maro.afya tz

maro.afya tz

Share

Tunatibu changamoto za zazi kwa wanaume na wanawake/Fibroid, UTI,Homorn Imbalance Bawasili, Low Spem

09/07/2024

Mwanamke mwenye uvimbe sio rahisi kushika ujauzito, na endapo akishika ujauzito huwa unaharibika kwa sababu uvimbe unakandamiza mtoto Hadi mimba kuharibika au mtoto kufika tumboni. Wapi wanawake Wana bahatika kubeba mimba na inafika miezi 9 wakiwa na uvimbe lakini inabidi wakati wa kujifungua wafanyiwe operation hii itagarimu kutolewa kizazi moja kwa moja kwa hiyo usikubali kufuga uvimbe hadi kuwa mkubwa Sana unaweza kugharimu kuondolewa kizazi , kupoteza mimba zako au kuondoka na maisha yako.

Hebu nambie kwenye comment hapo wewe changamoto yako ni ipi kwenye kutafuta mtoto?

Follow
@ Maro. Afya tz -

Piga: SMS, WhatsApp 0687474413

28/06/2024

Kokote ulipo huduma zetu zinakufikia piga simu: SMS/WhatsApp 0687474413

follow: .afyatz

28/06/2024

Faham: sababu za Mirija ya uzazi kuwa na makovu au adhesion s. kwa kiwango cha kitaalam, ni pamoja na:-
🌼. Maambukizi ya Pelvis mf. Kisonono, klamidia, upungufu wa maji ya uzazi na hiyo kupelekea sababu ya adhesions.

🌼. Upasuaji wa uzazi: k**a vile wa kuondoa Fibroids, uondoaji wa ovari.

🌼. Endometriosis: hii ni Hali ambayo tishu ya ndani ya mfuko WA uzazi hukuja nje ya kizazi

🌼. Ugonjwa wa Matibabu: Baadhi ya matibabu ya uzazi k**a vile IVF au matibabu ya Homoni.

🌼. Uvutaji wa Sigarala

🌼. Adhesions za Mirija ya uzazi zinaweza kusababisha ugumu wa kupata ujauzito kwa sababu Huzuia YAI kufikia kizazi.

🌼.Ili kuendelea kujifunza zaidi usiache kufollow page hii au piga simu 0687474413
.afyatz

27/06/2024

Fahamu Rangi ya Uteute na Maana zake kifya
🎈katika mlango wa uzazi hubadilika kulingana na siku mwanamke yupo katika mfumo wake wa uzazi (reproductive system circle β­•).

🎈UKE UKIWA MKAVU:
Aina ya Uteute k**a huu hauruhusu mbegu za kiume kusafiri na kuingia katika kizazi.

🎈. UTE UKIWA MAJIMAJI AU YENYE UNYEVU UNYEVU
Huu unaweza kusafirisha mbegu ya mwanaume Hadi kizazi cha mwanamke.

🎈. UTE UKIWA NA RANGI YA KRIMU (cream)
Hapo mwanamke ana karibia kuingia kipindi cha Joto pia yai linakaribia kupevuka bado hawezi kupata mimba.

🎈. UTE UKIWA NA RANGI NYEUPE K**A YAI BICHI
Katika Hali hii ndivyo mzuri kabisa kwa kusafirisha mbegu za kiume.

🎈Je! wewe Kati ya Rangi hizo hapo ni ipi inakutokea mara kwa mara tuandikie hapo au piga na 0687474413 au

Follow
Afya tz kuendelea kujifunza zaidi

31/05/2024

Dalili za Hormone imbalance kwa mwanamke ziko nyingi Sana lakini Leo nitakupa chache Tu mfano:- ukiwa Una kuwa na dalili hizi mara kwa mara na sio kawaida yako jaribu kutafuta suluhisho kabla halijawa sugu

🌼. Uke MKavu
🌼. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🌼. Kutoka jasho Usiku
🌼. Kutoka damu yenye mabongemaboge wakati wa hedhi
🌼. Uchovu wa mara kwa mara
🌼. Kusahau Sana

Follow:
. Afya tz . ili uendelee kupata dondo Mbali mbali kuhusu Afya ya uzazi kwa mwanamke. Au

Piga simu: SMS WhatsApp Na. 0687474413

.dsmtz.

27/05/2024

Je una tatizo la michilizi na hujui namna ya kuiondoa?? Karibu tukupe suluhisho ,Piga simu SMS, WhatsApp 0687474413

15/05/2024

Itunze Afya yako kwa Ushauri zaidi k**a unahitaji kujua ninamna gani ya kuukinga mwili wako dhidi ya Magonjwa adika comment yako hapo au piga simu namba 0687474413

29/03/2024

Ofisi yetuya IPS Dar es salaam itakuwa wazi kipindi hiki cha sikukuu ya pasaka kukuhudumia wewe kwa upendo kabisa unaweza piga Simu 0687474413 Kwa maelezo zaidi.

15/02/2024

Usiteseke na Changamoto Hii Tuna Suluhisho litakalo kusaidia kutatua. Huduma Zetu Zinakufikia Popote Ulipo Ndani na Nje ya Nchi. Call & WhatsApp
+255 687 474 413

02/02/2024

Je Mwanao Anasumbuliwa Na Changamoto Za Afya ?

Usijali Tunalo Suluhisho Zuri Kwa Afya Ya Watoto

TAMBUA UMUHIMU WA VIRUTUBISHO VYETU KWA AFYA YA MTOTO WAKO

Virutubisho Vyetu Vitaenda kumsaidia Mtoto Wako Kwenye afya Yake Ya Ukuaji Pamoja Na Afya Yake Ya Ubongo ili awe na kumbukumbu Na Umakini katika kujifunza

Husaidia kuboresha afya Ya viungo vya mtoto Asipate Matege (rickets) Na Viungo kwa ujumla

Virutubisho Hivi Vitaboresha afya Ya Moyo Na kurekebisha Mapigo Ya moyo ya Mtoto

Yanazuia allergies kwa Mtoto, Pia Husaidia kuboresha afya ya macho.

Husaidia Kutibu Mafua Na kikohozi kisicho kwisha

Husaidia Kutibu Changamoto Ya kupata Haja kubwa

Husaidia Matatizo ya ngozi

Husaidia Kumpatia Mtoto Hamu Ya Kula ikiwa K**a mtoto wako Anasumbua kula au Anaugua mara Kwa mara

JALI AFYA YA MWANAO KWA KUMPATIA VIRUTUBISHO SAHIHI ali KWA AJILI YA AFYA YAKE

Kwa ushauri na tiba wasiliana nasi Kwa namba +255 687 474 413

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
255