Relaxation Massage

Relaxation Massage

Share

Tunatoa Huduma za
Full body Massage
Body to body Massage
Tunakufata ulipo
๐Ÿ“Dsm Tz๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

09/06/2025

Ipo caption ๐Ÿ‘€

13/04/2025

Transfer News Live: imefichuka Yanga wameofa tsh 750m (sign-on fee) na mkataba wa miaka miwili kwa Fei Toto,lakini pia wameofa mshahara wa tsh 40m kwa mwezi.

Yanga wanapata kiburi kwani wataingiza pesa ndefu kupitia mauzo ya Aziz Ki.

Yanga wako serious wanahitaji Saini ya Fei Totoโœ๏ธ

Ofa ya mwisho ya Simba ilikuwa ni tsh 600m (sign-on fee) walimwambia Fei atalipwa tsh 400m kwenye msimu wake wa kwanza na tsh 200m kwenye msimu wake wa pili.

Endelea kufuatilia page yetu ili kujua zaidi Sport swahili

10/04/2025

FT AZAM 1-2 YANGA
โšฝ๏ธpacome
โšฝ๏ธDube
โšฝ๏ธLusajo

10/04/2025

Plan ya kwanza ya Azam mara zote uwaga ni kumuumiza pacome

HT : AZAM 0-2 YANGA
โšฝ๏ธpacome
โšฝ๏ธDube

04/04/2025

๐Œ๐€๐๐„๐๐™๐ˆ ๐๐€ ๐’๐Ž๐Š๐€ ๐’๐ˆ๐Š๐”๐‡๐ˆ๐™๐ˆ ๐‡๐€๐Š๐”๐๐€๐Ÿ’”

Sir Alex Ferguson: "Baada ya Italia kutwaa Kombe la Dunia mwaka wa 2006 na Juventus kushushwa daraja la pili,
nilikuwa na uhakika kwamba angeondoka Juventus. Mchezaji k**a yeye hachezi ligi daraja la pili. Wakati huo, Real Madrid pia walikuwa huitaji naye, na kutokana na masuala yaliyokuwa yakiizunguka Juventus wakati huo, nilifikiri kungekuwa na vita nzuri ya ofa kati yetu United na Real Madrid ili kumpata. Baada ya kutoa ofa yangu, jibu lake lilikuwa la kushangaza. Aliniambia:
โ€˜Sir โ€˜ umeshazungumza nami hapo awali, na ninakuheshimu sana, lakini Juventus wanateseka sana, na ni wajibu wangu kubaki hapa. Juventus iko taabani, na mimi ndiye nahodha wa timu. Unatarajia niwaache?โ€™โ€™

fans

03/04/2025

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Richard Abwao amesema Jeshi la Polisi Mkoani humo limemuachia Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe kwa dhamana huku taratibu nyingine za kiuchunguzi kuhusu tuhuma zinazomkabili zikiendelea.

Akizungumza na mchana huu, Kamanda Abwao amenukuliwa akisema โ€œameachiwa kwa dhamana ambayo imetolewa muda mfupi uliopita, anaweza kusafiri ( nje ya Mkoa wa Tabora) lakini atatakiwa kuja kuripoti tarehe aliyopangiwa ambayo ni tarehe 21 mwezi huuโ€

Asubuhi ya leo Kamanda Abwao akiongea na alisema Jeshi la Polisi Tabora lilimk**ata Ally Kamwe tangu jana usiku kwa mahojiano baada ya kutuhumiwa kutoa lugha chafu kwa Viongozi wa Serikali.

02/04/2025

Aiseeee๐Ÿ˜Ž

02/04/2025

FT Al Masry 2-0 Simba

02/04/2025

Neymar Jr aliwahi kusema:

โ€œNakumbuka nikiwa mdogo baba alinipa pesa ya bili ya umeme nipeleke kwenye shirika la umeme kwa sababu muda ulikuwa umeshapita, lakini badala ya kulipa bili hiyo, nilitumia pesa hizo kuingia kwenye bahati nasibu ambapo zawadi ilikuwa gari jipya kabisa.

Nilipofika nyumbani, nilimweleza baba yangu nilichokuwa nimefanya, lakini hakukubaliโ€”alinipiga vibaya sana.

Kesho yake asubuhi tulipoamka tuliona gari limeegeshwa mbele ya nyumba yetu. Sote tulianza kulia, hasa mimiโ€ฆ kwa sababu gari lilikuwa la kampuni ya umeme, na walikuwa wamekuja kukata umeme wetu. Kisha baba akanipiga tena.โ€ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

02/04/2025

๐Ÿ”ฐ๐Œ๐€๐“๐‚๐‡๐ƒ๐€๐˜๐Ÿ”ฐ

๐Ÿ†
โšฝ๏ธ Tabora United๐Ÿ†šYoung Africans SC
๐Ÿ“† 02.04.2025
๐ŸŸ Ali Hassan Mwinyi
๐Ÿ•– 10:15 Jioni

01/04/2025

Endrick,Rodrygo na na Vinicicus Wameanz

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam