Zaina Fertility Health
Tunawasaidia Wanawake Wenye P. I. D,
U. T. I, Fangasi na Hormone Imbalance kuweza kuondokana nazo
23/04/2024
_Ujumbe muhimu kwa Wanawake wote_
Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na *P.I.D SUGU*
K**a wewe ni mmoja wao, ningependa kuongea na wewe.
Kwa majina naitwa *Zaina Kijangwa*
Ninawasaidia Wanawake kutatua Changamoto ya *P.I.D SUGU* bila ya kutumia dawa kupitia Programu ya *Zaina _fertilityhealth* ndani ya siku 10 tu.
Wiki hii nataka kuandaa darasa la bure kwa ajili yako la Namna ya kutatua tatizo lako ukiwa nyumbani.
K**a utapenda kuhudhuria darasa hilo naomba ubonyeze kitufe cha WhatsApp hapo chini.
Kisha nitawasiliana na wewe ili kuelewa vizuri kuhusu changamoto uliyokuwa nayo nipate kukuandalia wewe pamoja na wanawake wenzako darasa bure kabisa kupitia group la watsapp.
Bonyeza Kitufe Cha WhatsApp Hapo Chini, Kabla Ya Darasa Letu Kujaa
Ni mimi mwenye kujali Afya yako,
*Zaina Kijangwa*
Mkurugenzi, *Zaina _ fertilityhealth*
18/04/2024
ZIJUE SABABU NA CHANZO CHA KUTOKUPONA *PID* NA KUJIRUDIA MARA KWA MARA
*CHANZO CHA PID👇*
👉k**a una ugonjwa wa zinaa na haujatibiwa
👉kufanya ngono zembe isiyo salama ( yaani kulala na wanaume tofauti tofauti)
👉kuwa na mpenzi ambaye ana wanawake wengi nje
👉maambukizi ya nje ya uzazi mara baada ya kutoa mimba Kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka ( miscarriage)
👉 Maambukizi ya nje ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujiifungua (postpartum period)
👉kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia Mojawapo ya uzazi wa mpango.
👉kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.
👉kutumia sana vidole wakati wa kusafisha uke ( Excess vaginal Douching)
👉Kuugua *UTI* na *Fangasi* mara Kwa mara
*MADHARA YA PID👇*
PID ambayo haikupata tiba inaweza kusababisha makovu na vifuko vyenye maji yenye wadudu kwenye mkondo wa njia ya uzazi ya mwanamke, vitu hivi vinaweza kusababisha madhara ya kudumu kwenye viungo vya uzazi
Madhara hayo ni pamoja na:-
*👉MIMBA NJE YA MIRIJA YA UZAZI(ECTOPIC PREGNANCY)*
PID ndio sababu ya mimba kutunga nje ya kizazi endapo itakua imesababisha makovu ndani ya kizazi. Makovu hayo husababisha yai lililopevuka kushindwa kusafiri ndani ya mirija ya uzazi kuelekea kwenye nyumba ya mirija ya uzazi.
Mimba nje ya kizazi husababisha utokaji wa damu usio wa kawaida na unaweza kukatisha maisha ya mwanamke
*👉UGUMBA*
uharibifu wa viungo vya uzazi huweza kusababisha ugumba, kushindwa kupata ujauzito. kadri unavyozidi kupata PID mara nyingi zaidi ndivyo hatari ya ugumba inavyozidi.
Kuchelewa kupata tiba ya PID kuongeza Kwa atari ya ugumba
*👉MAUMIVU SUGU YA NYONGA*
Makovu ndani ya mirija ya uzazi na viungo vingine vya uzazi huweza kuleta maumivu wakati wa tendo la ndoa na wakati wa yai kupevuka
*👉UVIMBE KWENYE KIZAZI*
PID huweza kusababisha kutunga Kwa usaha na kufanya majipu ndani ya mirija ya uzazi na Ovari, ingawa huweza kuota ndani ya nyumba ya uzazi na shingo ya kizazi.
👉kupata Kansa ya shingo ya kizazi
👉kutoa harufu mbaya na Kali ukeni k**a shombo la samaki
👉kupata hormone imbalance/mvurugiko wa homoni
*MADHARA YA PID KWA MJAMZITO NI👇*
1. kujifungua kabla ya wakati au ujauzito kuharibika
2. Kujifungua mtoto mwenye maambukizi na wakati mwingine hufariki muda mchache baada ya kujifungua au kujifungua mtoto mfu.
3. Kuziba Kwa mirija ya uzazi
18/04/2024
*MADHARA YA FANGASI UKENI*👇
Madhara yafuatayo yanaweza kutokea ikiwa mgonjwa mwenye fangasi ukeni atashindwa kupata tiba mapema;
⏩ Mimba Kuharibika.
Hii hutokea kwa mama mjamzito ambaye hakupata tiba ya maambukizi ya fangasi ukeni mapema ambapo maambukizi hayo huenea sehemu mbalimbali za via vya uzazi na kuharibu mji wa mimba (uterus),
sehemu ambapo mimba hujishikiza (fetal implantation) na kupelekea mimba kuharibika kabla ya wakati wake.
⏩Kupata Homa Na Kizunguzungu.
Hali hii hutokea kwa sababu ya kubadilika kwa hali ya kawaida ya mwili
na kuharibika kwa sehemu mbalimbali za mwili kutokana na maambukizi ya fangasi hali ambayo husababisha kubadilika kwa joto la mwili pia.
⏩ Kuongezeka Kwa Miwasho Sehemu Za Siri.
Madhara ya fangasi ukeni husababisha kuwepo kwa miwasho kwenye sehemu za siri ambapo mwathirika hujikuna kila wakati,
hali hii huongeza uwezekano mkubwa wa kuenea kwa ugonjwa wa fangasi ukeni
kwa sababu mwenye maambukizi k**a anajikuna na anawagusa wengine wanaomzunguka basi anaweza kusambaza maambukizi hayo kwa wanaomzunguka kwa urahisi.
⏩Maumivu Makali Wakati Wa Kukojoa.
Hali hii hutokea kwa mgonjwa Mwenye tatizo la fangasi ukeni,
pale ambapo maambukizi yameenea sehemu mbalimbali za via vya uzazi na kusababisha michubuko.
Hivyo wakati wa haja ndogo, mgonjwa akikojoa na mkojo ukagusa sehemu ya michubuko maumivu makali hutokea na kusababisha kukosa raha.
*JINSI YA KUJIKINGA NA FANGASI UKENI*👇
Yafuatayo ni mambo ya muhimu ambayo mwanamke anapaswa kuzingatia ili kujikinga na fangasi ukeni;
âś…Vaa nguo za ndani ambazo hazibani na zilizotengenezwa kwa pamba au hariri.
âś…Epuka kufanya mapenzi na mpenzi wako mwenye maambukizi haya mpaka pale atakapotibiwa na kupona kabisa.
âś…Osha sehemu zako za siri kwa kutumia maji safi na jikaushe kwa kutumia taulo au kitambaa safi.
âś…Epuka kuoga maji ya moto sana (hot baths), tumia maji ya vuguvugu.
âś…Kula mlo wenye virutubisho k**a vile mboga za majani, matunda.
âś…Kunywa maziwa aina ya
yenye live culture mara kwa mara yatakusaidia.
âś…Epuka matumizi ya vifaa vya kupanga uzazi na vifaa vya kufanyia mapenzi (s*x toys, diaphragm, cervical caps) husababisha maambukizi ya fangasi ukeni.
âś…Epuka kutumia sabuni za kemikali au dawa kuoshea uke.
âś… Usivae nguo zenye unyevunyevu, hakikisha unavaa nguo zilizokauka vizuri.
âś… Epuka kutumia kiholela dawa za Antibiotics, k**a huna ulazima wa kutumia antibiotics, acha kutumia.
17/04/2024
Karibu tukuhudumie kuanzia kwenye chanzo cha tatizo
17/04/2024
K**a unapata maumivu wakati wa hedhi hii sio hali ya kawaida unatakiwa uipatie utatuzi kwa haraka sana
17/04/2024
Ni vyema kufuatilia afya yako kiundani,
Ipe afya yako kipaumbele kwa kutibia dalili ndogo ndogo ili kuepuka madhara makubwa ya baadae
*Jifunze kidogo kuhusu dalili za PID*
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
0000
