Relaxation Massage
Tunatoa Huduma za
Full body Massage
Body to body Massage
Tunakufata ulipo
๐Dsm Tz๐น๐ฟ
09/06/2025
Ipo caption ๐
13/04/2025
Transfer News Live: imefichuka Yanga wameofa tsh 750m (sign-on fee) na mkataba wa miaka miwili kwa Fei Toto,lakini pia wameofa mshahara wa tsh 40m kwa mwezi.
Yanga wanapata kiburi kwani wataingiza pesa ndefu kupitia mauzo ya Aziz Ki.
Yanga wako serious wanahitaji Saini ya Fei Totoโ๏ธ
Ofa ya mwisho ya Simba ilikuwa ni tsh 600m (sign-on fee) walimwambia Fei atalipwa tsh 400m kwenye msimu wake wa kwanza na tsh 200m kwenye msimu wake wa pili.
Endelea kufuatilia page yetu ili kujua zaidi Sport swahili
10/04/2025
FT AZAM 1-2 YANGA
โฝ๏ธpacome
โฝ๏ธDube
โฝ๏ธLusajo
10/04/2025
Plan ya kwanza ya Azam mara zote uwaga ni kumuumiza pacome
HT : AZAM 0-2 YANGA
โฝ๏ธpacome
โฝ๏ธDube
04/04/2025
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
Sir Alex Ferguson: "Baada ya Italia kutwaa Kombe la Dunia mwaka wa 2006 na Juventus kushushwa daraja la pili,
nilikuwa na uhakika kwamba angeondoka Juventus. Mchezaji k**a yeye hachezi ligi daraja la pili. Wakati huo, Real Madrid pia walikuwa huitaji naye, na kutokana na masuala yaliyokuwa yakiizunguka Juventus wakati huo, nilifikiri kungekuwa na vita nzuri ya ofa kati yetu United na Real Madrid ili kumpata. Baada ya kutoa ofa yangu, jibu lake lilikuwa la kushangaza. Aliniambia:
โSir โ umeshazungumza nami hapo awali, na ninakuheshimu sana, lakini Juventus wanateseka sana, na ni wajibu wangu kubaki hapa. Juventus iko taabani, na mimi ndiye nahodha wa timu. Unatarajia niwaache?โโ
fans
03/04/2025
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Richard Abwao amesema Jeshi la Polisi Mkoani humo limemuachia Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe kwa dhamana huku taratibu nyingine za kiuchunguzi kuhusu tuhuma zinazomkabili zikiendelea.
Akizungumza na mchana huu, Kamanda Abwao amenukuliwa akisema โameachiwa kwa dhamana ambayo imetolewa muda mfupi uliopita, anaweza kusafiri ( nje ya Mkoa wa Tabora) lakini atatakiwa kuja kuripoti tarehe aliyopangiwa ambayo ni tarehe 21 mwezi huuโ
Asubuhi ya leo Kamanda Abwao akiongea na alisema Jeshi la Polisi Tabora lilimk**ata Ally Kamwe tangu jana usiku kwa mahojiano baada ya kutuhumiwa kutoa lugha chafu kwa Viongozi wa Serikali.
02/04/2025
Aiseeee๐
02/04/2025
FT Al Masry 2-0 Simba
02/04/2025
Neymar Jr aliwahi kusema:
โNakumbuka nikiwa mdogo baba alinipa pesa ya bili ya umeme nipeleke kwenye shirika la umeme kwa sababu muda ulikuwa umeshapita, lakini badala ya kulipa bili hiyo, nilitumia pesa hizo kuingia kwenye bahati nasibu ambapo zawadi ilikuwa gari jipya kabisa.
Nilipofika nyumbani, nilimweleza baba yangu nilichokuwa nimefanya, lakini hakukubaliโalinipiga vibaya sana.
Kesho yake asubuhi tulipoamka tuliona gari limeegeshwa mbele ya nyumba yetu. Sote tulianza kulia, hasa mimiโฆ kwa sababu gari lilikuwa la kampuni ya umeme, na walikuwa wamekuja kukata umeme wetu. Kisha baba akanipiga tena.โ ๐๐
02/04/2025
๐ฐ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ฐ
๐
โฝ๏ธ Tabora United๐Young Africans SC
๐ 02.04.2025
๐ Ali Hassan Mwinyi
๐ 10:15 Jioni
01/04/2025
Endrick,Rodrygo na na Vinicicus Wameanz
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
