AFYA BORA MAisha BORA

AFYA BORA MAisha BORA

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA BORA MAisha BORA, Health/Beauty, Dar es Salaam.

22/04/2024

โœ๏ธSABABU ZA KUTOSHIKA MIMBA KWA MWANAMKE

Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni k**a zifuatazo

Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke
1. Kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni ambapo kwa kitaalamu huitwa hormonal imbalance, kwa hiyo ili mimba iweze kutungwa ni lazima kuwepo na usawa wa homoni yaani zote zilingane.



2. Ovari kushindwa kutoa mayai.

Kuna wakati mwingine o***y hazitoi mayai hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi au tatizo lolote kwenye mfumo wa uzalishaji.



3. Kuziba kwa mirija ya uzazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapiani tube kwa hiyo mishipa hii ikiziba usababisha mayai kushindwa kukutana na mbegu za mwanaume wakati wa urutubishaji.



4. Kuna wakati mwingine mirija ya uzazi kujaa maji, hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mirija ya uzazi na ikishajaa maji usababisha mayai au yai kushindwa kukutana na mbegu za mwanaume.



5. Kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Kuna wakati mwingine uvimbe kwenye uzazi usababisha mama kutozaa kwa sababu mtoto hawezi kupata sehemu ya kukaa na kukua.



6. Magonjwa mbalimbali na yenyewe usababisha mwanamke kushindwa kupata mimba, magonjwa k**a kisonono, kaswende, kisukari na pia maambukizi kwenye via vya kiza, haya Magonjwa yakiwa sugu usababisha ugumba.



7. Kuwepo kwa msongo wa mawazo.

Kwa kawaida ili mimba iweze kushika mwanaume na mwanamke wanapaswa kuwa katika hali nzuri bila mawazo wakifanya hivyo ni rahisi kushika kwa mimba.



8. Utoaji wa mimba.

Kuna wakati mwingine kutoa mimba mara kwa mara nakwo usababisha kutoshika kwa mimba kwa sababu kuna wakati mwingine via vya uzazi vinakuwa vimechokonolewa vya kutosha na baadae mimba haiwezi kushika.



9. Matumizi ya pombe, bangi, sigara na ulevi wa kupindukia usababisha kutoshika kwa mimba kwa sababu baadhi ya vileo usababisha kupungua kwa homoni za uzazi.



10. Kuwa na uzito kupita kiasi.

Kwa kawaida uzito mkubwa nao ni sababu ya kutoshika mimba kwa sababu ili mimba ishike mwili wa mama unapaswa kuwa kwenye hali ya usawa .



11. Kwa hiyo baada ya kufahamu haya ni vizuri kurekebisha mtindo wa maisha kwa wale ambao wana changamoto za kutopata mimba ili waweze kupata watoto na ni vema kabisa kupata ushauri wa kitaalamu k**a kuna tatizo la kukosa mimba

Kwa ushauri na matibabu wasiliana nasi
โ˜Ž๏ธ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ0677663314

22/04/2024

๐Ÿ›‘ UJUE UGONJWA WA P.I.D

Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake. Kwa kawaida maambukizi haya huusisha shingo ya uzazi (cervix) hali ambayo hujulikana k**a cervicitis, nyama ya mfuko wa uzazi (endometrium) ambayo kitaalamu huitwa endometritis, na mirija ya uzazi (fallopian tubes) hali ijulikanayo kitabibu k**a salpingitis.

_PID husababishwa na nini?_

Pamoja na aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID, vimelea vya jamii ya Neisseria Gonorrhoeae pamoja na Chlamydia trachomatis ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.

Je mwanamke huambukizwaje PID?

Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na

โœ…Kufanya ngono isiyo salama.

โœ…Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)

โœ…Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)

โœ…Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango.

โœ…Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.

Dalili za PID ni zipi?

Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni :-

โœ…Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu

โœ…Kupata maumivu ya mgongo.

โœ…Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri. Utoko huu huambatana na harufu mbaya.

โœ…Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa.

โœ…Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.

โœ…Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi.

โœ…Kupata homa.

โœ…Wakati fulani kuhisi kichefuchefu na
Pia kutapika.

โฉUgonjwa huu wa Pelvic Inflammatory Diseases *P.I.D* unakuwa kwa Kasi kubwa na baadhi ya wanawake hupata madhara makubwa baadae hususani Ugumba kutokana na kupuuzia matibabu. Ikiwa unaona dalili tajwa hapo juu jitahidi kuanza matibabu taratibu kabla haujapata madhara ambayo yanaweza kugharimu Maisha yako kwa ujumla.
โœ๐Ÿฟโœ๐Ÿฟโœ๐Ÿฟโœ๐Ÿฟโœ๐Ÿฟโœ๐Ÿฟโœ๐Ÿฟโœ๐Ÿฟ
JIKINGE NA P.I.D epuka UGUMBA

22/04/2024

*๐ŸŒนJe! Utajuaje Una PID....?*

*PID* Ni kifupisho cha maneno haya Pelvic Inflammatory Disease ( PID).

Ama maambukizi katika via vya uzazi

*โ—DALILI ZITAKO KUONYESHA UNA PID*

1๏ธโƒฃKutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2๏ธโƒฃKuwashwa sehemu za siri .
3๏ธโƒฃUke kutoa harufu mbaya
4๏ธโƒฃMaumivu ya tumbo chini ya kitovu
5๏ธโƒฃUke kuwa laini sana hivyo Kupata michubuko kiurahisi
6๏ธโƒฃMaumivu wakati wa tendo la ndoa
7๏ธโƒฃKuvurugika Kwa hedhi
8๏ธโƒฃKutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9๏ธโƒฃMaumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
๐Ÿ”ŸHoma, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
*โ—Je! UNAJUA CHANZO CHA PID....?*
โ–ช๏ธŽKutoa mimba (au mimba kuharibika)
โ–ช๏ธŽKupuuzia matibabu ya fangus
โ–ช๏ธŽKupuuzia matibabu ya u.t.i
โ–ช๏ธŽUvimbe kwenye kizazi
โ–ช๏ธŽKutosafishwa vizuri baada ya kujifungua
โ–ช๏ธŽMagonjwa ya zinaa n.k

*โ—MADHARA YA PID*

โ€ขUgumba
โ€ขKansa ya shingo ya kizazi
โ€ขMirija ya uzazi kuziba
โ€ขMajeraha kwenye mirija ya uzazi

PID inatibika na kupona Kwa haraka Ukifuata dose sahihi
Ila PID huwa ngumu sana kutibika usipofuata dose sahihi na atajichukia kwa kweli

wa.me/+255677663314

22/04/2024

๐ŸŒนJe! Utajuaje Una PID....?

*PID* Ni kifupisho cha maneno haya Pelvic Inflammatory Disease ( PID).

Ama maambukizi katika via vya uzazi


โ—DALILI ZITAKO KUONYESHA UNA PID

1๏ธโƒฃKutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2๏ธโƒฃKuwashwa sehemu za siri .
3๏ธโƒฃUke kutoa harufu mbaya
4๏ธโƒฃMaumivu ya tumbo chini ya kitovu
5๏ธโƒฃUke kuwa laini sana hivyo Kupata michubuko kiurahisi
6๏ธโƒฃMaumivu wakati wa tendo la ndoa
7๏ธโƒฃKuvurugika Kwa hedhi
8๏ธโƒฃKutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9๏ธโƒฃMaumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
๐Ÿ”ŸHoma, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
*โ—Je! UNAJUA CHANZO CHA PID....?*
โ–ช๏ธŽKutoa mimba (au mimba kuharibika)
โ–ช๏ธŽKupuuzia matibabu ya fangus
โ–ช๏ธŽKupuuzia matibabu ya u.t.i
โ–ช๏ธŽUvimbe kwenye kizazi
โ–ช๏ธŽKutosafishwa vizuri baada ya kujifungua
โ–ช๏ธŽMagonjwa ya zinaa n.k

*โ—MADHARA YA PID*

โ€ขUgumba
โ€ขKansa ya shingo ya kizazi
โ€ขMirija ya uzazi kuziba
โ€ขMajeraha kwenye mirija ya uzazi

PID inatibika na kupona Kwa haraka Ukifuata dose sahihi

0677663314

22/04/2024

PID KWA MWANAMKE

Pid (Pelvic Inflammatory Disease) ni ugonjwa unaohusiana na maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. Dalili za PID zinaweza kutofautiana kwa kila mtu, lakini baadhi ya dalili za kawaida ni pamoja na:

Maumivu ya chini ya tumbo: Maumivu ya chini ya tumbo yanaweza kuwa moja ya dalili za kwanza za PID. Maumivu haya yanaweza kuwa ya kubana au yenye kudhi.

Kutokwa na uchafu unaotoka ukeni unaouma: Uchafu wa ukeni unaotoka unaweza kuwa na harufu mbaya, rangi isiyo ya kawaida, au kutoka kwa wingi.

Kuvimba na maumivu katika mirija ya uzazi: Maumivu au kuvimba kwenye mirija ya uzazi inaweza kutokea na kusababisha maumivu makali ya tumbo.

Maumivu wakati wa kujamiiana: Kujamiiana kunaweza kuwa na maumivu au kuhisi kuchoma kwa mwanamke mwenye PID.

Kutokwa na damu kati ya hedhi au baada ya kujamiiana: Kutokwa na damu ambayo si ya kawaida katika kipindi chako cha hedhi au baada ya kujamiiana inaweza kuwa ishara ya PID.

Homa: Baadhi ya watu wenye PID wanaweza kuwa na homa.

Ni muhimu kutafuta matibabu haraka ikiwa unaona dalili hizi au una wasiwasi kuwa unaweza kuwa na PID. PID inaweza kusababisha matatizo makubwa ya afya ikiwa haipatiwi matibabu mapema.

Kwa msaada zaidi na ushauri

โ˜Ž๐Ÿ“ž0677664414
# yako

22/04/2024

P.I.D NINI,DALILI ZAKE NI ZIPI, MADHARA YAKE NI YAPI?

P.I.D- Pelvic Inflammatory Disease.
P.I.D Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa mwanamke ambayo huusisha maambukizi kwenye shingo ya kizazi(CERVICITIS),nyama kwenye mfumo wa wa uzazi(ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi(SALPINGITIS)
Kuna aina mbili ambayo ni chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa P.I.D ni NEISSERIA GONORNOAE na CHLAMYDIA TRACHOMATIC

WANAMKE ANAUPATAJE UGONJWA WA P.I.D
-Kupitia ngono zembe
-Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja
-Kufanya mapenzi bila kutumia kinga
-Kupitia magonjwa ya zinaa hususani kaswande na kisonono
-Kupitia kunyonywa ukeni mara kwa mara
-Utoaji wa mimba na kutosafishwa vizuri baada ya kutoa mimba
-Kuweka vitu ukeni ili kuufanye uke ubane au kumvutia mpenzi wako
-Kutumia dawa na njia za kuzuia mimba(vijiti na sindano)
- Kuwa na U.T.I. sugu au fungus ya muda mrefu

DALILI ZA P.I.D
-Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri yaweza ukawa njano, mweupe au maziwa
-Uke kutoa harufu mbaya
-Kuwashwa sehemu za siri
-Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
-Uke kuwa mlaini sana
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kuvurugika kwa hedhi
-Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi
-Maumivu wakati wa kukojoa
-Homa, uchovu na kizunguzungu

MADHARA YA P.I.D
-Maumivu ya tumbo au nyonga ya mara kwa mara mara baada ya tendo la ndoa. au kipindi cha upevushaji mayai hali hii hutokana na majeraha yaliyopi katika mirija ya uzazi
-Kusababisha majeraha ndani na nje ya mirija za uzazi ambayo hipelekea mirija kuziba
-Kubeba mimba nje ya kizazi husababishwa yai kushindwa kufika kwenywe mji wa uzazi kupitia mirija ya uzazi
-Ugumba kwa mwanamke
-kupata kansa ya shingo ya uzazi

JINSI YA KUEPUKANA NA P.I.D
Japo kuwepo na tiba za kujitibu lakini unashauriwa kinga ni bore kuliko tiba hivyo zingatia yafuatayo;-
-Epuka kufanya ngono zembe
-Usifanye mapenzi baada ya kujifungua au mimba kutoka
-Weka tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara
-Kuwa msafi na nguo zako za ndani na kula lishe bora
-Epuka kushare nguo za ndani

UNAPOONA DALILI ZA UGONJWA HUU WAHI KUPATA MATIBABU. KWANI UGONJWA HUU NI HATARI NA HUWEZA KUKUSABABISHIA UGUMBA AU KANSA YA SHINGO YA KIZAZI

Ugonjwa wa P.I.D unatibika vizuri kabisa hivy bas k**a upo tayari unaumwa na umezunguka hospitalini bila mafanikio bas wasiliana nasi kwa msaada zaidi.

Call//Whatsap 0677663314

TUKUHUDUMIE.๐Ÿ‘๐Ÿ‘

22/04/2024

TIBA YA UGONJWAWA P.I.D

P.I.D
pelvic inflammatory desease
Ni maambukizi katika via vya uzazi.
Whatsap- wa.me/+255677663314

DALILI ZA UGONJWA WA PID
1๏ธโƒฃKutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2๏ธโƒฃKuwashwa sehemu za siri
3๏ธโƒฃUke kutoa harufu mbaya
4๏ธโƒฃMaumivu ya tumbo chini ya kitovu
5๏ธโƒฃUke kuwa wa ulaini sana
6๏ธโƒฃMaumivu wakati wa tendo la ndoa
7๏ธโƒฃKuvurugika Kwa hedhi
8๏ธโƒฃKutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9๏ธโƒฃMaumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
๐Ÿ”ŸHoma, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula

MATIBABU
p.i.d inatibika na kupona Kwa haraka

K**a Unashida hii au yoyote Tuwasiliane whatsap kwa kugusa link hapo chini๐Ÿ‘‡

wa.me/225677663314

Au piga simu 0677663314

22/04/2024

๐ŸŒน๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€ ๐‡๐€๐‘๐”๐…๐” ๐Œ๐๐€๐˜๐€ ๐”๐Š๐„๐๐ˆ
๐ŸŒน๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€ ๐Œ๐ˆ๐–๐€๐’๐‡๐Ž ๐”๐Š๐„๐๐ˆ
๐ŸŒน๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€ ๐…๐€๐๐†๐€๐’๐ˆ
๐ŸŒน๐“๐Ž๐Š๐Ž๐Œ๐„๐™๐€ ๐Œ๐€๐‰๐ˆ๐Œ๐€๐‰๐ˆ ๐Œ๐€๐‚๐‡๐€๐…๐” ๐”๐Š๐„

๐”.๐“.๐ˆ ๐’๐”๐†๐” + ๐…๐€๐๐†๐€๐’๐ˆ ๐’๐”๐†๐”=๐.๐ˆ.๐ƒ

๐๐ˆ๐ƒ ๐ˆ๐Š๐ˆ๐Š๐Ž๐Œ๐€๐€ ๐‡๐”๐’๐€๐๐€๐๐ˆ๐’๐‡๐€
๐Ÿ’Š๐”๐“๐€๐’๐€
๐Ÿ’Š๐Š๐€๐๐’๐€

๐–๐€๐‡๐ˆ ๐Œ๐€๐๐„๐Œ๐€ ๐”๐๐€๐“๐„ ๐Œ๐€๐“๐ˆ๐๐€๐๐” ๐๐€ ๐”๐Š๐„ ๐–๐€๐Š๐Ž ๐”๐Š๐€๐„ ๐’๐€๐‹๐€๐Œ๐€

0677663314

22/04/2024

๐ŸŒนHabari..!
Hedhi kutoka muda mrefu inasababishwa na changamoto nyingi hizi ni baadhi, zifuatazo:-

1. Kuvurugika kwa homoni na mayai kupevuka.

Mabadiliko ya homoni na mayai kupevuka inaweza kupelekea hedhi kutoka muda mrefu.

Kwa mwanamke mwenye afya njema asiye na matatizo ya uzazi anaweza kuona mabadiliko haya hasa anapokaribia kukoma hedhi, au mwanzoni unapoanza kupata hedhi wakati wa kubalehe.
.lakini pia homoni zaweza kuvurugika kutokana na matatizo mbalimbali k**a changamoto za tezi ya thyroid na vimbe kwenye mayai.
.k**a homoni zako zimevurugika au k**a mayai hayatolewi kwenye mifuko ya mayai wakati wa mzunguko wako, ukuta wa mimba utakuwa mnene sana
. Na pale ukuta utakapobomoka na kutoka nje hehdi yako itakuwa ya muda mrefu sana na nzito.

2. Matumizi ya dawa.

Yanaweza kupelekea hedhi kutoka muda mrefu kutokana na dawa ulizotumia katika mwezi husika. Dawa hizi ni pamoja na:-

โ€ข dawa za maumvu
kuzuia mimba(contraceptives) na
dawa za kupunguza uvimbe mwilini
โ€ข Ujauzito
โ€ขBleed ya muda mrefu inaweza kuwa kiashiria cha mimba kutunga nje yakizazi au mimba kuharibika.
... Unaweza pia kupata bleed ya muda mrefu endapo una tatizo la kondo la nyuma kwenye mimba yako.

K**a ulifanya kipimo cha mimba ukakuta kinasoma positive, na unapata bleed hakikisha unaenda hospitali haraka.

3. Uvimbe Kwenye kizazi(Uterine fibroids or polyps.

Uvimbe kwenye kizazi unaweza kupelekea hedhi kutoka muda mrefu na ikaambatana na mabonge ya damu.

Fibroids hutokea pale misuli ya kuta za kizazi zinapoanza kukua kupita kiasi.
..Kutanuka kwa kizazi (adenomyosis)
Adenomyosis ni tatizo lingine kwenye kizazi ambalo husababishwa na tishu kukua kupita kiasi.

Tatizo linaweza kusababisha kizazi kutanuka na hedhi kutoka muda mrefu zaidi.

4. Matatizo ya tezi ya thyroid(tezi ya shingoni)
K**a tezi ya thyroidi haifanyi kazi vizuri kuzalisha homoni zinazotakiwa kwa shughuli za mwili inaweza kupelekea hedhi kutoka muda mrefu sana.

Tatizo hili la tezi ya thyroid huitwa hypothyroidism.

5. Uzito Mkubwa na Kitambi.

Uzito mkubwa na kitambi husababisha hedhi nzito na kutoka kwa muda mrefu.

Hii ni kwasababu seli za mafuta huzalisha zaidi homoni ya estrogen. Estrogen ikizidi sana huvuruga hedhi yako.

5. Pelvic inflammatory disease(PID)
PID ni maambukizi ya bakteria kwenye njia ya uzazi.

Tatizo lisipotibiwa mapema hupelekea hehdi kuvurugika na hivo upate hedhi ya muda mrefu. PID pia husababisha maumivu chini ya kitovu, maumivu kwenye tendo la ndoa na kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu kali au mbaya.

6.Saratani.

Hedhi kutoka muda mrefu inaweza kuwa ni kiashiria kwamba una saratani ya kizazi au saratani ya shingo ya kizazi.

Tafadhali naomba nisaidie KUSHARE ujumbe huu na mwingine.
_______________________

Muda wowote ukiwa tayari, kuna namna kubwa ninazoweza kukusaidia.

*1. Kukupatia matibabu ya program 01 pekee kuweza kujipatia wasiliana nami kupitia Nambari 0677663314

May The Joy Be With You

22/04/2024

Hii Ni Maalumu Kwa Wanawake Wenye Changamoto Za Fangasi,PID,Harufu mbaya Ukeni Na UTI Sugu....

Yaweza kuwa umepambana kwa muda mrefu kuondokana na changamoto hizi za k**e bila mafanikio.

Niko hapa kutoa huduma na Mwongozo katika kukusaidia kushinda matatizo ya,
โœ”Utokaji Uchafu wenye harufu kali Ukeni
โœ”PID
โœ”Miwasho isiyoisha sehemu za siri,
โœ”Pamoja UTI Sugu

Je ungependa kupata mwongozo wa kukusaidia kuondokana na changamoto hizo,kwa njia rahisi na salama zaidi

Pata Tiba na mwongozo zaidi kuhusu jinsi tunavyoweza kukusaidia kwa Kupiga Namba Zetu za simu

WASILIANA NAMI
0677663314

Au Bonyeza Neno WhatsApp Lililopo Chini ya tangazo hili.

22/04/2024

Ujumbe Muhimu Kwa Wanawake.

Wanawake Wengi Wamekuwa Wakisumbuliwa na PID Sugu.

K**a Wewe ni Mmoja Wao,Ningependa Kuongea na Wewe.

Nawasaidia Wanawake Kutatua Changamoto ya PID Sugu

Wiki Hii Nataka kusaidia wanawake wengi zaidi

Bonyeza Kitufe cha WhatsApp Hapo Chini Mara Moja

Ni Mimi Mwenye kujali Mafanikio Yako.

0677663314

22/04/2024

Je wajua changamoto za magonjwa sugu zinasumbua watu wengi

Ila tumekuwa msahada mkubwa kwa watu na jamii hivyo k**a unasumbuliwa na matatizo haya ya kiafya tutafute

Mimba kualibika
Ugumba
Mirija kuziba
Uvimbe kwenye kizazi
Homon imbalance
PID sugu
Tezi dume
Nguvu za kiume
Pressure
Kisukari

Pia tunatoa dawa za fertility booster hizi zinakusaidia mwanamke kubeba mimba ya mapacha Karibu sana kwenye huduma yetu

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam