AFYA BORA MAisha BORA
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA BORA MAisha BORA, Health/Beauty, Dar es Salaam.
22/04/2024
โ๏ธSABABU ZA KUTOSHIKA MIMBA KWA MWANAMKE
Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni k**a zifuatazo
Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke
1. Kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni ambapo kwa kitaalamu huitwa hormonal imbalance, kwa hiyo ili mimba iweze kutungwa ni lazima kuwepo na usawa wa homoni yaani zote zilingane.
2. Ovari kushindwa kutoa mayai.
Kuna wakati mwingine o***y hazitoi mayai hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi au tatizo lolote kwenye mfumo wa uzalishaji.
3. Kuziba kwa mirija ya uzazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapiani tube kwa hiyo mishipa hii ikiziba usababisha mayai kushindwa kukutana na mbegu za mwanaume wakati wa urutubishaji.
4. Kuna wakati mwingine mirija ya uzazi kujaa maji, hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mirija ya uzazi na ikishajaa maji usababisha mayai au yai kushindwa kukutana na mbegu za mwanaume.
5. Kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.
Kuna wakati mwingine uvimbe kwenye uzazi usababisha mama kutozaa kwa sababu mtoto hawezi kupata sehemu ya kukaa na kukua.
6. Magonjwa mbalimbali na yenyewe usababisha mwanamke kushindwa kupata mimba, magonjwa k**a kisonono, kaswende, kisukari na pia maambukizi kwenye via vya kiza, haya Magonjwa yakiwa sugu usababisha ugumba.
7. Kuwepo kwa msongo wa mawazo.
Kwa kawaida ili mimba iweze kushika mwanaume na mwanamke wanapaswa kuwa katika hali nzuri bila mawazo wakifanya hivyo ni rahisi kushika kwa mimba.
8. Utoaji wa mimba.
Kuna wakati mwingine kutoa mimba mara kwa mara nakwo usababisha kutoshika kwa mimba kwa sababu kuna wakati mwingine via vya uzazi vinakuwa vimechokonolewa vya kutosha na baadae mimba haiwezi kushika.
9. Matumizi ya pombe, bangi, sigara na ulevi wa kupindukia usababisha kutoshika kwa mimba kwa sababu baadhi ya vileo usababisha kupungua kwa homoni za uzazi.
10. Kuwa na uzito kupita kiasi.
Kwa kawaida uzito mkubwa nao ni sababu ya kutoshika mimba kwa sababu ili mimba ishike mwili wa mama unapaswa kuwa kwenye hali ya usawa .
11. Kwa hiyo baada ya kufahamu haya ni vizuri kurekebisha mtindo wa maisha kwa wale ambao wana changamoto za kutopata mimba ili waweze kupata watoto na ni vema kabisa kupata ushauri wa kitaalamu k**a kuna tatizo la kukosa mimba
Kwa ushauri na matibabu wasiliana nasi
โ๏ธ๐น๐ฟ0677663314
22/04/2024
๐ UJUE UGONJWA WA P.I.D
Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake. Kwa kawaida maambukizi haya huusisha shingo ya uzazi (cervix) hali ambayo hujulikana k**a cervicitis, nyama ya mfuko wa uzazi (endometrium) ambayo kitaalamu huitwa endometritis, na mirija ya uzazi (fallopian tubes) hali ijulikanayo kitabibu k**a salpingitis.
_PID husababishwa na nini?_
Pamoja na aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID, vimelea vya jamii ya Neisseria Gonorrhoeae pamoja na Chlamydia trachomatis ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.
Je mwanamke huambukizwaje PID?
Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na
โ
Kufanya ngono isiyo salama.
โ
Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)
โ
Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)
โ
Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango.
โ
Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.
Dalili za PID ni zipi?
Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni :-
โ
Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu
โ
Kupata maumivu ya mgongo.
โ
Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri. Utoko huu huambatana na harufu mbaya.
โ
Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa.
โ
Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.
โ
Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi.
โ
Kupata homa.
โ
Wakati fulani kuhisi kichefuchefu na
Pia kutapika.
โฉUgonjwa huu wa Pelvic Inflammatory Diseases *P.I.D* unakuwa kwa Kasi kubwa na baadhi ya wanawake hupata madhara makubwa baadae hususani Ugumba kutokana na kupuuzia matibabu. Ikiwa unaona dalili tajwa hapo juu jitahidi kuanza matibabu taratibu kabla haujapata madhara ambayo yanaweza kugharimu Maisha yako kwa ujumla.
โ๐ฟโ๐ฟโ๐ฟโ๐ฟโ๐ฟโ๐ฟโ๐ฟโ๐ฟ
JIKINGE NA P.I.D epuka UGUMBA
22/04/2024
*๐นJe! Utajuaje Una PID....?*
*PID* Ni kifupisho cha maneno haya Pelvic Inflammatory Disease ( PID).
Ama maambukizi katika via vya uzazi
*โDALILI ZITAKO KUONYESHA UNA PID*
1๏ธโฃKutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2๏ธโฃKuwashwa sehemu za siri .
3๏ธโฃUke kutoa harufu mbaya
4๏ธโฃMaumivu ya tumbo chini ya kitovu
5๏ธโฃUke kuwa laini sana hivyo Kupata michubuko kiurahisi
6๏ธโฃMaumivu wakati wa tendo la ndoa
7๏ธโฃKuvurugika Kwa hedhi
8๏ธโฃKutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9๏ธโฃMaumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
๐Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
*โJe! UNAJUA CHANZO CHA PID....?*
โช๏ธKutoa mimba (au mimba kuharibika)
โช๏ธKupuuzia matibabu ya fangus
โช๏ธKupuuzia matibabu ya u.t.i
โช๏ธUvimbe kwenye kizazi
โช๏ธKutosafishwa vizuri baada ya kujifungua
โช๏ธMagonjwa ya zinaa n.k
*โMADHARA YA PID*
โขUgumba
โขKansa ya shingo ya kizazi
โขMirija ya uzazi kuziba
โขMajeraha kwenye mirija ya uzazi
PID inatibika na kupona Kwa haraka Ukifuata dose sahihi
Ila PID huwa ngumu sana kutibika usipofuata dose sahihi na atajichukia kwa kweli
wa.me/+255677663314
22/04/2024
๐นJe! Utajuaje Una PID....?
*PID* Ni kifupisho cha maneno haya Pelvic Inflammatory Disease ( PID).
Ama maambukizi katika via vya uzazi
โDALILI ZITAKO KUONYESHA UNA PID
1๏ธโฃKutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2๏ธโฃKuwashwa sehemu za siri .
3๏ธโฃUke kutoa harufu mbaya
4๏ธโฃMaumivu ya tumbo chini ya kitovu
5๏ธโฃUke kuwa laini sana hivyo Kupata michubuko kiurahisi
6๏ธโฃMaumivu wakati wa tendo la ndoa
7๏ธโฃKuvurugika Kwa hedhi
8๏ธโฃKutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9๏ธโฃMaumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
๐Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
*โJe! UNAJUA CHANZO CHA PID....?*
โช๏ธKutoa mimba (au mimba kuharibika)
โช๏ธKupuuzia matibabu ya fangus
โช๏ธKupuuzia matibabu ya u.t.i
โช๏ธUvimbe kwenye kizazi
โช๏ธKutosafishwa vizuri baada ya kujifungua
โช๏ธMagonjwa ya zinaa n.k
*โMADHARA YA PID*
โขUgumba
โขKansa ya shingo ya kizazi
โขMirija ya uzazi kuziba
โขMajeraha kwenye mirija ya uzazi
PID inatibika na kupona Kwa haraka Ukifuata dose sahihi
0677663314
22/04/2024
PID KWA MWANAMKE
Pid (Pelvic Inflammatory Disease) ni ugonjwa unaohusiana na maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. Dalili za PID zinaweza kutofautiana kwa kila mtu, lakini baadhi ya dalili za kawaida ni pamoja na:
Maumivu ya chini ya tumbo: Maumivu ya chini ya tumbo yanaweza kuwa moja ya dalili za kwanza za PID. Maumivu haya yanaweza kuwa ya kubana au yenye kudhi.
Kutokwa na uchafu unaotoka ukeni unaouma: Uchafu wa ukeni unaotoka unaweza kuwa na harufu mbaya, rangi isiyo ya kawaida, au kutoka kwa wingi.
Kuvimba na maumivu katika mirija ya uzazi: Maumivu au kuvimba kwenye mirija ya uzazi inaweza kutokea na kusababisha maumivu makali ya tumbo.
Maumivu wakati wa kujamiiana: Kujamiiana kunaweza kuwa na maumivu au kuhisi kuchoma kwa mwanamke mwenye PID.
Kutokwa na damu kati ya hedhi au baada ya kujamiiana: Kutokwa na damu ambayo si ya kawaida katika kipindi chako cha hedhi au baada ya kujamiiana inaweza kuwa ishara ya PID.
Homa: Baadhi ya watu wenye PID wanaweza kuwa na homa.
Ni muhimu kutafuta matibabu haraka ikiwa unaona dalili hizi au una wasiwasi kuwa unaweza kuwa na PID. PID inaweza kusababisha matatizo makubwa ya afya ikiwa haipatiwi matibabu mapema.
Kwa msaada zaidi na ushauri
โ๐0677664414
# yako
22/04/2024
P.I.D NINI,DALILI ZAKE NI ZIPI, MADHARA YAKE NI YAPI?
P.I.D- Pelvic Inflammatory Disease.
P.I.D Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa mwanamke ambayo huusisha maambukizi kwenye shingo ya kizazi(CERVICITIS),nyama kwenye mfumo wa wa uzazi(ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi(SALPINGITIS)
Kuna aina mbili ambayo ni chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa P.I.D ni NEISSERIA GONORNOAE na CHLAMYDIA TRACHOMATIC
WANAMKE ANAUPATAJE UGONJWA WA P.I.D
-Kupitia ngono zembe
-Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja
-Kufanya mapenzi bila kutumia kinga
-Kupitia magonjwa ya zinaa hususani kaswande na kisonono
-Kupitia kunyonywa ukeni mara kwa mara
-Utoaji wa mimba na kutosafishwa vizuri baada ya kutoa mimba
-Kuweka vitu ukeni ili kuufanye uke ubane au kumvutia mpenzi wako
-Kutumia dawa na njia za kuzuia mimba(vijiti na sindano)
- Kuwa na U.T.I. sugu au fungus ya muda mrefu
DALILI ZA P.I.D
-Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri yaweza ukawa njano, mweupe au maziwa
-Uke kutoa harufu mbaya
-Kuwashwa sehemu za siri
-Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
-Uke kuwa mlaini sana
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kuvurugika kwa hedhi
-Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi
-Maumivu wakati wa kukojoa
-Homa, uchovu na kizunguzungu
MADHARA YA P.I.D
-Maumivu ya tumbo au nyonga ya mara kwa mara mara baada ya tendo la ndoa. au kipindi cha upevushaji mayai hali hii hutokana na majeraha yaliyopi katika mirija ya uzazi
-Kusababisha majeraha ndani na nje ya mirija za uzazi ambayo hipelekea mirija kuziba
-Kubeba mimba nje ya kizazi husababishwa yai kushindwa kufika kwenywe mji wa uzazi kupitia mirija ya uzazi
-Ugumba kwa mwanamke
-kupata kansa ya shingo ya uzazi
JINSI YA KUEPUKANA NA P.I.D
Japo kuwepo na tiba za kujitibu lakini unashauriwa kinga ni bore kuliko tiba hivyo zingatia yafuatayo;-
-Epuka kufanya ngono zembe
-Usifanye mapenzi baada ya kujifungua au mimba kutoka
-Weka tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara
-Kuwa msafi na nguo zako za ndani na kula lishe bora
-Epuka kushare nguo za ndani
UNAPOONA DALILI ZA UGONJWA HUU WAHI KUPATA MATIBABU. KWANI UGONJWA HUU NI HATARI NA HUWEZA KUKUSABABISHIA UGUMBA AU KANSA YA SHINGO YA KIZAZI
Ugonjwa wa P.I.D unatibika vizuri kabisa hivy bas k**a upo tayari unaumwa na umezunguka hospitalini bila mafanikio bas wasiliana nasi kwa msaada zaidi.
Call//Whatsap 0677663314
TUKUHUDUMIE.๐๐
22/04/2024
TIBA YA UGONJWAWA P.I.D
P.I.D
pelvic inflammatory desease
Ni maambukizi katika via vya uzazi.
Whatsap- wa.me/+255677663314
DALILI ZA UGONJWA WA PID
1๏ธโฃKutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2๏ธโฃKuwashwa sehemu za siri
3๏ธโฃUke kutoa harufu mbaya
4๏ธโฃMaumivu ya tumbo chini ya kitovu
5๏ธโฃUke kuwa wa ulaini sana
6๏ธโฃMaumivu wakati wa tendo la ndoa
7๏ธโฃKuvurugika Kwa hedhi
8๏ธโฃKutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9๏ธโฃMaumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
๐Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MATIBABU
p.i.d inatibika na kupona Kwa haraka
K**a Unashida hii au yoyote Tuwasiliane whatsap kwa kugusa link hapo chini๐
wa.me/225677663314
Au piga simu 0677663314
22/04/2024
๐น๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐
๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐
๐น๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐
๐น๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐
๐๐๐๐๐๐
๐น๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐
๐ ๐๐๐
๐.๐.๐ ๐๐๐๐ + ๐
๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐=๐.๐.๐
๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐
0677663314
22/04/2024
๐นHabari..!
Hedhi kutoka muda mrefu inasababishwa na changamoto nyingi hizi ni baadhi, zifuatazo:-
1. Kuvurugika kwa homoni na mayai kupevuka.
Mabadiliko ya homoni na mayai kupevuka inaweza kupelekea hedhi kutoka muda mrefu.
Kwa mwanamke mwenye afya njema asiye na matatizo ya uzazi anaweza kuona mabadiliko haya hasa anapokaribia kukoma hedhi, au mwanzoni unapoanza kupata hedhi wakati wa kubalehe.
.lakini pia homoni zaweza kuvurugika kutokana na matatizo mbalimbali k**a changamoto za tezi ya thyroid na vimbe kwenye mayai.
.k**a homoni zako zimevurugika au k**a mayai hayatolewi kwenye mifuko ya mayai wakati wa mzunguko wako, ukuta wa mimba utakuwa mnene sana
. Na pale ukuta utakapobomoka na kutoka nje hehdi yako itakuwa ya muda mrefu sana na nzito.
2. Matumizi ya dawa.
Yanaweza kupelekea hedhi kutoka muda mrefu kutokana na dawa ulizotumia katika mwezi husika. Dawa hizi ni pamoja na:-
โข dawa za maumvu
kuzuia mimba(contraceptives) na
dawa za kupunguza uvimbe mwilini
โข Ujauzito
โขBleed ya muda mrefu inaweza kuwa kiashiria cha mimba kutunga nje yakizazi au mimba kuharibika.
... Unaweza pia kupata bleed ya muda mrefu endapo una tatizo la kondo la nyuma kwenye mimba yako.
K**a ulifanya kipimo cha mimba ukakuta kinasoma positive, na unapata bleed hakikisha unaenda hospitali haraka.
3. Uvimbe Kwenye kizazi(Uterine fibroids or polyps.
Uvimbe kwenye kizazi unaweza kupelekea hedhi kutoka muda mrefu na ikaambatana na mabonge ya damu.
Fibroids hutokea pale misuli ya kuta za kizazi zinapoanza kukua kupita kiasi.
..Kutanuka kwa kizazi (adenomyosis)
Adenomyosis ni tatizo lingine kwenye kizazi ambalo husababishwa na tishu kukua kupita kiasi.
Tatizo linaweza kusababisha kizazi kutanuka na hedhi kutoka muda mrefu zaidi.
4. Matatizo ya tezi ya thyroid(tezi ya shingoni)
K**a tezi ya thyroidi haifanyi kazi vizuri kuzalisha homoni zinazotakiwa kwa shughuli za mwili inaweza kupelekea hedhi kutoka muda mrefu sana.
Tatizo hili la tezi ya thyroid huitwa hypothyroidism.
5. Uzito Mkubwa na Kitambi.
Uzito mkubwa na kitambi husababisha hedhi nzito na kutoka kwa muda mrefu.
Hii ni kwasababu seli za mafuta huzalisha zaidi homoni ya estrogen. Estrogen ikizidi sana huvuruga hedhi yako.
5. Pelvic inflammatory disease(PID)
PID ni maambukizi ya bakteria kwenye njia ya uzazi.
Tatizo lisipotibiwa mapema hupelekea hehdi kuvurugika na hivo upate hedhi ya muda mrefu. PID pia husababisha maumivu chini ya kitovu, maumivu kwenye tendo la ndoa na kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu kali au mbaya.
6.Saratani.
Hedhi kutoka muda mrefu inaweza kuwa ni kiashiria kwamba una saratani ya kizazi au saratani ya shingo ya kizazi.
Tafadhali naomba nisaidie KUSHARE ujumbe huu na mwingine.
_______________________
Muda wowote ukiwa tayari, kuna namna kubwa ninazoweza kukusaidia.
*1. Kukupatia matibabu ya program 01 pekee kuweza kujipatia wasiliana nami kupitia Nambari 0677663314
May The Joy Be With You
22/04/2024
Hii Ni Maalumu Kwa Wanawake Wenye Changamoto Za Fangasi,PID,Harufu mbaya Ukeni Na UTI Sugu....
Yaweza kuwa umepambana kwa muda mrefu kuondokana na changamoto hizi za k**e bila mafanikio.
Niko hapa kutoa huduma na Mwongozo katika kukusaidia kushinda matatizo ya,
โUtokaji Uchafu wenye harufu kali Ukeni
โPID
โMiwasho isiyoisha sehemu za siri,
โPamoja UTI Sugu
Je ungependa kupata mwongozo wa kukusaidia kuondokana na changamoto hizo,kwa njia rahisi na salama zaidi
Pata Tiba na mwongozo zaidi kuhusu jinsi tunavyoweza kukusaidia kwa Kupiga Namba Zetu za simu
WASILIANA NAMI
0677663314
Au Bonyeza Neno WhatsApp Lililopo Chini ya tangazo hili.
22/04/2024
Ujumbe Muhimu Kwa Wanawake.
Wanawake Wengi Wamekuwa Wakisumbuliwa na PID Sugu.
K**a Wewe ni Mmoja Wao,Ningependa Kuongea na Wewe.
Nawasaidia Wanawake Kutatua Changamoto ya PID Sugu
Wiki Hii Nataka kusaidia wanawake wengi zaidi
Bonyeza Kitufe cha WhatsApp Hapo Chini Mara Moja
Ni Mimi Mwenye kujali Mafanikio Yako.
0677663314
22/04/2024
Je wajua changamoto za magonjwa sugu zinasumbua watu wengi
Ila tumekuwa msahada mkubwa kwa watu na jamii hivyo k**a unasumbuliwa na matatizo haya ya kiafya tutafute
Mimba kualibika
Ugumba
Mirija kuziba
Uvimbe kwenye kizazi
Homon imbalance
PID sugu
Tezi dume
Nguvu za kiume
Pressure
Kisukari
Pia tunatoa dawa za fertility booster hizi zinakusaidia mwanamke kubeba mimba ya mapacha Karibu sana kwenye huduma yetu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
