Ohilic Skincare
Your Tanzanian dedicated ally in enhancing skin health for people with melanin competent skin.
Skin analysis machine inaweza kuwa ya technology tofuti tofauti lakini zote kazi yake kubwa ni kupima kile kinachoonekana
kwenye ngozi yako kwa wakati huo
unapopima
Hivyo majibu huweza kuwa tofauti na real skin characteristics yako
Na consultant muri anaweza kujua kinachoendelea kwenye ngozi yako hata
kabla ya kuingia kwenye mashine
Makovu hutofautiana kulingana na namna yalivyoonekana, kina chake na jinsi ngozi ilivyopona baada ya injury.
Kovu lililo flat, lililozama, lililoinuka au linalovuta ngozi—kila moja linaweza kuhitaji approach tofauti.
Ndiyo maana kabla ya kuanza kutumia creams au treatments za kuondoa scar, ni muhimu kwanza kujua aina ya kovu ulilonalo na nini kinaweza kufanyiwa.
K**a una scar usoni na hujui k**a inaweza kuboreshwa au treatment gani inakufaa, DM OHILIC for a skin consultation.
Treatment ya acne inapaswa kuangalia aina, severity na hali ya ngozi yako, si ukubwa wa chunusi pekee.
Ndiyo maana kujichagulia treatment kwa sababu tu umeona mtu mwingine ametumia inaweza kukuchelewesha kupata matokeo au hata kuongeza irritation.
Hujui acne yako inahitaji AcneNoting au treatment nyingine? Usianze kutumia kwa kubahatisha.
📩 DM OHILIC kwa ajili ya Skin Consultation
Unatumia actives nyingi kwa acne Ikn hali ya ngozi ndio inazidi kuwa mbaya zaidi
We have got you
Dm BARRIER tuaasses routine yako
Nimekuwa nikiiangalia OHILIC kwa muda, nimeona jinsi wanavyosisitiza kwamba skincare is not just about products…
ni kuhusu understanding your skin.
So today, nimeamua kuamini hiyo process na kuanza safari yangu.
Sijui exactly nitakuwa wapi baada ya wiki kadhaa…
but I’m willing to show up, be consistent and give my skin a real chance.
Wish me luck…
Ngozi kuwasha na kuchoma choma si lazima iwe sehemu ya “kuizoea” tretinoin. 🧴
Tretinoin ni active ingredient yenye uwezo mkubwa wa kusaidia kutibu acne na kuchochea collagen production, lakini matumizi yasiyo sahihi yanaweza kuleta irritation na kudhoofisha skin barrier matokeo yakawa tofauti na matarajio
K**a unatumia tretinoin na ngozi yako inaendelea kuwasha, kuchoma au acne kuongezeka, usipuuze dalili hizo.
DM neno SKIN tuanze kuelewa hali ya ngozi yako na kupanga treatment sahihi. 🤍
SkincareEducation
katika ngozi k**a ambavyo wengi wanaiogopa kwasababu ya kuleta purging
Ukiitumia vizuri hii ingredients inakazi kubwa sana katika ngozi
K**a inavyoonekana baada ya kumsaidia kuipangilia vizuri kwenye routine yake
K**a unapitia hali k**a hii book for your skin consultation at ohilic skin care
Hi hali mara nyingi hutokea baada ya kuamini sana sana, katika ingredients kuliko kujua kwanza afya ya skin barrier yako .
Mano mdogo: wapo watumiaji wa skin care wanaamini kwamba “Nina madoa kwasababu sijatumia vitamim C”
Halafu hajui kwamba vitamin C ni kundi kubwa la ingredients kadhaa, zipo zinazoweza kufaa zipo zisizoweza kufaa
kwa ngozi yako kutokana na hali ya skin barrier hali inayosababisha mtu akate tamaa
aone skin care ni scam nk
Sasa leo hebu share ni ingredient gani uliïtumia ukiwa na matumaini makubwa
itakusaidia alafu ikakusaliti??😂
Andika neno retinol tutakusaidia nini unaweza fanya
Hope this helps
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mbezi Beach
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 14:00 |
