VIKSZaCongo

VIKSZaCongo

Share

Viks Original kutoka Congo zinapatikana

21/02/2026

Celebrating my 2nd year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. πŸ™πŸ€—πŸŽ‰

12/01/2026

⚠️

30/12/2025
21/09/2025

Pata mali safi kwa furaha na kumfanya mwenzi wako ajivunie ushababi wakoπŸ’―πŸ’―πŸ’―

15/07/2025

Mwanaume nakuambia hivi, siku mkeo akianza kulala na mwanaume mwingine jua kifo chako kimewadia!

Iko hivi;

Mwanaume anaweza kulala (kuchepuka) na mwanamke mwingine na bado akawa na upendo wa dhati kwa mke wake, lakini mwanamke hawezi kuchepuka na akaendelea kumpenda mume wake kwa dhati. Nasema hivi kwa sababu mwanaume hafanyi tendo la ndoa kwa hisia, mwanamke hawezi kufanya tendo la ndoa bila hisia mguso unless k**a anafanya ngono biashara (kahaba) au mwenye pepo la ngono. Ndiyo maana wanaume wanahitaji mahali pa kufanya tendo la ndoa ila wanawake wanahitaji sababu ya kufanya tendo la ndoa.

Wanawake wengi (sio wote ila wengi wao) wanaoenda mahak**ani kudai talaka kwa waume zao ni wale wachepukaji, mwanamke asiyechepuka hawezi kwenda mahak**ani kudai talaka isipokuwa k**a mumewe atakuwa amezidisha unyanyasaji wa kimwili na kiakili kiwango cha kukaribia kumuua mkewe. Wanawake wanaoenda mahak**ani kudai talaka kwa sababu za unyanyasaji au tishio la uhai wao wapo lakini ni wachache sana.

Wanaume hawawezi kubadili tendo la ndoa na upendo. Mwanaume anaweza kufanya tendo la ndoa na mwanamke lakini bado akawa hampendi-ndiyo maana wanawake wanaojikuta kwenye mahusiano ya kimapenzi na wanaume waliooa wanaowapenda wake zao kwa dhati hupata tabu saana kupata kufurahia mahusiano hayo kwani huwa wanatumika tu na hao wanaume wenye ndoa zao. Lakini pindi tu mwanamke aliyeolewa anapolala na mchepuko wake huanza hata kusimulia habari za siri kuhusu mume wake na anaweza pia kusema ni kwa namna gani anamchukia mume wake---anaweza hata kukubali kuchukua sumu kwa mchepuko wake ili amwangamize mume wake.

Mwanamke anayelala na mwanaume mwingine anaweza kuratibu, kufadhili na kutekeleza mauaji ya kinyama ya mume wake wa ndoa. Mimi ni muhenga, Mimi ni shuhuda, nimeyaona na kuyashuhudia haya sio ya kusimuliwa. Jamii na familia imebakiwa na vilio na misiba ya kuumiza ya vifo vya wapendwa wao waliouawa na wake zao.

Mwanamke anayechepuka anaweza kushirikiana na mchepuko wake kukuchinja ukiwa unajiona na usimfanye chochote.

Mwanamke anayechepuka si anaweza tu kufadhili, kuratibu na kutekeleza mauaji ya kinyama ya mume wake bali pia anaweza kuratibu kufadhili na kutekeleza mauaji ya ndugu yeyote wa mume anayejaribu kuwa kikwazo katika mission zake za uovu.

Mwanamke ni kiumbe hatari sana anapovaa roho ya usaliti, atatenda unyama na ukatili ambapo hata huyo anayeitwa shetani anajiuliza kajifunza wapi huyu. Hadi shetani mwenyewe anakuwa na wasiwasi kuwa usikute kuna shetani mwingine halisi na yeye ni fake tu.

Kwa mwanaume tendo la ndoa na upendo ni vitu viwili tofauti kabisa, lakini kwa mwanamke tendo la ndoa na upendo ni vitu viwili vinavyoenda sambamba. Kwa mwanaume tendo la ndoa huja kwanza kabla ya upendo (matamanio) lakini kwa mwanamke upendo huja kwanza kabla ya tendo la ndoa (upendo wa dhati); kwahiyo pindi mkeo anapoanza kuchepuka upendo wake huhama kutoka kwako kwenda kwa mchepuko, anaweza hata kuanza kumpa chakula kizuri na mahaba ambavyo amekuwa akikupa wewe tu.

Mwanamke anayechepuka anaweza kumpa mchepuko wake ngono style ambazo wewe hajawahi kukupa na ambazo hukukatalia wewe lakini jamaa akapewa. Unamkuta mkeo kakunjwa k**a tairi hadi ukioneshwa unasema hapana huyu sio mama Vicky.

Mwanaume kuchepuka haimaanishi kuwa ameacha kumpenda mkewe la hasha!, ila siwezisema hivyo kwa upande wa mwanamke. Pindi mwanamke anapoanza kuchepuka anakuwa ametumbukia kimapenzi kwa mchepuko huo na maisha kwenye ndoa hayawezi kuwa sawa kamwe; na anaweza hata kumuua mmewe endapo tu atakuwa ameanza kuchepuka.

Mkeo akianza kuchepuka utakuwa mwanaume mwenye bahati sana endapo hautakufa ndani ya miaka 10. Tafiti zinaonesha kuwa 95% ya wanawake wanaochepuka huwaombea waume zao wafe haraka, ndiyo maana ni hatari sana kwa mwanaume kuendelea kuishi na mwanamke anaechepuka; vilevile ndiyo maana inashauriwa kila mahali hata kwenye Biblia kumtaliki mwanamke pindi tu anapogundulika kuwa amezini (amechepuka).

Mwanamke anaechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauwaji au silaha. Kuna wanawake wengi wachepukaji duniani hualika wauaji usiku waje watoe uhai wa waume zao na askari hata ndugu wa mume k**a hawajasoma Cuba na kupata walau D mbili hawawezi kugundua hilo kwani msibani huyo mwanamke atakuwa analia kwa uchungu wa kuigiza na kuficha maasi yake. Atakuwa analia machozi ya mamba.

Ndiyo maana wanasaikolojia hukataza sana mwanamke kuchepuka kuliko mwanaume. Wanawake hawawezi kuhimili mitafaruku ya kihisia itokanayo na kuchepuka; ndiyo sababu wanaume watafiti na wenye uelewa mkubwa watajua tu kuwa mkewe ameanza kuchepuka kwa sababu huanza kumdharau mumewe na hujaribu hata kumnyima mumewe tendo la ndoa kwa visingizio lukuki visivyo na mantiki.

Tafiti zinaonesha kuwa 90% ya wanawake wanaochepuka hawafurahii tendo la ndoa na waume zao hapo mwanaume makini atagundua tu hasa tabia za mkewe zitakapobadilika kuhusiana na tendo la ndoa, lakini mwanaume zube hawezi kugundua hili ataendelea kuvumilia sababu dhaifu za kunyimwa unyumba mpaka atakapoondolewa duniani.

Mwanamke hawezi kuchepuka na mtu ambae hampendi, huwa wanaitoa mioyo yao kwa kila kitu, ndiyo maana huwezi kuamini maamuzi yao. Kichekesho kikitolewa wanawake wengi wanaocheka hawacheki eti kwa sababu kichekesho ni kizuri ila ni kwasababu huwapenda wale waliotoa vichekesho hivyo; na endapo hawakupendi hata kichekesho chako kingekuwa kizuri kwa kiasi gani hawatacheka, ila mwanaume akicheka kuhusu kichekesho fulani ni kwa sababu kichekesho chenyewe ni kizuri lakini si kwa sababu eti anampenda mchekeshaji hii ni kwa sababu wanaume wana uwezo wa kukabili hisia.

Tafiti zinaonesha kuwa ndoa nyingi huanza kuyumba pindi mwanamke anapoanza kuchepuka. Kuna wanaume wengi wanaochepuka lakini bado wanawaonesha wake zao upendo wa dhati, ila ni vigumu kukuta ndoa imesimama na mambo yanaenda sawa huku mwanamke akiwa mchepukaji. Ninarudia tena, karibia 100% ya wanawake wanaochepuka huwaombea waume zao wafe haraka au huwaua au hulazimisha talaka ili wawe na uhuru wa kufurahia penzi la kwenye mchepuko sambamba na kufurahia mali za mumewe na mchepuko wake ikiwa mumewe ni tajiri.

Ila wanaume wengi hawawezi kuruhusu kushirikiana na mchepuko ili kumuua mke wake wa ndoa. Aidha wanaume wengi kamwe hawawezi kuruhusu wake zao wa ndoa wanyanyaswe na mchepuko kwa vitendo au kwa maneno. Siku zote wanaume husimama upande wa wake zao. Wanaume anaweza kuchepuka na bado akampenda mkewe lakini mwanamke hawezi kuchepuka na bado akampenda mumewe.

Mwanaume usipuuze hili, mara tu mkeo anapoanza kulala na mwanaume au wanaume wengine ujue kifo chako kimewadia na usipokuwa chonjo huyo mke wako atakuua kifo kibaya sana, atakuua kifo cha kinyama kweli kweli.

22/05/2025

Leo jitahidi usipige Puny€To...! Anza formula ya siku 10 kutoka sasa ufunge mwezi ukiwa Imara..πŸ’ͺ

04/02/2025

KISUKARI: UGONJWA WA KIMYA UNAOHARIBU MWILI TARATIBU!!

PART TWO

DALILI ZAKE ZINAWEZA KUKUCHANGANYA!

Dalili za kisukari mara nyingi huanza taratibu, na watu wengi huzipuuzia. Unapaswa kuwa makini na ishara hizi:

⚠️ Kiu kali isiyo ya kawaida
⚠️ Kukojoa mara kwa mara, hasa usiku
⚠️ Uchovu mkubwa hata baada ya kupumzika
⚠️ Kupungua uzito bila sababu yoyote
⚠️ Maambukizi ya mara kwa mara, hasa kwenye ngozi na sehemu za siri
⚠️ Vidonda visivyopona haraka
⚠️ Kusikia ganzi au kuchomachoma miguuniKISUKARI KISIPODHIBITIWA, MADHARA YAKE NI MAKUBWA! πŸš‘

Kisukari huathiri mwili mzima na kinaweza kusababisha:

❌ Upofu – Kisukari huathiri mishipa ya damu kwenye retina na kusababisha matatizo ya macho hadi upofu kabisa.

❌ Shambulio la moyo & kiharusi – Kisukari kinaongeza hatari ya mishipa ya damu kuziba na kusababisha magonjwa ya moyo.

❌ Kushindwa kwa figo – Kinaweza kuharibu figo na kusababisha hitaji la kusafisha damu (dialysis) au kupandikiza figo.

❌ Vidonda visivyopona & kukatwa viungo – Kisukari kinaathiri mzunguko wa damu, na majeraha madogo yanaweza kuwa vidonda vikubwa hadi kusababisha kukatwa vidole au miguu.

❌ Upungufu wa nguvu za kiume – Kisukari huathiri mishipa ya fahamu na mzunguko wa damu, hivyo kupunguza uwezo wa mwanaume katika tendo la ndoa.

KUNA WATU WANATEMBEA NA KISUKARI BILA KUJUA! 🧐

Je, unajua kuwa mtu anaweza kuwa na kisukari kwa miaka mingi bila kujua?

β†’ Tafiti zinaonyesha kuwa watu wengi hugundua kisukari wakiwa tayari wamepata madhara makubwa k**a upofu au ugonjwa wa figo!

β†’ Hakikisha unapima sukari yako angalau mara moja kila mwaka, hata k**a huumwi!

βœ… Ikiwa una historia ya kisukari kwenye familia, anza kupima mapema.
βœ… Ikiwa una uzito mkubwa au unakunywa pombe kupita kiasi, uko kwenye hatari kubwa zaidi.KISUKARI SI HUKUMU YA KIFO!

K**a tayari una kisukari, usihofu! Unaweza kukidhibiti kwa:

βœ”οΈ Kudhibiti lishe yako
βœ”οΈ Kufanya mazoezi mara kwa mara
βœ”οΈ Kufuata ushauri wa daktari
βœ”οΈ Kupunguza msongo wa mawazo
βœ”οΈ Kunywa maji ya kutosha kila siku

Pima sukari yako leo na chukua hatua za kujikinga.🀝

04/02/2025

KISUKARI: UGONJWA WA KIMYA UNAOHARIBU MWILI TARATIBU!!

PART ONE:

KISUKARI SI UGONJWA WA SUKARI PEKEE!

Kuna dhana potofu kuwa kisukari ni ugonjwa wa β€œkula sukari nyingi”.

Ukweli ni kwamba, kisukari hutokea pale ambapo mwili wako hauwezi kutumia insulini ipasavyo au haizalishi insulini ya kutosha.

βœ… Insulini ni homoni inayozalishwa na kongosho ili kusaidia sukari kuingia kwenye seli na kutumika k**a chanzo cha nishati.

βœ… Bila insulini ya kutosha au mwili kupoteza uwezo wa kuitumia, sukari hubaki kwenye damu na kusababisha madhara makubwa.

πŸ‘‰ Hali hii husababisha uharibifu wa viungo muhimu k**a moyo, figo, macho, mishipa ya fahamu, na hata ubongo!

β†’ Kisukari ni ugonjwa unaoathiri mamilioni ya watu duniani, lakini bado watu wengi hawafahamu ukweli wake! Wengi hudhani ni ugonjwa wa "sukari nyingi" tu, kumbe ni tatizo la mwili kushindwa kudhibiti kiwango cha sukari kutokana na upungufu au kutofanya kazi kwa insulini.

πŸ“’ Je, unajua kisukari kinaweza kuwepo mwilini kwa miaka mingi bila kujulikana?

πŸ”΄ Watu wengi hugundua kuwa na kisukari wakiwa tayari wamepata madhara makubwa k**a ugonjwa wa figo, upofu, au hata kupoteza miguu!

Leo nitakupa maarifa ya kina kuhusu ugonjwa huu hatari, dalili zake, madhara, na jinsi ya kujilinda!

Twende Sawa πŸ‘‡

AINA TATU KUU ZA KISUKARI

Kisukari Aina ya 1

➑️ Mwili hushambulia kongosho na kuharibu seli zinazozalisha insulini.
➑️ Husababisha mtu kutegemea sindano za insulini maisha yake yote.
➑️ Huwaathiri zaidi watoto na vijana, lakini mtu mzima pia anaweza kupata.

Kisukari Aina ya 2

➑️ Mwili hauitumikii insulini ipasavyo (insulin resistance).
➑️ Mara nyingi husababishwa na mtindo wa maisha usiofaa k**a ulaji mbaya na kutofanya mazoezi.
➑️ Hii ndiyo aina inayoathiri watu wengi zaidi duniani.

Kisukari cha Mimba

➑️ Huathiri baadhi ya wajawazito kutokana na mabadiliko ya homoni.
➑️ Huongeza hatari ya mama kupata Kisukari Aina ya 2 baadaye maishani.
➑️ Pia mtoto anaweza kuzaliwa na uzito mkubwa au matatizo mengine ya kiafya.

20/01/2025

KANUNI (10) KILA MWANAUME ANAPASWA KUZIJUA

Unajua kinachokufanya kuwa mwanaume bora?

Fungua comment πŸ‘‡πŸΎ

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
Dar Es Salaam