zinazohusishwa na kutokea kwa tatizo la vidonda vya tumbo. Lakini ukweli ni kuwa, tatizo hili kwa kiasi kikubwa hutokana na sababu mbili tu ambazo ni-
Maambukizi ya bakteria jamii ya H. pylori
Matumizi mabaya ya dawa za kupunguza maumivu mfano aspirin, ibuprofen, mefenamic acid na diclofenac
Kitaalamu, dawa hizi huwekwa kwenye kundi kubwa linaloitwa Non Steroidal Anti Inflammatory Drugs (NSAIDs).
Dawa hizi zinapotumika pasipo kufuata taratibu sahihi huharibu na kuvunja mfumo wa kinga unaolinda kuta za tumbo hivyo kusababisha kutokea kwa vidonda vya tumbo.
Ni muhimu sana kuepuka matumizi holela ya dawa za kutuliza maumivu pasipo kufuata miongozo ya magonjwa na dozi sahihi k**a sehemu ya kujikinga na tatizo hili. Aidha, mtu mwenye vidonda vya tumbo hashauriwi kutumia dawa hizi kwa kuwa huongeza ukubwa wa tatizo.
Dawa k**a paracetamol (Panadol) ambayo kimpangilio huwa haipo kwenye kundi la NSAIDs hufaa k**a mbadala wake kwa wagonjwa, lakini mtaalamu wa afya anaweza kushauri matumizi ya dawa nyingine kwa kadri atakavyoona inafaa.
Kwa upande mwingine, maambukizi ya bakteria wa H.pylori hutokea baada ya kula chakula au kunywa maji yenye vimelea hivi. Aidha, choo, matapishi na mate ya mtu mwenye bakteria hawa vinaweza kuwa chanzo cha kutokea kwa maambukizi.
Fursa zipo mlangoni mwako fungua sasa upate kufanikiwa
BAADHI YA DALILI ZA UTI
🔵Kujisikia kukojoa muda wote
🔵kuchoka sanaa
🔵Mkojo kutoa harufu
🔵Mkojo wa rangi
🔵Homa Kali
🔵kichefuchefu
🔵kutapika
BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI
▶️kuwashwa sehemu za siri
▶️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa
▶️Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri
▶️Kupata vidonda
▶️Kupata michubuko ukeni
▶️Maumivu wakati wa kukojoa
▶️Kutokwa na uchafu wa rangi mweupe ukeni usio wa kawaida
▶️Mdomo wa uke kuvimba na kuwa na rangi nyekundu
BAADHI YA DALILI ZA PID
⏩Kutokwa na uchafu mzito ukeni
⏩Uchafu ukeni wa rangi nyeupe au njano
⏩Uke kutoa harufu mbaya
⏩Kuwashwa sehemu za siri
⏩maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
⏩Uke kuwa mlaini sana
⏩Maumivu wakati wa tendo la ndoa
⏩Kuvurugikwa kwa hedhi
⏩Kutokwa na majimaji ukeni kupita kiasi
⏩Maumivu wakati wa kukojoa
⏩Homa/uchovu na kuchoka
⏩kizungu zungu na n.k
BAADHI YA DALILI ZA FIBROIDS AU UVIMBE KWENYE KIZAZI
🔴Kutokwa na damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi
🔴Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni
🔴Kutokwa na uchafu mwingi na mweupe ukeni..➖➖➖➖
vicky afya tips Health/beauty
28/02/2024
FAIDA ZA UTE WA UZAZI( ute wa ovulation)
🛑kukosekanika kwa ute wa uzazi na uhusiano wa kutobeba Mimba.
• Je, kuna uhusiano kati ya kukosa ute wa uzazi na kutoshika mimba????
• Je ,unaweza pata mimba k**a hupati ute wa uzazi?
Jibu rahisi ni NDIO,
• 🩸✍️unaweza pata japo kuwa uwezekano ni mdogo sana. Kwani kukosa ute wa mara nyingi huwa inatafsiri kuwa una tatizo kati haya yafuatayo.
1• kukosa ute wa uzazi kunaashiria mwanamke huyu ana sumbuliwa na fangasi wa mara kwa mara fangasi hao hupelekea kuharibu mlango wa uke ambao ndo huwa unategeneza huo ute wa uzazi .
🛑 Hivyo mwanamke akiwa na hao fangasi hawezi pata ute wa zazi na pia hawa fangas huzuia uwezekano wa mbegu za kiume kupita kwenda kwenye mji wa uzazi na kufanya uwezekano wa kubeba mimba unakuwa mdogo.
2• K**a hupati ute wa uzazi maana yake ni kwamba mwanamke huyu homoni zake haziko sawa (Hormone imbalance). Hata upevushaji wa mayai unakuwa mdogo sana hivyo hata uwezekano wa kushika mimba unakuwa mdogo .
FAIDA ZA UTE WA UZAZI
1) kiashirio kwamba huyu mwanamke yupo katika siku za hatari ambapo akikutana na mwanaume anaweza shika mimba.
2)Huu ute huwa unasaidia mbegu za kiume kuogelea kwenda kutungisha mimba
3) ute huu husaidia kuondoa mbegu zisizofaa yaani inakuwa k**a chujio la kuchuja mbegu zinazofaa zitaingia ndani zisizofaa zitatolewa nje
4) ute huu husaidia kipindi cha tendo la ndoa usichunike wala kupata maumivu zaidi upate raha
Kwa ushauri zaidi piga simu moja kwa moja
♻️WhatsApp
+255746649980
CHANGAMOTO YA UZAZI INATIBIKA
PONA NDANINYA SIKU CHACHE
Tutakufanyia vipimo vya mwili mzima ili kujua nini sababu. Tukishajua chanzo cha tatizo lako tutakupatia tiba sahihi haijaalishi unahangaika namna gani.
K**a umepitia changamoto hizi au hujapitia lakini mimba zinatoka au hazishiki. Njoo haraka ujipatie vipimo na tiba sahihi kabisa.
👉Kupona P.I.D siku 14
👉 kupona U.T.I siku 6
👉Harufu mbaya ukeni Au kuwashwa siku 3
👉kutokwa na uchafu ukeni siku 4-6
👉Uvimbe kwenye kizazi siku 21 bila kufanyiwa opasuaji
👉kutokushika ujauzito mwezi mmoja mwezi ufatao utakuwa mama kijacho🤰
👉Mvurugiko wa hedhi utapona siku 8
Ili uweze kupata vipimo vya changamoto yako utafungua file lako kwenye kituo chetu kwa gharama ya 20,000 tu
Weka appointment ya vipimo tuma ujumbe what's app tuma neno vipimo
👌0746649980
vicky afya tips Health/beauty
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
